Kama Unamuona jamaa ni Bonge la Hodari gonga like hapa
@salumuhamissi3492
4 жыл бұрын
Wengine munajifanya kulaani hyo kaz lkn mukisia sauti ya mwizi munatoka majumbani kiberit na petrol kumchoma mwizi
@bukheribukheri798
4 жыл бұрын
Umeshasema mwizi
@khadijakassimu3710
4 жыл бұрын
Heri yeye anaechoma maiti kuliko raia wanaochoma mwizi(Mimi shemeji yangu ni Muingland lkn pia alipofariki alichomewa kwao England ,mdogo wangu ndio aloenda akarudi na jivu
@nellywizz9631
4 жыл бұрын
Tunaongea tu ila wote atuna akika km kizikwa chin ya udongo ndo njia sahihi
@lassonlwemaw9586
4 жыл бұрын
Wewe akili auna mwiz alitumwa kuiba
@hadijamatola5230
4 жыл бұрын
Ni kweli kaka iyo ni kazi km kazi nyingine ila dahh km ni mpenzi wako mhhhhh anaweza kukumaliza ila ni hisisia zangu🤗🤗
@nmgradio
4 жыл бұрын
TUKARIBIE KUCHECK MECH KATI YA LIBYA VS TANZANIA SAA NNE USIKU LINK HII HAPA kzitem.info/news/bejne/zKhvvqpprneZl3o
@kelvinaudax8287
4 жыл бұрын
Duuuuh kama umeshangaa kama mimi like
@fatoomefathima5307
4 жыл бұрын
Kelvin huu mtihani wallah
@kelvinaudax8287
4 жыл бұрын
Sio wakitoto inabidi uwe na roho ngumu
@walivyojuma7095
4 жыл бұрын
Sasa kushangaa nn mbona nivitu vyakawaida saana ivyo
@tktvtz
4 жыл бұрын
@@walivyojuma7095 hahaaaa
@wemaelimbwambo3429
4 жыл бұрын
Du
@sellah4603
4 жыл бұрын
Kama unaona miwani ya muojiwa inakuzinguwa gonga like hap chin🤙
@ndikumanajuma6614
4 жыл бұрын
H TV
@bjzee1981
4 жыл бұрын
Hahahaha. Watanzania kwa woga. Toooo
@peterthomas9298
4 жыл бұрын
SELLAH TV jamaa ana roho ngumu huyu
@peterthomas9298
4 жыл бұрын
SELLAH TV jamaa ana roho ngumu huyu
@lindatogether
4 жыл бұрын
🤣🤣
@minaziparasu3352
4 жыл бұрын
Kama ww nimuislamu basi mshkuru Allah namuombe upatemwishomwemaa.
@hassanmfaume4522
4 жыл бұрын
Minazi Parasu amini amin amin
@mariamvicent7312
4 жыл бұрын
Minazi Parasu Alhamdulillah Aameen inshaallah
@nassormussa4236
4 жыл бұрын
Amiin
@lawmaina78
4 жыл бұрын
Uislamu wapi na wapi, kwani jamaa anachoma na kuwatafuna? Mtu akifa mwili wake kwisha unarudi kwenye majivu.
@hildababyabdullah5627
4 жыл бұрын
Amiin Allahumma Amiin
@sarahminja7255
4 жыл бұрын
Aiseee huyu kweli kazoea kuchoma choma mpaka miwani yake aliyotuvalia ni ya kuchomea watu
@lattyhansy6608
4 жыл бұрын
😂😂
@salimumanyiri2698
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🌹
@sollo1182
4 жыл бұрын
😀😀
@fatmaathuman6706
4 жыл бұрын
Umenichekesha eti miwani yke
@shakilamasoud8979
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lissagloo350
4 жыл бұрын
The way he is speaking kama anachoma takataka😭😭
@michaelchiwalo8444
4 жыл бұрын
Hahahhaha si ndo hapo , Kwahiyoo anaombea wakufee wengiii
@Bisekoson
4 жыл бұрын
Maiti ni takataka tu, tena angalau taka taka unaweza kurecycle. Vitabu vinasema binadamu ni udongo tu, ukishakufa huna thamani tena.
