Msukuma wew ni kiongozi bora kama magufuli mi ningependa sana ugombee urais tutakupitisha tunaona kazi zako nzuri sana
@MpambikaSaidi
4 ай бұрын
Good brother
@dorahmushi-we6ts
4 ай бұрын
Na Makonda
@DavidNyenge
3 ай бұрын
Mmmmmmmmh, urais????
@ZiyandaMhlana
4 ай бұрын
Msukuma kama msouth africa au Mexico 🇲🇽 big up
@MathiusEzekiel
4 ай бұрын
Daaaa ubalikiwe musukuma
@jacobdimosso2595
4 ай бұрын
😂wewe kiongozi bora
@DanielLucas-wq7ti
4 ай бұрын
Daaaah uko safi sana mzee wa kazi hurry up hurry up wizi mkubwa mimi sioni faida ya elimu wizi tu
@JustinJonathan-b5b
4 ай бұрын
Ase mimi sema ukweli uyu mzee wetu agombee urais tu 🤗🤗 Na lazima apite
@Saiddoti
4 ай бұрын
Ongela. Sana mh.mbunge msukima nikweli eabunge we give nieezi.pia wapo kwa ajiri ya matumbo yao tuu hawapo kwa ability yakuwatumikia watu.
@RizzPhilipo
3 ай бұрын
Bravo gombea urais msukuma we umepita 💪🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@FelixSikanyika-r2h
7 күн бұрын
Ww nikiongozi Bora sana mungu akupe uzm
@BlandinKalistus
4 ай бұрын
Uko vizuri mwakilishi wa wanyonge
@AshaMbaraka-cb5ix
4 ай бұрын
Tungekuwa na wabunge kama msukuma 10 nchi yetu ingepiga hatua sana sana ,msukuma mungu akuzidishie maisha marefu
@NgodaHakimu
3 ай бұрын
asante msukuma wewe na magufuli mlikuwa njia moja ila uliokuwa nao sasa niwapiga dili mungu akulinde mbunge wa taifa
@badenneyz9056
4 ай бұрын
kama ulipagawa na hio cover photo ukafungua hii video😂 like hapa
@kulwampalashimpalashi7224
4 ай бұрын
Fala ww
@JamillahEliya
4 ай бұрын
Yaani waandishi niwatu wakuwasamehe tu
@OLIVERSTEPHANO-gy3bu
3 ай бұрын
😀😀😃😁😄😂😂😂😂😂
@AyubuRichard-oh3ve
3 ай бұрын
Asante kwataalifaa iyo ya cag
@fatnashemliwa-jq9ez
3 күн бұрын
Mbunge wangu wilaya ya nzera mkoa wa geita tunakupenda sana Nkome yetu
@GodfredAlfredNgarama
4 ай бұрын
Nchi yetu kila mtu anawaza madili tu ndo maana hatuendelei. Raisi wetu jpm pumzika kwa amani
@funekamole6742
4 ай бұрын
Yaani tunaviongozi wa ovyoo sana!musukuma aliwanyosha tena wameibuka,mamma anakopa wanakula.😢😢😅😅
@musakibiriti8663
4 күн бұрын
maneno ya huyu mbunge ni mazuri sana na tunatakiwa tuwe na wabunge wa aina hii ili kuifanya tanzania iwe kama nchi zilizo endelea duniani ili wanachi wake waishi maisha mazuri yaliyo jaa furaha ndani ya nyoyo zao na wasomi mnaosoma na kutaka madaraka basi kuweni kama huyo msukuma
@StellahMaulid
4 күн бұрын
Wasukuma hongereni ofcoz mpo vizurí uko sawaaa kabsa kiongozi pambana kwa manufaa ya wengi
@BabuuCharles
4 күн бұрын
Mungu akulinde milele eemwenyez mungu mlinde na umwepushe na madui maana anaxtaili kuitwa kiongozi mungu amlinde
@NariethYohana
4 ай бұрын
Mungu akulinde msukuma
@lucasngulugulu9074
4 ай бұрын
Mheshimiwa msukuma nipo mdogo wako hadhina ya taifa nasikitika Sana kwa hilo soon tutakutanaa huko tutasomana vema ndo maana wasukuma wanatuona wakaidi but brother soon ntafka mungu ainue utukufu wake tu
@MariamAthuman-i8p
3 ай бұрын
Kweli kabisa nyie wasukuma mna misimamo hata kama ndgu yangu tundu lisu hii nchi inatakiwa kuongozwa na wenye misimamo tuu
@mwajumakupela7801
4 ай бұрын
Mungu akulinde
@SalimAbdulla-gw5rq
4 ай бұрын
Ila mungu alibariki bunge na viongozi tusonge Mbele ila hao wezi wakalime warudishe hela cc raia tunaumia sana .
