Acheni hizo alama ya mshangao, fukueni kaburi na DNA ifanywe sio eti hamja amini mpaka mtangazaji eti ameogopa 🙆. Mimi nina hakina huyo ni Jebali mwenyewe mpokee kwa njia nzuri sana, maswali mingi muachia Mungu.
@abdallahselemani801
4 жыл бұрын
Iyohabari siokweli
@lauraijossy7862
4 жыл бұрын
Mganga ni mwanadamu, mwafwata nni hukooo, tangu lini shetani akatoa shetani mweziwe? Wakristo Yesu ni dawa tosha, pia Waislam maombi/Sala ni tiba tosha, wachawi hawana nguvu, mtumainie Mungu ndie mweza yote
@amishawatif8222
4 жыл бұрын
Umeongea ya maana sis
@auntiemylee3157
4 жыл бұрын
Amiin
@catherinemsaki2417
4 жыл бұрын
Duuu
@orestakapuna3467
4 жыл бұрын
Acheni.mirayakwawaganga.munguyupo.
@SennyFleva_1
3 жыл бұрын
amin
@nsabimanaseremani1899
3 жыл бұрын
Ikiwa niJafari awe Jafari daima ,na ikiwa ni kingine ambacho kinafanywa kwa namna ingine ,kitoke kisipate kudumu ktk nyumbani huko ,kbsa laakini ikiwa niJafari amerudi kwa uwezo wamwenyezimungu ,mungu amuhifadhi ,amurokowe kama anavomufufunuwa ktk kaburi ,au ikiwa walijidanganya wakamzika sio yeye basi mungu amemurejesha kwa uwezo wake.Hayaaka Allah yaa Jaafari
@DrMangiMfunga
2 жыл бұрын
Tafadhalini sana wazazi wa mtoto Jaafar msijichanganye haki na batwili,mtegeemeni Allah peke yake na inshallah mtoto Jaafar atapoa hayo matatizo, na mambo ya waganga- wachawi,hawana lolóte zaidi ya kubahatisha,huyo babu ghafla anataka sh 50000/- kwa msaada gani ilihali mtoto Bado anahangaishwa na hawo wanga!? watakusumbueni sana hao wachawi lakini mkifanya Ruqya na pia kufanya adhkaari za asubuhi na jioni inshallah hayo madhila yatamwondoka huyo mtoto kipenzi Chetu Jaafar.الهم امين
@florenceshikuku7610
4 жыл бұрын
Pelekeni mtoto kanisani, kanisa la kiroho lenye nguvu ya Kristo. Kwani Yesu ndiye mganga wa waganga, atamponya mtoto na kumkomboa tokana na nguvu za mapepo. Kupitia maombi na kwa Imani yenu kwa Kristo Yesu na wala si mohammed wala majini. Naomba Mungu aliye hai awafunguwe macho ya rohoni mkamjuwe kristo, yeye ndiye ngome imara wenye haki wamkimbilia wakawa salama.
@katiewilliams4212
4 жыл бұрын
AMEN
@fauzatisospita5053
4 жыл бұрын
Mohammed wengine mnabwabwaja tu maana hamumjui ongeeni mengine
@valerieobanya5172
2 жыл бұрын
@Florence Shikuku, amen!!
@peninahruth2870
4 жыл бұрын
Wakriso tumuombeeni huyu kijana nawenye wako nahuu mpango wakumuangamiza mipngo yao isifanikishwe....wlcm to christianity muachane nauganga
@fatmakhanii1676
4 жыл бұрын
Subhana Allah enyi washirikina muogopeni Allah nasiku ya mwisho dunia nimapito haya mambo yapo kiukweli mtihani hawa watu wabaya wapo na Allah atawahukumu
@aminafesali5817
4 жыл бұрын
Insha allah yaraby
@meisme7540
4 жыл бұрын
INSHAALLAH
@ansilaphilipo5105
4 жыл бұрын
ee mungu niepushie hili kwenye family yangu, maana kusikia Kwa mwenzangu NI rahisi lakini siwez kuyabeba.😭😭😭
@pendogunda4628
4 жыл бұрын
Hhh
@masuaselemani6854
4 жыл бұрын
mh
@munjalwinking
3 жыл бұрын
Huyo ni msukule mpelekeni kwa kanisa yoyote ya UFUFUO NA UZIMA kwa Bishop Gwajima... Ndiyo mtajuwa kwa Yesu Kristo ni Mungu wa miungu.. Wachaneni ni waganga.. Waganga wanamtumikia shetani. Yesu anawapenda na anaweza yote... Last bus stop ni UFUFUO NA UZIMA kwa BISHOP MUHESHIMIWA GWAJIMA.
