Nzuri sana wanapenda sana mtanga mbambo mambo yote watching from Kenya
@joelnzengo431
Жыл бұрын
Bambo Is the best comedian by far kwenye hii industry yaani amerelax anaongea very simple katulia hana makelele lakini kila akiongea lazima ucheke.. u guys mmetisha Sana kuanzia mtanga na sura yake yakulia big up Sana 💪💪❤️❤️ love from home TZ
@onesphoredushime7300
Жыл бұрын
Nawapenda sana juu mnanichekesha sana from Burundi
@protaspeter5371
Жыл бұрын
Mtanga comedy naiona kwa mbali Sana jmn awa watu wanatupa burudani Sana jamn
@mtangacomedy
Жыл бұрын
Asante sana
@godwinmpazi1560
Жыл бұрын
Best one so far from these guys..So much creativity.
@planetanimals9547
Жыл бұрын
Hii kali sana
@stephanomtewele3029
Жыл бұрын
Dah hatar sana mtanga umetisha
@Kijosh854
Жыл бұрын
Masai unatuchanganya uliiba kamba ama ng'ombe😂😂😂omba mungu mwenyewe moyoni
@rosemuhandoofficial5676
Жыл бұрын
Sauti ndogoo
@mtangacomedy
Жыл бұрын
Pole ,tunalifanyia kazi
@novatsteven2947
Жыл бұрын
Bambo uhusika wa uchungaji una perform sana 😂😂😂
@ahmaduun6523
Жыл бұрын
niliiba kamba, lakini kila nikiivuta ile kama na ng'ombe ilikuwa inanifuata😊😇😀..masai yako kali, si ungeliikata tu kamba ukaenda nayo, kwanini uchukue kamba na ng'ombe wake? 😊😀😁 masai naye mjanja kwel.
@omaraboud2115
Жыл бұрын
Salute to you guys for sure your work is tremendously
@mariamfritsi4943
Жыл бұрын
Pole sana mtanga, unakwenda motoni, sasa mchungaji nae hakupi tumaini anazidi kukuongezea mawazo, bora angekupa chance ili utubu, kama mmasai. Big up.
@mtangacomedy
Жыл бұрын
Hihihi
@suzanadeimamo7726
Жыл бұрын
Mmasai kaiba kamba
@kastorkidumu6579
Жыл бұрын
Ongea na mungu directly
@universitylink
Жыл бұрын
Amefia kwenye mikono ya madokta akafia hospitali wamasema mimi nineuwa kumbe alikuwa mzima amefia kwao
@ahmaduun6523
Жыл бұрын
hhhhhh. mtanga asema huyu mchungaji muhuni baada ya kuamriwa nenda ukajitangaze kila mahali kuwa umeua! eti huyu mchungaji muhuni...😀😂
@blue-hd8fo
Жыл бұрын
Nawakubari sana mtanga
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
😂😂😂😂 Nyie watu mmenishinda tabia
@omaraboud2115
Жыл бұрын
😂😂😂 Masai Nia ilikuwa ni kuiba kamba sio ng'ombe huyo ng'ombe ndie mwenye makosa kufuata kamba
@jacklinejacklinejonh6530
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abelmkiba543
Жыл бұрын
aahh masai bhana masai hajaiba ng'ombe kaiba kama naomba muelewe
@simonhaule8976
Жыл бұрын
Napata afya Sana hawa jamaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@constanciomarcos5484
Жыл бұрын
safi sana kamba na ng'ombe
@universitylink
Жыл бұрын
Huyu naye mchungaji muhuni tu, anakuambia ukweli bora ufuate
@sundawnsmedia6659
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂😂 Mwizi wa kamba
@saileplaizer6674
Жыл бұрын
Masaiii 😂😂😂
@omarbosiomar8608
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Shukran shukran wadau
@uredipetro9799
Жыл бұрын
Big up sana kweli
@ellyjacob9897
Жыл бұрын
Kila kivuta kamba ng'ombe inafata 😂😂😂😂😂
@assanisass6641
Жыл бұрын
Pastor iko vizuri😂😂😂
@bekaali8930
Жыл бұрын
Mtanga mkaidi halafu m,bishi kaenda kuombewa lkn kakaza huyo.
@omaraboud2115
Жыл бұрын
Hongera kwangu kwa kuwa mtu wa kwanza kukapokea kamzigo kwa siku ya leo
@khadijasaleh898
Жыл бұрын
Kazi nzuri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@KoreanDramaMoviesKiswahili
Жыл бұрын
🔥❤🔥
@stephanmpangire4741
Жыл бұрын
Ila Masai 😂😂😂🙌🙌🙌
@moseskulola6913
Жыл бұрын
Nawapenda Sana Tena Sana
@soccertv293
Жыл бұрын
Poti KAZI nzuri
@ziyandamhlana8776
Жыл бұрын
Waha majamaaa kibokoooo
@khalifasultan2677
Жыл бұрын
MTANGA Eh TUNAMUOMBA #KANJIBAI ASEE
@akimanajojo6490
Жыл бұрын
Kakisu ka Dogo 🤣🤣🤣🤣🤣♥️♥️♥️🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@madolaclassic117
Жыл бұрын
Hahaha,kwan kutubu si useme tu umeiba kamba na ng'ombe 😂
@bonfacemuhammed
Жыл бұрын
Wazeee wa balaaa
@jumakandy2075
Жыл бұрын
Bamboo mtanga 😀😁😀
@kagondanathan3661
Жыл бұрын
Nawapata mtanga na bambo kutoka horohoro
@pacomezouzoua9175
Жыл бұрын
Niliiba kamba Háhahaha masai bwana😂😬
@nyokaatzmatatila8861
Жыл бұрын
😅😅😅😅😅 dah!! Yani nyie niwaxenge kweli mnanivunja mbavu atari
@magashatv5343
Жыл бұрын
Uyoo mmasai anavuta bangi ngapi kwa siku...
@ayu2pacneymar746
Жыл бұрын
Nipeni like zanguu wajumbe
@omaraboud2115
Жыл бұрын
Yaani kamzigo nimekawahi hata hakajamaliza kuload sawasawa yaani hadi rwahaaa leo
@mtangacomedy
Жыл бұрын
Kunywa juice ya bareeed kabisa
@omaraboud2115
Жыл бұрын
@@mtangacomedy sawa Mkuu nimekunywa Doom barid
@uwimanacamila2390
Жыл бұрын
Masai umeniuwa kabisa 😂😂😂
@hassanichijumba7222
Жыл бұрын
Nmewah Leo jaman
@magashatv5343
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 mmasai acha bangi ..
@ahmaduun6523
Жыл бұрын
mchungaji kanisa lako liko wapi? tafadhali naomba unielekeze ili nije unitoe mapepo!hhhhhhhh
@ahmaduun6523
Жыл бұрын
eeeeh, embe. hhhh
@safiasaid4563
Жыл бұрын
Nawakubali mno nyie jamaa
@mucci_AI
Жыл бұрын
Yaaan nimeingia youtube kutafta new video na ndo notification yenu ikaja
Пікірлер: 82