Rfikiyake naye pia ni mtu anyejitambua, hongera sana!. Mungu awatunze ❤
@MehmetMtonga
10 күн бұрын
Kilio chako mama you pamoja nawe mh doctor Samia RAIS mckivu atamsaidia mama
@eunicemaganga4350
9 күн бұрын
Wapo wengi wa hivo Mama awatazame kwa jicho la pili ndugu zetu
@Officialjidaa-sn9cs
10 күн бұрын
Pole Sana kwa kumpoteza Mzee wako I see dogo langu Maisha haya bwana 😢
@tidomilinga3750
10 күн бұрын
Lakini sawa labda kachukua Kwa mama,, lakini Huyo kaka yake Devi mbona haonekani
@Kabwela776
10 күн бұрын
Jamani si mngetoa namba zao tuwachangie niwachangie ingawa hawakuomba msaada
@malkiarosemuhando3310
10 күн бұрын
Mungu mbariki huyu mtoto mtunze
@jpmugishapps
10 күн бұрын
Mtoto sharp sana 💎
@faridaaloyce4330
10 күн бұрын
Raisi ukimuajiri uniajiri na Mimi sina wa kunisemea😢
@KeroseneKimbunga
10 күн бұрын
❤❤😂kweli kbs
@tidomilinga3750
10 күн бұрын
Kaka Yao huyu dogo hajawai onyeshwa ktk mtandao Au so wa mama huyo Maama hapo inaonekana ukristo na uislam na Huyo ni Devi Au ndio sababu
@TonyMasterog
5 күн бұрын
Safi
@jumakapilima7295
9 күн бұрын
Mtoto anaonekana ana akili sana!
@mashaka-zi8ot
10 күн бұрын
Wapo wengi wa hivi, Suluhisho ni vyuo vikuu vihusike kutoa Suluhisho la matatizo kama haya, Wasomi ni wengi? matatizo haya hayatakiwi kuwepo kabisa ili tuwe na JAMII YENYE USTAWI MZURI.
@BabuWilly-x7j
10 күн бұрын
Kila mmoja asaidiwe na rais!
@josephlukumay6920
10 күн бұрын
Kila jambo tumshkru mungu
@sittabernard3351
9 күн бұрын
Duh!!!
@FURAHAKICHEKO-n3e
9 күн бұрын
KWANINI MANDOJO ALIPIGWA MPAKA KUFA?
@tidomilinga3750
10 күн бұрын
Hapa sijaelewa mtoto muislam baba mkristo Kwa nini
@jumamussantuiche
10 күн бұрын
Baba akusilimu
@aminatanzanya7475
10 күн бұрын
Kila mtu alifat Dini yake Safi
@tidomilinga3750
9 күн бұрын
Sawa,, hivi wakubadili Dini n baba Au mama
@tidomilinga3750
9 күн бұрын
Lakini mtoto Huwa anamfata baba Maama mtoto Huwa ni Wa baba Mpaka atapokua kujitegemea ndio anaweza akajiamulia
@tidomilinga3750
9 күн бұрын
Kwa uelewa wangu Wakubadili Dini Huwa Anakua mama anamfata mume wake na watoto pia wanamfuata baba Maama baba ndio kichwa ikiwa tofauti kunashida sehemu
@mashaka-zi8ot
10 күн бұрын
MTOTO HUYU ANA AKILI SANA, UBAGUZI ULIOPO KATIKA JAMII NDIO TATIZO KUBWA. IKIWA RAISI SAMIA ATAFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII, NA NYINGINE NYINGI ZINAZOFANANA NA HII, HASA KANDA YA ZIWA (KWA MAANA NDIPO NAISHI) ATAKUWA AMEEPUSHA JANGA KUBWA SANA !!!
@bernardjustine6524
10 күн бұрын
Mbna library inakazi nyingi sana hajataka tu kutafuta kazi.
@annamulungu2876
10 күн бұрын
Sikuhizi wamesomea weeengi kwahiyo ngumu sana kupata
@MwanaishaShattry
9 күн бұрын
Kwanza katika Uislamu tunatakiwa tusimtegemee mtu 1000 % kwasababu roho sio zetu ni za Mungu. Kwahiyo pale unapoondokewa na kiongozi wa familia unatakiwa usimame pale alipokuwa yeye uhai wake hii kuomba omba haipendezi sana. Tafuta jinsi ya kumsomesha mwenyewe mwanao maana huyu raisi atawasomesha wangapi jamani. Kila mtu anataka abebwe mbona siye masikini mishahara yetu ya serikali ni sh. 300'000/= tulijinyima tukasomesha watoto? Shameful. Acheni kuwa omba omba kiasi hicho.
@MnubiMm
9 күн бұрын
Toa Maoni tu hukatazwi lakini acha zihaka Shameful!!!!!?
Пікірлер: 30