Byda way mama ngwengwe na chado mumependezana kuwa mume na mke 😂😂😂😂😂hii movie ya 2 kuangalia kuona muko pamoja😂😂😂❤❤❤❤❤
@AbdilahOthuman
19 күн бұрын
Pia imenitoa machozi umu.ila kidemu jau mbn Ayupo?
@josphatwambia3950
2 ай бұрын
Mzee mzima Chado na timu yako nawakubali sana. Pokeeni pongezi zangu kutoka huku Kenya
@msafirifuraha-ew7jr
21 күн бұрын
Hongereni sana mmepafomu vzr kbs nawatakia ubunifu mpya mwingine all the team
@user-vg1sc6zb2b
13 күн бұрын
Hongera sana chado 🎉kwa kazi nzuri inafundisha.
@deuspatrick493
23 күн бұрын
broo nakubali sana kazi zako
@user-ug4oq9mi7e
12 күн бұрын
Chado Honger San mov Mzri.. inafundisha sana mung Azid kukupa ufahamu mungi zaid
@AbdilahOthuman
19 күн бұрын
Kiukweli move hii ni nzuri sana na inasikitisha sana...pia ongeara kaka kwa stori nzuri sana akika unaweza broo. ❤❤❤
@kaka-of2oq
2 ай бұрын
Hongereni sana Hii picha imepangika uzuri na imeisha vizr lait kama faraja isingalirudia katika familia ya riz na kaka yake ingalikua mme harib pcha mzima
@GERMAINSungura
28 күн бұрын
Mr chado hii film umekatikiza njiani hilikua baomba bado mwendelezo tafadhali ,but hongera kwa kanzi nzuli
@BelyHero
Ай бұрын
Ila huu chado kiboko anajuwa San nawez nikampa tuzo la waigizaji bola apa TZ🎉❤
@agnesmwema6396
21 күн бұрын
Kazi nzuri kaka Chado unaweza sana movie nzuri inafubza na kuhunisha pia imeniliza japo imenifunaa kitu
@jonsondickson9033
26 күн бұрын
Dada kawa mke mwenza...yan n mke wa chado hataki wengne na dharau juu kwa juu
Jmn ukishalala na mtu ni hatar.....dada anamuogopa kakake saiv
@MustadiKopwe
Ай бұрын
❤😂🎉❤❤❤❤ natamani Sana kujiunga na Tim yako mkali
@HAWAIDDY-q8f
27 күн бұрын
Chado master 🎉🎉
@EvalineKelly
7 күн бұрын
Ghaiiii ooh may God 😢😢😢😢😢 mtego ati akujali venye unajali mkewako 😅😅😅😅😅 mwadhani ,,,,,we umeingia kwa mtego ,,,jii tia guvu
@aminiahmad-i9q
Ай бұрын
picha safi ila hiyo pati ya kulala na dada sikuipenda ju haina mafunzo mazuri kwa jamii hata iweje ziko njia nyingi za kihikma mungezitumia ingekua bora
@jonsondickson9033
26 күн бұрын
Unyama ni mwing ❤❤
@BonBoni-u1h
21 күн бұрын
Nomaaa 🔥
@StarG4708
Ай бұрын
kazi safi sana ningependa kufnya kazi na nyinyi
@HusneyTweve-p2d
29 күн бұрын
Nakupenda ww chadoo
@fredOnyambu
2 ай бұрын
Hi guys Leo mie ndo wakwaxa kulake ee nice job keep up nawapenda sana
@davidmusongolumedavmus2278
2 ай бұрын
Chado acha niwapongeze tu Safi sana
@AfonsoBaptista-h6f
Ай бұрын
Chado nakukubali sana
@RaziahMalala
25 күн бұрын
Nkweli Ana wivu
@AfonsoBaptista-h6f
Ай бұрын
Caso Masta miba kabisa
@RaziahMalala
25 күн бұрын
Ana wivu xna
@yetu10
2 ай бұрын
Chado the Master naona unajituma Kweli Kweli ❤🎉
@user-tu8hw1hw4e
Ай бұрын
Chado masta nataka kuweka kama ushauri we ni mwamba sanaa unaigiza kama kanumba upo silias kama gabo sasa zingatia humo humo usije ukawa kama kina Rey kigosi
@ANOLASNIKAS
Ай бұрын
Chado unantisha sana
@omarathuman8117
20 күн бұрын
#Robiniii💪
@angelraphael4500
3 күн бұрын
Tatzo chado hua hajibu sms😢😢sijui kwasababu sisi masikini,,,,😢ila movi nzuri sana 🎉🎉🎉❤
