Imepita zaidi ya Miaka 150 tangu Ukristo ulipoingia Nchini Tanzania.
Mwenyezi Mungu amekuwa Mwema, na amelitendea Mambo Makuu Kanisa la Tanzania. Jina lake litukuzwe Daima.
Karibu Kutazama Wimbo 150 ulioimbwa na KMKMAKUBURI ukielezea Historia ya Ukristo Tanzania tangu umeingia Rasmi nchini zaidi ya Miaka 150 iliyopita.
WIMBO : 150
WAIMBAJI : KMK MAKUBURI
MTUNZI : BERNARD MUKASA
KINANDA : FRIDOLINUS MUSHOBOZI
MTIRIBU : GASPAR PAUL
Негізгі бет Mt. Kizito Makuburi - 150 (Live Performance)
No video
Пікірлер: 26