brother umetangaza vizur sanaa kiasi kwamba mtu hata ambae hamjui anaweza kucreate picha flani hii millard unamtu aiseeee congrats kaka...... rest in peace legend
@dianacornely8666
5 жыл бұрын
Nawapenda milard mpo vizur sana, hongera kwa mtangazaji
@nichummputo516
5 жыл бұрын
Baba mengi tutakukumbuka sana mwenyezimungu ailaze roho yako mahali pema amina
@FAUSTASAnGA
4 ай бұрын
He is my roll model, today and forever,I really appreciate him
@rassimbaengswahili6191
5 жыл бұрын
Laaa! Superb narration
@zamdamtasha8199
5 жыл бұрын
Taarifa ninayoweza kuifungua kwa uhakika ni Millard Ayo. Rest In Peace Dr. Mengi
@samwelmushi5295
5 жыл бұрын
Mungu akulinde akuongoze
@salmaothuman9762
5 жыл бұрын
UMETANGAZA VIZURI BIG UP KWAKO SAUTI NZURI
@deustutu1162
5 жыл бұрын
utajir wake aliutumia vizur Mungu amlaze Mahal pema pepon amina
@JullyLemah
11 ай бұрын
R.i.p meng hakika ulikuwa shujaa milele tutakuenzi
@zennakailo8106
5 жыл бұрын
Hadi Raha ur voice brother, Inna lililahi wainna Lilah rajunn 😭Kiukwel inauma Sana
@jackobhalla7919
5 жыл бұрын
Noma sana kumbe alikuwa MTU mkubwa hiv
@wemakalam9415
5 жыл бұрын
Ubarikiwe mtangaziji kila kitu kiko on point big up 👍 👍
@bernaberna8135
5 жыл бұрын
Daah..apumzike mzee wetu ..rest in paradise DR.mengi
@gerionmdage535
5 жыл бұрын
Raha ya milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa Amina.
@davidcurtis8556
5 жыл бұрын
Amiin
@charlesmapunda2002
5 жыл бұрын
pumzika mzee wetu kazi uliokuja kuifanya duniani uliifanya kikamilifu.
@mtaalamwamambo2099
5 жыл бұрын
Hili swala LA Umr Lina mkangajik kwa waandish, Wengn wanasema amezaliwa 1942, Wengn 1944 but R. I. P legends
@beatricejackson7991
5 жыл бұрын
Hongera sana mtangazaji
@jacklinelyimo7407
5 жыл бұрын
Amen
@salmaothuman9762
5 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH 🙏🙏🙏
@victorisphynias7481
5 жыл бұрын
hongera mtangazaji sauti inashawish mtu kusikilza had mwisho.
@zahramunir8596
5 жыл бұрын
R.I.P...DR..MENGI
@johnmiligo429
5 жыл бұрын
Nakuombea kwa mungu baba akulehemu akupokee vyema
@estellairambona3855
5 жыл бұрын
Rest in peace Dr
@richardtv8339
5 жыл бұрын
Alie elewa vizuri hiyo tweet ya Mengi anisaidie asee
@lynamunezero8984
5 жыл бұрын
Estory nimeipenda sana inafunza nini mana ya maisha
@dianacornely8666
5 жыл бұрын
Rest in peace, mengi mungu akulaze mahal pema
@fatumasalmini2241
5 жыл бұрын
R.I.P Mengi
@saidatikwizera6633
5 жыл бұрын
Ndomana napendaga sana habari za millard ayo
@razakihassani8048
5 жыл бұрын
Mungu ampumzishe pema Mzee we2
@chescomwakipese3422
5 жыл бұрын
Mwakyoma upo vizur sana
@galaxysizya9078
5 жыл бұрын
asante bro kwa hisitoria nzur
@catherineshirima3906
5 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri hongera sana
@catherineshirima3906
5 жыл бұрын
Pumzika kwa aman r.i.p
@michaelmrosso2106
5 жыл бұрын
Pasko uko vizur kaka... RIP Mengi
@khadijaallymkazy1345
5 жыл бұрын
R I P Babu😓
@rachaeldavid4396
5 жыл бұрын
R.I.P mr mengi
@samwelchacha7168
5 жыл бұрын
RIP father
@AminaAmina-ul3cp
5 жыл бұрын
Apumzike kwa amani
@beatricejackson7991
5 жыл бұрын
Dah yani ....pumzika Kwa amani na mwanga wa misele ukuangazie
@geofreymlingwa2914
5 жыл бұрын
R.I.P Mzee wetu Dr Mengi
@fatmamasoud2803
5 жыл бұрын
jaman mungu ampe makazi mema huyo mzee hakuna anae mtaja kwa mabaya
@consolatamelkiory5298
5 жыл бұрын
R.I.P
@agnessestoni5631
5 жыл бұрын
Daaaah yani ata awo masupar star awamfikiiiii uyu baba hata kidogooooo, wataishia kubadili wanawake mwisho wasiku olaaaah Tz I naitaji watu kama regnalid mengiiiiii sio show off Rest in peace reginard mengi 😭😭😭🙏🙏
@iddiking6963
5 жыл бұрын
Amekufa na mengi
@hongeramfugale3239
3 жыл бұрын
Siyo kwa vyeo hivyo alikua anameneji vp
@AliBaba-zb3tg
5 жыл бұрын
Mwee Tanzania Imepoteza Mtu Muhimu sana jamani kumbe Ni big bilionea ivi Mzee Dah! ...Yani hapo robo ya Misaada kwa Matajiri wa Tanzania Ambao ikitokea Tatizo la nch Uwa wana Tia mikono yao moja wapo Mzee wetu Mengi daah Pumzika kwa Amani Baba yetu Babu yetu 🙏😭
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
Rip mzee mengi
@ellysilwani9287
5 жыл бұрын
Rest in peace,Mr.Mengi.
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
5 жыл бұрын
Nilitegemea kumsikia Millard alie simulia katisha sana tena sana kamfunika mpaka adi Millard R.i.p Mengi
@corneliusmusonye4390
6 ай бұрын
Huyu mtangazaji apewe tuzo
@Vakildigital
5 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/joJ_3WqFgnx_nHo huzuni nyingine
@aloycekiwia8613
5 жыл бұрын
Ile Cinema na mke wake na mapenzi ya mtandaoni waiangalie.Yule siyo Mengi nayemjua. Kuna kitu kilikuwa Kinapikwa.
@صخرهثابته
5 жыл бұрын
Kweli kabisa mi nimeumia walla
@agnessestoni5631
5 жыл бұрын
Amenigusaaaaa kuliko woteee kiukweli 😭😭😭😭😭
@saicharles8007
3 жыл бұрын
Rp! fodha
@agnessestoni5631
5 жыл бұрын
KIUKWELI KABISAAA REGINALD MENGI, MUNGU ATAMPOKEA BILA TATIZO LOLOTEEEEEEE NA MALAIKA WATAMZUNGUKA KILA KONA
@bjzee1981
5 жыл бұрын
Ni mtu pekee ambae amefariki na hakuna coment za kijinga . Ujue ni kwa kiasi gani alikua mtu wa watu
Пікірлер: 68