Hongera sana Mh Msukuma,msema kweli Mpenzi wa Mungu,big Mb
@euniestherwilliam1513
2 ай бұрын
Tanzania yangu. Profesa watamuelewa wenye ufahamu mkubwa. Ila kwa upande wangu nampongeza Prof Janabi kwa elimu kubwa aliyotupa.
@MsafilymsafilyChaless
2 ай бұрын
Sema kiongoz wetu tuko pamoja,
@user-kk3fp2yq2d
Ай бұрын
Afathari na Nyinyi Watanzania mnavyakura vyakutosha kupambana nahizo pombe feck hapa kwetu Rwanda Kigali unakuta vijyana miaka kumu na Tano wanajikojorea sababu ya hizo pembe akinywa hata asipo kunywa Asante sana Msukuma
@neemabright3635
2 ай бұрын
Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet
@RamadhaniJitelani
2 ай бұрын
Janabi hataki mazoezi unayoyasema wewe
@agnesjohn9382
2 ай бұрын
@@RamadhaniJitelanikwa hiyo anataka nini
@shakurfaith
Ай бұрын
Anataka kuolewa@@agnesjohn9382
@shabanramadhan7632
2 ай бұрын
Jamaa Yuko vizuri sana
@SimbaM2kufu
2 ай бұрын
This guy is very much on point. We need to be self-reliant. We can't just sit and wait for westerners to bring us their misleading research.
@ChoroTesla
2 ай бұрын
wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest
@Soon815
2 ай бұрын
Well said
@SimbaM2kufu
2 ай бұрын
@@ChoroTesla Rukia kusoma comment yangu. I didn't say we have invested in research, I said we need to.
@ChoroTesla
2 ай бұрын
@@SimbaM2kufu i got you sasa msukuma anataka vitu vijiiibue ajue wenzetu wanashinda maaabara sie tunashinda tiktok na instagram mama anaupiga mwingi
@tolisso4287
2 ай бұрын
😂😂 we jamaa
@Chaser2497
2 ай бұрын
Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!! Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢
@user-sm4jq6hq1t
2 ай бұрын
Huyu mtu ni darasa la Saba lakini anapointi zilozo sheheni nondo za kutosha
@mustaphahassan589
2 ай бұрын
Mkiumwa mfateni msukuma awatibu
@Chaser2497
2 ай бұрын
@@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi..... Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora
@bakarishabani5538
2 ай бұрын
Kweli msukuma kuna baadhi ya mambo hayahitaji ufike hata chuo.sijui kwanini hatuwezi kutumia akili.Watoa maamuzi mtusaidie.
@mussakimaro5588
2 ай бұрын
Hii tanzania tunaweza letewa sumu na tusijue tukala na TBS ndo imepitisha tule
@misangasaidih8764
2 ай бұрын
Kabisaaa
@simasima8084
2 ай бұрын
Sbb yy ni pr..
@mussakimaro5588
2 ай бұрын
@@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa
@mussakimaro5588
2 ай бұрын
@@misangasaidih8764 Gongo haram sumu zinazotoka nje halali na TBS wanapitisha wanakwambia hii imepimwa hii nchi tunauwana wenyewe kwa wenyewe
@ChoroTesla
2 ай бұрын
sio tanzania ni Tanzania
@b1vevo
Ай бұрын
The leader he know how to protect the citizens, thanks Dr. msukuma
@masoudabdi6076
2 ай бұрын
Mungu akupe maisha Msukkuma... Hawa viongozi ni shidaa sanaaa....hatuna kiongozi anaetetea Maisha ya Mtanzania
@GibsonNtamamilo
2 ай бұрын
Professor Janabi kaeleza vizuri, shule yake ni kwa wale wasiofanya mazoezi au wasiokuwa na kazi nzito wasile hovyo.
@ChoroTesla
2 ай бұрын
ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.
@jahatvonline
Ай бұрын
Dr Janabi anazungumza tafiti yupo makini sana
@reynaaalrawahi4137
Ай бұрын
Dokta yupo vizuri alichosema. 🎉🎉🎉
@dominickmahela1581
Ай бұрын
Huyu jamaa leo ndo kaongea pumba tu pengine anaangaliaga meme kuhusu Janabi na hajawahi kumsikiliza😂
@phakundigervas1360
Ай бұрын
Kwa Mbunge huyo kila asichokipenda YEYE ni Suomi fake lakini ni mjinga wa bangi believe it.
