Anaye Mkubali MWAKATOBE hanipe Like Twende Sawa.😃😃😃
@Ammarloliso
5 ай бұрын
Anasema mimi nakula kodi tuu😂
@user-eb6nr2dp9n
5 ай бұрын
Unajua
@user-ru8zk5gt4g
4 ай бұрын
Ndio namjua
@user-ru8zk5gt4g
4 ай бұрын
We unamjua😢😢
@user-rv9kq3up5d
4 ай бұрын
Anajituma Sana huyu jamaa pongez kwake
@mdondijr
2 ай бұрын
Nnacho mkubali mm mwakatobe cyo mkata tamaa yaan ni mpambanaji xna!
@boniphacewambura1427
6 ай бұрын
RIP Charming Ila ukweli mwakatobe anazidi kunogesha movie daily we Nengeneka We mchumba We zuchu Vita ni vita muraaa I like it
@Ammarloliso
5 ай бұрын
Shobo tu😂 anamiliki vitu baba mwenye nyumba hana 😅
@annamtika180
2 ай бұрын
We matango nyanya pilipili hoho kitungu❤😅😅😅😅😅😅
@ThuwaibaRashid-fg2ep
2 ай бұрын
Usione kanenepa huyu anakunywa kojoo😅😅😅
@ramadhanimdiya3477
20 күн бұрын
M/Mungu akupe maisha marefu Mwakatobe uzidi kutuchekesha😀😀😀😁😂😀
@VailetMduda
2 ай бұрын
Mwakatobe umetisha
@user-pd7zf3tc9q
4 ай бұрын
Mnaigiza vema sema lugha ni kali sana ukiwa na watoto wako huwezi kuangalia kwa nafasi.
@user-kizota12
6 ай бұрын
Mambo mengi mjini kama unga wa ngano haahaha respect mwakatobe ety nibadlike nigeuke simba kama utakaa hapa au utageuka ndukii hahaha
@Ammarloliso
5 ай бұрын
Maji yao mikojo baba 😅😅 faridi uwezo unamuona
@user-xt1jy7yi8r
6 ай бұрын
Mwakatobe wewe ni mkali kabisa sapoti kwako😅😅
@Ammarloliso
5 ай бұрын
Huwajui tuu😅😅paraka kaaa jiko la gesi
@dismasstanislaus6523
5 ай бұрын
Hii pore wapangaji mtangurizemungu
@user-pd8cm4sz7m
6 ай бұрын
Mwakatobe au wew mchaw kwelii 😊😊😊😂😂😂😂
@kidawarashid5502
4 ай бұрын
😂😂😂usije Kuta kweli
@SharifaSalim-gg8xn
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Usikute ni mchawi
@zunguboy108
3 ай бұрын
mana anapend kwel .
@user-pj1vo8eq7g
6 ай бұрын
mwakatobe mbavu zangu mimi 😂😂 hadi na cheka kwa sauti😂😂 katobe
@user-cs2jd1fd1s
2 ай бұрын
😂😂😂😂za zamani sana jmn kupiga mswaki na mti 😮😮
@user-cs2jd1fd1s
2 ай бұрын
Mmmmmh
@user-cs2jd1fd1s
2 ай бұрын
Kwann comment yangu imekuwa highlighted
@KondoRombanyama-fy5fn
5 ай бұрын
Mwakatobe umenifanyanicheke mpakanilie😅😅😅😂
@jumaalexis6020
6 ай бұрын
mwakatobwe nakukubali sana eti wechukuchaaaaa woyoyoooooyo😂😂😂😂😂
@IddahMmasi-gd9qi
4 ай бұрын
Nakupendaga sana Mwakatobe na maneno Yako...😂😂😂😂😂
@NanoGantrevoh
2 ай бұрын
We kuweza 😂
@user-sg5ir3qi3v
2 ай бұрын
Una baya mwakatobe umetisha sana
@francinentakirutimana9831
5 ай бұрын
Nice movie nimeyipenda iyo🥀🌷🥀burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunawapenda sana❤❤❤
@OfficialDubu_tz
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@shazilnamkoko-jx4fp
3 ай бұрын
Hivi huyo charming Charles ni nani naomba nijuzeni,wazee wa achukucha...