@ShottojumaNdakama
4 ай бұрын
Ole siza bhabha🌷🥀🌹
@harrisntibuhera8201
4 ай бұрын
Msukuma uko sahihi💯💯
@Mariajoys-hh3zy
2 күн бұрын
Asante msukuma sema ❤❤
@matokeomwinami3659
4 ай бұрын
Magufuli kwann ulikufa lakini ,, huko uliko hata ile barabara ya makambako songea mpaka leo mashimo tu, CAG huku lipoti nishoti tu magu msukuma wanamdharau bungeni eti hajasoma.
@rosekimaro384
4 ай бұрын
Hajasoma lakini anapoiti
@chrispinianmassay5095
4 ай бұрын
Kusoma siyo Kila Kitu.....ubora wa kiongozi siyo kisomo tu....mambo ni mengi.
@frankjohn8706
4 ай бұрын
Huyu kingmsukuma hana kura za maruhani anakura za wanainchi kias hata ikichukua chama ingine huyu hakosi kura za wanainchi maana ni mbunge wa wanainchi kwa tiketi ya ccm sio mbunge wa ccm kwenye jimbo alipo
@SarahRobert-pi7rw
4 ай бұрын
Hongera sana msukuma,wape makavu,watu hawana woga..
@RashidhKasita
4 ай бұрын
Upo saws nakuombea kwa mungu akuongeze
@JeremiaholendikaMakeseni
4 ай бұрын
Ubarikiwe sana kiogozi Bora mtetezi wa wanachi
@bolelambunda6554
4 ай бұрын
Asante msukuma JPM Rest in peace inaumiza time will tell
@TheresiaCyprian-ky5lt
4 ай бұрын
Mungu akulinde ❤ msukuma,wewe ndo magufuri wa pili mungu akupe maisha marefu
@JastineAlistide
4 ай бұрын
Ndio kibsaaaaa
@MalikiMamboleo
3 ай бұрын
Yani ukweli uyu jama ni atariiiiiii sanaaaaa
@MathewKabangila
3 ай бұрын
Msukuma ww unafaa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@neema9027
4 ай бұрын
Musukuma Ana uchungu na Tanzania 🇹🇿
@paulkulwagambishi2330
4 ай бұрын
Wasukuma mna misimamo inayotakiwa katika taifa hili, hongera bro
@FurahaSimkwai
4 ай бұрын
hongera sana broo irifaa wotee humo bungeni waigee huo mchango wako daah
@Maichampiongirl
3 ай бұрын
#msukuma ni mtu na robotatu❤❤❤❤❤
@binssoud1995
3 ай бұрын
Mbunge of ze season.🎉
@janethrulenguka906
4 ай бұрын
Msukuma unanibarikj sana yaani barikiwa😍
@Barakamoleli-ww5by
4 ай бұрын
Msukuma mmebaki wawili wazarendo nchini niwewe na makonda mbagara nyayo zamagu
@HenryCastuli-jz3cx
4 ай бұрын
Mtazamo wako labda msukuma na mpina
@AbdulyMajaliwa-v4r
4 ай бұрын
Toa makonda weka hussein bashe
@tielyelibariki8958
4 ай бұрын
Msukuma hongera sana umeongea point sana tatizo la nchi hii utekelezaji. Naomba tuchukue fomu ya Urais wakuluma wenzako tutakupa kura
@msetimalele2997
4 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@TinaHussein-vz8rj
4 ай бұрын
0:21 0:44
@show...002
4 ай бұрын
duh yaan wasukuma wana akili mno
@jacklinelyimo7407
4 ай бұрын
Yuko vizuri msukuma
@ALPHONCEKADONDO-qs5hr
3 ай бұрын
Hiyo hatarii saanaaa
@AlfredPetro-z6s
2 күн бұрын
Napenda sana hoja zako mkubwa
@FELISTAREMMY
4 ай бұрын
Tunakupenda msukuma❤😂😂
@SamsonMhaya
3 ай бұрын
Wabunge kuweni na machungu na mali za taifa kama Msukuma
@alichengilangwa1361
4 ай бұрын
Nakukubari sana weye mheshimiwa mpina piga kazi
@PauloMhagama-ld8xq
3 ай бұрын
Msukumaa hoyeeeh!
