Lamu si Lamu tena ni Amu,keshanajisiwa na Urawaafidhwa.Msiba kwa Waislamu wote kwa jumla.
@ahmadabdulkadir544
Ай бұрын
Kaitie twahara upate thawabu zako
@razackndeze-pv5bm
Ай бұрын
Masha Allah, mmependeza sana , JazzakumLLAH khair
@nakamuramatano5779
Ай бұрын
Mashallah Shia community
@Muislamu
Ай бұрын
Shida ya watu walamu njaa ndio yawasumbua
@tigerroar3545
Ай бұрын
Mashia golo wapo wengi .Allah awaongoze
@ahmadabdulkadir544
Ай бұрын
Na wapotofu tiger pia Mngu awaongoze
@mohammadswaleh6900
Ай бұрын
Donda sugu hili Limetawala Ushia umepenya kwa mikono ya Masufi.Punguzeni njaa
@kamrudinelias3922
Ай бұрын
Pesa za Khomeini zina fanya kazi....
@ahmadabdulkadir544
Ай бұрын
Twaona ndaa zako pia zafanya kazi
@muktarkassim6647
Ай бұрын
Mashia
@ahmadabdulkadir544
Ай бұрын
Ndio page yao. Uliitafuta?
@eternallyhappy4667
Ай бұрын
labbayka ya husseyn labbayka ya Aba Abdillah 😢 leytany kuntu maakum faafuza fawzan adhwima
@muadhibrahim6914
Ай бұрын
Aliye kufunza hayo maneno alikua ni wa kilemba cheusi ama cheupe?
@Assalafiyyah637
Ай бұрын
Hii ndio ushirikina kwa uhakika wake hebu yatizame maneno haya mwili unsisimka wallahi
@ahmadabdulkadir544
Ай бұрын
@@muadhibrahim6914chekundu cha youtube kama cha mufti comment
@ahmadabdulkadir544
Ай бұрын
@@Assalafiyyah637usipoteze bundles bure.
@mundhirdubai5582
Ай бұрын
mashalla lakimi mbona magolo tu wale asili wako wapi au wao masjid yao mbali
@muadhibrahim6914
Ай бұрын
Kama mombasa msikiti wa bilal ndiyo wa magolo na ule mwingine wa majefry wenyewe
@husseinshatry938
Ай бұрын
Hii lakini ndio lamu ilotowa ma ulamaa ni jambo la kusikitisha sana mambo gani haya
@zully756
Ай бұрын
Waacheni wana haki sawa
@eliasissa826
Ай бұрын
Goloo wote wenyewe hawapo
@111dudi
Ай бұрын
Hakuna hata siku moja mtume s.a.w.alipita njiani akiimba, wala hakuacha tabaka baina ya waislam,kama kuna wengune watakuwa masharifu wanaojipa daraja kuliko waislam wengine.
@ahmadabdulkadir544
Ай бұрын
@@111dudi lakini alikiandika comments za kejeli youtube, sio?
@twalibsaid2614
Ай бұрын
Wale wakiwatukana waislamu ni makafiri kwa ajili ya madhebu ni watumwa wa mayahudi ndio maana hata nchi zao ni marufuku kusaidia kadhia ya kukombolewa masjidaqsa na palestine kwa jumla mwisho hata maandamano hakuna ruhusa kufanya . Bali twaona nchi na makundi ya mashia ndio wanao pambana na mayahudi
@twalibsaid2614
Ай бұрын
Matusi ndio urithi mzuri walio achiwa wale wanafiq wanao mpenda Muawiya na Uazid laana iwashukie killa anaechukia kizazi cha mtume hua anarithi matusi hukosa he kima angalia comment zao ndio hali yao . Kuna shida gani mtu kusikitika na mauaji yakinyama aliofanyiwa wajukuu wa mtume ?
@twalibsaid2614
Ай бұрын
Umadhehebu na chuki dhidi ya mashia umekufa watu wajielewa sasa waislam wengi hawataki tena propaganda za kiyahudi Imam Hussein ni wakilla muislam
@AbuabdillahUthmaan
Ай бұрын
Wa allah hawa ni. Wajinga wasio jielewa wamevunda akili kwa. Uvundo humein
Пікірлер: 29