Huyu patronize ni version ya mbosso kabisa yani,anaimba vizuri sana dogo...
@simonndungu6676
10 ай бұрын
Majina yangu ni mtumishi wa MUNGU kutoka KENYA kipindi na kifuata mia kwa mia na inapendeza Sana kwa vipanji ni nazo ziona zikiona na wanafunzi Kama patronize MUNGU akubariki sana baba joan.
@karembo7082
10 ай бұрын
Mwanzo wa ubaya ni aibu oneni sasa moja badaa ya moja wakuu wapi maua ya shujaa wetu mwalimu mgeni🎉🎉🎉❤❤❤
@NassoroAmir-id1jh
10 ай бұрын
Mkitumia Maarifa makubwa kwenye uandishi wa script mtapata pesa sanaaaaa hii movie wengi wanaifuatilia hongereni sanaa
@gabonmaseru2686
10 ай бұрын
Baba Joan kwakwel ume-Improve kwa kiwango kikubwa sana, Hii season iko vizuri,Hongeren sana
@mgayahassani8377
10 ай бұрын
Baba Joan anaweza sana
@gabonmaseru2686
10 ай бұрын
Kabisa,hasa kwa season hii ameonesha mabadiliko makubwa,kapiga hatua kubwa ,tangu nianze kumfuatilia kwenye MREMBO NYOKA ,naona kabisa kuna Improvement kubwa
@Amal-iq1wg
10 ай бұрын
Kibokoo yaooo ni baba joan
@MwaniPh
10 ай бұрын
Amechinja sanaa
@user-tx8lp1le9c
10 ай бұрын
Salute kwako patronize kila sik ww ndio unaefanya me niwe nafatilia hii tamthilia yenu ❤❤
@WilkisterOgolla
10 ай бұрын
Napenda jinsi Patronize anavyoimba Mwenyezi Mungu amzidishie nina imani atafika mbali🙏Nawafwatilia kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abasgregory3371
10 ай бұрын
❤
@ArgentinaMauricio
10 ай бұрын
a.
@DanielWilfred-if2nu
10 ай бұрын
❤,penda sana
@DansonSulul
10 ай бұрын
Patronize ataenda mbali
@omarmsomall3809
10 ай бұрын
Unaitwa na Anti
@rahmamamy4034
10 ай бұрын
MashaAllah TabarakAllah. Kumbe hii move wenye wako serious nakuifatilia n wa kenya..much love my country ❤
@RobinsonAmiani-sm9mc
10 ай бұрын
C❤
@apostlejohnsifa2023
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/urCm2oSicplohH4
@yussuphharawe8075
9 ай бұрын
Majungu kazini
@DavidsonAmboko
7 ай бұрын
That's why Tanzania should always respect Kenyans in terms of promoting others
@Kaysam.
6 ай бұрын
Majungu yapo tu kila sector
@wadakewake8474
10 ай бұрын
Kutoka Kenya mi ni msanii nipewe like zangu
@philohmutua2968
10 ай бұрын
Huyu patronise mungu amwinuwe namufatilia nikiwa saudi arabia ❤❤
@sephaniakibona1765
4 ай бұрын
🎉
@edrisalusonge4141
Ай бұрын
Anajua kuimba
@user-fj1rc5od9i
Ай бұрын
Hae ❤❤❤
@ManyerereBico
10 ай бұрын
Kwakweli hii story muandaaji katumia ubunifu mkubwa sana iko vizuri na inafundisha sana
@-rebeth
10 ай бұрын
Mwalim mgeni you are very intelligent to serve you problem
@Antocoolboy5361.
