Allah akupe umri mrefu wa kher ili tuendelee kupata elimu kutoka kwako shekh wetu.
@mohamedamiri4597
2 жыл бұрын
Maadam mtumi swalla Allahu alayhi wasallam ametuusia kuhusu nyama za wanazuoni nisumu twendeni tutafika
@user-ns4lc3yg2c
Ай бұрын
Maasha Allah tupo pamoja kwa ajili ya .Allah Subhaanahu wataghala
@is-hakaame
Жыл бұрын
Dini ni dalili Mashaalah na umetupa dalili za wazi wazi. Na sisi tulikua wapenzi wa maulidi ila baada ya kupata elimu hiiii nimeachana na mambo ya maulidi.
@mohdhakim8216
9 ай бұрын
😅
@mohdhakim8216
9 ай бұрын
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا وحبيبنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين ومن تبعهم بإحسان إلى يوم الدين
@omarally6819
9 ай бұрын
Shekhe Muhammad watu wanadhani wazushi wakutukana tu burebure!!! Wanajua wewe unawaadhirisha, kwa ukweli na hoja nzito unazo zitoa kuthibitisha uongo wao. Allaah akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini
@allybobsaith
9 ай бұрын
Omar ally 🫡🫡🫡🫡🫡umeongea fantastik mm nipo na shekhe bachu, bachu anawapiga mkuki wa roho ndio maana wanamchukia😂😂😂😂😂😂ahlu bidaaa
@saba-gv3mj
9 ай бұрын
Bachu hamo na nyinyi hamumo mbona hasemi ukweli mawahabi tawhed tatu amezitoa wapi alafu aseme wazazi wa mtume yuko motoni mawahabi kasomeni aliengia motoni ni ami yake Coz mtume alitumilizwa ami yake akakataa kusilimu bachu wapoteze tu watu
@safinamakoto5533
Жыл бұрын
Mungu awaswamee masheke nyinyi mulitajwa katika quruani
@KHALIDKIRAMA-iq6en
8 ай бұрын
Sasa hizi hadithi anazo soma inamaana ni za uwongo?
@abdurahmanabdallah2403
2 жыл бұрын
SALAAAAAAALA UMEFIKIA HAPO MOHD BACHU KWANI WEWE NI MUHADITH WA KUTAFSIRI HADITHI UNAVO TAKA
@serengetishipping2196
2 жыл бұрын
Sheikh unapotosha tafsiri kwa mawazo yako sio elimu , unawapotosha watu saanaaa Muogope allah sw
@alhajsazui3351
2 жыл бұрын
sikiliza vizuri ndg yangu utaelewatu
@farruqali8879
2 жыл бұрын
bas kama yeye ana potosha wewe rekebidha
@selemanmartin
Жыл бұрын
Serengeti: kaa kimya, huna Ubongo ila Tope
@AhmedMohamed-po5vh
2 жыл бұрын
MaAshallah SHEIKH! THANKS SO MUCH!
@mchagagaspar6649
Жыл бұрын
NIME AMINI HUYU KIJANA HANA RADHI NA ANAZO CHENGA AKILINI MWAKE ,ALLAH MVUWE MARADHI ALONAYO NA UMTENGENEZE NDIMI YAKE ASIWE SABABU SISI KUKOSA REHMAZAKO NA KHERI ....
@abuibra
10 ай бұрын
Anasema Kweli
@abubakarmohamed2845
2 жыл бұрын
Ndio hawa waliopews funguo za pepo na moto na kuwatia motoni mpaka wazazi wa mtume S.A.W kijana waelekea pabaya sana
@habibuhalfani2038
Жыл бұрын
ndugu yangu mimi ni mtu wa maulidi lakini asemayo huyo shekhe namsadikisha maana nimefatilia hadithi zote na baraanji vipengele vyote nikaona yupo sahihi ila ndoivo tutafanyaje ndugu tusibishe haki
@ibrahimmohamedmaalim5568
9 ай бұрын
Soma qurani wacha uswahili
@user-rk3cv3or8q
9 ай бұрын
SubhanaAllah.Wewe wataka uambiwe na Mtume Muhammad (S.A.W).Basi tafakari msg zimekufikia .Uamuzi ni wako.Hata Mimi nimemuelewa vizuri sana.Yuko sawa kabisa.
