Yani huyu shekhe amenigusa mashaallah..mungu akujaalie jannatul firidaus..na ss sote amini inshaallah
@Adamunjoka
5 ай бұрын
Amiin
@bundalahamza8902
4 ай бұрын
Amefariki huyuu??Shekhe
@abdulbiro7656
4 ай бұрын
Ndiyo!
@Omanzikra-ft5cr
2 ай бұрын
Masha allahu sheikhe hapo kwenye imani umenena ss hawatujazi imani ndio kinachotusumbua
@SoudShuraim
27 күн бұрын
Mungu akuweke peponi shekh wetu
@ZuleikhaAbdallah
Жыл бұрын
Asante sheikh langu sheikh abbasi katika msikiti wako unatuletea watu wa uhakika sana Atwaala llahu umraka
@shuhaidaomar3347
4 жыл бұрын
masha Allah mungu akuhifadhi twatakina mashekhe kma hawa bt sio tukimalza juzu amaa tushakuwa watu wakutoa fatwa twaigiza pepo na moto kaa ambao Allah Amechuachia ss kumiliki
@mirajiissa4603
4 жыл бұрын
Maa shaa allah ,,, sheikh nimekuelewa sawa sawa allah akuhifadhi unachokieleza waislam tumepungukiwa nacho snaa.
@ismailjuma3692
4 жыл бұрын
Mashaallah PEMBA kuna masheikh wazito Allah atuwekee inshaallah na hii hali iendelee
@issamohammed2458
4 жыл бұрын
Kuna upungufu wa maendeleo ya kisasa ya kidunia wana nafasi nzuri ya kusoma na waalim wao wana hima ya somesha kwa malengo ya elimu ibaki.
@endlessluvali2138
4 жыл бұрын
MashaAllah Mola awahifadhi masheikh wetu
@user-hb8vi9fx6g
5 ай бұрын
ما شآء الله جزاك الله خيرا جزيلا وبارك الله فيك. KAMA ALIVYO MWANAFUNZI WAKO OTHMAN KHAMISI KILA ANAPO INGIA AHISI HAKUNA MJUZI ILA YEYE!
@adamkilembwe.
Ай бұрын
ماشاء الله تبارك الله
@ummyilham117
2 жыл бұрын
Mashaa Allah Ami Ally Allah akujaalie Kheri na baraka na wajukuu zako/watoto wetu wakurisi babu yao lnshaa Allah 🤲🤲
@muhidinali8180
4 жыл бұрын
نعم. العقيدة الصحيحة. أول شيء في حياتنا اليومية. أسأل الله أن يحفظك
@shadyahamad3724
Жыл бұрын
MwaLim wangu amenisomesha chuoni mwenyez mungu amfanyie wepes
@bundalahamza8902
4 ай бұрын
Yupo hai??
@AzjaZakwan
4 ай бұрын
Huyu sheikh nmechelewa kumjua mashaallah Allah amlipe kher
@kingkiya6640
3 жыл бұрын
Swadakta yaa sheikh,,,Jazaakallahu khayran fyii haadhihi dunia wal~aakhera
@hassanomohamed7897
4 жыл бұрын
Walahi ni kweli imani ndio hatuna waislamu mwenyezi mungu atujaalie tuwe na imaan
@muddysasma3037
4 жыл бұрын
Sheikh maneno yako ni sawa kabisa na inshallah akupe umri mrefu uendelee kutupa neema ulizojaaliwa inshallah
@ramadhanmbunda5583
4 жыл бұрын
Kizazi cha masheikh kama hawa wenye imaan kinapungua sana. Allah akujalie kila lenye kheri akupe umri mrefu ili tupate maarifa mengi
@jamilasaid2718
4 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu shekh wetu yaarab
@jamilasaid2718
4 жыл бұрын
Mawaidha matamu kuzidi asali.
@allyjuma8925
4 жыл бұрын
mwenyezi mungu akulinde shekhe na sisi sote
@AllyHilal
3 жыл бұрын
MaashaaAllah. Allah akuhifadhi sheikh wetu.