@TheresiaAndrea-hv9dg
Ай бұрын
Msukuma anachosema yuko sawa kwa kiasi furani. matikiti maji yanayodungwa sindano na kuku wa wiki tatu ukila vinaadhiri mwili kwa kiasi gani?? I love you Msukuma you are so geneous.
@hezekiamtera3559
2 ай бұрын
Wabunge zungumzie bima ya afya kupitia mashuleni.Vigezo vilivyowekwa havitekelezeki.Wanafunzi wengi wana bima kupitia wazazi wao ambao ni waajiriwa.Idadi iliyowekwa haitekelezeki
@martinisadru9899
2 ай бұрын
Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.
@samsonhamery3809
2 ай бұрын
Hujamwelewa mbunge msukuma je wewe unakula kijiko kimoja kama mlo wako wa siku?
@martinisadru9899
2 ай бұрын
@@samsonhamery3809 kwani dr alisema watu wale kijiko kimoja.
@ramadhanijuma4130
2 ай бұрын
Ukiwa hujaelewa ni vema ukanyamaza au ukaomba kueleweshwa.
@fatmaallyabdul1732
2 ай бұрын
Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora
@farajachiwile7388
Ай бұрын
Ila ni kweli ukipungua wakati wa ujana, utateseka uzeeni. Mtu akifika miaka 50 anapungua muscle na mwili unalegea. Unabaki mifupa.
@elifariji
2 ай бұрын
Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja
@aairraahseif5648
2 ай бұрын
Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine
@HalimaJuma-hz4qe
Ай бұрын
Hahahha akakufundishe nyumbani kwako sie tunajua
@johndeogratias8099
Ай бұрын
Ukiwa na kichwa kigumu huwezi elewa kamwe alichosema msukuma
@JosephMpangala-wd5mp
Ай бұрын
Nikweli ukosahihi.
@alexdukes5547
2 ай бұрын
Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.
@MojamojaMojamoja-lw2ph
2 ай бұрын
Ni kweli hatiwezi kula kijiko kimoja ugali kutwa mara 3 janabi tusamee😂
@TimotheoPeter-pr3ve
Ай бұрын
Nice speach
@faustinombilinyi9809
Ай бұрын
Hongera mh msukuma na Esther Leo mmeonggeea. Kitu chamaa maana sn kweli kunnatatizo mahala kweny vinywaji. Hivi vipo vvya ovyo vingi. Viina itwa. Smart gynni vinyywajji. Gani hivvii. Ni. Ovyo kwa kkweli
@TellaaxisTz
22 күн бұрын
Noma sana❤ #tellaaxistz
@EzekiaMichael-jn5np
2 ай бұрын
Janabi ni mtu ganii Kwa mjomba Sasa nimemjua Mungu akupe maisha maref Janabi tundu la sindano
@patricksebastian3593
2 ай бұрын
Doctor Msukuma nakubari sana kazi yako
@aairraahseif5648
2 ай бұрын
Kazi gani ameifanya ikaonekana na kusifiwa? tuambie nasi tumsifie
@innocentyusuph7762
2 ай бұрын
Hongera mh, Msukuma
@michaelmoro4801
2 ай бұрын
Niko pamoja na wewe mkuu wangu umesema kweli kabisa Mungu Akubariki
@saidabdallah2649
2 ай бұрын
😂😂aisehh sio lazima usome sana kikubwa nikujiuliza kabla ya kusema kitu jamaa anajua sana huyu
@hamidafundi-pw1gw
Ай бұрын
Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.
