Mume wake atakapopata pengine ndio atarudi kusema humu wanaumme special aliezoea kuoa usimuapie
@shantalismailhassan9878
3 жыл бұрын
Huo ni mtazamo wako bibie. Na kila mtu ana mtazamo wake ndo maana ulimwengu Una watu tofauti tofauti. Hiyo formula kama imefanikisha kwako sio kwamba itafanikisha kwa wengine. God bless you.
@harerimananajati4589
3 жыл бұрын
Umeona eeh yanii apo kaongey kimtazamo wake yeye na maisha yake yeye anavyo ishi so kila mtu atakuwa hivyoo
@racheldaniel387
3 жыл бұрын
My dear hatakama unamtazamo wako kujifynza ni muhimu saana na ni wale tu wanaojifunza ndio hufanikisha mitazamo yao 🙏
@azizayassin3623
3 жыл бұрын
Queen nakupenda bureeee💕💞💕💞💕💞💯😀
@janjakhalfan7283
3 жыл бұрын
Wewe unajaribu kumchokoza sana Mke mwenzio kweli nimeamini wake wadogo uwa wakorofi wewe ni mkorofi sana, na nia yako unataka mwenzio aondoke ili wewe ujione bora zaidi kwa taarifa yako Salba aachiki Salba bado yupo sanaaaaa, Ewe mungu nakuomba umbariki Sabla adumu kwenye ndoa yake milele na milele, Mungu mbariki Sabla awe mwanamke asiyekua na majivuno milele mungu nakuomba ukaufanye moyo wa Sabla uwe kwenye furahaa siku zote, Sabla kipenzi cha mungu uyo Mke mdogo anapenda sana kukuongelea mafumbo nikuombe Sabla usiumie na maneno yake, na usimjibu ata akikutukana, yeye anaongea na walimwengu kila kitu kukuusu wewe, wewe kuwa bize kuongea na Mungu majibu atakupatia Mungu,, Sabla ni mwanamke uliyefundwa ukafundika, Sabla sio mshamba adi apige picha azitangaze azipost, kwa kua umeolewe wewe ndoa ya pili post wewe alafu tuone udumu nae milele au utampost milele, siyo kweli kila jambo lina mwisho izo mbio za sakafuni tu zitaishia ukingoni, pengine wewe bado ujapat nafasi ya kuwajua vizuri wanaume pole sana Qwi, Wanaume ni chata nyingine wewe walikuwepo magwiji wanaojua kuwapeti wanaume na sasa awapo tena wewe nani ukae umtishetishe mwenzio pole umechelewe sana kwa maana ulipo lala wewe Sabla aliamka zamaniiii
@rayrayndiema
3 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@risperkoloo5286
3 жыл бұрын
Adi ushauri uko fiti hivi ongera sana dadangu nimejifunza mengi kutoka kwako ❤️❤️
@zarihassan4754
3 жыл бұрын
Nakupenda sana queen 👸
@mamymamy4623
3 жыл бұрын
Nakupenda bure
@fezairambona8088
3 жыл бұрын
Iyonikweli Queen
@salhamrisho8138
3 жыл бұрын
Wooow dda
@salhamrisho8138
3 жыл бұрын
@Zamda Londoni 😘😍
@mariamsalimin7877
3 жыл бұрын
Nakupenda bure we dada💋😘🇧🇮👌
@ashuraussein7582
3 жыл бұрын
Nakupenda mana hukujicubuaga❤️
@ukhtyashachannel5505
3 жыл бұрын
Fumbo iloo
@salhamrisho8138
3 жыл бұрын
Nakupenda 😘😘😘😘😘
@teammessi8350
3 жыл бұрын
Thanks for coming back
@binthkhamisi1097
3 жыл бұрын
Nimeshajifunz kwako kwa hil darasa queen dly
@rayrayndiema
3 жыл бұрын
Endelea kujiambia hivo. Wacha tuone
@xkingx8041
3 жыл бұрын
Una mda gani kwenye ndoa queen!!! Good luck...ninacho kijua mimi'' ni kwamba watu wako tofauti kabisa.
@lizzydiy4590
3 жыл бұрын
Kaachikaaaa 😂😂😂
@swejanegelo6924
3 жыл бұрын
Nimekukubar
@jamilaayoub1446
3 жыл бұрын
Huna lolote naww pia yatakushinda bibiee kilicho mshinda peku naungo pia kitamshinda mwenyewe mdangajiii tu
@auntiemylee3157
3 жыл бұрын
Mshenz sana anaingilia mwenzake anasahau karma....what goes around comes around!
