Mkaka mzuri mashaallah Mungu atakufanyia wepesi inshaallah
@agiasaidi5294
2 жыл бұрын
INSHAALLAH
@udaku..travel8506
2 жыл бұрын
Zahir maswali gani hayo yakumulizaa kuhusu mtoto wa nje yeye kakwambiya ana watoto nne sasa wewe unamuliza mtoto wa nje
@julianajacksoni4275
2 жыл бұрын
Mungu atasaidia ndg.. Utapona uendelee na majukumu yako.. Halafu kafanana na zahir khaa
@costantinekikinda7574
2 жыл бұрын
Ktk KRISTO YESU tunaamini atakuponya utakuwa vyema iko siku utatoa ushuhuda amen
@officialK-looh
2 жыл бұрын
Daaah jamaa pole Sana...me nakushauri utafute pastor, kwa Imani akuombee kwa jina la YESU...nakuhakikishia utapona
@mammam4701
2 жыл бұрын
Mashallah mzur uyu kaka😘 Kachangamka🙏allah hakujalie uponee Yara b
@fatmasalim8293
2 жыл бұрын
Maskini inshallah allah akupe shifaa yarab ameen
@vj8313
2 жыл бұрын
Pole bro uokoke sasa umpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako.
@olphamoraa6683
2 жыл бұрын
Pole sana kaka inauma sana utapona kwa jina la yesu
@catherinekatuu423
2 жыл бұрын
Mungu ni mkuu kwani ipo siku utaponywa na Mungu🌞🙏🇰🇪.
@everlyneiminza5722
2 жыл бұрын
Mungu mwenye nguvu muumba mbingu na ardhi mujalie mja wako akapata nafuu🤲🤲
@subirajohn728
2 жыл бұрын
Amina!
@luludisniper2436
2 жыл бұрын
Handsome jameni Allah akufanyie wepesi
@salamanauthartanzania6301
2 жыл бұрын
Serikali mko wapiiiii???? Watu kama hawa wanahitaji nsaada wenu jamaniiii🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊
@mariamgodfrey53
2 жыл бұрын
Wako busy nakuhamisha machinga kariakoo nakuhamasisha watu kuchanja chanjo ya Corona 🤣🤣
@rehemamsangi3245
2 жыл бұрын
Mariam umenikosha sana, mana sijui tunaelekea wap na hii serikali yetu jmn
@salamanauthartanzania6301
2 жыл бұрын
@@rehemamsangi3245 kabisa ndugu yangu
@salamanauthartanzania6301
2 жыл бұрын
@@mariamgodfrey53 wananikera sana
@aggywindewinde2595
2 жыл бұрын
Serikali inakula bata tu
@amaniel-maamry3776
2 жыл бұрын
Decompression sickness, also called generalized barotrauma or the bends, refers to injuries caused by a rapid decrease in the pressure that surrounds you, of either air or water. It occurs most commonly in scuba or deep-sea divers, although it also can occur during high-altitude or unpressurized air travel.
@carolinenjoroge9092
2 жыл бұрын
Kumbe
@salmanassor8732
2 жыл бұрын
Ishaalah Mungu atakufanyia wepesi
@wahidasalim5070
2 жыл бұрын
MashaAllah kaka mchangamfu sanaa
@nabirabakary4209
2 жыл бұрын
Mkaka mzuri maskini Allah amfanyie wepes pale palipo na uzito 😭😭😭
@zebidamakwasa5206
5 ай бұрын
Pole sana kijana BWANA NI MWEMA SANA IKO SIKU ATAKUVUSHA, MCHAWI NI MAMAKO UBARIKIWE MTANGULIZE MUNGU SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO
@albertpike6208
2 жыл бұрын
Pole sana unaweza una matatizo kumbe kuna wenzako wanapitia mazito sana. Mungu akupe shifaa inshaallah
@aishafarah2456
2 жыл бұрын
Allah atakupa shifaa in shaa Allah
@gmwanaabc7492
2 жыл бұрын
Kaka mchangamfu hadi raha allah asimamie alud katika hali yake amiin 🤲🤲
@hammerQ954
2 жыл бұрын
Pole sana home boi 👏 M/mungu atakusimamia inshallah 👏 Zahiri huyu pacha wako mnataka kufanana 😁 Shahidi Rabbi 😁 kudukua ni kufinya
@aminaabdallah9117
2 жыл бұрын
Miepianiliona nizahirjamanikafanana
@bhuzahope2746
2 жыл бұрын
HammerQ ni wewe au
@wahidasalim5070
2 жыл бұрын
Zahir unapata tabu na mazungumzo ya wazanzibar 😂😂😂
@mwanaishazain7985
2 жыл бұрын
Hao tabunkweli zaidi wa kisiwa cha P na vijijini
@hadijambaraka804
2 жыл бұрын
Kafanana na zahir utadhani mdogo wako
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Mdogo wake au kaka yake kwamaana huyo jamaa inawezekana akawa mkubwa kumzidi
@kiri5807
2 жыл бұрын
@@mwanaishazain7985 kuna visiwa vidogo vidogo ndani ya kisiwa cha pemba km hiyo kisiwa panza wenyewe huita K P na watu wa huko wengi wana asili ya kitumbatu .
