Nakubali sana nyau kaz nzuri naona unaenda kuwa mchekeshaji mkubwa
@GeradhAdiliano
3 ай бұрын
Nakuerewa sana kiukweli Mr nyau bigapuu sana kak
@masoudrashidmohammed4124
3 ай бұрын
Nyau kama nyau OG bonge la expert tuko pamoja piga kaz kaz
@PiliLupia
3 ай бұрын
Mwenzako bab jan aden ajala kabin
@ZakharaThabit
3 ай бұрын
Nimewasameeniiii 😂😂😂
@KidagaKidaga
3 ай бұрын
Nakukubali mwamb wa haihai👍
@KhalifaMkocha
3 ай бұрын
Nyau kimbia mbio mbio mzee unatuwakilisha ifakara
@SelinaChikawe
2 ай бұрын
Kaz nzur nyau unajua xa kuigz😅
@JosephMoyo-t1m
3 күн бұрын
Nakubar familia
@ClaraAgnes-eq9kn
3 ай бұрын
Nyauuu Mungu akuongoze katika hili
@AmaniShane
2 ай бұрын
Nakubalai San nyau kawango kikubw
@MARIUMUSALIM
3 ай бұрын
😂😂nyau mkeo anataka kaondoka Na utamu😅😅😅
@gerraldgaile1469
3 ай бұрын
Nyau anajua sana
@johndaudi1805
2 ай бұрын
Pamoja blood
@FrankLuhaha-dt5sh
2 ай бұрын
Hahahahahaha😂😂😂😂😂😂
@ModestarLukosi
3 ай бұрын
pamoj kijan kaz nzur
@matope5
3 ай бұрын
kama milango ya gizi ilifungwa kwa ukanda wetu wa kilombelo sasa inaenda kufunguliwa...nyau....tunakutakiya baraka na mafanikio mema ,,,,,,,,by baroka,,,,,,
@jaksoniMbolli
3 ай бұрын
Unyama sana
@ZulekhaAbdallah-e1r
2 ай бұрын
Inatakiwa tu msaport nyau tu like na subscrib chanel yake
@ernestmwakalambo3938
3 ай бұрын
Vtuko vyako nyau kwakwel unanivunja mbavu zangu hongeren sana team Nyau tupo pa1
@KingkongntuiTecnologia
3 ай бұрын
Jamani tumpeni big up nyau
@jaksoniMbolli
3 ай бұрын
Tajili jacksoni mbolli
@DaliCamussaJoaoCamussa-qc7nv
3 ай бұрын
Kwani nyau Yuko wapi sasaivi Kwa chumvi au vip
@josiasbagambeselestine-kc8bb
3 ай бұрын
kashatoka nae anajitafta kivyake
@KikubaRamadhani
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@MwanapiliSidi
3 ай бұрын
Waziiiii❤❤❤❤❤🎉🎉😂 hamna baya❤❤❤❤
@AhmadChibalula
3 ай бұрын
Nakubari Sana nyu
@HusseinNdaji
3 ай бұрын
Piga kaz kak🎉🎉 Last born
@TadeiNgelula
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ 𝐧𝐢𝐜𝐞
@Kadii_lucy_3065
3 ай бұрын
Nyauuu wewe
@BatuliRamadhan-mf8tm
3 ай бұрын
ifakaramoja
@Mwana85Mwana85-wz1ol
3 ай бұрын
😂😂😂 nyau nyaua nyau eti mnaenda wap mama kaja mtoto kaja nyau mweh kweli hyoo kamevunda na nyau kwel agunaga nimepend hyoo nyau mtoto njiti tabia n baba yake nyau 😂😂
@Qarim-kn7by
3 ай бұрын
wa kwanza
@AmisseBuraimoCanamo
3 ай бұрын
Uzuri uzuri uzuri uzuri 🇲🇿 Moçambique 🎉🎉🎉🎉🎉
@gplusonlinetv3882
2 ай бұрын
shida video direct sound effect ni nying mpk mtuu asikiki akiongea
@EzekielMvella
3 ай бұрын
Baba mzaz nyau uchungu wa mwana kule watu wanaweka mimba kizembe haihai mama na mke wanataka kukukimbia😂😂😂
@rosemarenga832
3 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@PRESENTER-VINCENT
3 ай бұрын
Nyau siwezi pata nafasi ya kushoot hata Scene moja napenda siku nifanye kazi na wewe na najiamini pia maana napenda sana hii kazi.
@marynyota6146
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@yohanalukindo3737
3 ай бұрын
Hili song la njitivnalipataje nyau?
@MillycentSidi-ij7rr
3 ай бұрын
❤❤❤🌹🌹🌹🌹🎉🎉🎉🌹🌹👌
@HawaAbdalah-ew7ud
3 ай бұрын
♥️♥️♥️🎉🎉🤣🤲🤲
@Mwana85Mwana85-wz1ol
3 ай бұрын
Kamevuda anakwenda kupanda ndege😂😂 tena tabia umepanda punda au ndege
@liy254
3 ай бұрын
Mtoto njiti
@WilleyzerDeoppah
3 ай бұрын
naqbal
@iddybramsmgb4982
3 ай бұрын
Brother nitakufatilia sana
@FredyBihemo-lr4de
3 ай бұрын
Nawakubali sana wadau❤❤❤
@ShamsaMmero
2 ай бұрын
😂😂😂😂 ayi ayiiiii ila ww mpogoro unatuua jmnii
@AgnesMrembo
3 ай бұрын
nakubari san kak mungu akutangurie kwenye kaz Yako 🙏🙏
@FranciscoAtanasioGabriel-o8g
3 ай бұрын
Bonge la Nyau! Poa sana dogo Dakika zinaenda!
@LovelyMountainLandscape-dd4xe
2 ай бұрын
Salti nyau nakubali kwa kaz yako na mkali wao kamevunda
Пікірлер: 64