@zakyahya4645
4 жыл бұрын
Kabla sijampa pole uyu dada nawapa pole wanao bisha kuhusu ushirikina... Haya mambo yapo kabisa kama hayaja kukuta utabisha adi ujambe lakini kama ulishawai kukutwa uwezi bishia haya mambo
@ezrajuma8970
4 жыл бұрын
Hao wanaobisha wanapromote dini, na ukwelii wanaujua wanaobisha kipumbavu 2 Tz hii nani hajui kwamba kuna uchawi?
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Uchawi upo kabisaaa wanaokataa hayajawakuta hawanawahi kuona vimbwanga huku duniani huyo japhary alichukuliwa msukule Yale maombi yaliyofanywa uck kuna Aina ya maombi yaliyofanywa Kule wanamshiñdwa
@lorraineatieno6544
4 жыл бұрын
Majirani zetu watanzania...langu ni hili...tuweke tumaini na tegemeo letu kwa mwenyezi Mungu. Namambo tatakuwa sawa
@bonnymwaitambila8914
2 жыл бұрын
Inasikitixha sana
@shifahokinda
Жыл бұрын
Mpelekeni kanisani acheni mambo mengi God knows
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Kaeni naye karibu asiwatoroke, mwombeni Mungu azidi kumlinda
@annaackim6773
4 жыл бұрын
Lilian Luhasi
@neemamzande8547
Жыл бұрын
Ss mm niulize kwan muislamu akifa anaekewa msahada myiiiiii makubwa hayo pole ddngu Allha atuepushie atulindie vizazi vyetu inshaaaallha 🙏
@captendunga1392
4 жыл бұрын
Uchawi upo bwana wee hata hao wanaosema haupo waongo tuu kikubwa tumuombe mungu na omba yasikukute yasikie tuu kwenye mitandao.
@estasage5506
4 жыл бұрын
@Neema Myango Shida wote ni wapagani jina lake yesu kristo hawajuwi. Oh lord, they need to take him to the church
@just_this_way
4 жыл бұрын
@@estasage5506 Ili akazidishiwe uchawi. Hv sasa kuna ambae hajui uchawi uliopo kanisani? Kujidai wanatibu wagonjwa kumbe waigizaji tu. You won't find pastors in hospitals treating people b'se there are real sick people, all in churches are actors.
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
Kweli omba yasikukukte kabisa
@Kijana-wa-Tanzania
3 жыл бұрын
@@just_this_way Very true! Usanii umezidi sasa.
@samuelpaluku7246
3 жыл бұрын
@@just_this_way kzitem.info/news/bejne/sLB91peVrXyYiaQ Ingawa una fursa ya kufanya chochote unachotaka, ila hiyo haimaanishi ufanye chochote kile. Ingawa unaweza kuwa na uwezo wa kufanya biashara yoyote unayotaka, hiyo haimaanishi ufanye yoyote inayokuja. Ingawa unaweza kuwa rafiki na yoyote unayetaka, hiyo haimaanishi uambatane na yoyote yule. Mafanikio katika maisha yamejengwa katika uwezo wako wa kuchagua UFANYE nini na kwa WAKATI gani. Story By Saidi_Tambwe Director By Tambwe_Remy As_Director By Ndayishimiye_Lucien Camera By Pops Editor By Pops Producer Tambwe_the_Great_Films Location By Harinoti_Bienfait Executive_Producer Tambwe_Remy For_more_contact: Tambwe Remy : +25768851491 Gmail : tambweremy4@gmail.com Bujumbura_Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@silasomondi5065
3 жыл бұрын
I appreciated your work
@WaridawaridaWarida
4 жыл бұрын
Mpeleke mwanao kwa wacha Mungu aombewe hilo pepo litamsumbua kila mala pole sana kwa mtihani
@estasage5506
4 жыл бұрын
Oh lord! Family yote wapagani. Nenda naye kanisani yesu kristo wa Nazarethi anaponya.
@fistonkazimili4890
3 жыл бұрын
Merci bcp pour votre musique.
@suma643
4 жыл бұрын
Binaadamu kweli wanayaweza duuuh...Mungu akisema haiwezekani binaadamu hana lake daaah
@esthernasuku8203
4 жыл бұрын
Poleni Sana Mama Nitakusaidiya Kimawazo Ninaelewa Vizuri Unapenda sana mwanao Umpeleke Kanisani Akaombewe. Yesu mwenyewe Anaweza Akamufanya mwanao kuwa muzima
@AMI-ip1lx
3 жыл бұрын
Duuuuuh Jafari Bado Unamaisha marefu Kaka Yangu 😭😭😭Allah Akupe Maisha Marefu Kwakweli
@winfridathomas1717
4 жыл бұрын
Jmn wachawi wapo na maneno ya mungu yanasema usimuache mchawi haishi azabu yake kifo
@winfridagama2042
4 жыл бұрын
Wachawi wabaya jamani, watafute dawa ya Corona kama wao wana nguvu za ajabu.