Jamani kaka pole sana lkn mtangazaji anaongea sana kuliko muhusika mpe basi gep aongee mwenyewe too much tooking
@user-ji6kb4qj6n
2 жыл бұрын
Hata iwe vp kaka hkn kama MUNGU na kwa ALLAH hkn uzito.wachana na uchawi shetani asikushinde nguvu.ALLAH akupe shifaa
@marjana1126
2 жыл бұрын
Pole sana allah atakuaf inshaallah
@swaumujuma6333
2 жыл бұрын
Utapona kwauwezo wa Allah 🤲🤲🤲
@mariamswedi1140
2 жыл бұрын
Ampatie Yesu Maisha yke Yesu ndio kiboko ya majini wenyewe wanamjua yy amkubali tu Yesu ataona mwenyewe
@swaumujuma6333
2 жыл бұрын
@@mariamswedi1140 🤣🤣🤣
@latefalatefa2664
2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesiupone uende kwa mwamposa utapona kwangu u ya Mungu
@jaydenkariuki6595
2 жыл бұрын
Mungu akuponye na akusaidie upate usaidizi inshalah
@maryamabdullah9169
2 жыл бұрын
Pole sana Allah Atakuafu Inshaallah
@mariamgodfrey53
2 жыл бұрын
Pole sana kaka. MUNGU akufanyie wepesi
@kinanaomar
3 ай бұрын
In shaa Allah. Allah (SWT) atakuvuwa matatizo uliyo nayo. Kama alivyo sema Tabaraka wa Taala inna ma’al usri yusra Amin Allahuma Amin Ya Rabil Alaamin 🤲🤲🤲
@eunicejan7536
2 жыл бұрын
You need prayers waganga watakuumiza watakuongeza majini enda maombi Mungu akuokoe
@rayanamohamed4842
2 жыл бұрын
Ma Sha Allah Ma Sha Allah! Akuongoze kwenyee Touhidi ya Allah na akupe Allah dawa ya haraka!Amiin!
@tumahamza8972
2 жыл бұрын
Allah Atakuvua ndugu yangu. Kila penye dhiki faraja huja.
@joanithamwaudama9928
2 жыл бұрын
Mmefanana sana Zahiri
@lelakhamis7197
2 жыл бұрын
Ni kweli angekutia maji ingekua balaa ila Allh atakupa afueni kaka
@AishaMoudi
2 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi
@user-gi4ls3bh3l
2 жыл бұрын
Allah akbar ya Allah mfanyie wepesi in sha Allah
@aminaabdallah9117
2 жыл бұрын
Nduguyangu uti wamagongo ukiachana lazima uparalaise pole Sana 😭
@ayshazambia6509
2 жыл бұрын
Inshaallah kaka angu allah atakujalia utapona
@husseinbushiri9973
2 жыл бұрын
ZAHIRI UYU KAFANANA NA WEWE SANA
@browskymuba6923
2 жыл бұрын
Mungu ndio mweza wa kila jambo mungu atakusaidia brother 🙏🙏
@sr.helenarhobi8886
2 жыл бұрын
Pole mdogo wangu kwa mitihani hii, Mungu atakuponya tu!
