Musoma ni Moja kati ya miji iliyopangika Kwa kiwango Bora sana.
@joshuasteven5403
3 жыл бұрын
Location ipo good sana hapo natamani ningeona magorofa mazuir na marefu hata mpangilio wa Barbara uko good 😁🤘🇹🇿🇹🇿🇹🇿👌
@DudddyWhyCant
5 ай бұрын
Musoma imepangika kama Tanga, naipenda nchi yangu Tanzania.
@samwelbelias8071
2 жыл бұрын
Musoma ni miongoni mwa miji mizuri apa TANZANIA ila viongoz wetu waliopo juu hawana uzalendo na mji wao ,,mji rasilimali nying ila no way we are still young but we will conitinue to fight against our city
@smukelomkhize9775
2 жыл бұрын
Musoma just small town but is so Amazing Tanzania Nzuri sana , God 🙏 Bless Tanzania
@frankmare1708
3 жыл бұрын
Mpangilio wa nyumba uko vizuri
@Ramadhaniayoubissa
3 жыл бұрын
Pamoja
@dareenali6086
3 жыл бұрын
Very beautiful
@PowerTZKifaru
5 күн бұрын
Unyama
@jafetiwilson8092
3 жыл бұрын
Your are good,, Home town
@gemkachar
3 жыл бұрын
Nakumic sana Musoma.
@aniri298
3 жыл бұрын
Noma mwanangu
@edsonnelson4464
3 жыл бұрын
Ungeweka na sound ingependeza
@smukelomkhize9775
2 жыл бұрын
Yaani kimekaa Vizuri kuliko Hata Dar to be Honest mitaa road zake zipo poa kabisa
@Ramadhaniayoubissa
2 жыл бұрын
Kweli 👏
@smukelomkhize9775
2 жыл бұрын
Tanzania Yetu bonge la Nchi Yaani , Hicho kisehemu Kama Nina biashara Yangu lnaenda Vizuri mm nitaishi Maisha Yangu Yote pande Hizo yaani
@Ramadhaniayoubissa
2 жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@kalundejuma5471
3 жыл бұрын
nimeipenda hiyo mwamba ushauri kuwa unatupia mkoa na mkoa ili tujue mkoa gani upo vizuri kimiundombinu na ni mkoa gani kimaendeleo bado upo nyuma
@Ramadhaniayoubissa
3 жыл бұрын
Sawaa kaka ntafanya hivyo
@kalundejuma5471
3 жыл бұрын
nashukuru kwa kupokea ushauri wangu
@Ramadhaniayoubissa
3 жыл бұрын
@@kalundejuma5471 usijari kaka muda sio mlefu utaona naufanyia kazi ushauli wako
@twahathomas3514
3 жыл бұрын
Pamepangiliwa kinoma kinyama ani hope siku moja ntapatembelea
@michaelgodfrey8372
3 жыл бұрын
Nipakali sana ila cjui tatizo liko wap i
@josephambrose2215
2 жыл бұрын
Hakika mji wenye mazingira mazuri na mali asili nyingi Sana, una Kila kitu kwa ajili ya kuuendeleza mji, lakini Cha kushangaza ni kwamba mji huu ni moja kati ya miji iliyo nyuma kimaendeleo hapa Tanzania. Hakika penye miti hapana wajenzi.🤔🤔🤔🤔
@buremoadoniasi1643
3 жыл бұрын
Nice
@blpro9363
3 жыл бұрын
Wa J vo man
@suleamber844
2 жыл бұрын
My home ila sjawah kufka
@mosesmachumu7423
2 жыл бұрын
👍👍
@blpro9363
3 жыл бұрын
Good🙂🙂
@gilbertmahembasise1011
3 жыл бұрын
Huu Ni Kati ya mikoa iliyobarikwa Sana na Mungu Lakini Tumekosa viongozi wa kuutetea.una ziwa,Una mbuga ya Serengeti Ambayo 3/4 ya Eneo lake lipo mkoa wa Mara ,Una dhahabu,una mito mikubwa,ikiwepi mto Mara Una boda ,una kila aina mifugo Ni mkoa wenye misimu miwli ya mvua.Lakini maendeleo yake Duni Sana uilinganisha Mali asili zilizopo
@Ramadhaniayoubissa
3 жыл бұрын
Ndio mkoa ulio barikiwa kila k2 ila vingozi hawaoni
@kacherosimba5762
2 жыл бұрын
Kunge kua na mahg"orofa kunge fanana na tanga
@nyambwirasam5896
Жыл бұрын
Na hata madhari yake hapo Musoma ni kama Tanga. Musoma zamani ilikuwa kimbilio katka Kanda ya ziwa hasa katka upande wa Elimu pamoja na kagera, yaan kwa upande wa watu wa Kanda ya ziwa walikwambia kama hujasoma Musoma ww bado bas mji ulijaa wanafunzi Makin.Ila maendeleo ya mji yapo nyuma sana sana tena sana.
Пікірлер: 36