Rahmatullah alayhi alikuwa ni Sh mwenye mchango mkubwa ndani ya Jamii ya kiislam
@saidahmed9688
9 ай бұрын
Masha Allah sheikh ilunga kaburi lako liwe viwanja cya peponi
@kakanjoo8919
Жыл бұрын
Mashaallah, Allah aukaribishe moyo wako Zaid katika dini. Baadhi ya sehem muhim unazirusha,naomba uwe ukizizingatia pia. Allah atujalie ustahimilivu tuking'ang'a kutenda wema,shukran.
@Hudatztv
Жыл бұрын
Aamin
@jumannendayigeze2899
Жыл бұрын
Allah amjalie janatul firdous
@fatmajafar8275
9 ай бұрын
Ee mwenyez mungu muondolee shekhe adhabu yakburi na umjaali aingie pepo yako janntfirdaus shekhe ilunga
@mussajuma5612
Жыл бұрын
Dahh Allah amlaze mahali pema shekhee wetu ilunga
@Hudatztv
Жыл бұрын
Allahuma Aamin
@issarachide1474
Жыл бұрын
Masha allah profesa ya allah hatakulipa kwa hilimi na mafundisho alhandulillah
@Sunnah1212
Жыл бұрын
Knowledge kubwa sana Kutoka kwa Skh Ilunga Allah akulipe kher na wewe unaetuletea hizi video KZitem
@Hudatztv
Жыл бұрын
Allahuma Aamin
@mwalimukidua
Жыл бұрын
Asante sana kuapload madiini haya..
@Hudatztv
Жыл бұрын
Shukran
@shd12m55
Жыл бұрын
Asante sana kwa huduma zako za kutuletea video za marehemu shekh huyu,,tunaomba utuwekee na ile video aliyozungumzia mambo ya bakwata maana KZitem nzima hamna ile video yake
@Hudatztv
Жыл бұрын
Masha Allah
@aminasaid6555
Жыл бұрын
Allah akupe Janna,shee Ilunga
@mrishomohamed5497
Жыл бұрын
Manshallah,,,tunafuatilia sana haya mafunzo na Sisi pia tunasambaza Kwa wengine ili waweze kujifunza hivyo tunaomba usichoke insha'Allah
@Hudatztv
Жыл бұрын
Innsha Allah
@Hudatztv
Жыл бұрын
Allah akulipeni kila la kheri
@alhajjkassim2648
5 ай бұрын
❤
@alimaulid9543
Жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yake ajaalie kaburi lake kuwa bustani ni miongoni mwa bustani za peponi
@hassanally4960
Жыл бұрын
Ahsnate sna ndugu kwa kutuletea madini adimu katka kamili hii tulonayo
@Hudatztv
Жыл бұрын
Shukran
@user-ri4ls9cm4v
7 ай бұрын
Allah akurehem wewe ni mwalim usie ficha ukweli
@aminasaid6555
Жыл бұрын
Allahummaghfirahu warhamhu filjanna
@clarencehilary5588
9 ай бұрын
Mungu am home moto maana ni mchonganishi
@clarencehilary5588
9 ай бұрын
Alifundisha ugaidi
@clarencehilary5588
9 ай бұрын
Mtume mohamard alifundisha ugaidi tu na kujitoa mhanga
@faustinconrad2554
Ай бұрын
Mpuuzi huyu tena alikuwa filauni
@Hudatztv
Ай бұрын
Mojwapo ya faida ya kutoa "Comment" ni kuwa inatusaidia kufahamu upeo wa akili ya mtu na uwezo wake wa kudhibiti mihemko.
@clarencehilary5588
10 ай бұрын
Uislam ulifundisha ugaidi tu si vinginevyo
@isaacakurumiruka33
9 ай бұрын
Shame on you
@seydouside4081
5 ай бұрын
soma uislam..acha jazb..utaelewa tu allah akupe uelewa
Пікірлер: 33