10 ай бұрын
Still following this episode1 1-12 tukiwa pamoja from Kenya nawapenda sana
@halimamtunguja5947
10 ай бұрын
Tunaomwombea dua mwalim mgen asipate shida tujuane hapa tunakikao Cha dharura❤❤❤❤🎉🎉🎉
@user-dn8eq5vk3e
10 ай бұрын
Asipo pat shd na move itakuwa imeisha
@halimamtunguja5947
10 ай бұрын
Sema mungu atamvusha
@shaharhashim2529
10 ай бұрын
Hahahahha
@DorcasFabian-wt4yf
10 ай бұрын
Vip uyu dogo anaishi wapi
@user-gg8rf1oi2q
7 ай бұрын
Mungu amsaidie🙏🙏🙏
@futuremilionnaire3136
10 ай бұрын
Napenda iyi filamu kutoka Congo kabisa ongera🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@ndegejr09
10 ай бұрын
Hakika ni mmejua kuelimisha jamii especially kwa upande wa walimu hili limekuwa funzo kubwa sana ni jinsi gani ya kuwa na misimamo na jinsi ya kuishi maeneo yetu ya kazi
@user-nz8pr1bj1v
6 ай бұрын
Xafi xan
@hoseakiprotich182
10 ай бұрын
The first tuwatch from Kenya in Qatar mnipe likes zangu😂😂
@kwayaviwawaparokiayabashne9281
10 ай бұрын
Nimekupa
@oliviansondieki7473
10 ай бұрын
Nimekupa like
@hoseakiprotich182
10 ай бұрын
@@oliviansondieki7473 nakuona
@benayahtimes
10 ай бұрын
Baba Joan nakufuatilia sana. Much love from Kenya. Unajua vizuri. Naona mwanafunzi kabudaa hapo🥱🥱😊
@apostlejohnsifa2023
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/urCm2oSicplohH4
@sadikibertin1727
10 ай бұрын
From USA ,I love it this happen to me in 2013 in kakuma refugee camp In kenya but in good like mwalimu MGENI atashida hii case kama nilivyo ishinda ukweli upita kwenye moto mungu niwamajabu mwalimu MGENI anipigiye in box Niko nazawadi yake na
Napeda mwalimu mugeni sana saudia Arabia tune from kenya
@Clemenceamisi-zy1oy
9 ай бұрын
Patronize namupenda sana na mwalimu mugeni da hasa hasa hasa patronaize toka Congo
@user-rh7hk4il2m
10 ай бұрын
Ubarikiwe mwalimu mugeni nilikufata mwanzo wa episode 1 mupaka 12 nikonapatamafundisho mengi saanakutokakwako ukonamusimamo wakweli
@user-nw7ri6yz2k
10 ай бұрын
Mwalimu mgeni wewe nimwenyehekima Sana unanifulaisha moyoniangu ❤️ ninakupenda Sana ninakuamini tena Sana 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@apostlejohnsifa2023
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/urCm2oSicplohH4
@hadiaamiri-ig9xm
10 ай бұрын
Jamani nimekuwa wa mwisho leo lakini naomba like zangu from 🇴🇲
@kennedymurega3556
3 ай бұрын
How are you
@MUTEBUTSIEgide-iu5pj
8 ай бұрын
Ule bnti aseme kweli,Mwalimu mugeni bamoteshe ko ile mugogoro.Mimi nawafwatilia kuktoka Rwanda
@PhylisMakena
10 ай бұрын
Naipenda sana kazi yenu.❤❤❤❤ Utamu wa hii filamu umezidi. Nafatilia nikiwa nchini Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@issaadam4165
10 ай бұрын
Mamb
@DanielSanka-tv7zg
9 ай бұрын
😇 halo
@hassanhassancymon8960
10 ай бұрын
Wakwanza mimi upande wa muheza- Tanga🎉🎉🎉❤
@zainabujuma5096
10 ай бұрын
Sehem gan jamn waooo
@user-mh7si3fi9b
10 ай бұрын
😅😅 Me Niko Tanga mjini
@daudiChaz
10 ай бұрын
Poa
@africanjuju8827
10 ай бұрын
Big up patronize,,bila kusahau baba joan❤❤much love from kenya
@daizanfx
10 ай бұрын
8:52 Simplest comedian ever😂😂
@chrisshikoli2852
10 ай бұрын
Kiukweli Mungu awabariki Sana Kwa Sanaa watanzania miye kutoka kenya
@user-cq6hv7wl2q
2 ай бұрын
Asante twakupenda pia❤❤❤
@EzekiaMichael-jn5np
10 ай бұрын
Namkubali sana mwalim mgeni
@barazamatibila8412
10 ай бұрын
Mimi nimekua nafatilia kutoka USA 🇺🇸 Washington dc. Nampenda sana patronize na mwalimu mgeni hasa moyo wake safi sana. Naomba hii series iendelee kwa miaka kadhaa tafadhali.
