Mchezaji bora wa mechi kwa kucheza kwa macho ni pin pin camara😂😂😂
@MUSAMAYEMBA
13 сағат бұрын
ASAMBROSA(awesome)
@danielkajiru6017
12 сағат бұрын
Mwl Fadlu Davis anawaamini wachezaji wake Mutale na Balua ila watamgarimu nashindwa kujua kwanin hamuamini Chasambi wakati kila game anayopewa anaonyesha kitu
@FrankKamala-f9c
12 сағат бұрын
Huyu musa camala manula ameshaanza kumloga
@FrankKamala-f9c
12 сағат бұрын
Spider man ninaye mjua mimi sio huyu wa leo huyu manula na mwenzake ally salim wa wivu sana magoli yote aliyofungwa camala niyauchawi wa manula na ally salim daah nimeumia sana leo kumuona wajina wangu anafungwa kwa magoli ya kiuchawi yani leo camala alikuwa mzito kudaka mipira yale sio magoli ya kufungwa musa camala ila namin kuna mambo fulanifulani yamefanyika kaw camala. Simba nguvu moja 💪
@MahaSaeed-hf3gs
2 сағат бұрын
Umeambiwa kuna nguo za camara zimepotea kuna nni hapo yaniii hata usingiz sijapata Leo inauma lakini ligi bado sanaaaaa
@charleskuyeko1660
11 сағат бұрын
Mimi ni Mnyama lakini nimeamini Ktk wasemaji Kamwe ni bora sana kuliko Ahmed. Ahmed ni mchekeshaji tu hana cha maana anachokifanya. Kamwe mbali na kuwa msemaji ni kiongozi wa timu. Anajua mwenendo wa timu yake dhidi ya timu nyingine tofauti na Ahmed anayesubiri kuambiwa nini aongee. Kamwe alijua kilichofanyika mpaka kajiamini kusema Simba itapoteza point mechi ya 5 na kweli tumepoteza. Yanga wanacheza mechi za Simba lakini Simba wamelala tu wakiamini wana timu nzuri. Hapa ndipo tunaposema Mangungu hajitambui. Yeye ndiye anapaswa kuwa karibu na Wanachama na Mashabiki kuhakikisha mechi zetu hatupotezi. Lakini yupoyupo tu. Viongozi wa Bodi wapowapo tu. Tunashindwa na utopolo siku zote nje ya uwanja. Simba tuna timu nzuri lakini ubingwa ni wa utopolo. Siyo kwasababu wana timu nzuri bali ni kwasababu wanajua sana kucheza nje ya uwanja. Hii yote ni kwasababu Mangungu anamtenga sana Mzee Dalali na Mzee Kaduguda wakati mwenyewe hana anachofanya. Ni duka linalotuhujumu tu. Kipindi chote atakachokuwepo Mangungu tusahau kupata ubingwa. Tarehe 19 tukifungwa basi ndipo tutakapokuwa tumeukosa ubingwa msimu huu. Tukisninda tarehe hiiyo basi yawezekana tukawa mabingwa ila ni kama tutakuwa na umoja. Umoja kati ya Wazee wa Simba na Viongozi. Kinyume cha hapo basi tumpe pole MO kwa kusajili vizuri lakini ubingwa hapati. Kuna wanaotoboa mtumbwi wa Simba wakati tuponao safarini.
@abdunnurahmedsilim7456
10 сағат бұрын
Na sisi Yanga tuna TIMU BORA, sio tu mambo ya nje ya uwanja
Пікірлер: 10