Pole Sana ...mungu atunusuru sisi na vizazi vyetu na familia zetu inshallah
@samirmswahili
Күн бұрын
Dah noma kweli pole sana dada kwa mitihan
@saumuabdallah198
Күн бұрын
kwamana hio walimshambulia sio wezi... ni kama waliotumwa au wana sabab binafc!!!🤦♀️🤦♀️🤦♀️ mungu akutie ujasir mwaya... wazanzibar wa leo ni magen Z🙄🙄📌📌📌
@pena_tz
23 сағат бұрын
Pole sana 😢
@wangagirl3508
23 сағат бұрын
Binadamu wabaya jamani 😢😢😢😢sai hao wanaume wanaendeaje jameni watu wache ubaya na wivuu
@naturelle1097
Күн бұрын
Pole sana
@BimHamdi
Күн бұрын
Watu wabaya dah ila afadhali umepatiwa matibabu huku kwetu wengine huwa wanaharibika sana wanakosa matibabu hata hayo
@ChoroTesla
15 сағат бұрын
They are very far na wenzetu likija suala la raia wao hawatakagi masiala. Sio km sie rais anasimama anasema ukiwa nje ukipata matatizo wanasema utajijua mwenyewe.
@AishaTabi-e2z
Күн бұрын
Mbana Tanzania wako na tapia hii😢
@AdamCheze
Күн бұрын
Uwe Na Maisha Marefu Dear Friend
@Muba-rf1eb
21 сағат бұрын
Duh huo mwaka nakumbuka nilikuepo Zanzibar
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
Күн бұрын
Wazungu wanavisas ngojeni baadae msidhan mjinga,,,kingn yule Tariq WA Arusha why asingepelekwa wingereza kutibiwa. Ila kapelekwa hindús na Bado ajakaa pouwa
@albertmbise2670
Күн бұрын
Bima ndyo kila kitu itaamua ukatibiwe wapi
@pinieliedward5992
23 сағат бұрын
Pole Dada watakufa 2 atasipokamatwa
@petronyereresaliboko4047
8 сағат бұрын
Aise pole sana Zanzibar napo Kuna ka ubaguzi ka chini chini na udini
@mohamedshaban745
6 сағат бұрын
Mbuzi we
@olivernyange2349
2 сағат бұрын
Kabisa
@kalengashoppingcenter1108
23 сағат бұрын
Nakumbuka mwaka huo nilikua Zanzibar,,, mmmmmh Africa 🌍 hatuna tamaduni iz but wachache wetu tu, lakn tutambue wanayotufanyia wazungu ni makubwa kuptiliza yasiyo semeka pole dada
@modekaijames
16 сағат бұрын
Kwani kalenga ni jina la kizungu au 😮😮😮😮
@daudmwalimu971
15 сағат бұрын
Umeanza vizuri ukaaribu mwishoni
@kalengashoppingcenter1108
11 сағат бұрын
@@daudmwalimu971 hujanielewa boss, tunayachkia haya yaliyomfika but tutambue pia na wao wanatufanyia haya kwao
@HassanAhmed-di9jq
Күн бұрын
Sisi waislamu dini yetu hairuhusu kudhulumu wala kudhuumiwa kwahiyo Naanimi yakwamba waliofanya hayo ni watu wasiojielewa kwakweli nakama nikuchukia wageni nasisi tufanywe hivyo maana ndugu zetu wako wengi tu huko makwaoo
@vincentcharles4385
Күн бұрын
Well said Mkuu
@zuricakes6817
Күн бұрын
Ukiwa kafiri dini yenu inaruhusu kumfanyia kitu chochote, kafiri hastaili kuishi.
