Uko sahihi kabisa chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BornFredy
2 күн бұрын
Akika Kaka sijui tunachukuliwa je na viogozi wetu awa, pia sielewi ata watu wanao pogeza utawala huu, mbaya kuliko, ccm mungu Alie hai anawaona ukweli tumechoka sana sana.
@SmilingCityMap-xb9md
3 күн бұрын
Damu isio hatia ikimwagika inaleta ghadhabu ya mungu hiyo amani haiwezi kupatikana kama nchi ikinyamazia kuuwawa wasio hatia mungu ataleta ghadhabu kwa nchi nzima Nzima kama hatutapiga kelele kupinga udhalimu huu mkuu
@joannoel-g3r
3 күн бұрын
Ubaya viongozi wetu wanahubiri amani wakati wameficha panga nyuma na mm nimesema hivi mniue tu hamna jingine
@AlphaBarageti-ru5xj
2 күн бұрын
Amani kwao Inamaanisha usidai haki iliyoharibiwa na watawala ukawaaibisha.
@mohamoudhussein4570
3 күн бұрын
Uchambuzi mzuri sana.Hali kweli ni Ngumu sana
@KaburuKimath-eu5nf
2 күн бұрын
Mungu ibariki nchi yetu tanzania
@violetcarroll4930
10 сағат бұрын
Asante kaka kwa kuonyesha hali halisi ya nchi yetu, Inasikitisha kuona vijana wetu wanavyohangaika kupata ajira
@pakyanyamkinga8390
2 күн бұрын
Hongera ! Darasa lako naomba lisambae ktk mitandao mingi hususa maria space. Mungu akubariki.
@generosennko8343
Күн бұрын
Kweli elimu hii imetufikia hata sisi tuliopo kwenye visiwa vya bahari ya pasifiki iliyo kusini kwenye hivi vijisiwa vidogo vidogo. Hakika tuna huzuni nyingi kwa taifa letu. Kumbe amani hakuna. Watu ni kama mateka ktk nchi yao. Looh! Tutasali sala basi ili ukombozi uje
@phillipmasungwa7365
3 күн бұрын
SAHIHI KABISA MUSHI.
@reginas1832
3 күн бұрын
Ewe Mtanganyika amka maandamano ni lazima
@godfreymkulu4966
Күн бұрын
Mungu akupe umri mrefu
@rweyemamurweyongeza4879
3 күн бұрын
Watanzania hatuna amani ila tumetulizwa
@user-sl1ko9me7u
2 күн бұрын
VIVA KIJANA KWA MANENO YAKO YA KIZALENDO, HEKIMA NA BUSARA.....LAZIMA KUWE NA 'HAKI' ILI TUWE NA 'AMANI'
@SharifuBakari-tr7hd
2 күн бұрын
Yaani ccm hadi leo hawajapata ki2 kipya Cha kutuliwazanacho zaidi ya amani,na kuna wapuuz wanainguzwa kwenye mfumo wao shenzi kabisa ngoja auwawe mamaako ndipo utagundua km aman haipo hapa tz
@BarakaOchuu
Күн бұрын
Hongera kaka.hamna aman tanzania ,ila Kuna utulivu Fulani ili mafisadi wazidi kutuibia na kutuua
@omannal1281
3 күн бұрын
Nakuami sana mwanaharakati wape vidonge vyao wanaona watanzania wapumbavu.
@jonathanmkwizu5692
3 күн бұрын
Dah.. Aloo hata sijui hizi dakika karibia 42 zimepitaje, haukinahi kusikilizwa... Kumbe walau kuna watu bado wenye uwezo.. hongera sana, hadi umegusia allegory of the cave ya Plato 👏🏼👏🏼👏🏼
@gabrielkyando2632
2 күн бұрын
Akili kubwa 💥💥💥
@Mosmwampa
2 күн бұрын
Kimsingi aman hatuna ila wachache wamewakalia wengi chini ya mateso afu waliojuu ndo wanatangaza aman huku wameshika slaha za kuwatuliza waliokaliwa wasipige kelele
UFAFANUZI MZURI SANA UNAOELEZEA DHANA NZIMA YA UWEPO WA AMANI KINYUME NA UKWELI!