@james-e9u7d
25 күн бұрын
oyoooooooh chado kaponaaaa❤❤❤❤🎉
@arimtekerdivalwamadush7517
2 ай бұрын
Gozi fanya mambo hapana lalisha😂😂😂 mshow uko kutu deadly....upwiru😂😂😂😂
@muddyhamza9606
Ай бұрын
Hongereni sanaaa Team yote kwa kazi nzuri
@DorryDorry-z4r
7 күн бұрын
Ni vizuri Sana kujituma
@EvalineKelly
7 күн бұрын
Chado we ni kugeugeu 😅😅😅😅😅 si umetuma mkeo aende aongeleshe huyo kijana
@MaryamIdris-q6w
2 ай бұрын
mko sawa wazee wangu
@joelimujaro2542
Ай бұрын
nime miss sana Sanaa hii.❤️❤️❤️❤️Leo nipeni likes jamani
@KambaleMbangale
2 ай бұрын
hongera sana
@RehemaBakari-u7x
2 ай бұрын
Safi sana chado unatisha
@FATMARAHMA12
Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RodgersOmondi-g8u
Ай бұрын
Swadakta kabisa napenda kazi za chado master Toka Kenya
@MustadiKopwe
Ай бұрын
Here master chado natamani Sana kujiunga na timu yako fanya mpango bc
@KatayaVincent
Ай бұрын
Big up chado nipo congo RDC nakupenda sana
@user-qb4qp7xj7d
Ай бұрын
Yan hichi kitu Cha lizy Na chado nikam mim na kaka yangu yn sjui hat niwaelezeje lkn 😭🥺😢
@NemaAli-zh6hr
Ай бұрын
Teeeena
@LutfiaRashid
Ай бұрын
KO umelala na Kaka ako right?
@gibran254
Күн бұрын
Epuka laana hio kutoka mwenyezi mungu,, tubu hio dhambi naamini mungu atakusamehe
@aminiahmad-i9q
Ай бұрын
haki nimempenda huyo dada alie act pati ya ujauzito kama hajaolewa mimi niko tayari aiiii nimzzzuri sana
@EZEKIELMWAMSIGWA
Ай бұрын
Umalaya tuu
@josephelemash
2 ай бұрын
Chado unatisha. Ila tunasubiri mzingo mpya
@kasibalisaid7036
Ай бұрын
gozi na timu yako kazi nzuri sana
@rakaaklaus895
Ай бұрын
Movie iko shwari bt tatizo ni maneno ya kingereza kama haina uhakika sema tu kiswahili mfano huyo actor wa part ya mume wa mchepuko alifaa aseme ku confirm c ku confiium bt congrats movie imeweza 🙏🙏🇰🇪
@aminiahmad-i9q
Ай бұрын
movie mzzuri sana ila watu wajifunze kua wazi na mapema kabla haijaleta madhara
Ila kosa nilako we chado kwanini ulijua kama nidawatu ili upone kisha ukazama moja kwa moja. Na ukakojoa kabisaa haya sasa hayo ndio mazara uzini wako umekuponza😅
@arimtekerdivalwamadush7517
2 ай бұрын
Gozi fanya mambo hapana lalisha😂😂😂
@NasriRamadhani-po1lz
Ай бұрын
Ndio shida ya waganga mashrti Yao magumu magumu😂ili2 M2 ashindwe
@joseambrosio1503
2 ай бұрын
Kaz kamilifu kabissa🎉🎉🎉
@KitwanaRamadhani
Ай бұрын
Chando the master nkbl mkali
@NasriRamadhani-po1lz
Ай бұрын
Hanifa et kama mke mwenzie mwenzako huyo
@LovelyChocolateBonbons-ok2ww
2 ай бұрын
Kali sana
@JudithAdhiambo-yd6qb
Ай бұрын
😂😢😂❤
@NasriRamadhani-po1lz
Ай бұрын
Dada Ake chado kashashikwa na wivu
@GivenSundaylissen
2 ай бұрын
Lizzy umetosha mama hatimaye ndoto zako zmetimia
@user-ug4oq9mi7e
12 күн бұрын
Kikwl Mnapendezan San Chad n mam ngwengwe kuwa mke n mume
@AlfayoWafula
Ай бұрын
Lesson learned good job
@VivianNekesa-gp2dw
2 ай бұрын
Kazi safi
@Promoterstanley1
Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@AbdulRahman-q2x2h
Ай бұрын
Safi sana
@user-bs8le3di7v
5 күн бұрын
Brother Dokter amekuponyesha lkn umeuponza kwenye ndoa yako😢😢
Пікірлер: 106