Kazi mzuri mwanangu mtango nabambo mmetisha kweli mkongwe mkongwe tu wazee wakomedi show chanel 5 eatv mmetisha wajomba imeuwa wafundisheni kazi watoto wadogo.
@barakamgimba5706
Wanaomkubalii mtanga gang nipeni like zenu ❤
@BashiluBashilubashilu
Namkubali sana KUDEVELA
@ausonjustinian4673
Sijaelewa kitu hapo 😮
@eliaslugoe4496
Malegend km hawa hawakualikwa iftar ya Raisi ikulu ,inasikitisha
@saodsalim9196
Safi wazee
@aminaomary5567
Good bambo❤❤❤
@daudiniyonsaba1113
Nialike ftar na mimi wazee
@user-zr8be7ep4g
Uongeaji wa bambo😂😂😂
@user-kd6qq3fh7w
❤❤❤good
@stanslausmteme8455
Jamaa kwa sosi hawajambo
@jafariligalawa9424
Bob acha kudharau kazi zawatu et sijaelewa kitu kama sio shabiki kaapembeni ujaitwakukomenti Wala ujalazimishwa kachume tembele upike Bob usichoelewawewe niniapo aumetumwa pokea mateayo.
@kilagane183
utakoo eeeh😅😅😅😅
@OMARISaid-ye9du
Ila anamapengo duuu
@user-px9ee9cm8t
Alihaji ankujauu😂😂😂
@saidahmed9688
ramadhan Mubarak
@user-qp6ge6rt6s
Nzr sanaaa
@jafariligalawa9424
Mshamba et anasema ajaelewa kitu afanye kaziyake 2ione et linasema alijaelewa kitu watubwana geletu ataaibu.
Пікірлер: 30