@morokichuna3527
3 жыл бұрын
Jamani jamani mungu nisaidie namm mwanangu aludi nampenda NASRY wng jamani pia kanitoka kwenye mazingira yakutatanisha afu aliefanya ivyo namjua nayupo hai kabisa yy anaishi atakavyo daah mungu muweke mahara pema baba angu NASRY ISSA KINANA INSHAALLAH
@hfafjjhdfgh1545
3 жыл бұрын
@@morokichuna3527 Aamiin
@graceadhiambo1614
4 жыл бұрын
Imani mtoe kwa wanganga yesu ndio kimbilio peke yake
@salometumainiely9455
3 жыл бұрын
Mama unatakiwa ufunge na kuomba fanya Toba kwaajili yako na mtoto wako nafamilianzima kwaujumla uvunje nguvu za giza Mungu ndio kimbilio lakila mtu na Kila amwombae kwa dhati hamuachi aangamie
@nsabimanaseremani1899
3 жыл бұрын
Assalamu alaykumu warahmatullah wabarakaatuh Huyo mtoto mungu anampenda ,kama mtangazaaji anasema inaonekana kama kinimacho laakini mungu alikuwapo yupo na atakuwapo ,yeye muweza wavyote ,hata ikiwa kuna kjnachojificha humo naombea familia ya Jafali mwenyezimungu awape iimaani thaabiti kwa hilo kbs, kama mtoto alivoombewa dua wakati waliisha mzika waendelee kumuombea dua baada yakufufuka kwake , nduguzanguni ktk iimani tumtwi Allah sbuhaanahu wataalaa nayoyafanya ktk miujiza nimengi huwezi hata kuyahesabuuuu!!!
@mohammedkilembamohammedkil1289
4 жыл бұрын
Jamani mbona binadamu tumekuwa na rohombaya hivi unamnyima amani mwenzio unamuangaisha usiku na mchana Dahhh mwenyezimungu nijaalie mwisho ulio mwema insha Allah 🙏🙏🙏
@youngcarlos6343
4 жыл бұрын
Ya mungu mengi asio weza mwanadamu kwa mungu yana wezekana
@alexberenado6934
4 жыл бұрын
Mungu nimuweza wayote nikweli uchawi upon duniyani
@aminaseleman5147
2 жыл бұрын
Gwajima akisema Aya Mambo yapo ooonh muongo Aya mjionee Aya Mambo yapo jmn tumtegemee Mungu
@irenenandutu5029
2 жыл бұрын
Pole sana mama jafari na familia ,lakin naomba mupeleke kanisani,namutajua nin shida,kimbilieni Mwenyezi MUNGU sio waganga,muganga ni mwanadamu kama wewe,naalicho taka ni pesa tu,naomba MUNGU awafungue macho kama wazazi,uyo mutoto asaidike.
@ritahbanksug4263
4 жыл бұрын
Labda alikutana na jini ohh mungu amusaidie... Isha allah atakua poa🙏🙏🙏
@hemedabac2999
3 жыл бұрын
kazaneni kuomba👀👀👀
@andrew.gadimrinji1713
4 жыл бұрын
Chukueni vipimo vya DNA...acheni kuangalia sura..watu wanafanana..tena waliona maiti alipokuwa mortuary..inawezekana alikuwa mtoto waaefanana tu.
@kulfiisalim1329
4 жыл бұрын
Andrew. Gadi Mrinji mpaka kovo
@roselinemukhwana3670
4 жыл бұрын
Mtafuteni Yesu ni suluhisho la kudumu. waganga wa kienyeji ni wanadamu kama sisi. Ombeni kwa Jina la Yesu mtapata suluhisho bila malipo.
@zamratbavon8672
2 жыл бұрын
Kwel tumheshm Alla kwa kila jamb
@sharifazakayo6280
4 жыл бұрын
Mngemtumia yule ustadhi alosoma dua ile ck ya 40,,,Ile dua ilikuwa tosha kwa kumlilia Allah,,,,Hapo ni dua saana hakuna kingine
@abdallahiddi611
3 жыл бұрын
Oky
@dullysanto1672
3 жыл бұрын
kabisa kazi kubwa kaifanya ostadhi inatakiwa wamludie tena huyo shehe
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Acha usanifu wako, atembezwe kwanini? Angekuwa wako ungemtembeza? Jua dunia Ina mengi, mshukuruni Mungu kwa hilo
@geldapango4741
4 жыл бұрын
Ahajakukuta utatembeza upate uwakika unakua Kama umevulugwa
@msomiptrmsomipetr7476
2 жыл бұрын
Mantokeo ya ndunia maajabu ombeni mungu sana
@aminamtime143
4 жыл бұрын
Baba Jafari anajua kila kitu.Kwanini amuaminishe mkewe kama Jafari atarudi?UKWELI ANAO NA NDIO MUHUSIKA MKUU.