@SophiaOmary-vz4cf
2 ай бұрын
Hats mm nakukubali 😊😊
@NuratAbdallah-zd4ip
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mwakatobe we shenge shenge tenaaa
@samsonjuma856
6 ай бұрын
Nangoja next plz mnatuchelewesha sisi wakenya plz
@andrewmwakangata3705
5 ай бұрын
Hii inabidi iendelezwe aseeeh😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@OfficialDubu_tz
5 ай бұрын
🙏🙏
@nganjimedia
Ай бұрын
Kaka m nakubarii sana uwezoo wako
@HawaMansur
6 ай бұрын
Ndio mukambiwa muombe sana kabla ya kulala Mchawi hawezi kukidhuru
@user-tq7gp3ue7g
2 ай бұрын
Rip charming! movie nzur 🎉🎉
@mwalwegowilly4113
6 ай бұрын
Kama NDIO wanavotufanyiaga ivi wachawi wanatutesa aisee😅😂
@HASSANJUMA-ju8fp
3 күн бұрын
Hii umeuwa bradha #mwakatobe
@IkaLand-mw9ci
5 ай бұрын
Nakubali sana mwakatobe
@user-tb9yg3jg3v
6 ай бұрын
Mwakatobe unaweza unaweza tena😂😂😂😂😂 eti na utasema hapo bado😂😂😂
@lizchepkorir2000
6 ай бұрын
wakwanza kuona ni charming 😭😭 eeh mungu ipumzishe roho yake mahali pema🙏😭😭 movie nzuri kaka zangu kutoka Tanzania keep moving mwakatobe daah😹😹😹dubu on 🔥
@Bikhafija
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@lizchepkorir2000
6 ай бұрын
@@Bikhafija nilicheka Jana karibu kufa😹😹ama walitaka kuniua huyu dubu kweli Pooh🙌
@honda.tz.1768
5 ай бұрын
nakuelewa xana mwakatobe we ni talent kwenye hili
@moreenmukami8475
6 ай бұрын
Wakwanza Mimi hapa😢😢😢❤❤❤❤❤
@Bikhafija
6 ай бұрын
Wanga hawaendi pepon😂😂😂
@user-gx9gd9zc3o
6 ай бұрын
Mwakatobe aki wee utakua mchawi wavkwel😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
@KatibuWakutesa
2 күн бұрын
Bab uyu jamaa anatisha san maan kila kionjo atari nwakatobe tisha sanaaaaas
@theetrendingsisters2546
6 ай бұрын
Mwenye nyumba anaweza sana🔥🔥🔥✅✅✅💯💯
@nempodesimba1
6 ай бұрын
Wa kwanza nipeeni like ❤
@simonnyamai199
6 ай бұрын
Mtoto wa kiume unaomba likes
@oman1oman179
6 ай бұрын
Mwakatobe kimemkuta kitu😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu mimi
@Ammarloliso
5 ай бұрын
😂😂tuungane nguvu 😅😅
@user-mu3rb5cw1t
6 ай бұрын
Mwakatoka ukute ulimloga kweli charming
@ngumbaohalimah65
6 ай бұрын
Jamaniii😂😂😂
@Nimriysbabe984
6 ай бұрын
😂😂😂😂jmny
@pilishazycounterog8200
5 ай бұрын
,😂😂😂
@madaiincubationcenter4947
5 ай бұрын
Nzuri sana, hongereni sana wasanii hawa wanajua kuunda maudhui ya kichawi
@OfficialDubu_tz
5 ай бұрын
Tunashukuru sana 🙏
@user-zj3hm8wm5f
6 ай бұрын
Namkubali Dubu pia
@OfficialDubu_tz
6 ай бұрын
🥰🥰🥰
@user-qq4zr3sk2g
Ай бұрын
Mwakatobe kwani shenge ndio nini😂😂😂😂😂
@user-qd7ey5cp5s
Ай бұрын
Mimi nimetokea kupenda movie zako dubu keep it up......i wish ningekuwa tanzania mnieke na mm❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@OfficialDubu_tz
Ай бұрын
🥰🥰
@vicklove7985
6 ай бұрын
Eti mmetupa nguvu za kuwatesa wana inchi ila cha kushangaza ndo wanao tutesa sisi😂😂😂😂😂😂 our God is alive bana
@Ammarloliso
5 ай бұрын
😅😅wewe unakula biriani baba mwenye nyumba amekaaa tuu 😅😅
@user-rd8xi7oo6s
2 ай бұрын
Kwann san ni Tamthiliy za kichawi wakuu
@user-op4cy7wc6u
3 ай бұрын
Unawez aun mpizan
@fatumaathumani4843
2 ай бұрын
Nampenda dubu❤❤❤
@OfficialDubu_tz
2 ай бұрын
🙏🥰
@Kindamtatatz
6 ай бұрын
R I P mwanangu xana,ulitixha xana kweny cn zako 😢😢
@lovelyakvee
6 ай бұрын