@abdulgadafi1922
Ай бұрын
Hiyo Hadith ni sahihi bro
@alimohamedahmedahmed1050
Жыл бұрын
Ndiyo kama ulivyo sema baba wa Ibrahim na mke wa nuhu na mke wa lut wako motoni ni kwa sababu wali onywa wakakata maonyo but wazizi wa mtume nani aliwa onya wakakata na mingu mwenyewe ame sema hanga mizi mtu ila akikata ma onyo hata firauni haku anga miziwa ila baada ya yeye kupiga wajumbe wa mungu
@omariweldingfabrication7630
Жыл бұрын
Mshaa Allah
@omarykinolo3628
2 жыл бұрын
Hana ilmu
@bwagizoselemani8434
2 жыл бұрын
Wewe unaelimu kaka au waongea tu sikiliza hoja tu zakielimu sio unabisha alafu hujui kitu kama kunashekhe yoyote anajiamini kihoja za maulid azilete online mbn wapo kimya
@habibuhalfani2038
Жыл бұрын
wewe una kichaa ndugu hana elimu haya wewe mwenye elimu njoo utuelimisha au kawatafute mashekhe wako wapiga madufu waje watuelimisha on line
@burhanisaidi9811
2 жыл бұрын
Hata waliopita kabla ya sisi hoja zao zilikua ni kusema tumeyakuta haya tokea mababu zetu wao walikua wakiyafanya, 👉Tusomeni tuifahamu dini ya uislamu na sio kufata mambo ya kurithi toka kwa mababu na mabibi.
@mohamedabu3268
2 жыл бұрын
Masha ALLAH ndio maana umeambiwa huja baleghe ni kweli si kwamba ni kiumri kumbe ni kiilimu ndio huja baleghe
@awadhally1052
2 жыл бұрын
Haja balehee vip nyie wajinga hadis sahihi za mtume hizo anawasomea mtadanganywa mpaka lin na uzush
@hamisimuhammad3656
Жыл бұрын
@@awadhally1052 hawajielewi hawa
@allybobsaith
9 ай бұрын
@@hamisimuhammad3656jiulize bachu adanganye watu apatefaidagani
@saba-gv3mj
9 ай бұрын
@@awadhally1052 ww kasome na bachu wako mpotoshaji hana ilimu sisi tutasoma tukutane siku ya kiyama
@saidiabdallah-kv7bd
Жыл бұрын
Uyo babaako akipinga maulid lkn hakufikia kusema hayo daaaah
@albaharyhaji8231
2 жыл бұрын
Nenda kazidi kutafuta elmu kwa wanavyuoni hicho unachokisema ni uwongo mtupu hasa shida ya sasa hivi mkishajuwa kusoma kiarab basi tayari mshakuwa wasomi wa dini
@selemanmartin
Жыл бұрын
Wewe una elimu? Omba nafasi ktk mimbar tukusikie, acha chuki wakati huna ujuacho
@AsmaAli-je2zz
Ай бұрын
Naomba mawasiliano yako shekhe
@omaryselemani6575
2 жыл бұрын
Kichaa siokuvua nguo tu
@user-fb6dz4zh6e
2 жыл бұрын
Ww kuwa na adabu na wazazi wa mtume Juzi tu Mohammad mafuta kamtaja babako kukosa usalafi ukajawa na jazba mpaka kuwakosea heshima kina kasim mafuta Keif hao wazazi wa mtume unawakufurisha
@ayubutwalbu6594
Жыл бұрын
Bachu kasome baba wa mtume aingie motoni swali alifkiwa na ujumbe akaupinga mungu hamuadhbu mtu mpaka afkiwe na ujumbe
@sameermilo2492
2 жыл бұрын
Hamna Elimu hapo , kuna chuki tu na kiburi
@yusuphsaad4349
2 жыл бұрын
Kwa hakika vijogoo vinavyowika viko vingi....tuweni makini sana...Allah akusamehe mdogo wetu....
@alhajsazui3351
2 жыл бұрын
mh pole yako
@abuunajat4450
Жыл бұрын
Pole sana kaka yussuf
@selemanmartin
Жыл бұрын
Yusuf: Ama kweli wewe Bongolala kabisa, hivi hata maelezo haya huelewi! Tulikuwa wote shule ya msingi ulikuwa hivihivi! POLE
@yusuphsaad4349
Жыл бұрын
Sikujui!