@rizikikalist6298
4 жыл бұрын
Umeona ee
@mathayonaata9903
4 жыл бұрын
Kwa hyo baba jafar anajua kla k2
@amishawatif8222
4 жыл бұрын
True
@barakagwakisa5207
4 жыл бұрын
Hata Mimi Nina shaka na Baba wa mtoto, huenda alitaka kumfanyia jambo lkn Mungu alikuwa karibu na mtoto.
@magrethmkira6250
3 жыл бұрын
Labda baada ya kuombewa Dua
@wkjshsxbbsbs6392
2 жыл бұрын
Wanadamu wamejiweka kwa mambo ya giza wanaangamiza dunia Mungu Kinga watu wako maana giza limetanda ulimwengu mzima Amani na uregesho kwa familia Mungu awaonekanie awalinde na kuwakinga na mabaya yote
@nanadenbygreconanadenby1111
4 жыл бұрын
Mpeleken mtt kweny maombi... Damu ya Yesu ni kiboko ya yote....
@ibrahimrukundo3064
4 жыл бұрын
🤔🤔🤔
@damaamasimba641
4 жыл бұрын
Mungu atusaidie jaman mpeleke kwenye maombi
@kokokotb9517
4 жыл бұрын
Allah amraisishie huyo mama anamtihani mzito, na huyo mtoto mungu amuokowe kuna kitu kinacho jificha hapo
@ahmedelalawi6143
4 жыл бұрын
Hakuna mtu mwenye damu ya yesu. Yesu hajasulubiwa
@swaumuathuman8524
4 жыл бұрын
Nana Denby Greco Nana Denby pole sasa
@ibrahimrukundo3064
4 жыл бұрын
hayo nikweli wachawi wanamjia mtu niwengi ALLAH amlinde huyo djafari nawooote waislam.
@suaddau2955
4 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@josephmalogo6348
4 жыл бұрын
Wamuombee
@qkventertainment5828
4 жыл бұрын
Alhamdullilah Mwenyezi Mungu amerejesha mtoto wenyu .Allah Akbar 🙏🙏🙏❣️❣️❣️
@dullysanto1672
3 жыл бұрын
nijambo lakushukuru allah hata ss waislam tunaiman kubwa sana
@hoseapkomoi1008
2 жыл бұрын
God bless your work Young leader of our father God
@barakagwakisa5207
4 жыл бұрын
Jamani 93.7 naombeni Baba mzazi wa Jafari ahojiwe, yeye ndo anajua ukweli wote. Itakuwa alimuchukua mtoto kimuujiza lkn Mungu kamuumbua.Hakika Mungu ni mkuu.
@jamalamon5846
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa anasumbua watu huyo baba yake
@niwaelymziray8646
4 жыл бұрын
Dunia ina mengi🙌🙌🙌...Mungu arudishe ufahamu wake haraka
@abdalahhasani5723
3 жыл бұрын
Tusingekuw tunakuf na kuzikwa kama wap wafufuaj
@abdalahhasani5723
3 жыл бұрын
Wew Naw unaamini kit kama ichi kama cy uchaw huuu
@harrietharriet5443
4 жыл бұрын
There is power in the blood of Jesus ... divine protection
@malengalukonga19
4 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@louishodens8233
4 жыл бұрын
Amen👍👍
@benedettakavesu7912
4 жыл бұрын
Jesus Christ my son died in a mysterious death no sickness seen by doctor and only 6am to 6am and died just like that maybe he is not dead half to now nobody believes he is has died my God if my son is alive bring him back I will Glorify your name lord
@alisalimnzagu4091
4 жыл бұрын
Yesu Hana nguvu kumshinda mungu mungu ndie mwenye nguvu zote kumshinda yesu acheni ukafiri wenu
@danielmalai4434
2 жыл бұрын
.TX-by
@RucyMakapa
12 күн бұрын
Hayo mambo yapo msishangae uchaw upo na yyte atakae panik ndio mchawi mwenyewe jambo la msing muombeni mungu uchaw upo mungu kataka kuwaumbua wachawi wakome kuwaweka watu misukule
@btsarmygirl8478
4 жыл бұрын
Baba jafari ni mchawi na mpaka hapo nawaambieni kua baba alikua anajua kinachoendelea,baba alikula watoto wa wenyewe sasa zamu yake ilifika mungu amsaidie huyo mtoto
@nishimwelilian462
4 жыл бұрын
Miujiza yadunia Katika jina layesu tukemea ushirikina mwahuu watatutoa roho navituko da
@erasmuslyimo1279
4 жыл бұрын
Aĺahh😢
@masudiami8340
4 жыл бұрын
Duuuuh Ina tisha
@samsonelinisa4003
3 жыл бұрын
Dada
@margarethsolomon9823
4 жыл бұрын
Mlichukua maiti ya MTU mwingine. Ombeni kibali polisi mkafukue kaburi muone kama hakuna maiti ili kujiridhisha acheni imani za waganga na kumsahau Mungu.
