Biwi la simanzi limetanda katika kijiji cha Mikindani huko Changamwe kaunti ya Mombasa kufuatia kifo cha mtu mmoja huku wengine 9 wakinusurika kifo baada ya boti lao kupinduka baharini.
Негізгі бет Mtu mmoja afariki maji Mombasa alipokuwa akivuka bahari
Пікірлер: 13