Hongera kwa Azam Tv,Hongera kwa Ahamed Ally na wachambuzi wengine waliopo Studio. Nawatakia Simba Sc Ushindi Mnono Leo jioni saa moja dhidi ya Orlando Pirates!
@sirecha
2 жыл бұрын
Waooooooh! Familia ya Wana Simba tunafurahia uwepo wako Ahmed Ally. Tunawashukuru Azam Media Group kwa kumlea Vyema Kijana huyu na kumruhusu kuja kuitumikia Simba Sports Club.
@mirajaliy3334
2 жыл бұрын
Nikawaida yetu kuruhusu, siunakumbuka at a sure boy tulimruhusu
@eliphacekalenganya62
2 жыл бұрын
Nakupenda sanaaa AHMED ALLY UNAJUA MY MODEL
@halimajuma2340
2 жыл бұрын
Kaka Ahmed jaman japo tupo huk pamoj kweny sjmb lkn tulkumc san kukuon hapo azam mungu akuweke Ahmed tunakupend sana
@ferouzmasoud4870
2 жыл бұрын
Simba sports club big Team Africa 👊🇹🇿❤️🦁💪⚽🏆🔥🔥🔥
@thomasmartinez786
2 жыл бұрын
Ahmed ally katengeneza kijiji chake kwenye soka la tanzania MUNGU AKULINDE MWAMBA
@labanakyoo4177
2 жыл бұрын
Tumefurahi kukuona tena kwenye mshikeshike Ahmed Ali
@majidkhatibu6738
2 жыл бұрын
Umetisha saana Semej la nchi
@hadijafarahani1972
2 жыл бұрын
Potepote unafit msemaji wetu 🔥🔥
@thomasmartinez786
2 жыл бұрын
Huko alikuwepo toka zaman
@angeloelia8224
2 жыл бұрын
God bless my team simbaaa 🙏🙏🙏❤️❤️
@emmanuelkanoni8530
2 жыл бұрын
Unajua mwamba tunakumc Sana kweny mshikemshike viwanjani
@ruthawakola8869
2 жыл бұрын
Yule mropokaji ye ataomba wapi kuendesha kipndi Cha michezo
@johnfuraha9151
2 жыл бұрын
Kweli, Simba Tumepata Manager wa Habari na Mawasiliano. Hongera kwa uongozi mzima wa Simba Sc wakiongozwa na CEO mwerevu. 😀💪💪
@mkemia_magege5816
2 жыл бұрын
Yanga wanaweza kumuua huyu dogo na hilo hawaonj shida kwasababu ya kupenda kuiona Simba ikipata shida na ikiuzunika. Kwahiyo tuwe makini wanasimba kumlinda huyu Ahmed Ally. Mambo anayoyafanya ni makubwa sana kihabari.
@johnfuraha9151
2 жыл бұрын
@@mkemia_magege5816 Thats is point. Chamsingi ni umoja yaani NGUVU MOJA
@somchamwita8502
2 жыл бұрын
Umetisha Ahemed Ally
@flavianchuwa4370
2 жыл бұрын
Yanga ila.Ahmed akiwa utangazaji nampenda sana
@allyabdalla1028
2 жыл бұрын
Oyoooooo piga kelele kwa Simba piga kelele kwa semaji la kimataifa
@kastomwaipopo1763
2 жыл бұрын
Semaji la viwango vya CAF ilo 💪
@shukuruliuka9649
2 жыл бұрын
Jamaaa fundi Sana nililala lkn nilikua nasubir hii video
@mwamkaitv4596
2 жыл бұрын
Msemaji wa kimataifa nimeinjoi leo sana
@shabaniselemani5207
2 жыл бұрын
Fund mmoja dunian nakukubali sana japo umekuwa msemaji wa malapa fc
@ikamboTv
2 жыл бұрын
woow seman ji la caf semaj la simba semaji la robo fainal wooow🔥🔥🔥🔥
@mustafamzee2399
2 жыл бұрын
Dah ila huyu jamaal ni mwamba anapiga kote kote yupo vizuri sana
@hechaaclassic
2 жыл бұрын
In Case you don't know Huyu ni Manager wa Habari wa SIMBA🦁 Sio #LOPOKAJI🙄😃🔥
@allysalim9822
2 жыл бұрын
Daaah ila we jamaa Mungu anakuona... yaani leo umekumbukia kazi yako
@abdulgongo8213
2 жыл бұрын
Yani hii ndio sehem yko
@hamadhamad7895
2 жыл бұрын
Dahhhhh nakubali
@maridadimaridadi6879
2 жыл бұрын
God bless you 🙏🙏🙏
@turogabriel4070
2 жыл бұрын
@azam tv for life
@ackimibrahim2973
2 жыл бұрын
Simba🔥
@VOICEOFMIRACLES7
2 жыл бұрын
My role model him self 😍
@aboubakarymohamedy
2 жыл бұрын
Ukamfata 😁
@ambakisyemwanjemba5787
2 жыл бұрын
Shabalala na kapombe wapande kwa taimining Sana wasifanye mazoea na pia beki yote itulie Sana jamani
@allyabdalla1028
2 жыл бұрын
Safiii Sana Kama wanasoma comment viongozi wetu wanatakiwa kuisoma kwa umakini comment yako
@charlesnelson159
2 жыл бұрын
Huu ni mchezo wa hesabu kubwa simba lazima iwe makini sana cheza mpira wa pasi zinazofika pasipokupoteza mpira ovyo kaba kwa nguvu zote mwanzo mwisho na punguzeni makosa yasio ya lazima orando ni timu kubwa na mkizembea kwa mkapa inawazalilisha na kwao mnakufa nyingi
@elibarikikivuyo5946
2 жыл бұрын
Hongera sana
@aminisambo345
2 жыл бұрын
AM NO1 VIEW
@elishamtweve9484
2 жыл бұрын
Semaji la lobo fainali
@karimuuhonde3499
2 жыл бұрын
Azam tv mtapunguza wateja Nchi hii wanayanga ndio wengi sasa kitendo cha kumtumia Hamedi Ally mtapoteza wateja wenu wengi
@muhammadmahmoud1068
2 жыл бұрын
Wacha chuki brooo mpira cyo UADUI😀😀
@zedymoris8576
2 жыл бұрын
@@muhammadmahmoud1068 kabisa,mimi mwenyewe ni mwanayanga lakini sijapenda kauli hii,kwahiyo mtu wa simba akiendesha kipindi azam tv nitatizo tena!!