@Sidik-d7e
20 күн бұрын
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU MY BROTHER FROM ZANZIBAR MY ALLAH WILL HELP U INSHALLAH AMEEN SUMA AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@safmarwa2977
2 жыл бұрын
Mbona kuna sheikh Uthmann Michael Mzuri sana
@gmwanaabc7492
2 жыл бұрын
Ndio tena anasaidia sna sema ela yake sasa ujipange kweli kweli
@safmarwa2977
2 жыл бұрын
@@gmwanaabc7492 Angemsaidi tu kwa ajili Allah jama
@mwinyimuhimumwinyimwinyi7121
2 жыл бұрын
Kwanza pole sana kwa mitihan ila kua na Imani kama utapoa Sasa nakupa msada mmoja kwa uwezo wa mungu utapon ila nataka kua na Imani kwanzia Leo fanya nyirad hii astafirullaa mchan na usiku bar mungu atakupa msada utapona kwa uwezo wa mungu
@shopalareen4303
2 жыл бұрын
Inshaallah mungu atakuwaf brother
@agiasaidi5294
2 жыл бұрын
Ameen
@pizzop
2 жыл бұрын
Love is more power
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
2 жыл бұрын
WISH YOU ALL THE BEST IF GOD SAY YES NOBODY CAN SAY NO
@HappynessJose
2 жыл бұрын
Mungu amjarie afya njema nahao mataperi kwel
@selestinsongola2787
2 жыл бұрын
Pokea uponyani kwajina la yesu
@kariukijohn148
2 жыл бұрын
My brother kwanzia leo utapona in Jesus name. Shida yako nikidogo sana panga na family yako upimwe kidney stones ndio uko nazo MRI itatowa shida yako kaka l promise u. Kidney stones huleta kufa ngazi
@mariamgodfrey53
2 жыл бұрын
Ukimtajia YESU unamchanganya hujasikia hapo anaomba msaada kwa waislamu wote.
@NewPhone-oh7ge
2 жыл бұрын
Pole sana inshaallah Allah atakufanyia wepes utapona
@kiri5807
2 жыл бұрын
hawa watu wanaofanya kazi za uvuvi wanaathirika sana Mungu awasaidiye . hee kwa gharama hiyo ni bora uende nje ya nchi .
Mtihani yarabi tusaidiye waja wako pole kaka maana unaongeya kwa uchungu jinsi unavyo teseka mwenyezi mungu atakunyanyua tena
@wahidasalim5070
2 жыл бұрын
Allah atakuafu yaarabi
@xxmidnightzepetosuni8106
2 жыл бұрын
pole na mitihani Allah akufanyie wepesi wake amin
@fatmajuma1033
2 жыл бұрын
Allah akupe wepesi.. ..usaidiwe
@ashachai6853
2 жыл бұрын
Ni mtihani kka mungu hataleta heri zake inshallah huta pona
@fatmajuma1033
2 жыл бұрын
usihuzunike sana .....omba allah akupe afya.
@khadracody7248
2 жыл бұрын
is so sad make me cry inshaala Alah we’ll help you heal 🙏🙏
@aishaissa2512
2 жыл бұрын
Pole sana Allah kupe shifaa
@manenokawawa5708
2 жыл бұрын
Allah atakuvua nna maradhi kwa uwezo wke in shaallah
@hazimamohammed1340
2 жыл бұрын
Kafanana na wewe uyo kaka zahir kama Pacha wako
@ngoshathedon2215
2 жыл бұрын
Kbsa
@aggywindewinde2595
2 жыл бұрын
Kfanana nae sana
@shenjamamzingi7950
2 жыл бұрын
ALLAH akuponye,inshaallah
@mariamissa4029
Жыл бұрын
Mashaallah huyu kaka mchangamfu pole sana kaka angu, allah atakufanyia wepesi utapotana
@leilahassan6157
2 жыл бұрын
Subhanallah mungu atakupa shifaa inshallah
@manenokawawa5708
2 жыл бұрын
Pole sana kaka jmn kwa mtihani sana jmn daaah 😢
@munirachangawa2928
2 жыл бұрын
Allahu yashfik kakangu.