@reyham1722
4 жыл бұрын
Hahahah
@emmanuelandrew9941
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ana roho ngumu kama nn Atar sana ni kwel kabisa kama anachoma takataka an
@naamohamed9964
4 жыл бұрын
@@emmanuelandrew9941 dahhh hatarii sana
@yusufmohamed7161
4 жыл бұрын
Uislamu ni neema Alhamdulilah Allah amekataza kiumbe kumchoma moto kiumbe mwenzake
@Dhulqarnain-qc6gz
4 жыл бұрын
Ila ukaruhusu mtu kumchinja binadamu mwenzie.
@zeyfaafarzey1036
4 жыл бұрын
Alhamdulillah
@mussashehizaathumani5220
4 жыл бұрын
Mussa Shehiza to
@yusuphjuma4638
4 жыл бұрын
@@Dhulqarnain-qc6gz sema sema
@ismailbuchwa398
4 жыл бұрын
@@Dhulqarnain-qc6gz hapana... Ao una uthibisho kwa hilo
@anthonyfaru9908
4 жыл бұрын
Halafu unasema eti we Unafanya KAZI ngumu, Sikia madini HAYO, halafu jamaa hawazi wala nini
@chaudelechauchaudeee3347
4 жыл бұрын
Jamaaa ashazoea
@florahburton9641
4 жыл бұрын
Kabisa yan
@richardb.masika4375
4 жыл бұрын
Ooooo kaz yazege ngumu...mamaeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@richardb.masika4375
4 жыл бұрын
Yani uyu ukiingia ktk angazake anakuona kama andaz2
@AS-qh5mb
4 жыл бұрын
@@richardb.masika4375 😁😁
@salehsports6372
4 жыл бұрын
Uislamu ni Neema kutoka kwa Muumba. Alhamdulillah. Nakushukuru Mola wangu nimezaliwa katika Uislamu na nife na kuzikwa Kiislamu. Allahuma Amiin.
@yusufmohamed7161
4 жыл бұрын
Alhamdulilah
@bensonmahenge889
4 жыл бұрын
ALie sikia mtu anakithembe kama hamorpa agonge like hapa
@ashurasaburi8967
4 жыл бұрын
Na wewe ukifa uchomwe tu
@princess-uf5ux
4 жыл бұрын
@@ashurasaburi8967 kwel
@tktvtz
4 жыл бұрын
@@ashurasaburi8967 hahaaaaaa
@jumandutu2275
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@masoudyrashidy9041
4 жыл бұрын
Dah Al hamdulillah Allah atustiri sisi na vizazi vyetu na waislamu wote kwa ujumla in sha Allah
@hildababyabdullah5627
4 жыл бұрын
Amiin Allahumma Amiin
@masoudyrashidy9041
4 жыл бұрын
Shukran na ww pia
@hildababyabdullah5627
4 жыл бұрын
@@masoudyrashidy9041 👍
@habbyhamdoun7064
4 жыл бұрын
Amiiiin..
@ashurasss1044
4 жыл бұрын
Amiin
@asiakheir6406
4 жыл бұрын
Alhamdulillah kuwa muislam
@wemakalamu3538
4 жыл бұрын
Let's appreciate together we can in God we trust say alhamdullillah
@uislamutv2573
4 жыл бұрын
Allah atujalie tufe halikua tupo waislamu thabiti
@antybabybintrashid2333
4 жыл бұрын
Alhamdhulillah
@najmasalimsalim2741
4 жыл бұрын
Alhamdhulillah
@masoudyrashidy9041
4 жыл бұрын
Naam da Asia hakika tunafaraja kubwa kua waislamu
@lucasdismas4314
4 жыл бұрын
“mtu mweusi anapokuwa na njaa ndio anakuwa na akili” 😂
@EmanuelMwimi
4 жыл бұрын
Hahahah
@dasilvajunior3016
3 жыл бұрын
😜😜😜
@jumamohamed9350
3 жыл бұрын
Kama
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
Hap 🤣🤣🤣 Km Mazur
@elishamwabalogile8775
4 жыл бұрын
Kiuno nde kinachelewa 😀😀😀😀😀😀😀😀 nde kichwa kinalia pauuuuuuu kama umesikia gonga like
Sasa akukute na mkewake anakuchoma kama wachina😂😂😂
@atwityemkolla2971
4 жыл бұрын
Mmh inatisha aseeee. Mungu tusamee madhambi yetu,turehemu kwa rehema yako iliyo kuu
@johnshigela9369
4 жыл бұрын
Nimeona Kama miladi Ayo umeishiwa pozi Leo kwa interview ya ajabu leo
@salimumanyiri2698
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ipyanaibrahim4122
4 жыл бұрын
Alie sikia kifua chest weka like hapa
@tktvtz
4 жыл бұрын
Hahaaaa kifua chest
@raphaelbruno2743
4 жыл бұрын
Creative man like u never die poor!!
