Mwanafunzi wa kidato cha nne amefariki katika hali tatanishi katika Kaunti ya Nakuru. Babake marehemu anadai kuwa mtoto huyo aliugua siku ya ijumaa baada ya kumaliza mtihani wa kemia.
- Күн бұрын
Mwanafunzi wa kidato cha nne amefariki katika hali tatanishi katika Kaunti ya Nakuru
- Рет қаралды 4,331
Пікірлер: 25