@rosehaule6765
2 ай бұрын
Ee yesu yasn msukuma umeongea mnoo mpaka nimelia uwiii😢😢safi.mnoo sijui itafatiliwa jamani
@StephenMelkizedeki-pn3us
Ай бұрын
Dh
@juliusmartin1839
2 ай бұрын
Upo sahihi Pro. Janabi sijamwelewa
@EmmanuelMlawa-ee3oq
2 ай бұрын
Akuna Cha pointi uchaguzi umekaribia
@RechoMasunga-rp9dr
Ай бұрын
Msukuma wewe ni jembe nakuombea mungu akubariki Sana
@user-tv8ub4fk5i
2 ай бұрын
Namuelewa sana my msukuma anasema anaeishi korogwe ni kweli kabisa amewahi kuniuzia viatu,naomba Bunge limlinde na kumtunza ana maoni ya mbali atatufikisha pazuri speed nafasi zaidi
@ndarujames3036
2 ай бұрын
Bigbrain Broo msukuma
@danielndilili7525
Ай бұрын
Au bass msukuma njoo nikupe ng'ombe make unanigusaga kwakwel
@thabititv3783
Ай бұрын
Msukuma da!! eti sipingani nae dada angu kwakuwa yeye ni mteja wa hvyo vitu
@user-np4om6hz4m
2 ай бұрын
Huyu mbunge elimu yake ndogo lakini anamaarifa makubwa sana
@aairraahseif5648
2 ай бұрын
Maarifa yake hayo umeyaona wapi? Nioneshe kitu alicho kifanya ili nikusaidie kumsifia
@KahambasDaughterTherock
Ай бұрын
chanjo kweli zimezidi😂😂😂Msukuma bwana😂😂
@user-gw8wv2zf2g
2 ай бұрын
Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭
@mmassyferguson4959
2 ай бұрын
👏👏👏👏
@DansonMtambi-fq2ff
Ай бұрын
Hongera sanaa musukuma
@geofreykayombo401
Ай бұрын
Musukuma yupo vizuri sana,kweli bhana south africa hawana hata haya machanjo,mama akitoka hospitali imetoka hiyo,ukirudi ni checking za kawaida
@pascaldomel1551
Ай бұрын
Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.
@brotherbenety
Ай бұрын
Msukuma noma sana😂😂
@user-fi6sh5qd2p
2 ай бұрын
Akılı kubwa sana
@sayunimkongwa9830
2 ай бұрын
Kweli msukuma chanzo zimezidi Sana.
@abdillahchikota4303
2 ай бұрын
Dah Tanzania yangu
@DevotaJulius-lp1mq
18 күн бұрын
Msukuma nakukubali Sana. Ninakufutia tu
@SsekiddetwahaTwaha
2 ай бұрын
👍👍👍👍👍🔥🔥🔥
@GSaleh-xr3vn
2 ай бұрын
Dhana tulijengewa waafrika ni kila cha mzungu ni bora
@NeemaSamson-ti8pc
2 ай бұрын
Kabisa upo sahihi na hicho ndio kinachotumaliza
@ChoroTesla
2 ай бұрын
wao ndo wanaongoza kwa tafiti kubwa duniani huwez wapinga km jnapinga uje na facts
@GSaleh-xr3vn
2 ай бұрын
Nimekuelewa maana Hata ushoga na usagaji wameufanyia utafiti na kugundua kua hauna madhara @@ChoroTesla
@NeemaSamson-ti8pc
2 ай бұрын
@@ChoroTesla kama wao wanaongoza kwa tafiti duniani kwanini na sisi tusijifunze kuwa watafiti? Tunasubiri tu wao wafanye utafiti sisi ni kupokea tu
@ChoroTesla
2 ай бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc ume invest?
@mohamedimiraji5495
Ай бұрын
Excellent argument
@kazimoto-eq2th
Ай бұрын
Ajawai kukosea msukuma baraa sana
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
2 ай бұрын
Akili za Janabi changanya na zako
@JumanneKasuwi
Ай бұрын
Point sana
@Manase_js
2 ай бұрын
Pombe nyingine ni ambiance hiyo ni moto
@nyangiboboazi3188
2 ай бұрын
Msukuma una akili sna wew na unastahili kua Doctor
@aairraahseif5648
2 ай бұрын
Hujui kama alipewa medali ya doctor wa funza chooni?
@JonasPhilimon
2 ай бұрын
Wanauza bar ndio uwezaji wamaprofessa
@jukiboy7012
2 ай бұрын
Iki ni kichwa dah 🙏🙏
@immaknight4414
2 ай бұрын
Apooo kwenye chanzoo nomaa Sanaa ckupingi DR MSUKUMA 😂😂😂😂😂
@jemaidamdengede9697
Ай бұрын
Well said
@abudulingasa6413
Ай бұрын
Mungu akupe miaka ming dunian uwatumikie wana nchi
@erastonyoka5021
Ай бұрын
Mweshimiwa msukuma hanaga mambo ya kupinfisha maneno yuko sahihi sana
@AbdillahiNdashwa11
Ай бұрын
Allah akujalie inshallah
@JosephMpangala-wd5mp
Ай бұрын
Professors yupo sahihi kabisa kulingana na mzingila na kazi ya mtu anayofanya, Mimi nimojawapo ninayemfuatilia sana, msukuma nendapole.
