Aky mumenifanya nikalia mungu azidi kuwapa nguvu movie nzuri sana uyu mototo ameweza
@theophilyedward2448
7 ай бұрын
Sema mnatamaaa yaani mmeshaiacha shilingi mara hiii
@user-wt1qt9yh1n
Жыл бұрын
Kama sio ridhiki yako hauezi kuila kweli....Medy hadithi zako ni nzuri sana....may God bless you bro...and continue with that spirit..inshallah mwenyezi Mungu akuzidishie nguvu👍
@happyqueenf
11 ай бұрын
Nice
@kingmediatz5243
Жыл бұрын
Karibuni sana wadau wangu tuendelee kuburudika usisahau SUBSCRIBE like na comment 🎉❤❤❤❤ nawakubali sana watu wangu
@MovitaKhmis
Жыл бұрын
Oky mpenz asant
@MadlineMaghangaa
Жыл бұрын
sawaa
@shakilasharifa9
Жыл бұрын
Pamoja sana
@hadejamohammadi9824
Жыл бұрын
Weken na part 2 basii
@BiisheBugao
Жыл бұрын
Ama kweli Siku zote mtaka yote ukosa yote....Na tamaa mbele mauti nyuma
@queenofireland898
Жыл бұрын
Kabisa
@BiisheBugao
Жыл бұрын
Ndio
@veronicasaid6723
Жыл бұрын
Kazi nzur lakini shilling kiboko nimemumisi alisi
@maburudani1234
Жыл бұрын
Ya tupostie vitu bana❤❤
@EDWINNjoki-l6g
Жыл бұрын
Very sad story 😢😢😢
@priscakimburi-sl9ml
Жыл бұрын
Wapendwa mnajua tena sana hongeren 🎉🎉🎉🎉🎉❤ila Michael umeniliza kwa kweli keep it up 👍 bro❤
@maryamtanzania9743
Жыл бұрын
Chiku acha roho mbaya kumchukia mtoto asiekuwa na hatia
@dorcasmueni2290
11 ай бұрын
Mwanamke hana roho ya huruma jameni
@mwanamisi-jg6nx
Жыл бұрын
Wanaume kma hawa wako wap jmni wnalea wtoto wa wtu km wao na mazingira yalivyo nyumbani jmni
@ancillarneema
Жыл бұрын
Tamuuuuu❤❤❤🎉🎉🎉
@user-cr4ku8jh4d
Жыл бұрын
😢😢😢😢😢😭😭😭😭❤❤❤❤❤❤ ongereni sana wapenz kwa mafuzo yenu mazuri sana ubarikiwe wote
@shanyabuzefa5855
Жыл бұрын
Kweli chuki mbaya sana
@MadlineMaghangaa
Жыл бұрын
hii movie inaliza sanaa yafanya nikumbuke mbali 😢
@tina-my4rn
11 ай бұрын
Yaan nimelia yangu yote waaah 😢
@Maryam-yt8lw
Жыл бұрын
Leo.nimelia.jamani.
@mwanamisi-jg6nx
Жыл бұрын
Haaaa shangazi mmbaya huyu jmni hatakama ila sio sw jmni
@nadzuwamangale1186
Жыл бұрын
Haki hii imenitoa machoz 😢😢😢
@user-fy4op1sw2f
11 ай бұрын
Mtafuta shari humrudia mwenyewe
@samyabahatialhiani401
11 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢najikuta natowa macozi ciku nakucukiya kunyanyasa mtoto
@mwanaharusichizikalama7790
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ hii move inanifanya nikumbuke mbali
@Daudi-nt6xt
Жыл бұрын
Sauti mbona mnabania movie ni sauti angalieni upande wa sauti
@samyabahatialhiani401
11 ай бұрын
Davidi uyo mtoto niwakwako mbona amufanani mama yake amekuogopeya
@feddystevie3409
Жыл бұрын
Natumai shillingi IPO siku itaendelea
@MadlineMaghangaa
Жыл бұрын
tuliambiwa n date 25
@PilyAly-ll8fz
Жыл бұрын
Uyu mtoto kabeba uhusika Masha Allah
@samyabahatialhiani401
11 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢ciku apana
@faustinambale5155
Жыл бұрын
Movie tamu sana
@bethwelmelly546
11 ай бұрын
Na shllngi ili isha ama
@user-ju8lv7mz8c
Жыл бұрын
Kwani shilingi ndio iliisha hivyo
@fatmahfatmah6745
Жыл бұрын
aky hii movie imenikubusha bali sana mm 😭😭😭😭😭😭😭
@maryd1538
Жыл бұрын
Kaz nzur❤❤❤
@JoshuaWekesa-su3lk
11 ай бұрын
Gai inauma kwa huyo mtoto
@user-os3pb1xl3n
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@uytfjhii2138
Жыл бұрын
Waa hki nimelia😭😭😭😭
@user-zx8nq9yl3x
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@user-od6mu5yr4e
Жыл бұрын
Leo nimewai nimekuwa wa kwanza
@kettymaggie5202
Жыл бұрын
Unaambiwa utoe comments wasema umewahi kuwa wa kwanza ndio ufanyweje sasa
@AlisaEbongelwa
Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@fatmahmed5647
Жыл бұрын
Mshahala wa dhambi nimauti 😢😢😢
@khamisjuma3760
Жыл бұрын
Mwisho wa ubaya huwa kama hivyo aibu
@user-os3pb1xl3n
Жыл бұрын
❤❤❤❤🎉
@user-oj6qq8up7f
Жыл бұрын
Jaman hata kama mtoto c wakwako ndo umfanyia hivyo😢😢
Пікірлер: 69