@tktvtz
4 жыл бұрын
Obsolutely
@fursatanzania6040
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mtu safi sana, So cool...Big up Mmarekani...
@nmgradio
4 жыл бұрын
TUKARIBIE KUCHECK MECH KATI YA LIBYA VS TANZANIA SAA NNE USIKU kzitem.info/news/bejne/zKhvvqpprneZl3o
@asyaibrahim1504
4 жыл бұрын
Mtangazaji nakuona umee vaa kofia juu.... Ndio ujuwe na mm pia nafanya utafiti wangu 🤣🤣🤣 kwenye miwani
@yakwetutv8525
4 жыл бұрын
Tena kaigeuza kwanyuma
@mazobason5031
4 жыл бұрын
Hahahaha
@tktvtz
4 жыл бұрын
Hahaaa
@thetwen2167
4 жыл бұрын
Mtu mweusi akishiba hana hakiri 😂🤣😂🤣
@shaninaftary1693
4 жыл бұрын
😆🤣🤣😆umefanya nicheke kwa sauti wallah
@chayogasperi9783
4 жыл бұрын
Ha ha ha ha ha ha katutukana hapa .
@carenmsafiri8498
4 жыл бұрын
the twen 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@merinaissulu9896
4 жыл бұрын
Kama unaamini kwamba mtu hawezi fanya kazi hii bila ukatili gonga like hapa
@wardajoseph6909
4 жыл бұрын
Astaghafrullah Astaghafrullah Astaghafrullah kwa nini hamuwaziki muogope mungu kaka yangu tubu kabla nawe siku haijakufika
@adamjuma9847
4 жыл бұрын
Asa kosa lake ni nini wakt kila jamii ina utaratibu wake wa mazishi
@neemakawogo7153
4 жыл бұрын
Ukifa huna thamani tu ni vumbi tu ww
@atukuzweluhanga7401
4 жыл бұрын
Kuzika ni utamaduni
@mariakayana9956
4 жыл бұрын
Hiyo ni sheria ya China..kila nchi inasheria zake
@anitajames4394
4 жыл бұрын
😀😀😀 nimesoma comment nimechekaa, jamani huyu baharia hana makosa,cose kila kabila wanautaratibu wao, sema inshu iliyopo hapa wote tuliosikiliza ni waogaa,maana yeye hapa ameangalia pesaa, uwoga akaweka pembeni😀😀😀
@christophermsekena616
4 жыл бұрын
Hii ndiyo maana ya man at work daah
@EmanuelMwimi
4 жыл бұрын
Hatar
@florahburton9641
4 жыл бұрын
Yan hata mkeo akizingua unaweza mchoma wew
@jerrysonshayo1557
4 жыл бұрын
Florah Burton yaah
@olivanadickson1945
4 жыл бұрын
Nakweli kbs
@salmajuma4015
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅
@bigbossmanbossman6946
4 жыл бұрын
No he can't do that mbona ni kazi kama kazi ingine
@florahburton9641
4 жыл бұрын
@@bigbossmanbossman6946 sio kwa kaz iyo changamoto ujue
@safari23
4 жыл бұрын
Kazi nzuri baba
@jei_maimu6957
4 жыл бұрын
Duh,,atari sana..UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO!!! 🙌🙌🙌 big up master
@user-po9yx5mu2b
9 ай бұрын
vp kuhusu msimamo wa imani yako?
@selemanmohammed3523
4 жыл бұрын
Jamaaa nimekubali sana yani kumbe ni party time bt style ana kazi yake!