@hashimshariff8903
2 жыл бұрын
Lakini wewe ambaye USO na Akili na upungufu WA elimu wamwita barzanji mrongo na kumpakia urongo kukifasiri kitabu cha barzanji Kwa fikra zako
@eidallyeidally5093
2 жыл бұрын
Km niuongo itakua anatafsir bibliaa
@abuyunusmohamed6961
2 жыл бұрын
Huyu mtoto ni jahil na anataka kuwafanya wanazuoni wetu waonekane majahil kama yeye.Allah atuhifadhi na shari zake yeye na mawahabi wenzake
@mhogomchungu7168
2 жыл бұрын
Barzanji hakuwa mtu mwenye elimu ya dini, alikua ni mshairi tu kwahiyo nafasi ya kukosea ni kubwa
@abuyunusmohamed6961
2 жыл бұрын
@@mhogomchungu7168 acha ujahili wako.Hawa washairi wa kiarabu ni hodari sana kwa lugha ya kiarabu na wanazijua lugha za mafumbo .Tatizo mawahabi ndio wanatuharibia dini yetu.Barzanji ni mtaalamu wa lugha ya kiarabu hata wasaudi,mawahabi na mayahudi wanamuogopa kwa elimu yake.
Muhammad umeowa wake wawili umewaweka nyumba moja hata mtume hakufanya hivo kwa hiyo nawewe pia mnafik
@abubakarfaiz2401
Жыл бұрын
Sheikh Abdallah Humeid(Dilele) alivyokuwa akisema mulimwita maneno kibao na kusema ana matusi lakini sahii mwaona maneno mazito alokuwa akiyasema.
@abdallahmkomboz2679
2 жыл бұрын
Hadithi kutoka kwa Annas:Mtume (SAW) anasema MIMI NIMETOKA KWENYE NDOA WALA SIKUTOKA KWENYE ZINAA KUANZIA ADAM MPAKA NILIPOFIKA KWA BABA YANGU NA MAMA YANGU. BASI MIMI NI MBORA WENU KINAFSI NA BABA YANGU NI MBORA KULIKO BABA ZENU!! Hio hadith unayoitoa hujaelewa mafuhumu yake coz neno Abii / Abuu hutumika hata kwa baba mdogo au mkubwa kwa lugha ya kiarabu!! Mtume hapo alimmaanisha Baba yake mdogo Abuu lahabi!!
@mafaza.tv.tz255
2 жыл бұрын
Katika aheria ya kiisalmu ndoa inatambulika hata ikifungwa kanisani au mila, ndomana mtu akisilimu na mkewe hawafungishwi ndoa upya... Bab yake na mama yake mtume walioana lakin haimanishi waliowana kwa sheria ya kiislamu.... Ni ndoa ya mila... Mtu kweli sio mtoto wa zinaa, hilo ni hakika... Lakn haimanishi wazee wake ni waislamu... Wallahi aalamu
@habibuhalfani2038
Жыл бұрын
shekhe wewe hiyo hadithi yako bado kabisa haina upinzani hata mimi kama wazazai wangu wangekua waikristo kisha mimi nikasilimu ukubwani japo wazazi wangu ni makafiri ciwezi sema kuwa mimi ni mtoto wa zinaa eti kwa kuwa wazaz wangu hawakufungua ndoa ya kiislamu namaanisha kupitia ndoa walofunga tayari inahesabika ni ndoa hata mtume alimuo bikhadija kabla ya kupewa utume na bado ni ndoa halali
@MtapankunduLyowa
3 ай бұрын
Kwani hakuna ndoa za ki mila???? tumia akili wapagani hawana wake?
@mickidadmiraji5949
Ай бұрын
Sheikh said Omary kijana kaanza tena fujo tunataraji afundishwe tena tangu.
@saidiabdallah-kv7bd
Жыл бұрын
We mfitnishaji tu na mvunjaji nakaziako kupotoa watu tu hauna jengne
@HashimMohd-wg3cy
Жыл бұрын
Baadae utaelewa tu inshallah na upumbavuwako uwo
@hamadidodi5295
11 ай бұрын
Huna adabu mtoto wa bachu
@shafiisalim5481
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/pINt04xncn9zgGU Raddi kwa Muhammad Bachu jee katika Barzanji kuna shirki (1)
@fakijuma8713
9 ай бұрын
Sibitisha baba wa mtume kuwa ameabudia sanamu?
@abamohamed7092
2 жыл бұрын
Ukosefu wa elimu na kukosa adabu ndiko kunakokupelekea kuzua hayo unayoyazua,
@alhajsazui3351
2 жыл бұрын
Sheik sikiliza vzr uwelewe upate faida
@abdallahmwasiho1521
2 жыл бұрын
Mm sina elimu lakini siku zijazo makafiri watakuwa wakija kwny debet watakuwa wana uliza maswali khs maulid,kwny mihadhara itakuwa hvy hvy innahlillah wainnalillah rajuun!!!!!!!