@OnesmoEphrata
Күн бұрын
Wa Zanzibar wali zingua hapo kwakweli Kwa sisi huku Kilimanjaro na Arusha Huwa tuna wathamini sana wageni na kuwaombea waje Salama napia warudi Salama napia wanae ulinzi mkali Toka serekalini japo ktk huu ulimwengu Hawa watu wa European wanae ROHO tofaut sana na watu wengine woote Nikikumbuka tukio la ajali ya wanafunzi iliyo tokea karatu eneo la kilima rothia kulikuwa na gari la watakii upande wa nyuma Waka shuhudia ajali Waka umia sana na kuwasaidia na kuwapeleka America kimatibabu hapo ni baada ya hao wageni kusitisha safari Yao yakwenda Serengeti national park Hadi waka warudisha wanafunzi walio kuwa wame salmika ktk ajali duuh WA Zanzibar hapo mli zingua kiukweli 👎👎👎👎👎👎👎👎👎😱
@Keyjop
Күн бұрын
Mungu awa barikie watu kama ww mnaolojua hili
@shaviercharvinho18
15 сағат бұрын
Mh @@zuricakes6817
@georgekabaka377
6 сағат бұрын
Mpe pole..... Ila naendelea kutambua wemzetu wamebobea kwel kwwnye maswala ya Afya.... Angekuwa bongo asingeona au mikunjo kibao
@ibrahimaziz7158
17 сағат бұрын
Pole sana dada hao wanaitwa watu wasijulikana
@Siasia209
11 сағат бұрын
Ipo siku watajulikana
@hajjiomary2383
Күн бұрын
Sorry dada itakuwa jamaa zenu watanzania watu wakarim sana awawezi kukufanyia ki2 km km hii .kip ur love shine
@paulinewangila-cs6ys
21 сағат бұрын
Mbona wakamfanyia hivyo
@Kachelo96
9 сағат бұрын
Seem ulipo uislamu vutugu tu mwanzo mwisho pole mwenyezimngu akusimamie
@thabitdaudi9815
14 сағат бұрын
Sema dada watalii wasije tu hata wakija hakuna ulinzi wala ufuatiliaji wa wale wanaodhuru.
@Farajahelene23031
22 сағат бұрын
That was very serious
@daudmwalimu971
15 сағат бұрын
Ila Zanzibar kuna mambo ya hovyo sana watu wake wanaroho mbaya kinoma hivi unajua ikitokea katika nchi yeyote mtalii akishambuliwa ni sifa mbaya kwa nchi hii itafanya kupoteza sifa ya utalii na sio wazungu tu hata wa Africa wezetu watapaogopa watahisi sio salama
@shaviercharvinho18
15 сағат бұрын
Unaijuwa zanzibar wewe au unasema tu unajuwa huyu kamwagiwa tindi kali na wazungu wenziwe pili wabongo mumejaa huku kazi yenu ni kuuza ulevi na kuuza uchi na kufanya kazi kwa kiwango chá chini kabisa
@ChoroTesla
14 сағат бұрын
@@shaviercharvinho18ww matako kweli eti wabongo ww nani? Kilaza mmoja hv nyie kila sku mnafira watt wadogo kenge nyie kwanza wavivu kufanya kazi mnasubir oesa za ndugu zenu ughaibuni
@HareemaMct
13 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂@@ChoroTesla
@hajimgeni5017
13 сағат бұрын
Hakuna mkamilifu Kwa mtu kuwa na roho mbaya ni kokote kule duniani watu wenye roho mbaya wapo na kaa ukijuwa mzungu hajawahi kumpenda mwafrika isipokuwa Kwa maslahi yake bianafsi pia Kwa Hilo tukio inawezekana Kuna sababu maalum ila mara nyingi mtu hasemi uovu wake na jengne si kitu kuzur kuanza kusemana wazanzibar watamganyika wapemba utakuta tumeoana sote ni ndugu Sasa hii hailet maana nzur kwani huwa tunasemana na kutukanana wenyewe kma familia Moja linapotokezea tatizo ni kusuluhisha sio kuongeza tatizo ni mtazomo wangu peace and love
@@salimfaraj5509mbona inaeleweka tu vizuri ni magaidi wa aina gani haina haja ya kutaja dini
@FrankKashamakula-xb1pc
10 сағат бұрын
Uchochezi wa shehe ponda na mashehe wa Uamsho Mihadhara ndio ilileta chuki io
@ellybrown5989
4 сағат бұрын
Pole sana,hao walofanya kitendo hicho,malipo watayapata hapahapa duniani karma haijawahi kusahau!