@abdulfatahjuma5355
4 жыл бұрын
Duuh !! Kweli njaa lakini hizi nyengine si kazi
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
Ni kazi
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Kazi kazi tu. Utakuta kajenga hapo, watoto wanasoma vzr, na anasaidia ndugu kwa kazi yake
@tktvtz
4 жыл бұрын
Kaz kazi
@robertlinuma6051
4 жыл бұрын
Mnaobisha na nyie mtachomwa na mmarekan 😀😂
@onsportleo1965
4 жыл бұрын
Aliyesikia magogo mabichi atie like hapo
@dasilvajunior3016
3 жыл бұрын
🐱🐱🐱
@eliyamalele.masindi4910
4 жыл бұрын
siyo kuchoma bali ni mazishi maana kunaaina nyingi za mazishi. ukisikia wanaozika wanasema majivu kwa makivu ndiyo hii.
@wazirihamisi6484
Жыл бұрын
Nakushauri brother hiyo kazi ni haramu iache kabisa mara moja ya kuzika kwa kuunguza hatakama unalipwa pesa nyingi hili jambo ni haramu anae azibu kwa moto ni Allah pekee subhanallah wallahi ikiwa ww ni muislam sema alhamdulillah mshukuru sana Allah
@josephkiwale374
5 ай бұрын
No joke bro amechoma maiti mpaka ndevu zimeungua,,
@lucymasuod41
4 жыл бұрын
Duuuu!!! Na wachina kumbe wanachoma maiti??
@mariamvicent7312
4 жыл бұрын
Lucy Masuod na me ndo kwanza nasikia leo
@lucymasuod41
4 жыл бұрын
@@mariamvicent7312 najionea maajabu ya dunia wenzetu sijui wana imani za aina gani kwa kweli
@tktvtz
4 жыл бұрын
Yeah
@Mpakauseme
4 жыл бұрын
Waachoma ndio kwasababu ya maeneo ya mazikio kuwa machache huko kwao tofauti na miaka mingi iliyokwishapita
@harithwhite589
4 жыл бұрын
Sio wachina tu hata wewe mtangazaji ukianguka tu hapo amekupiga moto
@mamasswtkichuna8969
4 жыл бұрын
Mmmmh , wonders shall never end wallah🙄🙄🙄mmmh aiseeee mungu tunusuruuuu
@najmaabdul3836
4 жыл бұрын
Duh mungu akusamehe yallahbi dah mungu nisamehe na nipe iman
@debormtitu2720
4 жыл бұрын
Hongera baba Ila usiwe unachioma cm laptop
@jogoolashamba3074
4 жыл бұрын
Ni kweli kuna mchina mmoja niliwahi shuhudia alikaa mochwari kama mwezi hv
@alhaddajmohammed4768
4 жыл бұрын
SUBHANNALLAH...! Kweli raha kuwa Muislamu MashaAllah. Coz Uislamu faradhi/mambo muhimu ya kumfanyia maiti ni ma4; 1) kumuosha, 2) kumvisha Sanda, 3) kumsalia na 4/mwisho ni kumzika Kaburini kwa kuzingatia vigezo na cfa za Kaburi kwa mujibu wa Kaburi la Muislamu. Kuichelewesha maiti zaidi ya cku, Wks, miezi ni kuinyima/kuicheleweshea haki zake/malipo yake marehemu eg' kama marehemu ni wa Peponi mnamchelewesha kwenda ku2mia/kufurahia kheri zake na kinyume chake kama marehemu anashari/dhambi zake (m2 wa Motoni) kumchelewesha kumzika inaweza kupelekea kushea nae adhabu zake/ghadhabu za Allah zinaweza kukukuteni/kuuipateni nyote kwa kumchelewesha kumpeleka akahukumiewe. But inashangaza na kusikitisha kuona/kusikia ndg kuridhia ndg wenu/maiti wenu achomwe moto na kumuogopa hata kutorithi v2 vyake, bac hata c wange wapa Masikini hivyo via!. Jamani nyie msobahatika kuwa Waislamu hebu usomeni Uislamu muuelewe/ulizeni mueleweshwe msikubali kusikiliza na kuamini uzushi na propaganda za Wapagani/Makafiri (Wafuasi wa Shetani). Kuzika ni miongoni mwa ibada kama ibada zingine na image yeyote ili iitwe ibada lazima ibada hiyo iwe imekubalika/imerdhiwa na Mungu co kujibunia /kuji2ngia. But Wasokuwa Waislamu hawana dini balinwamenibunia mifumo ya kuabudu na kujifanya ndo mfumo/njia walofundishwa na Mungu kumbe ni Ushetani, Upagni na Ukafiri m2pu. So someni maana ukweli hamfanyi ibada za kweli ni kujifurahisha nafc zenu 2..! Hata ndoa means c ndoa bali ni kuhizinisha kuzini/zinaa kwa kurithi mila/dini (njia) iloaccwa na Wapagani/Makafiri kama msingi wa upatikanaji wa dini c sahihi means ibada zote zifanywazo c sahihi/ni batiri. So jiandaeni ya kumjibu Allah/Mola Muumba.