@user-le7ek2zs4t
2 күн бұрын
Mungu akubariki
@jumakisailo8496
22 сағат бұрын
Ahsante sana, ukisikia bando linaenda kwa faida ndiyo kama hivi
@user-bx3ko9ft5t
2 күн бұрын
Kaka nimekupa maua Yako hongora🎉 broooo
@YonahMwamwaja
2 күн бұрын
Ukovizuri mtumishi wa MUNGU sisi wa TANZANIA tunaishi kwa uvumilivu amani hatuna hata uhuruhatuna.
@wadeelegbogun3015
2 күн бұрын
Kwakweli inasikitisha sana, hakuna haki wala amani Tanzania
@ebitariho9720
3 күн бұрын
Ni hivi ukisikia ccm na washirika wao wakisema amani , wanakuwa wanawambia wananchi wasiwabuguze katika kula nchi. Wanakuwa wanazuwia wanchi kudayi mabadiliko yatokayo waharibia uraji. Amani kwa watawala ni kula nchi bila kusumbuliwa. Amani ya watawala ni kuendelea kuwa madarakani bila kupigiwa kura kuchaguliwa.
@SKY-fk3fz
3 күн бұрын
Kweli Tanzania ipo amani maana polisi wanafanya wavotaka na wananchi hawachukui hatua yeyote wamekaa kimya na hawana uhuru hata wakujamba
@niceiz
2 күн бұрын
Ccm wameona kama hii nchi ni yao wanazani tumezaliwa hapa watunyonye tuu waache ujinga 23 sep tutawaonesha
@SKY-fk3fz
3 күн бұрын
Nimeona mwenyewe nimmeambiwa nikanunue drip na hizo dawa za kununua mbovu na drip pia mbovu, is too much
@wisdomfolks
2 күн бұрын
Naamini wapo watanzania wengi wanaojielewa na waliochoshwa na huu uzalimu wa serekali na ccm tukutane 23 kusimamia haki
@selemanimsangi3083
2 күн бұрын
Ukosahihi mwanaharakati
@allyshaban406
2 күн бұрын
Na hivyo vitanda vyenyewe havina magodoro na kama yapo hamna mashuka.
@wiza2309
2 күн бұрын
Amen
@gowekogoweko5803
2 күн бұрын
WAKATI WA MKOLONI TULITIBIWA BUREE MAMA ALINIAMBIA UKIWA MJA MZITO UKUFIKIA KUJIFUNGUA UNAENDA SEHEMU MAALUM YA KUPIGA SIMU HOSPITAL YA OCEAN ROAD. AMBULANCE INAKUJA NA MADAKTARI NA VIFAA VYOTE VYA HUDUMA. FREE OF CHARGE 👌👌👌👌MKOLONI
@InnocentJohn-l5y
11 сағат бұрын
Nchi inalaana kubwa mamtu yanateseka sana ma hospital lakini hayana akili yakufikilia kodi zao zinagawanwa tu magali yakifahali ila akili zakufikili hata kodi zao zinatumikaje kwenye mikutano ya ccm yamejazana tena yanashangilia kwafulaha kubwa yaani sio bule laana nikubwa nchi hii
@ChristinaKilianNyoni-xb7lk
2 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@reginas1832
3 күн бұрын
Kaka pokea🎉
@abdallahlupatu1093
18 сағат бұрын
Hali ni mbaya sana
@AlphaBarageti-ru5xj
2 күн бұрын
Nchi yetu haijawahi kukoseshwa amani na raia, ila wale wasio raia.
@jalaryababilasi1562
13 сағат бұрын
Viongozi ndo wanaatalisha iyo amani inabidi tupambane nao sisi ni wengi kuliko wao
@SKY-fk3fz
3 күн бұрын
Sasa dhahabu, almasi, mafuta gasi, umeme na maadini mengine kweli kunashindwa kijengwa nyumba zinafaida kwa wananchi
@juliuskitaluka1206
2 күн бұрын
Ukweli mchungu
@jedidahbintidaudi8241
2 күн бұрын
hizi wizara ziwe na midahalo ktk kila wilaya na mikoa kusikiliza sauti za w/nchi kisha kufanyia kazi vitu vote vilivyosemwa.