@binthkhamisi1097
2 жыл бұрын
MashaAllah allah akupe shufaa ya haraka
@zai.zzai.z3882
2 жыл бұрын
Ishaallah mungu akuponye Kaka yetu mchangamfusana
@shamymtanda1656
2 жыл бұрын
Ila jmn elimu n muhimu Sana tutoke kwenye mawazo mabaya Kuna maradhi mengine n mipango ya Allah lkn kila ukimsikiza Kaka angu hapa Iman yakee n Kama maradhi yakuteswa
@asqw6955
2 жыл бұрын
Pole, sana, kaka, mungu, atakufanyia, wepesi
@salhaali9284
2 жыл бұрын
Allah atakupa shifaa
@feyfarid0448
2 жыл бұрын
ukipata athari ya hewa ya gesi za kuzamiya baharini sio kirahisi kuja juu utapooza mwisho utakufa lakini huponi maana kaka angu kapata hayo na tumefika nje kimatibabu hajapona mpaka leo
@zaytonuiibrahim791
2 жыл бұрын
Kijana mzur mashallh allh atakuwaf innshallh
@fauziaabdullah3733
2 жыл бұрын
mungu mkubwa utapona kakaa lakini kama patikana pingi za mgongo zimeachiliana atakikana aende kufanya haraka operation haya maradhi yako zahir na team maximam hongereni
@aishahussein5174
2 жыл бұрын
ASOMEWE QURAN ATAPOA KWA UWEZO WA ALLAH
@hamisiismail2577
2 жыл бұрын
Waone Mapastar au wachungaji ndugu yangu utapona kwa jina la Yesu.
@keyfmohamed8345
2 жыл бұрын
Mungu akupat shafaa yarabi
@janethstephano4621
2 жыл бұрын
Mjonba nimepata mistake 😄..pole kaka mungu akufanyie wepesi🙏
@salamanauthartanzania6301
2 жыл бұрын
Zahir unaoata tabu kweli kuelewa kiswahili cha wa wazanzibar' sasa shkuru MUNGU huyu muunguja ungekutana na Mpemba nahisi ungetafuta mkalimani
@uwimanauwimana7692
2 жыл бұрын
Kabisa 🤣🤣
@hammerQ954
2 жыл бұрын
😁😁 angekutana na mpemba afadhali je angekutana na mmakunduchi ?
@salamanauthartanzania6301
2 жыл бұрын
@@hammerQ954 hatariii
@khadijabintmohammadbintmoh8026
2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakuafu inshaallah
@Sidik-d7e
20 күн бұрын
SORRY MY BROTHER MY ALLAH WILL HELP U INSHALLAH AMEEN SUMA AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@marykilila8786
2 жыл бұрын
Angalia Pastor Robert Raphael TV hapo hapo TANZANIA msaada wangu huo jaribu usipuuziye .
@shamzone388
2 жыл бұрын
Pole sana sana ndugu yangu allah atakujalia upate shifaaa yarab amin...
@sophiankwera9020
2 жыл бұрын
Hicho kidonda kinaitwa bad sore wagonjwa wote wanao lala tu au kukaa wanatumia dawa inaitwa"zincast cream au sudo cream"
@sabihahamadi2287
Жыл бұрын
Mtihani maradhi yakiwa makubwa na hisi akili zina chinji pole kaka lakini usiseme umechoka kwani kazi ya mungu haina makosa
@ramazubery2641
2 жыл бұрын
Uyo nijini tu atumie madawa yaasili tu inshaallah atanimuafu ishaallah.
@mwantumkombo172
2 жыл бұрын
Pole sn ndugu Allah akutilie wepesi
@sadabahla7120
2 жыл бұрын
Allah akufanyie wepes ishallah
@fahmaali8945
2 жыл бұрын
Pole.sana kaka mungu atakuafu
@mwanahamis5487
2 жыл бұрын
Mashaa Allah mkaka mzuri polee saan
@AishaMoudi
2 жыл бұрын
Mungu wangu 🥲🥲🥲🥲🥲
@khalossalim3723
2 жыл бұрын
Pole sana🥺
@marykilila8786
2 жыл бұрын
Umwamini YESU KRISTO aponyesha bure . Angalia ku KZitem Robert uone wenzako wanavyo pona bure.
@salmamatimbwa1075
2 жыл бұрын
Nimempenda sana kaka mchangamfu adi raha anavyohadithia inshaallah m/mungu atakusaidia
Пікірлер: 292