@betramraphael7219
2 жыл бұрын
waislam mna vikosi vingi sana vya kigaidi hapa duniani. hakuna raha yeyote hile
@boniphacelusato
Жыл бұрын
Huna haki ya kumuita Mtu Kafiri
@J_Jeromy
4 ай бұрын
@@betramraphael7219kujitoa muhanga na kuvalishwa mabomu we huogop,
@hadijahmwajombe9588
4 жыл бұрын
haaaaa mungu wangu asa ndonasema ata mke anamoyo sana kwakweli kukakaa na mume uyo yataka moyo sana
@aminahasan3564
4 жыл бұрын
Uislam ni mzuri sana🤔
@reginawitacha7921
4 жыл бұрын
Amina Hasan Kwani maiti za kiislamu hazichomwi ndugu
@aishaomari1881
4 жыл бұрын
Alhamdulilah gjala neema l islam
@najmasalimsalim2741
4 жыл бұрын
Alhamdhulillah
@jerrysonshayo1557
4 жыл бұрын
Amina Hasan...acha nyege ww... Uislam ni mzuri usingekufa mbwa wewe
@alexchungu9505
4 жыл бұрын
Amina Hasan , tupe evidences
@salmaelhinai833
4 жыл бұрын
Subhanallah
@maryamjuma3799
4 жыл бұрын
Yaani anavyosema Hilo neno Kuchoma utafikiri anachoma mishikaki kumbe watu
@mst1studio270
4 жыл бұрын
Hongera saaaana! Ila Wewe unae mu Interview, jaribu kuandaa maswali hasa kuyaandika ndipo utoe Interview.
@TALLUBOY
4 жыл бұрын
Hi miwan nimeikalili Sitonunua kamwe Hata nipew bule sitoichukua
Subhanallah.hatakama kazi ni kazi lakini hii hatari manake yanatisha!!!!
@aminaabdallah7702
3 жыл бұрын
Broo acha hio kazi nikazi yakiyuhamu sasa haswa mbele yamungu hawo watakushitaki mbele yamwezimungu kazi yakiharamu sana muogope mungu fikiri hatimae mbele
@gggjjahhhh9419
4 жыл бұрын
😳😳😳😳😳😳 Heee tutaona mengi jaman 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Wanaita ku Burne ,kama simple ,sasa wewe mzee baba km huyu endelea kungua km hatoku Burne fasta
@salmaelvina1002
4 жыл бұрын
😁😁😁duuh mungu amekupo roho ngum
@zamirumayembe4385
4 жыл бұрын
Namjuwa huyo Mmarekani yuko mtwara
@khadijahbanana5602
4 жыл бұрын
Ni mmarekani?
@zebdayleonard8599
4 жыл бұрын
Nilwachoma pale wa nne kule nilchoma watano hela iz ogopa
@greysonsimba5366
4 жыл бұрын
Mmh kaazi kweli kweli
@walivyojuma7095
4 жыл бұрын
Iyo si dhambi ww ndo imani yao wachina nawazungu nawabaniani nikawaida niimani tu iyo mbona poa tu hakuna dhambi yoyote
@richardb.masika4375
4 жыл бұрын
Hii dunia🤔
@wemakalamu3538
4 жыл бұрын
@@walivyojuma7095 the devol is a liar only God knows about everything ☝️☝️☝️unatumika vibaya aisee
@tktvtz
4 жыл бұрын
Kazi kazi....