@apostlejohnsifa2023
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/urCm2oSicplohH4
@maryndirangu7056
10 ай бұрын
Wivu kusingizia maneno za uongo ni mbaya sana mungu atupe hekima na marifa.. mafunzo mema twashukulu..
@jaffjeff6912
Ай бұрын
In Shaa Allah aimiin . Maneno ya uongo
@TRUSTNOONE75
10 ай бұрын
tufe wote baba john❤️🔥🔥💯💯🔥💯🔥💯
@user-sh5yt2fb5i
10 ай бұрын
Huyu patronize ni fund hasaaa! Mungu amfikishe mbali🎉
@yohanacharles872
10 ай бұрын
Daaaah movies kali sana,patronize kipaji tz🇹🇿🇹🇿
@user-ho9mw5ux2y
6 ай бұрын
THIS IS ABSOLUTELY PERFECT AND TOUCHING..THERE IS MORE TO LEARN IN THIS MOVIE.GOD BLESS TANZANIA ......🇿🇲from Zambia on the map
@mchambikisupi9204
10 ай бұрын
This story touched me bro I had sach a problem in my career 😢. And by bad lack i was teaching in UGANDA and my country is KENYA it was not easy only God. ❤❤❤
@msambi1251
10 ай бұрын
Pole sana
@Phoebe-b2l
10 ай бұрын
Sorry everything is gonna be okay 😢
@hafsahmassemoh3598
10 ай бұрын
Pole sana na kama alivyo sema mwalim mgen kwamba dawa ya Nuqs ni ALLAH pekee Nakuombea Mungu Akuondolee mtihan in sha ALLAH ❤❤❤
@JonasKiswaga
10 ай бұрын
@@msambi1251😅😊🎉🎉😊😢
@apostlejohnsifa2023
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/urCm2oSicplohH4
@user-pr7lu4jx4s
10 ай бұрын
Much love from Angola Luanda ❤❤❤❤❤❤
@BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT
10 ай бұрын
Good JOB.........MMETUSAIDIA SISI WALIMU KUWA MAKINI
@khamisali5978
10 ай бұрын
Mitego migumu sana mara unazama😂😂
@user-sl3st4dg5d
10 ай бұрын
😢
@officialhamiboykenya674
10 ай бұрын
Yaaani ndo picha LINAANZA........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥ukweli upi karibu kudhihirika,,,,,,,,Magesa ako karibu kuomba msamaha,makingi naye ajipange kufungwa... I appreciate everything... salute to team BABAJOAN.....NAFATILIA KUTOKA KENYA💯💯💯📌📌
@karanivincent4913
10 ай бұрын
Nawapenda sana ,ktk kenya
@SHIJA_
10 ай бұрын
@babajoan nakupata vyema sana nikiwa hapa mpanda Katavi town
@mosessimiyu6954
10 ай бұрын
waiting for episode 13, sijui itakuaje much creativity from kenya❤❤❤💛🧡
@user-mn8mv4kv5h
9 ай бұрын
🎉
@amryFadhil
8 ай бұрын
🎉
@MtoxAssa-if1qs
10 ай бұрын
Jamani hii filamu iko sawa zaidi naipenda sana. Mwalimu mgeni ukopowa sana
@misheckmrk8848
10 ай бұрын
Mwalim ntusibile Kandi bileke bigende ibindi biloza muha kweli 😂😂😂😂😂 ila twasubili 13 kwa kishindo Cha kisuli suli more love
@user-js6pl7lb9r
10 ай бұрын
Just loving the script big up, following from Kenya
@apostlejohnsifa2023
10 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/urCm2oSicplohH4
@deniskingangleyofficial
10 ай бұрын
Love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ from Denis-King Angley Official Malawi 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼
@NdeleSolo-zy8ol
13 күн бұрын
Hii ngomaaa ni kaliii sanaaa huyu patronizee anajua mpk anajua tenaaa
@user-ho4pd3qx8j
10 ай бұрын
Nawakubali kusema ukweli nawafuwatia Sana jitahidini zaidi mambo mazuri muposawa sana nipo Zanzibar 🥀🌹✨
@eliphasethobias1133
10 ай бұрын
Episode ifuatayo mjitahidi kuwahisha mwendelezo jamani 🎉❤❤❤ ni nzuri sana
@irene3abi123
10 ай бұрын
Pale kwa kucheka nilidhani itakuwa ni upuuuzi,,,likini mwenzenu hapa nimecheka haki vitunguu vikaungua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nasoroabdallah6253
6 ай бұрын
Na mimi umenichekesha😂
@patrickkalahuka6340
10 ай бұрын
Napenda wote wa nasogeleya mwalimu mugeni na wapenda ila mwelimu mugeni ana kipaja ana juwa fundisha sana.