@suleymansalim5732
2 жыл бұрын
Haina uzito hiyo hoja pale ni Quran na baibo . Sasa ajekuulza barzanje nikitabu cha mashairi sasa aulize vina au
@hidayarashidi5484
Жыл бұрын
Mashehe kama hawa ndio mimi nawafuata maashaallah
@saba-gv3mj
9 ай бұрын
Fuata upote wapotoshaji hawa bachu mpotofu
@saidiabdallah-kv7bd
Жыл бұрын
Astaghfirullaaaah kwaio wamaanisha kwamba mamaetu bibi amina ataingia motoni daaah we jamaa hufai hata kdg yaani tena ww mshenzi tu sii sheikh
@mohamedhamismagoraonlinetv459
Жыл бұрын
Siyo Mshenzi tu Huyu mtoto Wa Bachu ana laana na imemshika hasa
@mohamedhamismagoraonlinetv459
Жыл бұрын
Siyo Mshenzi tu Huyu mtoto Wa Bachu ana laana na imemshika hasa
@bakarhaj9214
6 ай бұрын
Kwa kweli huyu bado anathibitisha ni mchache wa elimu kila siku anaharibu yeye. Kwani ukisema baba kwa kiarabu inakua baba mzazi? Kwa kweli mudi unawapotosha watu na utakwenda kujibu. Ami na babu pia unaweza kuita Abii. Aabaaukum mababa zenu
@arjenarjen6718
2 жыл бұрын
Wewe bado kielimu japo kua mtoto wa shekhe
@habibuhalfani2038
Жыл бұрын
tupe wewe elimu sasa
@ElMafunzoTv770
Жыл бұрын
Daaaah we jamaa jahilia sana mpumbavu kabisa yani Allah akuongoze uijue dini Aaamin
@majmaulbahraintv5535
11 ай бұрын
Huna ELIM dogo ndo maana hujui kitu soma Kwanza chali
@drchinamodi6373
2 жыл бұрын
kibaleghee weee
@HashimMohd-wg3cy
Жыл бұрын
Nenda ukasome tena, usiropokwe mambo usiyoyajua.
@feisal6592
Жыл бұрын
Sawa
@mohdmohd2550
Жыл бұрын
Tuseme ndio hujui kulingania au vipi, mbona kila sikua wasoma maulidi wanaongezeka tu tena hadi staili mpya za maulidi zinaanzishw, wallah ungekua hujikwezi na kujisifu bac watu wangekuelew
@kaslali2039
2 жыл бұрын
bonyeza picha yangu
@Marwatv255
2 жыл бұрын
Kunavitu kama huna elimu huwez kosoa Nahw uliyo nayo na Lugha Hsikutoshi kukosoa
@@kukww2024 mbona usimwambie bachu achunge na wanazuoni na mtume alikataza kuwatusi wanazuoni
@ashraf.e.o
Жыл бұрын
Sabasibul Kubra... pwaguzi wako خالف تعرف ،
@abubakarfaiz2401
Жыл бұрын
Bidaah ni uzushi tu katika dini baaas hakuna lingine
@abdallahmkomboz2679
2 жыл бұрын
Innalillahi waina ilaih rajiuun!! Uchache wa elimu ndo unakufanya uongee usiyojua...nenda kaisome nasaba ya mtume (s.a.w) umjue Abdullah alikua nani kwa baba yake,,je ni hakua muislamu au alikua anafanya ibada ziliochwa na nabii Ibrahimu!! Nenda kamsome Abdull mutwalib (babu yake mtume) alikua vp,,Kamsome Hashim na jina lake halisi ni nani , na kwann ameitwa Hashim,kamsome Abdul manaf na jina iake halisi ni nani na kwann anaitwa Abdul-manafi!! kasome nasaba yake yote mpaka ya Adinani utawajua ubora wa kizazi cha mtume (s.a.w)
@suleymansalim5732
2 жыл бұрын
Kwahiyo hiyo hadithi bi yauongo? Mtume hajasema kua baba yake yupo huko motoni??? Naomba nijibu tafadhali
@abdallahmkomboz2679
2 жыл бұрын
@@suleymansalim5732 hadithi ni ya kweli lkn inataka mafuhumu sababu neno Abuu/ abi hutumika hata kwa baba mkubwa au mdogo! Na hapo mtume (s.a.w) amemmaanisha Abuu lahabi ambae alikua baba yake mkubwa!! Hadithi inayoonesha ubora wa baba yake mtume moja wapo ni hii kutoka kwa Annas kwa Mtume (s.a.w) amesema Na nimetoka kwenye ndoa wala sikutoka kwenye zinaa kuanzia kwa Adam mpaka Baba yangu na Mama yangu, basi mimi ni mbora wenu kinafsi na baba yangu ni mbora kuliko baba zenu!! Na ukisoma nasaba ya mtume mpaka kwa Ismaili(a.s) wote hawa walikua wanamuabudu Allah na kufuata mila za nabii Ibrahim (a.s) !! Nakushauri isome