@Jomba-lao
4 жыл бұрын
Duhhh ama kweli "tonge tu lipatikane" kazi kazi tu
@tktvtz
4 жыл бұрын
Ndo jambo la msingi hilo
@asiamwarabu7510
3 жыл бұрын
Hapo kwenye kuchoma na vitu vyake laptop simu itakuwa iPhone hizo turudie kidogo aiseee mmmh sema we Baba nenda kalime Mungu atakusaidia dhambi Sana tumeumbwa Kwa udongo na tutarud udongon sijaona sehem ilioandikwa tuchomane jmn Alhamdulilah kuzaliwa muislam
@officialdaudipaul1199
3 жыл бұрын
Doh atareee
@rahimaaaaa8699
4 жыл бұрын
Kumbeeee ndio maana yulenwa Geza ULOLE NI MMAKONDE NDIO MAANA ALIMCHOMA.NAOMI MKEWE NI UJUZI WA.KIMAKONDE.
@aishachambo3293
4 жыл бұрын
Rahima Aaaa 🤣🤣🤣
@issakawanya8511
4 жыл бұрын
Bora kazi
@realrachelbuttu2783
4 жыл бұрын
Rahima Aaaa 😀😀😀😀
@georgemashauri4657
4 жыл бұрын
Fasta masaa3 mpka 4 daaaaa!
@asiaissamtanzania8700
4 жыл бұрын
Shezi wewe mbona sisi tunazikwa kikawaida wamakonde hatuchomani.moto?
@mwana3887
4 жыл бұрын
👏everything can be bargained
@jamilajamila4572
4 жыл бұрын
Duh😭😭😭
@amirikalindimya9742
4 жыл бұрын
Uncle wangu mm hatari sana nakumbuka enzi zile kibanda wazi umetisha unamisemo kama yote
@eliusmwajeka5287
4 жыл бұрын
Good job, Ila inahitaji uwe jasiri.
@allihabibu3509
4 жыл бұрын
Sura yake tu inaonyesha ana roho ngumu
@haimahaima9135
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@luluamri370
4 жыл бұрын
Kwani anachochea kama jiko la kuni
@samson_physioclinic
4 жыл бұрын
Alli Habibu jamaa ni mshkaji sana ana roho nzuri huwez amini ni mshkaji wang anajiita jeshi
@patrickjohn9495
4 жыл бұрын
Huyu jamaa yupo pic sana anakula bata hakuna mfano unajua kwa nn anajiita marekani sababu anavaa American but
@eliabumakunzo8856
4 жыл бұрын
Dah! Namfahamu huyu jamaa.😂
@patrickjohn9495
4 жыл бұрын
Me mwenyewe ni mshikaji wangu sana anasifa sana
@bukheribukheri798
4 жыл бұрын
Ana sifa kivipi?
@user-sq7pz9ex5g
2 жыл бұрын
@@patrickjohn9495 halafu mmakonde huyuu 😆😆
@kalumunaanthony4203
4 жыл бұрын
Big up brother
@sammy-b6281
Жыл бұрын
Uyu mzee Wachaina wakikutana naye wanatimka😅😅
@josephkiwale374
5 ай бұрын
😂😂😂
@njonjolomahfudh3238
4 жыл бұрын
Muamerika uyu😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatmaismail6393
4 жыл бұрын
Hatari jmn🙁
@subiraomar4771
4 жыл бұрын
Subhanallah ndio leo naskia
@mgangashabanu8878
Жыл бұрын
Ila mmarekani mbabaifu sana hahahaaha nimekumiss
@ukhutysalmaah1463
4 жыл бұрын
No Comment 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆maisha haya yani hakuna kuchagua kazi
@tktvtz
4 жыл бұрын
😂
@tktvtz
4 жыл бұрын
Sub our channel pls
@jumaakalama1276
4 жыл бұрын
Nakuomba unifundishe broo mm kuna watu nataka niwachome wazima wanapuwa Shenz zao
@TeamKRX
4 жыл бұрын
Ebu jianze mwenyeo ata mkono au kidole kabla hujawanza wao nyooo mrudie mungu wee hasira hasara
@saadakiyungi6437
4 жыл бұрын
😂
@fanuelmwalikaka9224
4 жыл бұрын
😂😂😂
@seifaysha2962
4 жыл бұрын
Jichome kwanza ww mkono
@rukiashoko7528