@nellymwanuli9592
3 жыл бұрын
Mbona hizo kucha zinakaa kama za mondi
@yuusufnuur5752
3 жыл бұрын
Hongera sana queen kwa maneno yako
@darsinana2647
3 жыл бұрын
Bado sana kuongerea swala ya ndoa lea mtoto kwanza
@mwanaidihatangimana5134
3 жыл бұрын
Kabisa ata myaka 5 ya ndoa bado
@sniperbogo6210
3 жыл бұрын
Kuna watu watajua kupitia wewe waelimishe mama ukipata mume jitangaze ili watu wakusaidie kulinda ila ukificha tu tunasema sijaoa mwisho wake unapata kademu afu kanapenda kupost mitandaoni ndio inatokea kuhama nyumbani
@elenamlasi6815
3 жыл бұрын
Kweli kbs dada asante san na ushauri 🥰🥰🥰🥰🥰
@kobajumakuziwa9976
3 жыл бұрын
Kweli we queen 👑 maneno ya busara na hekima na busara sana kwa vijana wa leo ni ngumu kuwa kama wewe hangera sana
@didaamohsin6594
3 жыл бұрын
Warerree...kazi ipo..kumekucha..vidole kama vya mond
@vincentomoranz8179
3 жыл бұрын
Hapo Umenena Queen
@sifamugwaneza8774
3 жыл бұрын
Nakupenda bure #QueenD ushauri wako nimeuelew kbs
@mariammohamad4495
2 жыл бұрын
❤️❤️💯
@rehemabahaj945
3 жыл бұрын
Ushasema mmke balkis
@happymarwa4517
3 жыл бұрын
Lazima ujitangaze kwa ubaya ulikuwa nao hukutegemea kuolewa
@mariamsuma3003
3 жыл бұрын
Huyu kaolewa kwa sababu aliona ni ndugu wa mond atachuma pesa ishihaka nyie hamjui tuu
@jeremiahcharles6027
3 жыл бұрын
Nimependa ,,,uko vzur
@regineniyonzima5340
3 жыл бұрын
Asante dada kwa ushauri wako,from 🇧🇮
@munirashughuli7224
3 жыл бұрын
Mma Bi hujambo mzee wetu Abdul nae mzima
@moonpatienceongara5607
3 жыл бұрын
Umeongea ya maana, hongera
@jamychaz3171
3 жыл бұрын
nakuelewa sanaa mama Balqis 💕💕💕
@emilymideva8783
3 жыл бұрын
Thanks for yur advice Mrs lshaka mtoro mama blakishi
@romadanromadan4398
3 жыл бұрын
Endeleya na kipindi dadang🌹😂😂👆
@salehfakih4848
3 жыл бұрын
Queen ndoa ambbayo hhuwezzi kuisahu ni ile ulo ulowe ukiw bikra sio ushzaa watoto 10 ndo ukolewa ukasemmma husahau husahau siku yya mwanzo ya kufannya mapenzi upo nyonyoooooo😂😂😂😂😂
@KeKe-vp8nl
3 жыл бұрын
❤️❤️❤️
@mukunzinaplouse8025
3 жыл бұрын
Mikono yako inaonekana migumu saana dada yangu jiongeze na ww bana
@shushu8105
3 жыл бұрын
😂😂
@barakabahati6600
3 жыл бұрын
Sikiliza maneno sio kutazama mikono
@rachelmukazayire8293
2 жыл бұрын
Ndoa za kislam hatari 😢😢 jmn
@mwanaishamussa3680
3 жыл бұрын
Queen Darling ahsante nimekuelewa sana Dada angu kweli ukiona mtu anakufuatilia ujue kuna kitu umemzidi
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
Bwana we mwanaume hana ubidhaa wowote matamaaa tu
@leokamil6284
3 жыл бұрын
Hajajua ni goti ngoja limgeukie .Yule mumewe hakuwa maarufu hakujulikana na wadada subiri atajionea sio kwa Dini yetu na mpenda kuoa hawachi asili yake.Vile alimcheat mke mkubwa ndio nayy atafanyiwa exactly the same kisiri hadi dhahiri
@mariamkassim9925
3 жыл бұрын
My sister uko honest napenda sana ♥️♥️♥️
@asifiwekitunga4655
3 жыл бұрын
ulimbukeni unakusumbua
@auntiemylee3157
3 жыл бұрын
Kwa kunyanganya mwanamke mwenzako mume ndo sifa izo nyooo ..kwioo raha kwako mke mwenza kaondoka tawala ukisubiri karma
@fatmasaid9400
3 жыл бұрын
etie yanamwisho
@shezlyshezly4201
3 жыл бұрын
You said it right
@angeljasson4376
3 жыл бұрын
Hivo viumbe havinaga shukran wala ujanja vitajiju
@rayrayndiema
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@youngdreamerfilm5490
3 жыл бұрын
Asante kwa somo lako nzuri boss wangu
@agwalubifaridah7079
3 жыл бұрын
Na hiyo akili yote ya kujua kama mwanamme ni bidhaa... ukashindwa kupata wa kwako katoe nyimbo usituchoshe.