@Jeff_Tz
14 сағат бұрын
So sad jaman😢
@ndimimaskati3641
9 сағат бұрын
ZANZIBAR ni MAZOMBI ndio wanaofanya mambo haya ZANZIBAR.
@fatimammowa8312
4 сағат бұрын
subhanallah maskini pole
@ReginaErnest-cf6ji
19 сағат бұрын
Da jmn pole sana 😢
@ilynpayne7491
6 сағат бұрын
Mna taka ela za utalii ila mna wafanyia matukio ya ovyo wasipo kuja mlale njaa
@ramadhanhassan9308
5 сағат бұрын
Mwenyewe halalamiki anajua kwanini? Yalimpata mambo hayo
@JeannetteManirambona-o6m
15 сағат бұрын
Wanadamu wa leo 😢😢
@dylankanyubi3700
12 сағат бұрын
Ni kadhia ya kutisha na kuleta masikitiko.
@IshakaIssa-h4w
53 минут бұрын
Hii haingii akilini man Zanzibar tunawajali san wageni ukimtukan tu utatafutw popote ulipo je tindikali alafu mtuhumiwa asipatikan huu ni uongo ausiju ndio anatangaza vipodozi
@nassoromussa4440
5 сағат бұрын
Alimwagiwa Tindikali kwa sababu zp wakati alikuwa anafundisha watoto au alichokuwa anafundisha hakiendani na maadili ya Zenji?
@ndimimaskati3641
9 сағат бұрын
MAZOMBI ndio wanao tesa watu ZANZIBAR.
@FrankKashamakula-xb1pc
10 сағат бұрын
Huo ni Uchochezi Ulio fanywa na Mashehe Wale wa Uamsho Na Hutuba Za shehe Ponda Chuki zidi Ya Dini Zingine
@MohammediKihimbwa-bj4pf
Күн бұрын
Sawa sawa tu ao ndiyo wanaziaribu inch zetu wanatuibiya kisa tuna majeshi ya kuzuga adi utowe rushwa ndiyo uende jeshini kwao ao wanatunyanyasa mmbwa ao
@BimHamdi
Күн бұрын
Nani mpaka utoe rushwa??
@MsAggie5
21 сағат бұрын
Mbona hueleweki hebu andika vzr
@paulinewangila-cs6ys
20 сағат бұрын
Siamini kumbe huku pia magaidi wapo nilijuwa ni watu wa amani na roho nzuri kama pamba dunia nzima
@zanzibarboyzanzibar509
17 сағат бұрын
Usiukumu bila kua na Uhakika hakuna Uhakika aliefanya hayo katoka wapi
@josephlorri431
16 сағат бұрын
@@zanzibarboyzanzibar509kulikuwa na mahuburi ya chuki na uhasama dhidi ya wasio waislamu na wageni hasa wanaotoka ulaya/marekani kutoka misikiti mbalimbali Zanzibar kipindi kile.
@salimfaraj5509
14 сағат бұрын
Hao ni magaidi wa kikst kutoka bara
@pikanaauntzuu1466
12 сағат бұрын
Unajaribu kutaka kusema nini wewe hata sio miaka mingi sana kuna family ya kizanzibari walijifanya wamepoteza ndugu yao wakaja kukuta nywele zake na mifupa kwenye chemba kubwa ya choo na hio sio bara hukohuko zanzibar na alikua mwalim kwanini mnataka kujifanya nyie ni malaika wakati nyie ni watu km watu wengine km maovu yalifanywa tangu enzi za mitume bac na yatakuwepo usikae hapa ukataka kutetea ujinga hio kufichaficha ndio imesababisha watoto wenu wanalwitiwa na hami zao na anko zao na mnashindwa kuwashitaki kwa kuona haya mnapokuja kujitambua mmeshachelewa watoto wengi wameharibia mnatakiwa kufungua hivyo vibichwa vyenu angalieni bara watoto wakilatiwi vipi watu wanapambani haki hata km ni ndugu yake mtu haoni haya kusema kwasbabu anakemea hilo jambo baya lisiendelee sasa ngie mnakazi ya kuficha mabaya kwa kujif8cha kwa wabara kwamba wao ndio wanaofa ya maovu na nyie wazanzibari mnajifanya hamfanyi maovu ifike mahali mjue km hata nyie ni watu na mnakosoro muache huo ujinga@@zanzibarboyzanzibar509