hii nasaba kwa undani..Zipo Hadithi za mtume zenye majaz na kinaya ndani yake mfano mtume alipomjibu yule kibibi kizee kwamba Peponi hawaingii wazee ,,, maaanake kuna kinaya sio kwamba wazee wataingia motoni bali pepon tutaingia kwa umbo la ujana!! Kufasiri Qur-an ,hadithi au beti kama hzo hitajiii tu kujua lugha na nahau!! Bali kuna fani za usuulu , Balagha , Mantwik na kujua kilichokusudiwa !! Huyo Barzanji anaemkosoa hapo alikua ni Mufti wa Madina katk Uhai wake na Alifundisha darsa zake katk Msikiti wa Mtume (s.a.w) sasa yeye anakurupuka kufasiri beti kwa kiarabu cha kawaida hvo vnampa tabu sana!! mfano mtu wa darasa la saba kumpa kitabu cha mashair ya wasaka tonge akute shairi la jiwe si mchi , Mvuja jasho au Mfereji maringo alafu atafsiri kwa kawaida bila kujua dhamira za tungo hzoo!! Tusomeni Dini , tupo kwenye zama za fitna!! Hivo kamsome Abdullah bin Abdul-mutwalib ambae alikua ni mtt wa mwisho wa Abdul-mutwalib
@sheikhabdallahabdulkarim2470
2 жыл бұрын
Kweli
@karimdaud3993
2 жыл бұрын
@@abdallahmkomboz2679 ALLAH AKUPE UMRI WENYE BARKA . NA MOYO ULIVO NIDUNDA . KUMSIKIA MTU ANASEMA MAMENO MAZITO JUU YA RASULULLAH. ALLWAAHUAKBAT.
@muhidinn5648
2 жыл бұрын
Huyu haha akili eti yeye ndo mkweli na hao walioifanya kazi yote mpaka wakatunufaisha kielimu kwa mijeledi ya vitabu ni waongo الجنون فنون والاحمق من المجنون
@ramadhanmakame1328
2 жыл бұрын
Umma w Kiislamu unaandamwa kila kona na makafiri, sheria za Allah s.w.t hazitekelezwi duniani. Bado mpaka leo mada ni "MAWLID" ndo Uislamu wetu umeishia hapo?
@michaelthobias9967
2 жыл бұрын
Hizo sheria tekeleza ktk family yako huwezi waminisha watu unacho amini wewe
@ramadhanmakame1328
2 жыл бұрын
@@michaelthobias9967 kufa kwa chuki zako
@mahamoudduchi3318
2 жыл бұрын
@@michaelthobias9967 Huna ulijualo katika uislamu endelea na upuuzi tu ila maisha ya kweli yapo baada ya kufa.
@swabiralii140
10 ай бұрын
Unawazimu bachu umeishiwa na darsa
@hashimshariff8903
2 жыл бұрын
Mitume wengine walikuwa na dini gani kama watu walokufa kabla ya mtume kutumilizwa wataingia motoni ambao ni ahlu fitra
@eastzooadmin6416
2 жыл бұрын
Mbona upo kama bunju, yani bado tu hajaelewa, au ni kusudi tu. Ndo nyinyi watoto wa barzanji 😁
@hashimshariff8903
2 жыл бұрын
hujatunga hata kitabu cha kurasa 10 Leo hii wamkosoa barzanji Kweli una upungufu WA elimu na Akili
@aliybecka5169
2 жыл бұрын
Kwa kweli ww ni mjinga dah pole sana zero brain
@shariffjuma7974
2 жыл бұрын
Ww unakijua au ni kufuata tu bila kujua ulisemalo
@aliybecka5169
2 жыл бұрын
Jamani kumbe kuna watu wagonjwa kweli ee sasa wewe nani alikuambia kama mtu akitunga kitabu ndio yupo sawa, sasa mimi nakuambia barzanj ni kitabu kilichojaa shirki shirki shirki za waziiiii na uongo mkubwaa
@saidiabdallah-kv7bd
Жыл бұрын
Huo ukweli wako ww twambir
@abdalhasaid8408
2 жыл бұрын
Ww kazi yakufanya huna unatafuta mashekhe wameteleza wapi upate ukosowe wachana na waislam wenzio kugombana nao ila nimekumbuka nimipango yenu malumu munalipwa kufanya hivo na viongozi wenu
@hashimmzee9109
2 жыл бұрын
Kwanini mnaoshabikia mawlid mnakuwa na jazba mnaponasihiwa ukweli? Kwani hiyo Barzanji maneno yake na ubora wake washinda Quran? Yeyote anaetafuta haki kwenye dini yampasa arudi kwenye mafundisho ya Quran na Sunnah.. vyenginevyo hatoifahamu haki na batil ikiwa atakuwa ni mwenye kushabikia itikadi walizofanya mababu zetu wakitakidi kuwa ni mambo ya dini...