@zephaniahlempiris4186
10 ай бұрын
Much love from Nakuru Kenya, I relate it
@mwanamgenimohammed7904
10 ай бұрын
wenye tumecheka tupowangap tujuane kwa Comet mwalim mgeni ongera😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@bonheurNimbeshaho-qy7sy
10 ай бұрын
Huo mwalim mgeni bbhana anaenda polepole hadi misho
@ngagishow2614
6 ай бұрын
Mwanafunzi huyu mkali sana anapashwa kwenda kwa Diamond
@user-ut2ew4cs9t
10 ай бұрын
Nimejifunza kuwa hekima inafaida nmependa sana busara za mwalimu mgeni ❤❤❤
@yunusali231
10 ай бұрын
Wakwanza kutoka Kenya nipeni mauwa yangu likes zikuje
Mwarimu mgeni kwahilo jina nzmpenda ni la kiha.burundi.*Mr NTUSUBIRE*
@rogerslwitiko3915
10 ай бұрын
Salute Kwa Mwalimu Mgeni🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@raelvuyeshe1509
10 ай бұрын
Wow much love from Kenya ❤❤❤
@GODFREYSIMON-xo2hu
10 ай бұрын
Jamani wa kwanza hapa kutoka mbeya. Hii simulizi tamu sana isiishe tu
@maalimali5513
10 ай бұрын
Ukweli ukidhihiri uongo ufichama na siku zote subra huvuta kheri. Mwalimu mgeni amepitia matatizo mengi kwa sababu ya upendo wake kwa wanafunzi ila amekuwa mvumilivu na amesimama na mungu kutokana na wivu wa walimu wenzake.
@BabaJoani
10 ай бұрын
Kweli
@AndersonMaundu
18 күн бұрын
Napenda Mwalimu mgeni Kwa kazi zuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JuliethDaud-nw1jg
10 ай бұрын
Naipenda Sana kazi yenu Mungu azidi kuwainua naifatilia saba
@rahemh1234
10 ай бұрын
Much love from kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤
@goodluckmsuya115
10 ай бұрын
Unajua sanaa hongera sanaa
@user-fc3og1eo3x
6 ай бұрын
Mungu asimame upande wa mwalimu mgeni 🙏🙏
@vonpizzoychapuu6
10 ай бұрын
Wanangu wa Kenya mnatisha xna kutoka mwnza mwanza Tanzania ❤❤
@user-co5ed6xr5c
10 ай бұрын
Move nzuri sna naifatilia nikiwa Kenya ❤❤
@josephatkeengwe91
6 ай бұрын
Nimetoka Kenya nitua huku napendeswa na mwalimu ❤❤huyu
@rizikijoy-ti2gm
10 ай бұрын
Patronize congratulation I would like to be your dancer as you sing💖💞
@ibrahjokes5055
10 ай бұрын
Nan kamuona kibonge mayele🤣🤣🤣😂😂😂
@SamwellubigisaLubigisa
10 ай бұрын
Nyie watoto adi me nimecheka mamaae 🔥🔥🔥
@ojjustus3032
10 ай бұрын
Hadithi nzuri ...yatufunza mengi haswa walimu...ongeza episodi nying8❤
@showejikinjekitile5942
10 ай бұрын
Safi tena sana oya mzee b john huwimbo itoeni
@radhiamohaa3723
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yaani nimecheka 😂😂😂😂 jaman 😂😂😂😂😂
@mgayahassani8377
10 ай бұрын
Hata baba Joan anaweza bhana nipeni likes yangu
@FilbertKalembe-fy4oq
10 ай бұрын
Unakawia sana kuto mwendelezo jaribu kwenda hi araka kesho tupate sehemu nyingine kisa hiki kinaumaufundi mwingi
Пікірлер: 931