Hizi ndio habari zenye tija. Hongera sana mkulima, kazi nzuri hiyo. 👏👏👏👏
@menalikechildren8836
2 жыл бұрын
Uwe mkiristo, uwe muislamu, ukimuweka Mungu mbele ktk mambo yako ww ni rafiki yang mkubwa, mzee anamtaja Mungu mara kwa mara nimependa sana
@EvalineT60
Жыл бұрын
Kabisaaaa
@karimjuma4019
2 жыл бұрын
Crown moja ndio thaman yake .mzee Yuko vizuri Kwa kweli kajipanga
@josephkahemele4648
2 жыл бұрын
Hongera sana kwa mzee. Ila usafi wa wanyama si mzuri kwa kusema ukweli
@Mbingu77
2 жыл бұрын
Boazi besti yangu .. da jamaa wa urio wana roho nzuri sana jmni Mungu awabariki
@mrwideputin2038
2 жыл бұрын
Watanzania wanahitaji ripoti kama hizi. Sio udaku za wasanii wasiofaa
@thumnathumna5946
2 жыл бұрын
Hongera sana. Mungu ailinde mifugo yetu.
@marykaaya6314
2 жыл бұрын
Hongera sana Ayubu. Kazi nzuri ila jitahidi kuwafanyia hao ng'ombe usafi.
@fatmaabasi5262
2 жыл бұрын
Mashalla mashalla..hongera mzeewangu.
@fudasiakishe15
2 жыл бұрын
Hili ni shamba darasa kuliko chuo chochote kweli. Nakuombea kwa aliyekujalia huo ufahamu akupe ulinzi wa ziada. Naomba mawasiliano yako , nadhani wengi umetufurahisha, wenye husda wapigwe upofu na utelezi. Mungu baba akulinde.
@boscoafikile4737
2 жыл бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri
@missmoona4497
2 жыл бұрын
Bismillah maashallah haya maisha ya ndoto zangu nimependa mno mno, namba za cm pls nazipataje?
@mwanaidshaban373
2 жыл бұрын
Habar hongera sana baba na mm nataka ndama mdogo ninunue kwa Bei ya ndogo nipo Tanga
@georgiaruhinda1704
2 жыл бұрын
Waoo nimefurahi sana na ufugaji wako kwani inamaanisha,asante kuipenda kazi yangu,hizi ndo habari zinatakiwa,hongera sana.
@frankmasamaki9640
2 жыл бұрын
Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥 ________________ Karibuni
@ayshamadege7981
2 жыл бұрын
Hawa ndio wafugaji MashAllah
@mathiasmwingira6951
2 жыл бұрын
Safi sana mzee, na umepata mrithi wako mwenye kupenda kazi uliyoianzisha
@happynesbaemuhappynes8813
2 жыл бұрын
MashAllah. Mungu ni mwema siku zote
@elidangoti752
2 жыл бұрын
Interview nzuri sana, daaaaaaah Ila fupi
@eligiusvitalis3504
2 жыл бұрын
Nimeikubali hii Interview, kitu kizuri huyu Mzee anaelewana Vizur na Kijana wake wapo makini na miradi yao.
@mdta8161
2 жыл бұрын
Mashallah kazi nzuri
@majidimussa8678
2 жыл бұрын
Mashaallah 🙏
@richardsaidi2448
2 жыл бұрын
Hongeraa mzeee
@mcback4384
2 жыл бұрын
Hongereni sana,
@TheSalma1999
2 жыл бұрын
Wow amazing
@ziadaomeri6058
2 жыл бұрын
Maashaallah
@godfreybuluba7962
7 ай бұрын
Hongera sana ndama unauza sh ngap
@marryg4235
2 жыл бұрын
Hongera mzee.
@misschagga8042
2 жыл бұрын
Video nzuri manweka dakimoja za kipuuzi mnaweka masaa mawili hebu badilikeni basii hivi vitu vaya kilimo na ufugaji vina tupa hamasa ya kuvifamya halafu mnaweka video fupi sio poa😭😭😭
@barakamushi4530
2 жыл бұрын
Mzee uko vizuri ongeraa Mzee wangu
@subiraomari5908
2 жыл бұрын
Mashalla
@anateisaya361
2 жыл бұрын
Mzee urio nakubal sana
@stephanlayzer7196
2 жыл бұрын
Mungu akubarik nimependa xna mirad yako.