@MsafiriCharange
Ай бұрын
Mashaallah
@shadyahamad3724
Жыл бұрын
Shehe wangu Ali bin iddi mwenyez yezi mungu azid kumbariki
@allymbaruku6930
4 жыл бұрын
kweli mashekh km hawa nakizazi hiki kinazidi kupotea ALLAH AKUHIFADHI shekh
@user-yp5mv4ot5j
5 ай бұрын
Innalillah wainna ilayhi rajioun allah akutilie nuru kaburi lako shekhe ali bin idd
@SoudShuraim
3 ай бұрын
Kwn kafariki huyu?
@allysharrif5237
4 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@eddyhongeramaalimseifulipo6612
4 жыл бұрын
mashaallah huyu shekhe amesema ukweli mtupu mishehe mingi ni mishekhe ubwaubwa tu
@seifjuma1126
4 жыл бұрын
Masha Allah
@azizauledi4108
4 жыл бұрын
Mashaa Allah jazakallah khairani jazakallah .
@hujaj
4 жыл бұрын
mashaallah, Allah akuhifadh sheikh wetu
@azizauledi4108
4 жыл бұрын
Shukrani sheikh swadakta maneno mjarabu
@محمدعلي-م4ص3ش
4 жыл бұрын
Mashaallah Allah akulipe kila la kheri
@mikidadivindi4364
11 ай бұрын
Wallah huhu ni mwalimu mkubwa kabisa
@ismailsoud3634
4 ай бұрын
Kweli, iimani ndio kitu cha kwanza kabisa ambacho Mwenyezi Mungu alicho mpa Mtume wake kukifanyia kazi, na ilimchukuwa miaka mingi, mpaka watu walipo jengeka ki imani ndipo Qur'an ikakaa kwenye vifua vya watu waliojengeka ki iimani. Pasinge kuwepo iimani, Qur'an isingekuwa na pa kukaa.maana Qur'an hukaa kwenye vifua vya wenye iimani. Ndipo wakafanya ibada zenye iimani. Inawezekana hivi sasa watu tu hunajitahidi kufanya ibada lakini. Ibada zetu hazina iimani ndani yake. Mdiyo majibu ya majanga haya. Yanayo tukuta kila kukicha mabadiriko.
@nuhusudi8895
4 жыл бұрын
Allah akulinde na akulipe kila la kheri inshaaAllaah,
@Omarjumanne-zm9zh
Ай бұрын
Mwalimu wa sheikh khamis
@allymbaruku6190
2 жыл бұрын
Amin
@ussikhamisussi4882
4 жыл бұрын
Shukran sana mwalim kwa darsa lako.
@fatihusaidi6873
4 жыл бұрын
MashaAllah
@majidbakar6922
4 жыл бұрын
Allah akuzidishie umri sheikh Ally uzidi kuunufaisha umma wa kiislam
@hamhamy621
4 жыл бұрын
majid bakar naomba kuuliza huyu sheikh anapatikana wapi?
@abdallahkh.hassan6429
4 жыл бұрын
vjibwen
@sulenabwa9305
4 жыл бұрын
@@abdallahkh.hassan6429 Vijibweni sehem gani nipo kigamboni naomba kujua ili nimtafutee
@sulenabwa9305
4 жыл бұрын
Maa shaa Allah.. nasaha nzuri sanaa kutoka kwakee na yapo mengi ya kujifunza kutoka kwakee
@hajihassan5433
4 жыл бұрын
@@sulenabwa9305 Unakaa Kigamboni ya wapi, usijuwe Vijibweni?
@salimabdallah5176
3 ай бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
@sabraham5308
4 жыл бұрын
Barakallahu feequm
@classicwaisala6677
22 күн бұрын
Swadakta
@salehmadjidumk7597
4 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@allykirunginyamka9171
3 жыл бұрын
Alhamdulillah nilikuepo live.