@braystuskibassa3842
10 сағат бұрын
Wakati waafrika wakiuawa huko Ulaya na Marekani wazungu huendelea kupiga picha na kurekodi video na sidhani kama wazungu hufunguliwa mashtaka sawa na kwa balansi inayostahili pindi mtu mweusi ama mzungu akishtaki au kushitakiwa mahakamani wazungu warudi kujali na kuheshimu watu weusi kama tunavyowaheahimu sisi
@alihassan3648
16 сағат бұрын
Kunakitu wamefanya sio bure wangapi wapo na wamejenga na wanaishi na Wazanzibari vyema sana
@ChoroTesla
14 сағат бұрын
Unaijua hasidi ww kwan hao wanaolawotowi huko zanzibar wanafanyaga nini
@fatmarashid8163
14 сағат бұрын
Mtu anaweza kukufanyia hivyo kwa sababu tu anaumia namuonekano wako Husda ni kitu chakushangaza sana
@bigirumanalululouise4540
22 сағат бұрын
Jamani munambie tindi kari nini???
@MsAggie5
21 сағат бұрын
Google
@DouglasMassop
19 сағат бұрын
Tindikali ni Acide kwa kifaransa
@DouglasMassop
19 сағат бұрын
Tindikali ni acide kwa kifaransa
@DouglasMassop
19 сағат бұрын
Acide kwa kifaransa
@FahadAbubakari
19 сағат бұрын
Acid especially sulphuric
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
12 сағат бұрын
Zanzibar kipindi icho walikuwa wapumbav sana nakumbu kuna ndugu zangu walikuwa waklisto walikuwa wanaishi uko zanziba walikuwawanatishiwa kumwagiwa tindi kali mpaka wakaamua kuama na kuja uk tanzania Bara
@MohamedAhmada-ie7ke
10 сағат бұрын
Tuache kuhusu kumwagiwa tindikali mbaka waislam washa mwagiwa kuna sheikh mkubwa anaitwa soraga pia alimwagiwa so usinasibishe hili jambo na udini
Yaani unavyotukana kama mazuri! Au ni wewe uliyemwagia? Uwe na utu na ubinadamu
@ChoroTesla
14 сағат бұрын
@@MsAggie5hao tunawaita wajinga ndo ccm wanapenda watu km hawa wasiokua na uwezo wa ku reason inshort mapoyoyo
@Jibambeshow254k
8 сағат бұрын
😂😂😂acha makasiriko
@babubabz4507
16 сағат бұрын
Ndindi kali nini hizo ama jina lengine
@Philosophy219
12 сағат бұрын
Acid
@zambia7797
10 сағат бұрын
Mbona Tanzania wako na tabia mbaya na wangeni kweli. 😭😭😭😭😭😭😭😭
@FrankKashamakula-xb1pc
10 сағат бұрын
Hii ni kitambo sana bhn sio Leo
@saidiomar6642
12 сағат бұрын
Alikua anafundisha watoto ushoga na usagaji huyo mbwa
@Jibambeshow254k
8 сағат бұрын
Ulikua uko ama niwe ulikua unafunzwa
@AFRICA_D669
Күн бұрын
Wapigwe hao makafiri wanafadhiri ugaidi wakizayuni unaofanywa huko mataifa ya falme za kiarabu
@salmyhussein6255
Күн бұрын
Uislamu hauendi hivyo, usiuchafue uislamu kwa fikra zako, uislamu ni dini yenye mipango maalum, sio kila kafiri anaruhusiwa kuuliwa, soma kwanza kabla ya kuropokwa
@Sarah-e1o9k
Күн бұрын
Asante kwa comment yko ❤@@salmyhussein6255
@Sarah-e1o9k
Күн бұрын
Tuanze na wewe je umeshawai kutupa ata mia kwenye ili paybill ya kusaidi wapalestine kupata chakula na maji tuanze na wewe kwanza
Пікірлер: 132