Siku ya Jumapili Disemba 23 Rais Magufuli aliwaongoza watanzania kuipokea ndege mpya ya Serikali aina ya Airbus 220-300 iliyotua majira ya saa kumi na nusu Alasiri.
Watanzania wengi wameiona zaidi kwa nje, je ndani kukoje?
Itazame hapa wakati Rais Magufuli alipokuwa akiikagua.
Негізгі бет MUONEKANO WA NDANI WA NDEGE MPYA YA TANZANIA AIRBUS220-300
Пікірлер: 111