Tazama video yetu ya muhtasari wa kitabu cha Malaki, inayoelezea muundo wa fasihi ya kitabu hicho na mtiririko wake wa mawazo. Malaki anawashutumu Waisraeli kuwa wabinafsi baada ya kurudi kutoka uhamishoni na anatangaza kwamba siku ya Bwana itawatakasa Waisraeli na kuwaandaa kwa ufalme wa Mungu.
#BibleProject #Biblia #Malaki
Wahusika Katika Utayarishaji wa Video:
Timu Ya Utayarishaji Wa Toleo La Kiswahili
Tai Plus
Dar es Salaam, Tanzania
Toleo la Asili la Kiingereza na Utayarishaji Wake
BibleProject Portland, Oregon, USA
Негізгі бет Muhtasari: Malaki
Пікірлер: 4