Subhannallah subhannallah hiyo hasada tu ila Allah atawalipa walio mdhurumu nafsi. Mwenyezi mungu halali
@andrewmagwila1602
9 сағат бұрын
Mungu akimuinua mtu kwenye Maisha familia mnatakiwa kumuombea sana sbb vita yake Huwa ni kubwa sana maana watu kama hawa ni kama mbegu na Mungu huwaweka kwa makusudi maalumu nasema pia kwa niaba ya wengine ombeeni sana hao watu kwenye familia zenu vita zao Huwa ni kubwa na mambi ndio ulinzi wao. Poleni sana kwa familia yote Mungu awafariji aana
@annethjohn9180
8 сағат бұрын
Yaan amefariki Bado kijana kweli jaman
@angelmashauri6961
8 сағат бұрын
Poleni sana wanafamilia, jamaa na marafiki. Mwenyez Mungu ampumzishe kwa amani Victor…🙏🏻
@neemaisrael688
10 сағат бұрын
Pole Dada Mungu atakufariji.
@homeandaway2811
9 сағат бұрын
Kisasi ni juu ya Mungu, atalipa tu hata waliomfanyia mabaya hawatakaa kwa amani.
@AnnaJulius-r5k
10 сағат бұрын
Poleni sana Mungu atawapa nguvu
@marthalazaro5340
10 сағат бұрын
Poleni sana kwa Msiba huu mzito Mungu awatie nguvu
@Mjeda-q1m
10 сағат бұрын
Huyo kapigwa mdudu huyo
@RosemaryGibore
8 сағат бұрын
Poleni saan inauma
@upendohalisi80
9 сағат бұрын
Chini ya jua bila chanzo cha mema na mazuri hatutoboi, kwakweli tumfuste yeye.
@cosmasmilanzi7117
10 сағат бұрын
Chema hakidumu!
@janetchinga695
7 сағат бұрын
Lambuda ilikua sumu anayajua mungu 😢😢😢😢😢
@khalsasalim7930
16 минут бұрын
Ss ndio waafrica bwana ukipata mafanikio kidogo unatupiwa kitu 😢
Пікірлер: 17