@tahirnephessalum3678
4 жыл бұрын
Bro hili swala kwa maelezo haya hili Jambo limekaa kishirikina zaid
@palomabaraka3991
4 жыл бұрын
Be the 1 hakika hii sio imani ni ushirikina kabisaaa
@ashaomary8969
4 жыл бұрын
Kama anasema baba mzazi kakagua mwili na ndio wakauchukua hapo hapo na kuusafisha y wachukue mwili wa mwingine Tena na mtoto kakaa mocharw siku nyingi. Lazma wahisi Kuna kitu
@carolakinasha2686
4 жыл бұрын
Polisi wafukue Kaburi na DNA ya maiti ifanyike ili kujuwa mtu halisi aliyezikwa kuliko kuamini moja kwa moja ushirikina. Inawezekana aliyezikwa bado anatafutwa na.ndugu zake. I
@barbiepixie92
4 жыл бұрын
Mtu akifariki kwa ajali huwa anavimba vimba kwa hiyo ni rahisi kukosea kutambua mwili ilishatokea stori kama hiyo morogoro
@sumaiyaomary9383
3 жыл бұрын
Dah inasikitisha sana mama pole sana kwa matatizo yaliokukuta muombe mungu sana akutie nguvu
@harrietharriet5443
4 жыл бұрын
Nimeshikilia roho nikiwatch hii daaah uoga na ni usiku mungu wee tunusuru na haya jamani...i cover my family with the blood of Jesus...satan has no power..
@sabatofabian6094
3 жыл бұрын
Pole sana dada yangu mungu atakusaidia mtt wako ataponatu chamsingi nikumuomba mungu tu
@tktv8617
4 жыл бұрын
Kwa maoni yangu mchezo umechezeka hapo hospitali alitakiwa mama mzazi ndio akague mwili na atoe go ahed.
@mohamedyasin2280
3 жыл бұрын
Yap hata Mimi naunga
@Siasia209
4 жыл бұрын
Tawakali kwa Allah nae atawafanyia wepesi mambo ya waganga niyakuyaacha mtoto amerudi kwa uwezo wa Allah
@fetychina3273
4 жыл бұрын
Kabisa sijui kwanini watu wanaamini waganga kuliko m/zimungu
@meisme7540
4 жыл бұрын
Mlitaka wafanyeje?
@meisme7540
4 жыл бұрын
Sikieni kwa jirani tu. Yasikukute. Unaweza kuwa chizi aisee
@ibrahimchediel4867
4 жыл бұрын
Mpeleke kwa mwanaume yesu kristo atamfungua
@just_this_way
4 жыл бұрын
@@ibrahimchediel4867 Yesu anakaa mtaa gani niende?
@marykageha4305
3 жыл бұрын
MAMA PELEKA MTOTO KWA KANISA LAKIROHO AOMBEWE .HAYO NIMAJINI YAMESHIKA MTOTO NA HIRIZI .CHUKUWA IMANI NA UAMINI JINA NA DAMU YA YESU CHRISTO .
@Epiread2024
4 жыл бұрын
Inabidi mama yake Jafari Atubu awe mcristo yaan Kama Yeye Ni muislamu Abadili dini Awe Mcristo Kamili Hilo ndo Mimi namshauri mama Jafari Asante 🙏🏼🙏🏼💗💗
@ilumohamed246
4 жыл бұрын
Mmhhhhhgh ati awe mkiristo wewe hutaki kua muisl Amu
@lumark5837
3 жыл бұрын
Marry Martha.... Mungu ni mwema habagui dini uwe muislamu au mkristo wote ni waja wake na anatupenda wote. 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@lumark5837
3 жыл бұрын
Marry Martha....... Tuwaombee sana watoto wetu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@nishimwejulienne1785
4 жыл бұрын
Pole dada kwakupoteya kwa mwanao acheni kupoteza mda mupelekeni kwenye maombi tena mkaziye kabisa msipofanya ivo mtampoteza mazima fanyeni ivo kabra siku hajakuwa nyingi
@bryanfelix3771
4 жыл бұрын
Uchawi upo ila wasimame na Mungu wakaze maombi
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Kweli kabisa Mungu muweza wa yote
@isackkabadi4857
4 жыл бұрын
Asha Nestory polesana
@zanmedia5225
4 жыл бұрын
Hicho kichwa cha habari kilivyoandikwa 🤣🤣🤣 dah jamani hizi kazi mnasomea lakini au mnakurupuka tu
@sharifaimaan938
3 жыл бұрын
mbn kipo sawa tu au hujaelewa
@issahmaganga9309
2 жыл бұрын
Kweli ama maigizo
@emmanuelmacumi3160
4 жыл бұрын
Yesu ndiye kiboko wakumfanya awe mzima okokeni wapendwa
@ramseyhusseinkhamis8258
4 жыл бұрын
Nyie wafanya biashara
@ebisollili6646
4 жыл бұрын
Yesu angekuwa kiboko agekamatwa na kuuliwa na watu
@user-pw1ix4fl9g
4 жыл бұрын
Ebi Sollili : Mungu akusamehe kwa tamshi hilo maana hujielewi hata kidogo na ndie utakaemsujudia mbele za kiti cha enzi maana kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kua Yesu ni Bwana .