@dainessoda1363
4 ай бұрын
Jaman uyu Msukuma bas tu jaman anasema ukwel mtupu Mungu akutunze baba yetu tunakupenda mnoo🥰
@ObadiaMgaya
3 күн бұрын
Mungu akupaze cheooo tuuuuu
@SamuelJoseph-lk8xd
4 ай бұрын
Wao mbunge wetu sema
@aderickanatorypesha4004
3 күн бұрын
Natamani siku Moja uwe kiongozi mkubwa ndani ya serikali.
@FrancisMkuta
4 ай бұрын
Msukuma sema utalipwa na Mungu.
@NgodaHakimu
3 ай бұрын
ndio kama tanzania haipendi ukweli kwa mungu utamuokoa ukweli huo na kuonyesha kuwa alikosa meno ya kuwa wajibisha lakini ina muuma
@LingsonMwakayonga
4 ай бұрын
Uko vizuri
@muniraahmed624
4 ай бұрын
Aseee. Nomaa
@IssaPesakwanza2024
3 күн бұрын
Una ongea pointi sana hongera sanaa
@salmabenardmasanja3440
4 ай бұрын
Big up sana msukuma
@gladynkya8362
3 ай бұрын
Tungekuwa na wabuge 5 km wewe Taifa lingefika mbali Mungu akubariki sana kaka waambie hao ni walafi sana wananchi tunakufa njaa wao Wana kula tu Kodi zetu na Mungu atawalaani
@ClaudPius
4 ай бұрын
We ndo kiongz Bora
@ReylaMalambo-qy6ei
4 ай бұрын
Mzimu wa Magufuli umemuingia
@abudulingasa6413
4 ай бұрын
Kabisa tena sana2 😅😅
@Tchidymbanga
4 ай бұрын
Bravo 👏👏👏
@AnnaMacha-rg6ri
3 ай бұрын
Mungu Akulindemsukuma ❤❤❤🎉🎉😊😊
@WinifridaMgimba
4 ай бұрын
Safi msukuma
@NeemaShao
4 ай бұрын
Mungu akulinde msukuma kama alivyowalinda wana waisrael jangwani
@mariamalongo8803
4 ай бұрын
Msukuma nitafute nikipe soda ,au beer 😂😂
@MwalumogoMsigwa
4 ай бұрын
Msukuma na kishimba nawapendeni🎉🎉🎉🎉
@RashidhKasita
4 ай бұрын
❤msukuma
@ladislausmoris9638
4 ай бұрын
Hongera sana king msukuma
@NgodaHakimu
3 ай бұрын
mpeni maua yake waizi wengi ni wasomi na hili alisha lisema hata raisi wangu magufuli msukukuma oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee😅
@riverlolence
4 ай бұрын
mungu akulinde msukuma baba wewe nikama baba magufuri
@abudulingasa6413
4 ай бұрын
Umemuona na ww et
@nicolauslema88
4 ай бұрын
Jamani kuweni na hofu ya Mungu hii nchi itabakia na hamtaondoka na kitu duniani ni mapito tuu.
@JohnMatara
4 ай бұрын
Asaivi bunge la kichoko
@sidesaidi4879
2 күн бұрын
Kiukweli msukuma we tu mbunge but unastahili kuwa ata rais unajua sana
@Benny46y1
4 ай бұрын
Hongera sana baba yetu mpendwa 🎉🎉🎉 long live
@davidsalumruyagazaruyagaza
3 ай бұрын
Safi Sana msukuma nakubal san
@Msafirimzigwa
3 ай бұрын
Binge la Tanzania mi tofaut kabisa na mabunge ya nchi zengne Tanzania bdo Yuko nyuma san
Hapa ndo tunaelewa msomi ni Nani Nadhani msukuma ni msomi kamili hachana na HAO wanatafakali usomi katika karatasi Ila nje wanayoyafanya hata haya....... Big up grandpa!!!!!!!!
