Ivi mnao omba like uwa mnazipeleka wapi maana kila mtu nipeni like zangu zangu zipi sasa😅😅😅😅
@user-vu6pd7pg9e
5 ай бұрын
Mwanaum unalilia like
@simonhaule8976
10 ай бұрын
Bambo kwenye bangi anazingua xna kijiti kinamzidi Leo et mate yamekata anayatafuta kwenye chemchem y mate du!😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
@chrixmadunda8846
26 күн бұрын
Uyo bambo anaijua mpk Dry
@BuzaTV-sn2ft
10 ай бұрын
Nawakubari sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@FranceSimbeye-ey6nb
3 ай бұрын
Awa wanadunga serious 😂😂
@mtoobebe5778
10 ай бұрын
Machizi awa hhhhhh et mwanake
@hassanseleman2301
2 ай бұрын
Nimecheka Sana jamani bambo wewe wa Dunia nyingine unachekesha Sana 😂😂😂
@ellys_star
8 ай бұрын
Eti ninyanyue....sina miguu😂bambo konyo sana😂😂😂😂
@musaamos2431
28 күн бұрын
Mbavu zangu
@OmbasaGeoffrey
10 ай бұрын
Nawatambua sana tokea EATV.
@jumahamad9463
10 ай бұрын
BAMBOO AKIFUTA BANGI ENAMPELEKA MBIO SANA
@KiboshoNjenge
Ай бұрын
Mm nina kipaji kikubwa
@ndukulusudikucho_
10 ай бұрын
nawapata tokea Melbourne ,Sister amenikumbusha mbali saaaana dah Kontau? wahuni wa dar zamani , seven komando sijui wako wapi sasa au wameshaondoka, kulikuwa 1: Babaaa 2: Side Champilini 3: Kontau 4 : tike mwana wa mbonde (Abdul) 5: Baveta 6: Azali n.k na kundi la chakachaka la hisani likiongozwa na Kejeli mpiga kinanda zembwela balaaa
@WAZIRINASIBU
3 ай бұрын
Kali san🎉
@peterkayanza6595
5 ай бұрын
Kklkkk,,,,, 😁😁😁😁za malawi,,, kweli kweli,,
@user-lr2hs3yc7c
10 ай бұрын
bambo😅😅😅
@asukuluehota8473
10 ай бұрын
Kali sana
@EbonyfeetY2K
Ай бұрын
Bambo 😂😂😂
@noelkipera6581
10 ай бұрын
Ha haaaaaa bambo umevuta mavi ya mamba leoo
@kijanawakhwisero
3 ай бұрын
Hatariii😂😂😂😂
@hatoumrushein414
10 ай бұрын
hii ya leo noma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@erastomalyampa4972
10 ай бұрын
Mambo huwa natamani nikutane nawe live nipo ubungo kibo Nakupataje daaa
@ambokileasheengai1140
10 ай бұрын
mchumba wangu njiti mmemtosa siwaangalii tena
@moseskulola6913
10 ай бұрын
Noma
@salumbabu
8 ай бұрын
"Mwenge hauvuki kijiji"
@topesafi9742
10 ай бұрын
Sauti ipo chini Sometimes
@SaidiHamzaRamadan-wr9sx
10 ай бұрын
😂😂😂😂jamaan hulumieni mbavu zangu duuuuh
@wallarickymutua6120
10 ай бұрын
Uyu mwanangu
@zuberijoshua4562
10 ай бұрын
Hii umeenda bila pingamizi 🤣🙄🙄🙄
@bekaali8930
10 ай бұрын
Kwanza kwa nn umetoroka shule?😀😀😀😀😀😀
@mohmedsaid7615
10 ай бұрын
Siku zote kwenye kikao Cha kula bangi ukiwekwa kati lazima ukione
@user-mp8oh5qw5g
9 ай бұрын
Nawakubal san
@jethrowngelembaMw
10 ай бұрын
Chamba 😂😂😂🙌🔥
@victorpetermasebo822
7 ай бұрын
Chankhotakota
@mrdreadlock6551
10 ай бұрын
Mnanong'ona sana bhn toene sauv nyie vp
@suleimanismail8414
10 ай бұрын
Eti chukua fulanaa yakoo 😅😅😅
@Alutt
6 ай бұрын
Kitu cha Malawi
@user-zj3ff7vn9o
10 ай бұрын
Hiya mbangi kweli
@chucknose
5 ай бұрын
😂😂😂😂ngoja ngongee
@ErickJanjimzungu-od2ku
9 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@edwardkamau8804
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-jc1uw9fw8g
9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@pyoljane
2 ай бұрын
😂😂😂
@mustapherkassimu9202
5 ай бұрын
8:03😂
@alexbulali6612
10 ай бұрын
😂😂😂🇰🇪
@DigonzaKeimbe-uq1bx
9 ай бұрын
😁😁😁
@asukuluehota8473
10 ай бұрын
Bangi malawi hinatwa chamba
@najashdawood9680
9 ай бұрын
Nafurahi kuwa imekubalika japo hawajakubali hao wenyewe ❤
@alainbeyard1735
5 ай бұрын
Gonga like kama unakubalii mtanga na bambo
@allyramazani9534
10 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@user-up9pd8ly8t
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@protaspeter5371
10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁🤣
@rasnchimbi
9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@autorepair2321
10 ай бұрын
U guys are doing to many weed videos.....whats the message 😂😂😂
@najashdawood9680
9 ай бұрын
😂..ur rite we need to legalize
@kamanda007
10 ай бұрын
Kwanini kuna Chanel mbili za hawa jamaa, wanaibiwa au ni ujanja ujanja tuu, zote zina jina sawa
@MTANGACOMEDYTZ
10 ай бұрын
Zote ni zetu kuwa na aman ile kubwa inachangamoto tusapoti huku
@kamanda007
10 ай бұрын
@@MTANGACOMEDYTZ I subscribed, keep up the great work
Пікірлер: 66