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@user-pw1ix4fl9g, Goti hata wazee unapigia. Sujudu ndio heshima ya Mungu.
@shukurumsebaloli
4 жыл бұрын
Acheni ubishi wanao mjuwa mamauyo wa mshauri apelekwe kwenye maombi atapona
@asnatmlewa1354
4 жыл бұрын
Subhannallah yarab kwanini wachawi wasife tu
@joharhamisi9140
4 жыл бұрын
Mchawi hafi haraka
@winfridagama2042
4 жыл бұрын
Tena Corana ingewapa wachawi wote.
@welcome-qk6ps
3 жыл бұрын
Duh mtangazaji una jicho zuri sana masha allah
@MathiasSamwel-th6hs
8 күн бұрын
Kwa hiyo majirani mnatakaje? Mi naona tumshukuru Mungu, majirani mna roho mbaya.
@babymansouth1164
4 жыл бұрын
+254 Ningependa kujua kama Baba Why alisema Mtoto Atarejea why aseme Aliona au kujua nin mpaka Aseme Jafary atarejea Mh jamani 93. 7 JITAHDINI MUMPATE BABA. BABA BABA BABAJAFARY NIMEKUHTA MARA 3 TUWEKEEEEE WAZIII KUNANIIII
@moreenramadhan5944
4 жыл бұрын
kennedy wanj
@rabiamwapesa5008
4 жыл бұрын
16.56
@mubarakandalama4525
4 жыл бұрын
Mtazamo huo achana nao huyo baba yuko vizuri kama ww utashindwa kusaidiwa na watu ukiwa mapepe
@josephstephen2047
4 жыл бұрын
Umeona ee wanjara kuna kitu hapo
@moreenmbatha1147
4 жыл бұрын
swali langu pia
@happytimes9747
4 жыл бұрын
Huyo mtoto ajakua sawa kabisa ningeomba mpeleke kwa maombi ila kwa kuwa nyie ni waislamu basi ningeomba mletee huyo ustadhi asomewe zaidi kufukuza huyo mashetani hamuwezi kumlinda mkabidhini kwa Mungu amlinde
@mwatimasaleh423
4 жыл бұрын
Bora afanyiwe duwa kubwa atapona kwa.nguvu.za.mungu
@abdallahkamau9525
4 жыл бұрын
Katika watu wore waliocoment kwenye hili tukio nadhani wewe (happy times) umeongea busara zaidi kuliko MTU yeyote, ubarikiwe sana.
@mamuuj9187
4 жыл бұрын
Tujifunze kuhifadhi picha za wahuska,,mngemficha uso tu,,hio itamsaidia au itamuathiri atakapokuwa mkubwa,,,,allah aendelee kumpigania mtoto mzur
@abdultodorov4699
4 жыл бұрын
Absolutely true
@unknown-vl6tz
4 жыл бұрын
Hao wamezika mwili ambao sio wao Sasa mwenye huyo mtoto wao kazi anayo😂😂😂
Nijambo la kumshukuru mungu kama mtoto yuko hai zingatieni maombi
@aleemaviolet9978
4 жыл бұрын
You should pray so hard...., here only God knows the truth here...
@morokichuna3527
3 жыл бұрын
Jamani naomben msaada wa ata jins yakumpta uyo dada au namba ya simu mtangazaji nnaiman namm atanisaidia jp kwa uwezo wa mungu mwanangu atalud namm niendelee kuishi nae adi pale mungu alipompangia kua mwisho wk kwan bd siku yk aikuwadia ni husda tu zawaja,nisaidie mtangazaj tafadhari namba zng 0657171020 Aisha naitwa SAMAHANI
@nicholoussimon1409
3 жыл бұрын
nambie
@bensonnjuguna8897
2 жыл бұрын
@@morokichuna3527 0
@mrsdeborahurio
4 жыл бұрын
Ukweli utajulikana wakifukua kaburi, yaweza kuwa walizika mtu mwingine!
@ngobekidevu3996
4 жыл бұрын
ubora fukueni kaburi muangalie kama sie
@malakiyazidu0080
4 жыл бұрын
sahihi
@judithkatoto3316
3 жыл бұрын
Kupona kwake kanisani kweny maombi atkuwa mzimaaa na ataishi miaka mingi yesu ndio kila kitu
@vevirawailod5166
4 жыл бұрын
Pole sana baba kwa kufanya polosesi zote. Pole mama jafari Daaa ila mtazame sana Mungu pole jafari Wewe ni lulu mbele za Mungu
@lilianluhasi5053
4 жыл бұрын
Huyo Ni mwanao, Ila fukueni kaburi mtoe kilichopo ndani ya kaburi, pia endeleeni kuomwomba Mungu
@mudyvanboy2933
4 жыл бұрын
Lilian Luhasi kweli
@annamfugwa2872
4 жыл бұрын
Mpelekeni kanisani jamani maombi yanatakiwa yahusike hapo jaman dunia Ina Mambo hii
@eddyshirima5601
4 жыл бұрын
Huelew huyu mtoto ni muislam apelekwe kanisan kufanyaje?
