Hivi kwa Nini kila kiongozi hata awe balozi tu wa nyumba kumi..lazima aseme tunamshukuru Raisi.. Kwa hili inaonyesha upeo mfupi wa kufikiria ..mama kaleta ..mama kafanya na waandishi nao wamekuwa machawa tu.. Lazima watu wajue tunalipa Kodi kuanzia sukari..maji..hata kiberiti ukinunua ni Kodi yako hivyo ni lazima iwe return kwako not Mama.. Upuuzi mkubwa mmmno!!
@Nyanimzee
Сағат бұрын
P dydy
@clemencemkondya8561
Сағат бұрын
Mwambingiji huna hadhi ya kujilinganisha,na Tuli .Wewe nikama mbingu na nchi ukilinganishawa Tulai.Mwendazake ndiye alikuwa anapiga kura sasa mwaka huu na nwakani itKuwa zaidi kuliko unachokisema
Пікірлер: 4