@fatmasaid9400
3 жыл бұрын
umeonaa
@rayrayndiema
3 жыл бұрын
😂😅😂😅
@queenbi5477
3 жыл бұрын
Nakupenda sana Queen wangu from 🇨🇩🇨🇩
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
Happy to see congolese Like me😂😂
@ibrasadadi7508
3 жыл бұрын
ur welcome back
@zawadza3082
3 жыл бұрын
Nakupenda sana
@aminamosa2214
3 жыл бұрын
Ushauli bora kbs
@madamleylah2120
3 жыл бұрын
wow mm nakupnda queen wang hata ww unajua💜😘
@mariamsuma3003
3 жыл бұрын
Yaan kama mikono ya mwanaume mmh dume jike
@zanuraselemani7256
3 жыл бұрын
Kabisa
@shammxtv5608
3 жыл бұрын
💖💖💖😍
@rentadelilah
3 жыл бұрын
Kama upo single njoo hapa tuna kikao cha dharura
@hajingangila1558
3 жыл бұрын
Nimekuja mm
@lightrich6436
3 жыл бұрын
Warenta I'm here
@mummyasiati1458
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂shida naishi mbali
@lightrich6436
3 жыл бұрын
@@hajingangila1558 ya kweli?
@fatmamatuma4073
3 жыл бұрын
Nifahamishe nije
@kadejahh4036
3 жыл бұрын
Dada mie nakupenda sn allah akujalie her katika ndoa yko
@user-mn1fg2ki8t
3 жыл бұрын
Nakupenda bure tu
@biiibiiimzee5459
3 жыл бұрын
Wewe wajua dini gani sehemu zote za mwili wako ziko nnnje watufundisha nini fudisha malipukeni kama Wewe
@mariamubakari599
3 жыл бұрын
Haujalazimishwa uckilize
@fatumaadan633
3 жыл бұрын
@@mariamubakari599 ni ukweli dini yke niya jina tu
@fatmastawbry6090
3 жыл бұрын
nashangaaa uislam gani huu hata hijab ama scarf ndogo hajajitanda.haya na imani yadini imeenda wapi hapa ndio shida kubwa inatuletea hata kwa ndoa zetu shida ukosefu wadini pole kama nimekukwaza ila ungetoa darsa zako ukiwa umejitanda.
Ivi kwan anaongelea nn au kipind kinahusu nn jaman mwenye kujua
@farajijr468
3 жыл бұрын
Queen
@joookahjokah8430
3 жыл бұрын
Fact Queen ❤😘
@fatmamuki4900
3 жыл бұрын
Nakupenda sanaaaaaa
@wasafikids2764
3 жыл бұрын
Oh my God wow nice
@ireraaudrine2516
3 жыл бұрын
Mimi Nina swalii kwanini umependa kufunga ndoa namme wawatu ,kwanini using omba Mungu akakupa mme wako mwenye Hana mke mwengineee kwani Mungu anawezaaa, Sasa biblia yangu inasema Mme awe na mke Mmojaaa, Sasa Dada yangu usikaeee ukasema Kama umefunga ndoa na mme wawatuuu..... Yale machozi ya bii mkubwaaa kulia ajili yako mwenzanguu yatakuwa kipigo kwako nahauwezi kwenda mbingu bila hujaachiliaaa, Sasa Dada tafuta mbingu ya ulimwengu Mungu atakupa yanayo kustahiliii.... Mimi ninapitaaa tuuu Dada yanguuu , ilatu usinicambue , kwani hiii ni big advise nakupa.... wengeni watakupa ongeraa ongeraaa, lakiniii ukimtiii YESU utafanikiwa ....
@user-wx4zd5ch9e
2 жыл бұрын
Unaongeya ima unaropoka kanzwa wewe NI dini gani kwani ulisikiya mwanahawa ndo kamuowa bwana udriss wewe Fara yeye Queen kaolewa haha owa tuliza ILO Dino lako ongeya yamaana uliza yammana
@user-wx4zd5ch9e
2 жыл бұрын
Kwani macozi ya bi mkubwa quenn ndo alimupiga Mwe wajinga Sana dini yetu yaruhusu wake wane upo Bibi
@user-en6cd4zn1t
Жыл бұрын
Jamaani kiukweli queen kakosea tu. Mume wa mtu sum. Kwa Nini asingetafuta wake?