@hemedallyabdallah133
Ай бұрын
Kaka uko juu Mi nakuelewa hongera sana
@LatwifSued
Ай бұрын
Kwakweli msukuma uko vizuri, sana sana, ninatamani nikuone nikae na wewe angalau wiki moja, .kwakweli mungu akulipe.
@ladislausmoris9638
2 ай бұрын
Swala la chanjo hapo mr pm mungu akubariki sana endelea kuwa muwaz na kusema bila kigugumiz maana hali n mby saanaaaa tunaumia
@mrishorhassan8295
Ай бұрын
Mhe. Msukuma mimi sijapenda jinsi ulivyomzungumzia prof. Janabi... Nadhani janabi Yuko Sawa maana yeye anazungumzia watu wenye matatizo ya chakula. Tusichanganye siasa na vitu ambavyo ni kweli mimi niko na janabi baada ya kumuelewa na si kuangalia clip fupi za dakika 2 Bila kuelewa nini hasa anamaanisha.
@hezronmlwale7416
Ай бұрын
Hili la utafiti na chanjo za holela nakuunga mkono, miaka michache ijayo kutakuwa na jamii ya ajabu sana hapa nchini. 🤔🤔
@emanuelnyab9872
Ай бұрын
😊
@chrismkama4889
2 ай бұрын
Nilichogundua Watanzania wengi tunachagua wabunge ilimradi.mliyopo kwenye jimbo la msukuma muandikieni notsi za lishe kwenye kimem chake cha bungeni.
@festokemibala5832
2 ай бұрын
Ubaya wa kutokuwa na wasaidizi wa kushauri na kuchambua issues kwa ajili ya uwasilishaji!
@user-zi4hx4jf3o
Ай бұрын
We nawe toka ulichogea ata akieleweki Msukuma anasema ukweli hili Taifa tunakula sumu nyingi sana tukidai tunaletewa protein kumbe sumu
@frankkajoba8372
Ай бұрын
Sasa hapo hujaona alichoongea kina tija? Kwani kipi cha uongo?
@user-zi4hx4jf3o
Ай бұрын
Wewe unamatatizo inamana umeona kuwa Msukuma kaogea utumbo
@FatnaAlly-go7yt
Ай бұрын
Allah jaalia kila mwenye majungu allah amtie nguvu
@DM_15
2 ай бұрын
Darasa lasabu ndio linautashi kuliko digirii digirii kwenyefamiliazao wanavaa vichupi sebuleni nawatotowao halafu lasaba watoto niwatoto baba ni baba mama ni mama familia ya darasalasaba inajisitiri hakuna kubusiana baba na binti wala baba na kijana , njoohuku kwa wasomi baba ana must binti ye bilatatizo , naunga mkono darasa lasaba nangumbaluo hiz digirii hazina utashi
@ChoroTesla
2 ай бұрын
na kweli naona hata kuandika kuna kushinda rudi tena shule
@alphamenson3784
2 ай бұрын
Jamaa wanashindwa kuelewa Professor Janabi anachozungumzia ni issue ya mlo mmoja kwa siku, mlo unakuwa na aina zote za virutubisho yani ni mlo kamili. Hii ni moja ya tiba nzuri. Najua kuna watu wanajua zaidi yangu wanaweza kunisahihisha
@shukranisibale1739
2 ай бұрын
Uwezo watu wanao wa virutubisho
@ChoroTesla
2 ай бұрын
uko sawaa kabisa msukuma hajaenda shule yani anakuja kulalamika wakati hata usikute hali mlo kamili
@user-cf3fe3cu8v
Ай бұрын
Msukuma umetsha baba😂😂 hongera
@stineson2049
2 ай бұрын
1
@maribaisack2097
2 ай бұрын
Prof janab ni daktari by professional, wewe ni daktari wa heshima... heshimu shule za watu wewe mzee
@rom-karanga5933
Ай бұрын
😅😂😂😂😂
@MahmoudMohamed-gx1fk
2 ай бұрын
Dr janabi amefafanuw vzr watu wanofany kaz ngumu wale vp watu wa ofisin wale vp yani zikilizen vzr ufafanuzi wa daktari ,
@aairraahseif5648
2 ай бұрын
Wewe mwenyewe msukuma unasaratani ya ubongo, unajua kukosoa wengine yako huko vijijini yanakushinda,nguvu za mdomoni tu
@luganomwaigomole7441
2 ай бұрын
CCM KWA CCM MPINGANE WENYEWE. .BORA MSUKUMA.