Kama kanisani ndo kila kitu si wangeondoa na corona.
@0sengoshikondi.junior451
3 жыл бұрын
Motto apelekwe kanisani ataekwa huru ..Ni Yesu kristo pekee ndieye anao uwezo wa kumkomboa ...bila hivo ataangamizwa na Shetani.
@mwajabually2773
4 жыл бұрын
Inatishaaaa!!ALLAH tunusuru na shirk
@judithcha-mushala8852
4 жыл бұрын
Mpeleke mtoto kwenye maombi huyo watamchukua tena, uganga hauna kitu
@Ryoof-qo7if
4 жыл бұрын
Kweli
@estasage5506
4 жыл бұрын
Hata mimi nasikitika saana kuona jamii lote huwa mapagani. Oh lord! Tafadhali wamupeleke kwenye maombi. Yesu kristo wetu anaokowa.
@jacksonzmganga68
4 жыл бұрын
Hakika Mungu halinganishwi na nguvu za wanadamu
@edgarysangu218
4 жыл бұрын
Pore Sana dada
@deshuaniton698
4 жыл бұрын
Pole sana mama jafali ila ata laaa una maiti inatisha mungu akupe nguvu dada
@janeyphersuma1316
2 жыл бұрын
Yesu ndio dawa na ndio mganga wa waganga usimtegemee mwanadam mama mpeleke mtoto kwenye maombi aombewe apone
@GladnessJulius-ru4gn
5 ай бұрын
😂
@user-qz2dw2jh3u
6 ай бұрын
Wahojiwe vizuri hao wazazi wa huyo mtoto Mana sikuizi tantalila nyingi Sana kuhusu Hawa watu. Hususa wanaofufuka.
@teddymwageni1763
4 жыл бұрын
Watakuwa walizika maiti ya mtu mwingine mtoto hatakuwa alipotea tyuu ndo maana kaonekana.cha msingi hapo kukazana na maombi sababu maombi hayana dini Cha msingi hapo ni uponyaji wa mwili na roho
@hamadbamu850
4 жыл бұрын
Ampeleke kwa Yesu ayapona kabisaa toka lini jini likamtoa jini mwenzie mpeleke mtongani kwa mchungaji katunzi atapona kabisaa
@evamumia1788
4 жыл бұрын
True giza haiwezitoa giza ,ni mwangaza utoe giza
@nassabtransportation7024
4 жыл бұрын
ww Dada Habari nakuomba hiyo namba yahuyo mama nimtumie hata pole Du sio mchezo
@saidntisi5994
4 жыл бұрын
Jini babaako
@hijathomary9548
4 жыл бұрын
Mbna kwa maombi ya hao majini ndo amerud??
@hamadbamu850
4 жыл бұрын
Na ndoo maana hajawa sw mpk xx Bd wanamfata but kwa Yesu ukienda hawawezi kuja tena na hawatakuona maana kazi ya Yesu Kristo nikunfunika mtu kwa damu yake ili shetani asimwone
@filemonclemens822
2 жыл бұрын
Mmmh uyu Dada amuogopi mungu maiti ikomochwali then inatokadamu nyingi🤣🤣🤣🤣
@hijarajab5449
4 жыл бұрын
Hv vi2 vipo hata ktk kipindi cha khalifa umar aliwahi kutekwa mtu na majini miaka minne na ushee Mimi naamini aliezikwa c jafari kabisa ila kutokana na ajali mtu anakua vibaya wamechanganya tu wafukue kaburi tu wamalize utata
@ladyashy7454
4 жыл бұрын
Duuhhhh hii dunia jaman mungu atusimamie sisi na vizazi vyetu WALLAH
@straitonetemu4986
4 жыл бұрын
Kubwa kalii
@jumannekangero27
4 жыл бұрын
L
@nicolemlomo4676
4 жыл бұрын
Amina 🙏🙏🙏🙏😪
@konladymaliga3743
4 жыл бұрын
Asante mungu
@elizabethmwandu6937
4 жыл бұрын
Mlaaniwe wachawi wote mnaochukua roho za watu wasio na hatia damu hizo ziwalaani milele yote.
@zawadindimbwa7125
4 жыл бұрын
Wafukue kabuli hilo waone nn kipo ndani ya kabuki hilo
@elizabethmwandu6937
4 жыл бұрын
@@zawadindimbwa7125 kweli kbs wakafukue kaburi waone watakuta nini kimo ndani ya kaburi hilo.