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@dainagano3656
4 жыл бұрын
Kwani mkisikia makabila wanachoma maiti ,nyie mnahc wanawapeleka kwenye machine? Maana mnavoshangaa
@johfighter170
4 жыл бұрын
Daaah yaan huyu jamaa na hao wenzie akina Gaju ni noma sana mpk mzee baba Milard anahc kuchomwa chomwa tu!! 😂😂
Watu wanasikia tuf tuf tuf wanadhani mchina anachomwa kumbe mm kudadadeki
@tktvtz
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@babanaibabanai8193
4 жыл бұрын
Aliesikia mmalekani anatumia na ufuta kuongeza spidi ya moto alafu analusha ili na yeye asiungue tujuane hapa kumbe nalo linaogopa bhana daah moto mchezo
@ismailmbogo3408
4 жыл бұрын
LAILAHA ILALLAH
@opiyoomollo5333
4 жыл бұрын
Njaaa noma sanaaaa iyo kweli
@mdeeboy846
4 жыл бұрын
Aithee,jamaa anatabathamu vithuri tu hata hana wathi wathi😂🤣😂
@wj1421
4 жыл бұрын
Khahahaa
@wj1421
4 жыл бұрын
Thatha atafanyaje
@malcomg1004
4 жыл бұрын
Unaona raha kuchoma eee?,we ngoja tu.
@tktvtz
4 жыл бұрын
😂😂😂
@idgafbmw295
4 жыл бұрын
angoje nini mbona nyie mnafanya unzinzi amogopi
@salimalhajri6399
4 жыл бұрын
Nayeye atachomwa muache aropoke fal ww
@jeniphachristian2131
3 жыл бұрын
mnamtixhia na huna kitu! mwenzio anatafta hela kwan anachoma mzima, x anachoma mait na ndo mazixh yao
@ruqiyaruq5142
4 жыл бұрын
Piga kazi baba bola upate lidhiki yako kuliko kuiba
@gggjjahhhh9419
4 жыл бұрын
Kwahyo hapati dhambi au?
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Madhimbi yote anatwishwa yy za wale anowachoma
@gggjjahhhh9419
4 жыл бұрын
@@khadijakhadija6212 Subhanallah
@damianlugendo9161
4 жыл бұрын
@@khadijakhadija6212 hamna kitu kama hiko!
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@damianlugendo9161 hamna kitu km hiko nini
@djsandi4419
4 жыл бұрын
Kazi kazi babu ukipata mwingine wa kuchoma niite tushirikiane napenda sana hiyo kazi
@mwajabually2407
2 жыл бұрын
😄😄😄
@reginalucosi7286
4 жыл бұрын
Minapenda sana kazi ya kuosha maiti mwenzenu atasijui kwa nini ila nikipata ospt yoyote ntajifundisha zaidi
Sishangai sana..nilivokuwa mdogo kule kwetu upareni kulikuwa na mmakonde mkata mkonge alikuwa anasifika kwa kula watu, na tuliammini hivyo...so its more likely huyu bwana akawa na hiyo roho...
@tktvtz
4 жыл бұрын
Kbsa
@tinkiboniface3342
4 жыл бұрын
Duh wa Kwanza like zangu
@jumasaid9873
4 жыл бұрын
Alaf Imajini ndio unatoka kimapenz na mke wa huyu jamaa
@deviskitali9801
4 жыл бұрын
Juma Said 😀😀😀😀
@bernardminja5089
4 жыл бұрын
Huyo wa songea kampuni ya chico alikuwa boss wangu Mr zhung shigun,nilikuwa nae mradi wa kahama
@leahally4618
3 жыл бұрын
😂😂😂😂nacheka km mazur anavosema nimechoma Yan km kuku dah
@miriyamasanja6766
4 жыл бұрын
Yani hiyo kazi ya kuchoma Moto watu mpk imekubadilisha rangi umekua kijivu
@tktvtz
4 жыл бұрын
HAHAAAAAAAA
@happymushi1682
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@kgsicimatatizo1261
4 жыл бұрын
Mbona Yule hamisi alimchoma mkewe kwa gunia mbili tu za mkaa🤔🤔
Пікірлер: 1 М.