@HajiMkemea
4 ай бұрын
Mashaarrh
@jumadinya3796
3 ай бұрын
Kua mwanachuoni kuna kipimo kipi ndio uitwe mwanachuoni?kwani dini inapimwa kwa kusema sana au kigezo gani kunatumika tuache ujauja
@dezainermedia1035
4 жыл бұрын
Maashallah
@SoudShuraim
3 ай бұрын
Huyu ndo Mwanachuoni sasa
@jumamukoko6662
Ай бұрын
Tawhidi ya uhuliya na urububiya Mtume alifundisha hivyo
Tena hao mashekh kwanza ndo wakaanze kusoma imani waive kwanza ili wawe na pawa ya kuisomesha vizuri imani
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Huyu shekhe ni gwaji haswa mbobezi
@MsafiriCharange
Ай бұрын
Twaib shekhe umesemakwwli
@saadmbaraqa5272
2 жыл бұрын
Tunafata quran na sunna hatufati itikadi za imamu fulani
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Shekhe Husia Wako Ni Mzuri Lakini Huko Utajikuta Upo Peke Yako, Karibu Kwa Yesu Upate Wokovu Kamili Ukutane Na Wenye Imani.
@SoudShuraim
3 ай бұрын
Kacheze ukuti
@yusufsingano6202
3 ай бұрын
Umepotea
@user-dp7rw8or3k
2 ай бұрын
Umbwa wwe 😊
@saumuseif9189
4 жыл бұрын
Amesema kweli kabisa
@HamduniAbdulrazaki-wl5lg
6 ай бұрын
Bakwata nzima ni mashekh majina ndo wanaowapa ungozi
@saidimrisho883
4 жыл бұрын
يا ايها الناس اعبدوا ربكم الذي خلقكم والذين من قبلكم لعلكم تتقون، البقرة
@arqamibnarqam.7185
3 жыл бұрын
لعلكم تتقون.
@yusufmohamed8874
2 жыл бұрын
Kapitiwa kidogo hapa
@salumahmadasalum1556
Жыл бұрын
UBINADAMU
@binmiraji2168
5 ай бұрын
Shekh yupo sawa kafanye bahthi vizuriا @@arqamibnarqam.7185
@ariffalmas8670
4 жыл бұрын
Ndio mana Salafi huwa wapo sahihi Tawhiid kwanza.
@rayisadesigns2646
Жыл бұрын
sio kweli masalafi ndiyo wanaoongoza kufundishana ikhtilafu ili kujijengea uwezo ktk mabishano yasiyoimarisha imani badala kufundishana uislam, pia masalafi wengi ni vinara kwa kujitangazia usheikh hata kama elimu bado ndogo kiasi kwamba imefikia mahali wanawavunjiana heshima wao kwa wao wakiradiana kila kukicha na kutoana ktk usalafi na hata kuwakejeli masheikh wakubwa ktk waja wema waliotangulia. leo kwenye usalafi kijana akisoma kidogo tu basi na yeye sheikh na anatoa fatwa.
@jakuabdull34
4 ай бұрын
Acha ujinga
@saidsoud5967
4 жыл бұрын
Tunamhitaji huyu Sheikh...gwiji huyu
@sudaissaid8428
2 жыл бұрын
Anagawa hadi pepo...Al hadi
@Rolemodel_wa_taifa
4 жыл бұрын
Hawa Ndio walimu wa kufundisha
@kibwanaMAlly
4 жыл бұрын
Twaibu
@dinocastico8495
4 жыл бұрын
Hakika maneno yako ni sahihi kabisa
@ummutaswaufi3980
4 жыл бұрын
HASWAAA
@sabraham5308
4 жыл бұрын
Sheikh bora usiseme unafuata mlengo gani,bora usiseme,kwamba unawafuata masahaba,salaf u saleeh,watakupiga vita,na hiyo hikma unayotumia ni nzuri.
@jamalishoo3802
Жыл бұрын
Chuma hicho
@fakishaame6542
4 жыл бұрын
Hakika unachosema ni ukwel mtupu
@fatmakhanii1676
4 жыл бұрын
Masha Allah
@ahdahmed8383
4 жыл бұрын
Maashaallah
@expressstudio5417
4 жыл бұрын
MASHAALLAH
@aliamar4422
4 жыл бұрын
Mashaallah
@ukhtysakinaa7664
4 жыл бұрын
Masha Allah
@sss3s867
4 жыл бұрын
Masha Allah
@alush3138
2 жыл бұрын
Mashallh. Uweunatoa mawaidh kamamashekhe wengine upovizury mashallh
Пікірлер: 111