@user-en6cd4zn1t
Жыл бұрын
Mh.
@syphroseshazala6854
3 жыл бұрын
Good advice
@mukaplatnumz2313
3 жыл бұрын
Queen mkubwa💥
@rayrayndiema
3 жыл бұрын
Kunao wanaume wenye mwanamke mmoja. Infact very very men do not cheat. Wewe ni mwizi kwa hivyo unataka kuji console ndyo upate amani rohoni. Tafuta wa kwako peke yako. Ona sasa huyu bidhaa wako anampost Sabra yeye mwenyewe wakikuchamba wewe. Wachana na wanaume wa watu.
@salhaaa4996
3 жыл бұрын
Asante sana
@boraalimasi7692
3 жыл бұрын
Fact darling👌👌👌
@hadijatambwe9194
3 жыл бұрын
My friend all the time
@zainathcuwimigishazchelsea2113
3 жыл бұрын
Hahaha mama B
@rayrayndiema
3 жыл бұрын
Well that aged well 👀🍿
@tyquiannh4888
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@lizzydiy4590
3 жыл бұрын
Nani kajakuona hii video baada ya queen darling kuachika ...hapa ndio tujifunza tuwe na akiba ya maneno
@saadiaali5609
3 жыл бұрын
Ww utakubali kuletewa mwenzio maana nakuona umesema mule na wenzako mume ww ukiletewa una kifuwa ama wasema tu hapo
@leokamil6284
3 жыл бұрын
Huyu anasema tu asubiri kama alivyomtoa mwenzie na yupo kiboko yake njiani .Mpenda kuoa hawachi asili yake
@abdulmanjotijr8070
3 жыл бұрын
Wakwanzaa kwa fist lady wa WCB
@habarizausa6192
3 жыл бұрын
Good
@fatmastawbry6090
3 жыл бұрын
ukitaka kua queen vaa crown yako kama muislam jitande hijab,vitendo katika ndoa ndio inamweka mume sikumpost kila mtu ana njia zake na uhodari wake.alaf tena ukiwa mke wapili haina haja kushindanisha namtu tayari ushakubali matokeo,mambo niwale hawajaongezewa mke waeke juhudi wasipate wake wenza.nakama mume ana jicho lanje hata umpe nini ataenda tu.
@munozimimibahati2716
3 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰my queen
@mwatsmrembo5585
3 жыл бұрын
Tell them 👏 dada
@lesusi7872
3 жыл бұрын
Mm mtu aliyeko kwenye ndoa mwaka hta simsikilizi mana bado yote yanaonekana mazuri embu fikeni kama miaka 20 alafu uje ututolee ushauri
@gracejoseph6467
3 жыл бұрын
Umeona ehh me mwenyew hapa miak minne lakiniiiiiiiiiiiiiiiii
@hidayayussufu7080
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👊👊
@blandinamnyinga8318
3 жыл бұрын
🤣😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asante nyonyoooo waambie hawa wana ndoa wa upepo wa Instagram ngoja nicheke tena 😅😅😅😅😅😅😅
@gracemushi1283
3 жыл бұрын
Yaan una mwaka tu unatufunda subir ufike miaka 5 huko ndo utuambie,🤣
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Kabisa ndomana sijamuelewa
@nowyouknowtvbycarol2765
3 жыл бұрын
Umependeza
@ednarobert4677
3 жыл бұрын
Dada Darleen asante kwa darasa
@rayanndizeyes3161
3 жыл бұрын
turundi nyuma kindongo dada wetu wataifa ,ulikuwa unamufisha uyo mumewako paka harusi uliifisha ila leo umepana hushahuri sasa umejuwa kumuhumiza kweli ila umushungu vizuri uyo mumewako.
@yvetteuwase2740
3 жыл бұрын
Haimanishi muda kwandowa
@asifiwekitunga4655
3 жыл бұрын
kwendraa kwa baba wa mtt wako wa 1 ulikwama nini
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
Haloooooo👌tenaaaaa
@zawadibilombele9713
3 жыл бұрын
iyo nikweli kabisa❤️❤️💕
@latifamaiko1041
3 жыл бұрын
💕😍😍😍
@barikiwa22
3 жыл бұрын
umejikubalia mumeo kucheat, kweli una low standards and expectations!
@nooor1120
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@victoriadaizy5277
3 жыл бұрын
Point 👌
@tanzaniaoman6423
3 жыл бұрын
Point mamy ❤❤❤
@mwajumalubunga1534
3 жыл бұрын
Maneno mengi yote ayo yanini we kama mume umeshaachiwa tulia basi uone picture inakuja kushauwa tu huna lolote nyoooo 😳😳😔
Пікірлер: 232