Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya subra dawa iendelee Allahamdhullah barikiweni sana sana kwa mafundisho bora
@Nora-v1m3p
Ай бұрын
Kazi njema walim wangu.Allah awape hidaya waone haki nakufuata
@kilofaqacumar6294
Ай бұрын
We all with you from dadaab kenya
@faridahalwaily85
Ай бұрын
Allaah Awazidisheeeni nguvuu za kuwaonesha njiyaaa ya hakii musichokeee Allaah na nyiyeeee
@JumaMvungi-ot4ef
Ай бұрын
Nawapata nikiwa tanzania
@innocentndikumana8928
Ай бұрын
Mashallah ❤❤ uwislam nuru
@josemu870
Ай бұрын
1:1 - KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.  1:2 - Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;  1:3 - Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;  1:4 - Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.  1:5 - Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.  1:6 - Tuongoe njia iliyo nyooka,  1:7 - Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
@kilofaqacumar6294
Ай бұрын
May allah please the work that they are doing for your seek
Пікірлер: 11