@isayamwashibanda5819
11 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
Күн бұрын
Mpaka afe wa CCM ndio watu wengine sio watu
@MayalakusekwaNkwabi
2 күн бұрын
Hakuna AMANI bila HAKI Serikali ya CCM ni ya kibabe wanatisha watu, wanateka Watu,wapoteza watu na kuua Watu ovyo tunaongozwa na Miungu watu
@jizzomonster
3 күн бұрын
Kweli kabisaa kiongoz Tanzania ni uhuni mtupu Hawa watawala
@JoelRichard-hj3bi
Күн бұрын
MUNGU MWENYEWE HUWACHUKIA WAOGA,UOGA WA SISI WATANZANIA NDIO CHANZO YA YOTE HAYA.
@estherminnahboaz6956
3 күн бұрын
Amani haipo na tumewachoka ccm na samia wenu tukutane tr 23 barabaran
@djumakonki1964
3 күн бұрын
Dr Slaa alisema kwamba viongozi wa upinzani ndiyo wanaongoza shughuli ya utekaji !! Video yake ipo kwenye KZitem na amekwenda mbali zaidi kaandika kitabu kuelezaea njinsi upinzani unavyotekana. kwa hiyo serikali wanapo pa kuanzia uchunguzi juu shughuli nzima ya utekaji. wajukuu wa waliopigania uhuru wa tanganyika bado wapo na wapo tayari kuilinda tanzania kwa gharama yeyote. mungu ibariki tanzania na watu wake.
@lwakainaza
3 күн бұрын
Unatetea nini wewe chawa.
@leokamil6284
2 күн бұрын
Use your brain please
@albethoildefonce9117
2 күн бұрын
Jamaa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana huyo Slaa yupo upande upi kama sio yupo serikalini na yupo chini ya hao Ccm unadhani ataongea nini kibaya kuhusu serikali yake kama sio kuitetea tu,hayo aliyoyazungumza Huyo Slaa ni Propaganda tu ili kuwapunguza nguvu hao wapinzani,ila nakushauri Ccm haitokusaidia chochote bro
@rickyaruzi1983
2 күн бұрын
akili kisoda
@Mosmwampa
2 күн бұрын
Ila wewe ndio boga kabisa, kwahiyo wapinzani wameizid serikali? Kwann serikali isingechukua hatua dhidi Yao. Kwahiyo unazidi kutuambia serikali dhaifu inashindwa kukabiliana na uhalifu ndan ya nchi
@adammjomba5814
2 күн бұрын
Unajua bwana Mushi mwanaharakati , Kiukweli wa TZ wamefungwa kitambaa cheusi machoni hawana ujanja hataukiwahubiri vipi ni bure tu mangekimambi ameongea mwisho amejiachia hata wewe hutaweza Sisi wa TZ tuna subiria Na bii Musa ( Moses atuvushe ktk bahari ya Sham. Yani ni MUNGU tu atusaidie wenzetu walio serekalini wana nenepa tu kazi yao ni kuhubiri Amani na UTULIVU. Ambavyo havipo, ( wa TZ tusipo kua kama wale wakoma waliosema Twende tukaandamane maana tusipo andamana tutakufa na tukikaa apa tutakufa 😂😂😂😂😂😂
@salama1113
3 күн бұрын
Chajabu hadi masheikhe wanajitokeza wakati walikaa kimya watu kupotea
@NdeshaPaul-uz9bw
2 күн бұрын
Pengine amani ya hao ni kwamba wao wanaamini matokeo hayo mabaya ndio amani yao
Ninashauri, ili kila mtanzania apate huduma ya Afya, wananchi ndiyo walipa Kodi. Tukitengeneza utaratibu wa kulipa angalau shs 50/ Kwa kila Lita ya mafuta hatuwezi kuimaliza changamoto ya matibabu Kwa watanzania. Tafakari na ufanye hesabu .
@leokamil6284
2 күн бұрын
Ukipunguza kumnufaisha Japan au kuimarisha uchumi wake kwa Viongozi wetu kununua magari ya kifahari kila mwaka au kila baada ya miaka kadhaa,.Tukipunguza sherehe zisizokuwa na tija kwa wananchi, Viongozi wakipunguza matumizi makubwa ,kuacha kujengeana majumba ya kifahari, kulipana wake wa wastaafu ambapo sio sahihi. Baada ya yote hayo tunaweza kutumia fedha kwa matibabu elimu na kilimo .Kuna fedha nyingi zinatumika tu kwa manufaa ya Viongozi na wapambe fulani.
