Sheik Salim usiwache huyu msomaji Ako poa kabsa na tunataka kujua jina yake
@aburaasmedia3682
8 күн бұрын
nafikiri anaitwa Suleyman, sina uhakika lakini
@badmanno.1650
8 күн бұрын
Yes Suleiman.
@aburaasmedia3682
8 күн бұрын
Sheikh Ali na huyu msomaji mdogo pia wako sawa kusoma
@nubianqueen6700
8 күн бұрын
Br Suleiman, ako Sawa sana. Pia kijana mdogo anajitahidi.
@loner_wolf
6 күн бұрын
Sheikh Suleiman
@isahbarasa
8 күн бұрын
Kazi safi walimu wangu alhamdulilla kwa neema ya uislamu
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Alhamdulillah tunashukuru
@mbarakadau7345
8 күн бұрын
Keep it up good job. We Tanzanians I believe we have alot to learn from you especially citation of quran. Despite the fact that comperative religion and debates started way back in Tanzania in1980's during the time of Ngariba, Kawemba, Othman Matata et al, you Kenyans have set high standards. Kudos
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Masha Allah we are trying our best to deliver the message to non Muslim ni ukweli hao ndio vigogo wa daawah east Africa
@Kuminamoja1995
8 күн бұрын
Msomaji yupo vzr sana masha'allah Masha'allah
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Masha Allah
@Lil_Chain1
4 күн бұрын
@@salimdaawah123 please naomba Sheikh Suleyman ndo awe msomaji kila wakati masha Allah. Namkubali sana❤️❤️❤️
@hassansharif5716
8 күн бұрын
I am proud of you guys. Masha Allah
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Mpaka ujumbe ufike inn shaa Allah
@daawaonestreetassociation.5702
8 күн бұрын
MashaAllah Allah bless you all thinks inshaAllah
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Aameen ameen ameen
@SaidMgeni
8 күн бұрын
Allah awape afya Na umri muzidi kueneza Qalima ya lailaha illaAllah Muhammadan RassulluAllah
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@MwangiMuhammad-q8r
8 күн бұрын
Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabatakatuhu,,Maa Shaa Allah,,,Allah awalipe Jannatul Firdaus, though leo mmegusa mlima huyo Kihara 😂
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh ameen ameen ameen sote huyu kadai yeye mtoto wa Mungu na tunaishi na yeye kijijini 🤣😂🤣
@abdirahmanmohamed1732
8 күн бұрын
Mashaallah Leo ni kutamu sana❤
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Mpaka kieleweke inn shaa Allah
@estherwamaitha1006
8 күн бұрын
Masha Allah endelea kuwaelimisha
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Inn shaa Allah
@ufafanuzi4382
8 күн бұрын
Sheikh salim naupenda sana jinsi unavyofanya dawah mungu akulipe mema. Wakrsito waliopo hapo wanaipenda sana, unaona jinsi wnaifuatilia na furaha kwa nyuso zao. Wanaelewa mafundisho, siku mmoja hapa watasilimu wengi ushangai i.a . Mpaka umewajua wateja wa kila siku
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Kabisa kuna wale wanakuja ubishi na wengine wako kuelewa
@mahmudmugarura2175
8 күн бұрын
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
@OMARMZEE-kj2yo
6 күн бұрын
Sheikh Salim napenda hekima na busara zako. Allah ukuzidishie nguvu katika kazi hii ya kuwaelemisha viumbe vyake.
@salimdaawah123
6 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@MohdJuma-w6l
8 күн бұрын
Masha allah leo wakwanza ndugu yenu katika iman,
@aishahazary4097
8 күн бұрын
Maasha Allah
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah
@ggv866
7 күн бұрын
Mashaallah Allah .Sheikh Salim .Nawapenda kwa ajili ❤❤Allah
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@hassanwario-w7n
7 күн бұрын
Assalam alykum Salim nakuomba ukuje uko juja mahali inaitwa juja farm tuko na shida sana ya miskiti na tuko na mpango WA kujenga miskiti nakuomba ukuje utuwekeee kwa mtandao Ili wale wameguzwa na mungu waweze kuchangia in Shaa Allah
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah tutapanga hilo
@ggv866
7 күн бұрын
Uyo jamaa ajijui ni kupoteza wakati tuu
@salimdaawah123
7 күн бұрын
Next time hapati nafasi
@hassanpadi
7 күн бұрын
Asaalam Aleikum warahmathu Allah wa barakatu, Kazi safii sanaa ALLAH awalipe malipo makubwa mno kwa kazi nzuri,,, Msomaji yuko vzr sana
Пікірлер: 76