Muguka ni nini?
Mwezi Mei kaunti za Pwani ya Kenya, zilipiga marufuku usafirishaji, uuzaji na utafunaji wa muguka. Hatua hio imezua hisia tofauti nchini Kenya haswa kutoka kaunti zinazozalisha mmea huo.
Hii inafuatia vilio vya muda mrefu kutoka kwa wakazi wa kaunti hizo pamoja na viongozi wa dini kwa magavana wao, wakitaka matumizi ya muguka yapigwe marufuku.
Baadhi ya wazazi hao, wamedai kwamba uraibu wa muguka una madhara ya kiafya na ya kiakili, na kuongeza kuwa, unaharibu vijana na vizazi vijavyo. Baadhi ya wanawake nao, wamekuwa wakilalamika kwamba waume zao wameshindwa kuwajibika kutokana na uraibu huo.
Muguka ni majani ya rangi ya kijani yanayotajwa kuwa ni aina ya khat, miraa au mirungi na ni zao ambalo linapandwa Mashariki mwa #Kenya, Embu .
Muguka ni bei nafuu na hupatikana kwa shilingi 50 ya Kenya (chini ya dola moja) na kuuzwa hadharani. Hii imefanya uraibu huu kuwa nafuu kwa watumiaji, hasa vijana.
Kwanini imezua mjadala mkubwa nchini Kenya ?
Fuatilia Habari zetu:
🌐 www.trtafrika....
Tiktok
🟣 / trtafrikasw
Facebook
🔵 / trtafrikasw
KZitem
🔴 / @trtafrikasw
X
⚫ x.com/trtafrikaSW
Instagram
🟣 / trtafrikasw
Muguka ni aina ya khat
Негізгі бет Muguka ni nini?
Пікірлер: 2