Huwezi compare komasava na io hkn matata, ni kama dhahabu na chuma
@mancholotrasco8350
Ай бұрын
Nimetizama show zote mbili ya mabantu na diamond zote zikikuwa successful
@HENRYSILUNGWE-i1j
Ай бұрын
Awe ya mondi ilikuwa nomaaa kuliko ya mabantu
@dullahbatuf9223
Ай бұрын
Kil msanii akifanya vzur lazm ashindanishwe na mond
@SozinhoPatrícioMauroMauro
Ай бұрын
Diamond platnnam ele é bom
@channyanjen9047
Ай бұрын
Mario asijichanganye kwa Diamond
@BarbaraPatience-qt9cc
Ай бұрын
Kabisa!!!!! Ataisha
@user-yd8sp4es9n
Ай бұрын
RAVAYNYN DIAMONDI🎉🎉❤❤
@user-wi2sk8uj5s
Ай бұрын
Mm nakubali mabantu sanaaa
@LyonWalker_
Ай бұрын
Napenda huyu Dem anavyo Tangaza anatone nzuri
@silvermelodyvevo6082
Ай бұрын
Hakika mzik wetu unaenda far
@user-om5go9nj6n
Ай бұрын
Kuliko mulinganishe Komasava na watu wa inje then badae utasikia” wasani wetu wanaitaji Kwenda international “😂 Ukweli ni akuna msani Tz anaweza kujitowa vile Simba anafanya Akuna Matata ni kazi nzuri nafasi yake Na mtu yeyote akikuwa na shindanisha Diamond na awa watoto wenu mutakua naonekana munajishusha eshima nakuonekana amuko profesional
@kadito-o3j
Ай бұрын
All song is good but Omar must do remix with international artist to promote his song
@ramayonline2281
Ай бұрын
Diamond Platnumz analazimisha baadhi ya Media ambazo zilikua hazichezi wala kuzungumzia kazi zake sasaivi zinamzungumzia ikiwemo hii Media😂😂😂😂
@ClassicUsed-jg6ri
Ай бұрын
Hiyo radio ganj
@user-hm3qm2nf1v
Ай бұрын
Sky❤❤❤
@johnmichaellukindo21
Ай бұрын
Jamani harmonize yuko wapi?
@DavidMbwilo-qk1bz
Ай бұрын
😂😂😂 marioo
@tanzcanmediatv4473
Ай бұрын
Kwanini bifi ilianza lini
@AshurKarama
Ай бұрын
Sijui watanzania wakoje.mtu akifanya kazi vizuri lazima wampige vita ilikua Alikiba sasa Mario.diamond kama mtamshusha ni nyie lkn sio kwa mashabiki. Hakuna metata ni video amblyopia haina maadili.paula kalianika turbo lake nje kwani angelifunika ningekua halionekani? Alafu uisifie hakuna matata
@-thegreat-zawadimmasa307
Ай бұрын
Kwanini kuongea kuwa Mario ana Vita na Mondi ? Huu ni ujinga mtupu. Mario anatakiwa kuwa na adabu.
@giddie_barnabas
Ай бұрын
Waandishi na mashabiki ndo wanaoua vipaji vya wasanii wadogo kuwafananisha na majayant kama diamond yan wanampabichwa af akiforce anakula za uso kwanza wasanii wabongo inapaswa wajue vitazao kimzik co na diamond maana d hana mshindan hapa Tz wasanii wote kawapiga gep kubwa sana wanachotakiwa wamtumie kama mfano ili nao wafike aliko
@johaali9959
Ай бұрын
ℎ𝑎𝑤 𝑤𝑎𝑡𝑎𝑛𝑔𝑎𝑧𝑎𝑗𝑖 𝑢𝑗𝑢𝑤𝑒 𝑛𝑑𝑖𝑜 𝑤𝑎𝑐ℎ𝑜𝑐ℎ𝑒𝑧
@dullahbatuf9223
Ай бұрын
Kil msanii akifanya vzur lazm ashindanishwe na mond
@philipotieno9996
Ай бұрын
Ndio sijuui 😂 iyoo ni nini na Harmoo alisemaga hivi vitu pale airporti
Пікірлер: 25