@paulinemtalima5311
3 жыл бұрын
Ili ijulikane kua uyo ninani mumuombee kwa imani Kali ataonekana kwa jina LA yesu
@victoriakapela8163
4 жыл бұрын
Wachawi kweli wanamazingaombwe wamezika gomba kuwaaminisha watu ni mtu mtoto alikuwa hai kabisa duwa zimesaifia kurudi...kweli mungu ni mwema
@linusedward9441
4 жыл бұрын
Jambo la Kwanza nikushukuru mwenyez mungu pia
@tahiyalukio7036
4 жыл бұрын
Jamani! Habari hii yataka kufatiliwa kiundani zaidi. Wakaribu wa mtoto huyu wanatoa maelezo yanaotetanisha sana. Moja, polisi hawajahusishwa mpaka sasa. Mbili, aliezikwa bado hajatambuliwa hii inamaanisha kuna familiia inamtafuta mpendwa wao! Tatu, itakuaje mama mtoto asiruusiwe kuitambua mwili wa mwanawe wakati ni mama naeishi na kumjua mtoto wake kuliko mtu yeyote yule. Ombi langu kwa Dina Marius Tv ni, tafadhalini fanyeni uchuguzi muafaka wa habari hii kuna kutufahamu na shaka nyingi kwenye habari hii na tukio hili kwa jumla
@aminarashid1798
4 жыл бұрын
Tahiya Lukio kwan polc nd nn polc haamn uchawi
@nasragora8188
4 жыл бұрын
Baba ake alithibitisha coz baba ake pia anamjua vzur mwanae ad alama za mwil anazfaham
@zolfanaser8116
4 жыл бұрын
Subhanallah . Jitahidin kumsomea Qur'an .ila kwa uwezo wa Allah atakaa saw hao watu waliofanya hivyo Allah atawahukum
@dullysanto1672
3 жыл бұрын
kabisa hakuna wakumuafu ila ni allah pekeake kikubwa dua inshallah
@dismasstanislaus6523
Күн бұрын
Jamani ee mganga anaponyanasioshetani kapewahiokazina Mungu nayeyeanaponya tsaritu tsidanganyane
@mamapendo2630
3 жыл бұрын
Mungu awaepushe na majaribu ya kila namn mkazane kumuomba mungu ni majarib ya shetan hayo msikubali awashindwe
@judithkatoto3316
3 жыл бұрын
Mpelekeni akaombewe kanisani mungu anaweza yote
@danielsagire716
3 жыл бұрын
L
@fediliaulomi4969
4 жыл бұрын
Dada nakushauri usiende kwa mganga nendeni kwenye maombi
@alicejackson1081
4 жыл бұрын
Acha kuamini ushirikina muamini mungu yeye ndo anaweza kila jambo
@youngmasamah9864
3 жыл бұрын
Kina mwajuma mwanahawa mwanahamisi wanaaaamin sana waganga hawamwamin alo waweka dunia huko amna ishu achen iman hzo
@alhajkhatib5597
4 жыл бұрын
Someni suratl kahfi aya ya 109 mara 71 bi idhin-llah yatakwisha tu
@vicentraphaelthomas3334
4 жыл бұрын
Uchawi upo jaman
@Mamake6
4 жыл бұрын
Na sura baqara
@dolisjulias1547
4 жыл бұрын
Au hawakuangaria vizuri mait wamechukuwa wamwinginetuu
@elizabethmwandu6937
4 жыл бұрын
Duuu poleni sana mama wa jafari na bibi wa jafari pamoja na ndg wote wa jafari yaani huu ni ushirikina kabisa huyu jafari alikuwa amechukuliwa kichawi huenda hao wachawi wamemshindwa wakaamua kumuacha Mungu amewaaibisha wachawi hao.Usiwaogope wauao mwili wasiweze kuiua roho.
@johnsonnchimbi7795
4 жыл бұрын
Hapo anahitaji maombi mazito katika Roho Mtakatifu mpelekeni kanisa la kiroho
Duh pole sana dada ubongo wamechukua wachaw ndio zao
@estasage5506
4 жыл бұрын
Yani Watu wote kwa mji Huu ni mapagani hawajuwi jina lake yesu kristo wa Nazarethi
@just_this_way
4 жыл бұрын
@@estasage5506 Ww unalijua? Au na ww ndo mpagan mwnyw
@naymashasareva7863
3 жыл бұрын
Daaaah pole kwa mama yake lakin pia suala la ushirikina upo tangu enzi hizoo Cha msingiii kufanya tibaa na kumuomba munguu kwani wamempata lakin hawajui wabaya wake wame plani kitu gani chengine
@dueedu9139
3 жыл бұрын
J'ESSAIE DE COMPRENDRE L'HISTOIRE ! MAIS C'EST TRISTE VRAIMENT. UN ENFANT SERAIT ASSASSINÉ , N'EST CE PAS ? POLE SANA BA NDUGU
Пікірлер: 1,4 М.