Benjamin Fernandes ni Mtanzania ambaye kila mmoja anaefahamu historia yake anafurahia jinsi alivyofanikiwa hivi karibuni mpaka akafanikiwa kupata kazi kwenye kampuni ya tajiri wa dunia Bill Gates.
Kwenye hii video Benjamin anatupa sehemu ya historia yake na jinsi alivyokua anafeli Darasani lakini pia anaelezea jinsi alivyofika Marekani na alichokutana nacho.
Негізгі бет Mtanzania Benjamin alivyonyoa Nywele Marekani alafu mfukoni pesa haitoshi
Пікірлер: 43