@karimdaud3993
2 жыл бұрын
Kwani wewe maneno yako na quraan bora yepi ni muhim kufaham kwa hiyo quraan .ukiwa hujaifaham basi .utayumba bora tusali na fardhi tujitahidi .
@farruqali8879
2 жыл бұрын
@@karimdaud3993 kwan Quran inaonyesha wapi kama maulid ni ibada
@abbasmabewa320
Жыл бұрын
Hashim mzee,nataka mimi na wewe tufundishane Qur'an na sunna,kisha tuje kumfundisha Mwamedi bachu,Wewe uje na tafsiri ya Qur'an nami In Shaa Allah nitakuja na Ta'awil ya Qur'an tujadiliane,tufundishane na tuelekezane kwa adabu na utaratibu mzuri kisha tuje kwa mwamedi bachu pia.
@anwarambar6141
2 жыл бұрын
mrongo wewe, kuwa na adabu, mashekhe wote ulimwenguni sijawasikia wakisema kuwa wazazi wa mtume wetu Muhammad wamekufa ilhali mushrikina, umevuka mipaka wewe, wewe ni kazi yako kubishana TU
@HassanMohamed-pt2dy
2 жыл бұрын
Hii naona imeeleweka,hayakuwepo maulid na hakuyaacha Mtume wetu (SWA). So tujiepushe na bid'a. Ustadh naona wameelewa tufunze vitu vyengine In Shaa Allah.barakaAllah fiik
@adamsamata8754
2 жыл бұрын
Bas tusipande ndege wala basi maana ni kitu kulikua haipo unasema hapo
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
@@adamsamata8754 bado unaulizaga hayo maswali ndg yangu??? siku zote bidah zinazoongelewaga ni bidah ndani ya dini katika ibada
@adamsamata8754
Жыл бұрын
@@Yu-jr9uf ahaa sawa Sasa somo la Nahau limezuka mtume halijui wala hakuna mtume aliyesoma na vilevile spika za msikitini mtume hakutumia ni bidaa hapo je vipi au navyo sio dini
@adamsamata8754
Жыл бұрын
@@Yu-jr9uf kama hujatosheka nikuongeze
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
@@adamsamata8754 spika ni ibada??? unajua maana ya ibada lakini ndugu yangu??
@yusufathman2478
2 жыл бұрын
Idhaa maata ibn aadha nkatwaa amaluhu ila man ay...
@mafaza.tv.tz255
2 жыл бұрын
Sharti la kufaiwa na mwanao ufe ukiwa muislamu....
@suleymansalim5732
2 жыл бұрын
Maashaallaah. Allaahu akubaariki.
@feisal6592
Жыл бұрын
Sasa yakweli niyapi
@ahmedhusseinshnoor1210
2 жыл бұрын
Nilidhani yeyote anayepingana Mowlid ni salafi, kumbe mahizbi na maikhwani pia wanapinga mowlidi.. yaa hizbiyuun mwanzo jirakibisheni Na Biddah zenu ‘
@bwagizoselemani8434
2 жыл бұрын
Wewe hujui ki2 sikiliza tu kaka
@yahyajunior6569
Жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili duni hana busara hata kidogo.... Ajiandikishie kitabu chake asipuuze vitabu vya wenyewe
@IbraJuma-hm9vw
9 ай бұрын
Huna akili we😂😂😂
@issajaha5162
2 жыл бұрын
Kwakweli sijaelewa hoja zako za kupinga maulidi kwahiyo mama yake mtume hakuwa mwema
@mafaza.tv.tz255
2 жыл бұрын
Assalam Alykm, ndugu usitsfute hoja ya kupinga maulidi... Waulize wanaofanya wametumia hadithi gani, au aya gani, au swahaba gani au imamu gani shafi, hambal, maliki, hanifa... Nani alifundisha maulidi... Hao ndio maimamu wa kutegemewa... Kama ni mtu tu kaja nayo basi hiyo si ibada.. So usiulize kwanin haifai, uliza kwanin watu wafanye jambo ambalo si mtume, wala swahaba, wala taabin, wala maimamu wanne wakubwa amewahi kufanya hilo
@ashasalum4467
Жыл бұрын
Mtihaaani kwa kweli.