@wilfredywilhelm1426
Ай бұрын
In Bwege's voice! Haya sasa tufanye kuwa uchaguzi ujao mnaingia bungeni ninyi wenyewe! Hakuna upinzani! Mtaanza kushikana mashati ninyi wenyewe! Mara paap wamepitishana.... wapinzani walikua wanachelewesha maendeleo.... mwaka wa nne huu hapa... wapo wenyewe... maendeleo ndio kama mnavyoona nao wananyooshana kisawasawa.. Hapa msukuma kasema watu wanaona sawa. Lakn kama kungekua na upinzani halafu mpinzani akasema hili lugha ingekua ingine kabisaaaa
@MlimaSinai
Ай бұрын
Safii sana
@user-gc1ez1yv4k
2 ай бұрын
Nchi ya masifu,hapo wanamsifia msukuma.Hivi kuna mtu anapinga somo la Prof Janabi hivi leo nimeamini watanzania tuna matatizo,tena makubwa tu.Janabi anajaribu kuongelea watu wa mjini,ndiyo wahanga wa lishe.Badala ya kumuunga mkono na kumpomgeza,wanamsifia.Kweli Pesa na vyeo (madaraka) na bangi havina tofauti eti mbunge huyo ! Hovyo.
@aairraahseif5648
2 ай бұрын
Msukuma amechagukiwa kuwaponya watu muhimu naluobobea ktk taaluma zao! amejiwekea utaratibu wadharau humo bungeni! Nahakuna wakumnyoosha akashika adabu huyu, wana shabikia ujinga wake! Wanasahau nafasi walizonazo professor ktk kazi zao, huyu msukuma wapinawapi kwa profesa janabi?mijitu inaingia bungeni kupiga kelele kama vyura mitaroni hovyo kabisa
@leonardramiye8207
2 ай бұрын
Sema kweliii mp
@OscaJonas
2 ай бұрын
Upo vzr mno
@mkakapower4022
Ай бұрын
Uyu jamaa yuko vizuri sana.
@suleymanimixkatafighter2669
2 ай бұрын
msukuma anaongea fact sana msukuma yupo vizuri sana elimu sio vyeti kabisa msukuma anahekima na akili sana ,Elimu sio vyeti kamaratasi kichwani unanini .UMUKUMA YUPOI vizuri sana anaongea kuliko walioenda shule
@MastoMasto-iy4nl
Ай бұрын
😢
@b1vevo
Ай бұрын
Nahisi Hata Sumu tushakula na kunywa na hazikutuua kwa sababu tushakula Sumu nyingi mpaka zishakuwa Antibiotics 😂
@user-dx3wl9ly4d
2 ай бұрын
🙆
@user-vy9pz7sk4z
2 ай бұрын
Iliswara la vinywaji cyo la mzaa lifanyiwe kaz msukuma yuko vizur sana
@user-jl5un4wf3u
Ай бұрын
Tanzania shambalabibi++..
@abdulymaeda2697
Ай бұрын
Janabi miyeyusho
@African511
2 ай бұрын
Alooooo msukuma umegonga kwenye mshono,hahahhaaa aloooooo❤❤❤
@Juddy1017
Ай бұрын
Point
@jeffreywilliams1171
2 ай бұрын
Hii point muhimu sana, mkiendelea kuwafingulia milango hao watu weupe huko kwa uchu natamaa za chapaa,kweli mtaisha mtakuwa mapunga mpaka mtu usiyetarajia,mpango wa hao watu ni kurithi rasilimali ambazo nyie mpaka leo hamzioni
@KelvinNyanduli
2 ай бұрын
Kak hongera xan
@michaelndilima6210
2 ай бұрын
Wasukuma huwa wanapointi nzuri
@MakalaSimulizi
2 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀
@dbamwenzaki
2 ай бұрын
Msukuma yuko sahihi. Naomba hoja yake ifanyiwe kazi.
Пікірлер: 438