@EnitaKabaga
4 ай бұрын
Msukuma katisha😂😂
@siamollel6051
4 ай бұрын
Tunaomba msaada hasa kwenye miradi ya serikali mingi mmewapa wachina ila watanzania masikini wanateseka hawana wakuwatetea vijana wanafanywa kama wakimbizi ,,mikataba hamna ,na ikiwepo ni batili,mishahara duni,Pesa za wafanyakazi wanagawana wao wanawapa wafanyakazi kiasi wanachokitaka,,Wachina wanaishi kwakutoa rushwa kwa viongozi wa mkoa,wilaya na almashauri,,mateso yanabaki kwa wafanya kazi wa hali ya chini,,Tunaomba wabunge na mawaziri kagueni miradi iliyopo kwenye majimbo yenu,,Napia fuatilieni haki za wazawa wanaofanya kazi kwenye hiyo miradi , Tanzania ni yawatanzania,,hakuna mtu katili kama mchina jamani
@winifridaboniphace5681
4 ай бұрын
🎉🎉 safi sana mtani umeongea pointi
@EuniceEunice-y4d
3 күн бұрын
Goooooood
@edwardKilogeja
4 ай бұрын
Hongera sana Mh
@JumaOmary-yg5rq
3 ай бұрын
Kwa kweli kama kungekuwa na wabunge kama msukuma 20 tu tz tungesonga mbele sana
@TomassBenson
4 ай бұрын
Mlisema bunge likiwa la ccm mtafanya kazi hiyo ndio kazi
@NestoryBarabara
4 ай бұрын
Muskuma mungu akuzidishie uripo pungukiwa naakupe maisha marefu
@RajabujegaKapindijega
3 ай бұрын
Msukumu wew ni kiongozi wa aina yake
@MaikoAdam-o1f
2 күн бұрын
Msukuma jitahidi kuwakumbusha mana bungeni wengi wapi gani tu wa Hela lkn hawana lolote bigapu sana
@JonasiChiristian
4 ай бұрын
Wewe nikiongizi borasana mungu akulinde baba
@AminaLibisa
4 ай бұрын
Hahaha Eti mtoto wa kitaa msukuma oyeeeeee 😂😂
@atenionesmo_A10
4 ай бұрын
oyeeee🎉🎉🎉
@SuleimanRamadhan-z4y
3 ай бұрын
Msukum namkubali San
@ShabanMukose-e1p
6 күн бұрын
Hio ni serikali haifanyi kaziake vyema
@rizikichike
3 ай бұрын
Wasukuma mna nini lakin alaf museme hampendwi mna matatzo
@catherinekihengu2420
4 ай бұрын
Duh umetisha msukuma 😁😁
@GhatiElias-zu7oe
3 ай бұрын
Very good
@DavidBundala-u1r
4 ай бұрын
Tunamkumbuka kwa mazuri, siyo kwa mabaya, tulijua tutamkumbuka, bado anaishi mioyoni mwa Watanzania zaidi 90%, japokuwa hatunaye tena. Ndiyo!! Ameondoka akapandwa ardhini kama mbegu itakayomea baadaye kwa ustawi wa Tanzania ijayo! Hatimaye vizazi na vizazi vitakavyokuja vitasema alikuwepo Magufuli - Simba wa nyika, asiyeogopa wala kukumbatia fisadi!! "...Bwana alitoa, na Bwana ametwaa; jina la Bwana na libarikiwe." (Ayubu 1:21)
@KahemaMalimi-pz4fy
4 ай бұрын
kweli wapigaji wapi😢
@AbdulNgombe
4 ай бұрын
Kaka mh. Msukuma, mm niko mtwara ila ninakukubali balaaa. Karibu jimboni kwetu masasi mjini, ugombee ubunge tumemchoka GEOFFREY IDELFONCE MWAMBE. Mbunge asiyejitambua, mbinafsi, na mkaidi kwa maagizo na mipango ya serikali.
@MerinaChussa
3 ай бұрын
Hakika Msukuma mtu na nusu.😂😂
@Abgaely
Күн бұрын
Sisi wananchi tumewapa hajila kama mkifanya wizi tunawagomea.kuwapa Ajira
@ShabanMukose-e1p
6 күн бұрын
Hio ni serikani ndio haifanyikazi!
@magdalinekenneth7238
3 күн бұрын
Kumbe tz pia wizi wa serikali upo nilidhan ni kenya tu
Пікірлер: 391