@mrmuhammed8790
Жыл бұрын
Eeee mwanawee vip kwani mbona unapotosha watu we kama hunakaz nenda kauze njugu darajani dahhh kaz
@swabiralii140
10 ай бұрын
Wewe ulimuona ama kumskia mtume ulisoma madrassa gni una kibri
@hashimshariff8903
2 жыл бұрын
Kwa hakika tumewaona mashekhe walokutangulia WA kiwahabi Vigo wakisawasawa hawajadhubutu hats siku moja kuwatukana swahib barzanji Wala waliotunga vitabu vingine
@alamoodyfauzi9658
2 жыл бұрын
Kwani huyu shekhe pia? Hata hana quality za mashekhe. Amejaza roho yako chuki kinyume cha mafundisho ya mtume..He is in a lot of pain..namuhurumia.
@rashidabasi7940
2 жыл бұрын
Masheikh tulobaki nao.... Kubwa ni kuzungumzia madhehebu . Ebu jikite kutoa elimu kama Ustadh Othman maalim watu waelimike wachague wenyewe.
@Miynuh_01
2 жыл бұрын
Kabisa, yaani badala kufindisha watu Tawhid na mengineyo yao huyu ni mrongo,huyu ni mzushi huyu ni hivi. Subhana Allah sijuwi twaelekea wapi ,mola atupe fahamu na Tawfiq tuweze kujuwa batil katika dini bila kutegema sheikh yeyote😢
@wignaspaschal38
Жыл бұрын
We nae masikio huna huoni kuwa Anaongea point
@rashidomar2771
Жыл бұрын
Bachu unatia kichefuchefu
@binamiin8144
Жыл бұрын
Muhadii mashalifuu watakulaaani
@selemanmartin
Жыл бұрын
Bin Amin: Mshirikina mkubwa weee
@fahmisaid8998
2 жыл бұрын
Huna mengine ya kuongea mtu wewe ni Mawlid tu? Kuna mengi yakuongea jamii imepotoka yahitaji kurekebishwa...nyinyi ni Mawlid tu utapasuka kundru angalia ya muhimu boss
@luqmansadi3724
2 жыл бұрын
Uwongo je wewe ulikuepo
@omarykinolo3628
2 жыл бұрын
Innaa lillahi wainnaa ilaihi raajiuu ni msiba mzito sana
@lukakyauke3258
2 жыл бұрын
Apo Mmesema kweli Wazazi wa Muhammad walikuwa makafiri Na kwa mojibu wa Biblia kitu Kichafu akiwezi kutoa kitu kisafi Kwa msingi huwo Muhammad ni Nabii feki
Asalam aleikum warhmatulah wabarakatu shukran sana sheikh nakukuba Allah akuweke akupe husnul hatima
@selemanmartin
Жыл бұрын
Mtakoma watu wa Bid'aa, hamumuwezi huyo
@drchinamodi6373
2 жыл бұрын
we tutakuitia kassim mafuta utashika adabu yko
@harounmussa846
Жыл бұрын
Lete ushahidi wazaziwake waliabudia hayo masanam
@abunufilaabunufila2152
2 жыл бұрын
Wewe unejifunza jihadi kwa ajili ya kupigana na waislamu wenzako
@bythamtz8642
Жыл бұрын
Hauna akili ivyo ulivyo elewa wewe jiulize maneno yako yana akili? Acha kutukana wanawazuoni nenda kasome uelewa wako mdogo sana, Kisha jifunze kuwaheshim Wana zuoni ili uelewe, ndo maana hujui na hutojua mpk kiama, maana wewe unawatukana wenyej kujua kwa umbumbumbu wako
@swabiralii140
10 ай бұрын
Huyu badchu jamaa yuwajua anachoongea
@hamhahamha9446
2 жыл бұрын
We Muhammed Bachu Uchizi kama chizi wengine tu.
@omarmuhidin7261
2 жыл бұрын
Samhnn naomba niulize kwani Mzazi wa Nabii Ibrahim Baba wa iiman Babaake Ameingia wapi? Je alikua Muislamu au Mshirikina?