@christinajames2620
2 жыл бұрын
Huyu siyo mzima,kwani sinikazi kazi take jamani
@jumaiddy441
2 жыл бұрын
Azam ndio kilakitu wewe kama hujui hii sio tbc au wasafi jitulize Utopolo
@manueljr9255
2 жыл бұрын
🙈🙈
@sefumaiko213
2 жыл бұрын
kijana unanikosha sana
@zumbeshauri8114
2 жыл бұрын
Ahmedi wewe ni mtaalamu na kama haitoshi ninavyo hisi imeingizia simba mapato mengi kwenye kipindi chako
@hanifaomar7438
2 жыл бұрын
Kabisa my sikwaamsha amsha hii
@untouchboymsafi1788
2 жыл бұрын
Semaji
@mkemia_magege5816
2 жыл бұрын
Mzee wangu Azim dewji nakukubali sana na kwa maneno yako mazuri leo naona Simba ikisonga mbele. Kwasababau Swala la mashuti ni jambo la lazima na inapaswa mashuti kupigwa kwa nguvu na kwa akili ili hawa jamaa tuwalaze za kutosha na presha kama yote kuelekea golini lazima wafe.
@donedaddy4561
2 жыл бұрын
Huyu Ahmed aseee ni mtu hatari saaaana heti chanika msumbiji kuna watu people weng saaana
@turogabriel4070
2 жыл бұрын
#Azam💥💥💥💥
@amlimuhusini4890
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@ambakisyemwanjemba5787
2 жыл бұрын
Beki itulie jaman
@mohamedimwakha4528
2 жыл бұрын
Iyo ndio raha ya kutoka sehemu ukiwa ujachukiza wafanya kazi wako wa zamani hii ndio raha yake
@zumbeshauri8114
2 жыл бұрын
Kabisa
@fredyshirima2395
2 жыл бұрын
Umeona bwana
@ikamboTv
2 жыл бұрын
Jamani movie kali zipo hapa #IkambomoviesTv
@mudathirykagawa1714
2 жыл бұрын
Fundi wa mazungumzo AZAM MEDIA
@donedaddy4561
2 жыл бұрын
Manager wa habari na mawasiliano ni moto gire
@josakisanga4133
2 жыл бұрын
Au bas
@omariiddi1162
2 жыл бұрын
Semaji la kimataifa
@omarmzungu5841
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@suleimanmwenyemvua995
2 жыл бұрын
VAR ndiyo muamuzi sahihi
@suleimanmwenyemvua995
2 жыл бұрын
Mbñ Kama mnaogopa na kuwa wasiwasi na hiyo var
@elishamtweve9484
2 жыл бұрын
Amelud nyumban
@Ccmyetufahariyetu
2 жыл бұрын
Hatari
@pacomezouzoua9175
2 жыл бұрын
Mi ni yanga ila huku unafiti sana mwanangu
@jackobrolisho8355
2 жыл бұрын
Miniyangaiiahukuun atisanamwanagu
@iddimngazija1957
2 жыл бұрын
Kiukweli huku una fit kuliko kule
@gibsonjosephat6352
2 жыл бұрын
Hapa Duniani Shule na Fedha acha kabisa. Ahmed Ally kweli Afisa Habari. Hivi wakina Bumbuli na Haji Manara wanaweza kuendesha kipindi? Siku Moja waitwe wapewe mice
@oscarjeckonia-9757
2 жыл бұрын
Hakika Hakika Simba bila huyu hamtafuka Popote 👇👇👇👇 kzitem.info/news/bejne/1W-MtIWdpJSTq4I
@omarmzungu5841
2 жыл бұрын
Big up
@sirsebaonline9106
2 жыл бұрын
Siyo msemaji wa utopolo yeye anaongeza wake tuu kweli yanga mmepigwa na kitu kizito
Пікірлер: 93