@ericklaura7511
2 жыл бұрын
Big up sana Dingide ✌✌
@nakundwamkubwe7823
2 жыл бұрын
Mashallah na hongera sana !
@seldamichael3047
2 жыл бұрын
Hongera sana mzee
@ronadtondi7936
Жыл бұрын
Unaonyesha mfano mzur mzee,,,big up
@danwutzddaniel7823
2 жыл бұрын
Sing'isi Meru 👏👏👏
@ednajeremiah928
2 жыл бұрын
Hongera sana baba naomba uniuzie ndama
@godlivingurassa5752
2 жыл бұрын
Mungu Akubariki mzee wangu
@marymary8313
Жыл бұрын
Congratulations mzee ,million 12, in kenya ni pesa ngapy please
@josephnjella4919
2 жыл бұрын
Hongera sana
@dani4rl216
2 жыл бұрын
Hongera xana
@edsonnelson4464
11 ай бұрын
Hayo ndiyo maisha siyo haya ya vijana wanatembea na soksi 2 mtaani
@demicratia4071
2 жыл бұрын
Msafiri is very right nenda kichwa kichwa ukafuge wa kwako miaka kumi kama hukuambulua kusadoline cha maziwa
@aminaalfan2731
2 жыл бұрын
Hongera
@demicratia4071
2 жыл бұрын
Jamani juweni wazungu walitupita mbali. BOOSTERS ZIKOOOO. KIKA KITU KIBAWEZEJANA KWA MAARIFAA NA CHEMICALS ANACHOKISEMA Msafiri is right
@user-mi5fp8re2r
8 ай бұрын
Ukovizuri👏👏👏👏
@unjubinunuki7174
2 жыл бұрын
good job mzee
@African511
2 жыл бұрын
Safi sana ayoub
@azizmussa6019
2 жыл бұрын
Sawa
@habibmbarouk9528
Жыл бұрын
Nimeangalia comments zote Ila naombeni muingie kwenye huu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa alaf ndio mtajionea ukweli ... Nikiwaambia huyu mzee ni muongo hamtoweza kuaminisha ... Hakuna ng'ombe wa zaidi ya Lita 20 hakuna ng'ombe wa hata Lita 35 hapo hakuna ... Kama hujui utaona ni kweli Ila hapo huyo mzee ni muongo tu
@pascalntandu1217
2 жыл бұрын
Oi mzee baba tupatie namba za huyo mzee.
@ombeninasari6441
2 жыл бұрын
Ongera mzee urio
@ilundafarm2798
2 жыл бұрын
One day yes
@godfreypeter8383
2 жыл бұрын
Simnipe namba ya huyu mzee jaman ninunue hapo mmoja
@leahsamson9354
2 жыл бұрын
💪
@dianamwanua9564
2 жыл бұрын
Hongeraa Sana daddy
@platnumzkawiche1861
2 жыл бұрын
is he your dady
@jacksonngusi4122
2 жыл бұрын
Inapendeza Tanzania kuwekeza katika ufugaji na kilimo Ukraine haina matatizo na sisi
@alextercisio
6 ай бұрын
Hakuna ngombe anatoa maziwa 60ltrs in the world ata kule ulaya hakuna ngombe anayetoa maziwa mengi ni 25-30ltrs ...
@jameskemboi3905
2 жыл бұрын
Good job but observe hygiene bro. Cows and cow shed must be very clean.
@obadiahnkwale124
2 жыл бұрын
Mr kuku,naomba contact tafadhar
@piusassenga9070
2 жыл бұрын
Naomba no ya cm ya huyu mzee....
@stellapetro2617
Жыл бұрын
Hatari
@user-wn3zb5xv6v
Ай бұрын
Jamani ninshida na namba ya huyu mfugaji
@demicratia4071
2 жыл бұрын
THE WORLD OF KNOWLEDGE KNOWHOW...
@mkambaselemani-ej7np
5 ай бұрын
Tunaomba namba yako ya cmu baba!
@wairimokilemba2964
2 жыл бұрын
Naomba namba za simu
@ramadhanimrungu5806
2 жыл бұрын
Safi sana
@kadijahajali3918
2 жыл бұрын
Milon. Moja sinunuwi pesa nyingi hizo unajenga nyumba
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Mzee WETU.