@elinamilyamuya3277
3 күн бұрын
Umeongea ukweli mkuu
@reginas1832
3 күн бұрын
Walimu wanatuangusha sana. Maana wanatumika sana kama polisi wakati wa kura
@leokamil6284
2 күн бұрын
Tatizo ni upeo mtu anathamini fedha ya kula siku kadhaa akisahau atataabika kwa miaka kumi, shida ni kuwaza kwa kufikiria tumbo .
@maggamagga3157
2 күн бұрын
Lazma tukiwashe mama lazma aende
@user-qm2ve7tx3s
3 күн бұрын
Unacho ongea ni ukweli mtupu tasisi zote za selekali ya Tanzania huduma ovyo kinacho tangazwa ni tafauti na kilichopo nakushukulu kwakuwa umeyaona nakuyasema kuliko kusifia vya uongo
@knight6757
2 күн бұрын
🇹🇿😪
@adamlubawa1281
2 күн бұрын
Sasa jamani iwapo hakuna Amani kwani mnalazimishwa kuishi humu nchini c muende kwenye Amani
@estambuya3901
2 күн бұрын
Una ugonjwa wa akili.
@adamlubawa1281
2 күн бұрын
@@estambuya3901 Kama wewe ulivyo huna Afya ya akili
@estambuya3901
2 күн бұрын
@@adamlubawa1281 acha uchawa uende mbinguni.
@allyshaban406
2 күн бұрын
Elimu haipo ni uzwazwa tuu,
@ebitariho9720
3 күн бұрын
Tukutane tarehe 23/9/24
@rebekakulwa6159
3 күн бұрын
We lifisiemu ndio mpuuzi hakuna amani bila haki
@RamadhaniKitala-gx6wc
2 күн бұрын
Na haki Iko wapi Sasa
@SharifuBakari-tr7hd
2 күн бұрын
Nimeangalia hii video hadi mwisho kiukweli imekua fupi sana ndugu nilitamani iwe masaa km manne na nusu hivi
@Sulesh7
Күн бұрын
Mtu na nusu huyu
@leokamil6284
2 күн бұрын
Shule zenyewe sio bure michango ni sawasawa na ada tu .Watoto wanaambiwa wapeleke fedha za chakula Shilingi laki moja na alfu 30.Shule ya msingi wapeleke debe moja mahindi moja maharage. Mara michango ya Computer ya Mwalimu alafu ati Elimu bure
@@AnthonyChaula-d8lAlafu wakiumwa kazi nikuomba humu mitandaoni wachangiwe na watanzania.
@ramadhanmahongole9293
2 күн бұрын
Tatizo nyie manyumbu wa mhammad hamna elimu kazi yenu ni kwenda Saud arabia kuabudu sanamu ya jiwe na kuchangia matilioni ya pesa za kigeni ili warabu watajilike nyie mnabaki maskini 😂😂wajinga ndio waliwao
@tanzanite9944
3 күн бұрын
Huyu jama Katoka Pangono bike kama amefufuka? Huku aliko hathubutu kuiambia Serkali ya Nje aliko
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
2 күн бұрын
Soma comment kwanza uangalie wengiwao wanamutazamo Gani ndiyo ulinganishe na bokxi lako
@AkidaDaudi
3 күн бұрын
Mpuzi wewe pelekeni maandamano uchagani sio muyapeleke dar wapuuzi nyinyi ,kwaiyo we hutaki amani peleka uko uchaga wako.
Akida wewe unastahili kuombewa kwa kuwa umepofuka kiasi cha kutoweza kuona hali mbaya ya maisha ya wananchi wakati Samia na chawa wake wanaliibia Taifa kwa matrilioni.
@FransiscoKaiza
2 күн бұрын
Tumelishwa matango 🥒🥒Poli.
@travellahmsafirihiphop5325
Күн бұрын
💯
@SKY-fk3fz
3 күн бұрын
Nimeona mwenyewe nimmeambiwa nikanunue drip na hizo dawa za kununua mbovu na drip pia mbovu, is too much
@leokamil6284
2 күн бұрын
Alafu kuna watu wajinga humu kazi yao kusifia upuuzi, wakiumwa kazi yao kulia huku mitandaoni wachangiwe lakini utawakuta kusifia udanganyifu wa Viongozi wetu
Пікірлер: 112