@bwagizoselemani8434
2 жыл бұрын
Alikufa mshirikina hakumuamini mwanae
@husseinmohamed4166
2 жыл бұрын
Hauna mawaidha mengine mpaka uponde tu.
@shariffjuma7974
2 жыл бұрын
Lazima ukemewe uzushi na mawaidha mengine anatoa , ukijiona unachukia anachokisema bc una chembe za kibri
@abunufilaabunufila2152
2 жыл бұрын
Wewe mjinga kweli kuna makahaba yanafanya yatakayo miziki aina tofauti tena yanaharibu watoto sibora upigevita hayo machafu wewe
@mnyamamkalitv6575
Жыл бұрын
Unatetea uzushi katika dini
@Ahmed-wj5md
2 жыл бұрын
Please don't come to give wrong words you need to study
@selemanmartin
Жыл бұрын
Colonial mentality, why don't you write in Kiswahili? Uonekane umesoma sana! Jinga
@selemanmartin
Жыл бұрын
He has studied that's why he's speaking reality infront of you with no doubt with perfect references
@hashimshariff8903
2 жыл бұрын
Mitume mengine walikuwa na dini gani mpaka useme mamake na babake hawakufa katika dini sahihi
@jolinkimaro9939
2 жыл бұрын
maquresh hawakuwa na dini shekh walikuwa makafiri wakiabudu samanam zaidi ya 360 katika alkahaba. huna hiyo habari hashim. mtume ndio alianzisha uislam na bi adija alikuwa wa kwanza kuslim. mtume hakuwahi kuwa na dini hata alipohusiwa asilimu aliepa katika aya 4:16 hakusilim mpaka anakufa. lakini pia ilimuumiza mtume kwa kuwa katika 49:6 alianza kuona makosa na akakiri hajui nini kitafuata. uchungu ulimshika akaanza kusema wajameni niswalieni niswalieni mtapata rehema. lakini mkisoma mkaacha kasumba na jaziba na hisia mtaona hayo yote. karibu katik ex imam tv utapata yote
@eastzooadmin6416
2 жыл бұрын
Kwahio mtume ilikua hana akili aliposema babake yuko motoni
Watumia hadithi zaifuu kuwaingiza motoni wazazi wa mtume
@selemanmartin
Жыл бұрын
Kaa pembeni, hata maandishi yako makosa matupu--hujielewi
@fikratulmuhibbonlinetvismail
Жыл бұрын
@@selemanmartin hadithi ya kuwa wazazi wa mtume ni wamotoni ni dhaifu shekh sasa huyuu au kisa iko sahihi muslim
@jumamnemo8383
2 жыл бұрын
Unafanya hatari ya kuutia shaka uislam na akida .swali kwako Bacho je Mwenyezimungu huwaazibu watu bila kuwapelekea mjumbe je nimtume gani waluotakiwa kumfuata hao wazazi wa mtume je nabii iIssa alikua ni mtume wa watu wote?
@suleymansalim5732
2 жыл бұрын
We nadhani hujaelewa mada hayo maswali yko yote yamejibiwa humo.kuhusu kunfata nabii Ibrahim alayhsalaam....na kasema wapo walomfata nawapo walopindisha nawalokataa sikiliza tena
@mauldisalim2024
2 жыл бұрын
✓ وعن ابن مسعود وابن عباس رضي الله عنهم: من أفتى في كل ما يسأل فهو مجنون. ✓ وعن الأثرم: سمعت أحمد بن حنبل يكثر أن يقول: لاأدري؛ وذلك فيما عرف الأقاويل فيه. ✓ وعن الهيثم بن جميل: شهدت مالكا سئل عن ثمان وأربعين مسألة، فقال في ثنتين وثلاثين منها: لاأدري. ✓ وعن مالك أيضا، أنه ربما كان يسأل عن خمسين مسألة، فلا يجيب في واحدة منها، وكان يقول: من أجاب في مسألة فينبغي قبل الجواب أن يعرض نفسه على الجنة والنار، وكيف خلاصه؛ ثم يجيب. ✓ وقال الشافعي: ما رأيت أحدا جمع الله تعالى فيه من آلة الفتيا ما جمع في ابن عيينة، أسكت منه على الفتيا. ✓ وقال أبو حنيفة: لولا الفرق من الله تعالى أن يضيع العلم، ما أفتيت؛ يكون لهم المهنأ وعلي الوزر.
@hashimshariff8903
2 жыл бұрын
Mwanzo kamsome barzanji ni nani ndio alafu umkosoe
Пікірлер: 330