@angelaonesmo
5 ай бұрын
Mim nauza ngo,mbe kama uyo
@edsonoisso4271
2 жыл бұрын
Masasiliano contact!
@sigifridaloyce7116
2 жыл бұрын
aah
@kadijahajali3918
2 жыл бұрын
Bass haya
@KONAMIPESMOBILE-jm7se
2 жыл бұрын
So amazing
@mariagimase1486
2 жыл бұрын
I know these people, I just live near them. They do a great job and inspire alot ... Keep it up jaman
@panicumtz2002
2 жыл бұрын
Kabla ya kujaji jifunze hizo breed zipo zinatoa maziwa ya kutosha,mm ni dactar wa wanyama nataka nikwambie kuwa kuna had wanaotoa had lita 70,,hao wanaitwa pure breeds hasa breed ya Friesian hao wanaotoka Islael na Denmark
@RM-fs8ub
2 жыл бұрын
I take my hats off to these people who put food on our tables...we have become accustomed to food getting to us in boxes and packages. Hope schools will take students to see these farms.
@jonasbuhabi2172
2 жыл бұрын
Naomba namba zake
@samwellukumay7978
2 жыл бұрын
Naomba namba xako tafadhali
@danielsifael7493
2 жыл бұрын
Contacts/address za kumfikia mzee tunaomba muweke
@japhetisraelsmafie997
Жыл бұрын
Sasa hapa nimelelwa Sana habari za mafanikio
@saidhassan7779
2 жыл бұрын
Jamani Wapemba ni wazuri sana ,mashaallah
@zuhurazuh516
2 жыл бұрын
Kwann?? Ila MaashaAllah
@ndohoriomsacky445
2 жыл бұрын
Huyu siyo mpemba huyu ninmchaga anaitwa orio
@mcdonaldkaaya8555
2 жыл бұрын
Huyo ni Mmeruu sio mchaga wala mpemba
@jemsminja1788
2 жыл бұрын
Namba za cm
@nadrahassan5241
2 жыл бұрын
M nataka mbwa😉
@shalomsichone6728
Жыл бұрын
Nataka hiyo mbegu ya ng'ombe napataje
@charlesatanaschishsyela2563
2 жыл бұрын
Je hizi kuku ntazipataje?
@samkilawe7620
Жыл бұрын
Tusaidie namba za uyo mkulima
@ludovickmuro6750
11 ай бұрын
10M kama yupo tayali
@johnrimoy1613
2 жыл бұрын
Safi sana, 👍👍👍
@suleimankhamis8298
2 жыл бұрын
anajituma hayakushuka tu kama mvua hayo
@huthhuthlih5858
2 жыл бұрын
Bwana nguvu
@prezzomwangi3174
2 жыл бұрын
Germany shepherd ni pesa ngapi
@piusassenga9070
2 жыл бұрын
Habari nauliza na ndama jike anauza sh, ngapi.....? Km jike kubwa anauza million 12, na mtoto jike ambae ameacha kunyonya.....?
@jacksongidion5170
2 жыл бұрын
7
@joycemushi5102
2 жыл бұрын
PAMBANA SHEMEJI YANGU
@dutchsafari7562
2 жыл бұрын
Nilivyomuona huyu ng'ombe nikamkumbuka ng'ombe wa mayele😂😂😂
@roseswayrosesway3970
2 жыл бұрын
khaa
@josephchacha4007
2 жыл бұрын
Hahaha
@joycemushi5102
2 жыл бұрын
Ni wakwetu...ni fahari yetu
@richardmosses6776
2 жыл бұрын
Nitafutie namm mzuri baba
@samkilawe7620
Жыл бұрын
Namba za uyo mkulima
@demicratia4071
2 жыл бұрын
Cha maana hapa omba ufundishwe utaalamu na lishe na dawa za booster sio magadi otherwise u will definately walk naked if not mental ...hata ukilima mahindi yatadumaaa bila mbolea ya kisasa
@kingmtz5740
2 жыл бұрын
watu wanasema video fupi,kaangalieni royal tour si inatangaza nchi nahisi vitu kama hivi vitakuemo.
Пікірлер: 168