Juma kijicho kwamb walimponz kweny bigboss😂
@stellamichael6406
29 күн бұрын
Nampenda uyu kaka hadi anavyoongea duh❤🥰
@OfficialDubu_tz
28 күн бұрын
🙏🥰
@user-zu3vk6dt3p
5 ай бұрын
Mwakatobe we n nomaaaaa❤❤❤
@calebwaweru8800
5 ай бұрын
Watching from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪all the best
@user-kt8ib5dz4w
3 ай бұрын
Hatariiii kwa kweli huyo ndyo mwakatobe bhn 😅😅😅😅
@user-lo6sy9zz2f
6 ай бұрын
Mchumba zuchu ananini jaman ametajwa kwel akatobe umezidi na hyo zuchu
@user-ih8ix1qf1c
5 ай бұрын
Mwakatobe🔥🔥
@rahymaaa4357
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Ila Huyo baba Ni kiboko Kwa mikavu live mwakatobe Dah 🔥
@Ammarloliso
5 ай бұрын
😅ongoza njia 😅😅 twende uku weee bwege 😅
@SophiaOmary-vz4cf
2 ай бұрын
ammarloliso
@TeddyAmos-go9qq
6 ай бұрын
Duuuuuuuuu nimecheka sana hii moviee
@bitishoriziki1113
6 ай бұрын
Anapata haya mu shawi😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@haso_mutribuog7383
6 ай бұрын
anahitaji kubanduliwa😂😂
@Ammarloliso
5 ай бұрын
Chogo kaa mwiko 😅😅
@SophiaOmary-vz4cf
2 ай бұрын
Unasema kweli
@user-rp5qo2bi3s
5 ай бұрын
Mwakatobe unakuja kwa moto sana bro unatisha kama zuchu🔥🔥🤣🤣🤣🤣
@Verohtv254
6 ай бұрын
Watanzania naomba sasa mwende mnichinguzie mwakatobe😂😂😂😂 haikosi ni mchawi wa ukweli 😂😂😂😂
@OfficialDubu_tz
6 ай бұрын
🤣🤣🤣
@mwadinikheri3772
Ай бұрын
Dah hii ni kiboko
@F.j84
3 ай бұрын
Wallai nimecheka mpaka basi movie mzuri na hongereni
@OfficialDubu_tz
3 ай бұрын
🙏🙏
@omariochumu935
Ай бұрын
Mwakatobe upo vyema wewe ni hadhina ya Taifa.
@JosephMyonga
Ай бұрын
Mwakatobe bwana anavituko jamani😂😂
@imanichalle
6 ай бұрын
Mwakatobe mchawi kweli mm namjua
@user-ei9su8hj3s
5 ай бұрын
Aah mwenye nyumba huyu hataru 😂😂
@user-gx9iz1gi1w
6 ай бұрын
Mwakatobe unajua mpk unajua tenaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@immaculatenkirote4076
6 ай бұрын
Nafahamu Unanijua vizuri sina tabia za umbea umbea
@sophiaissay6307
3 ай бұрын
Mwakatobe wew ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥naenda sana move zako yaani nimecheka mkapa majilani wamenuna😂😂😂😂😂😂😂😂 kama kweli unamkubali mwakatobe piga kofi 1👏
@elizabethkithi3753
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yani nmecheka kma mjinga🎉❤😂😂
@user-gz1om8yg2e
6 ай бұрын
Nakubali baba ❤❤❤ ukiinngiza mganga hahaha😂😂😂
@Gades106
5 ай бұрын
Wanao tazama hii movie Wakati Rip shrmng tia like
@user-xl3ji1sl9r
2 ай бұрын
Mmetisha wakali bonge la burudani😅😅😅😅
@dommykatey3037
6 ай бұрын
Nakutii unanitii kwaiyoo...😂😂😂
@luisaugustovictor815
6 ай бұрын
Juma jicho tayari amesha pelekewa moto🤣🤣🤣
@kusanyaofficial6329
5 ай бұрын
hahahaha mwakatebe 😢 from burundi
@user-ds6vk7nn1s
6 ай бұрын
Eti wanakula kinyesi nomaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂mwakatobe
@Westetv
5 ай бұрын
Dah huyojamaa nizaidiya mkojani sasa😂😂😂🤣🤣🤣💯💯🤙
@tatojob572
6 ай бұрын
Duuuuh waichukucha yenyewe
@totalvibez123
6 ай бұрын
Baba mwenye nyumba anataka kubanduliwa 🤣🤣
@danbestwamalwa7735
2 ай бұрын
Mwakatobe the mchawi😅
@JacksonKilama-rc8nh
23 сағат бұрын
Kumbe dogo upo vizuri
@fatumasaidmajero2050
24 күн бұрын
😂😂😂😂 mwakatobe noma kweli,
@user-st3hv8pi9i
4 ай бұрын
Nlimic hajra❤ kitambo sijamuona
@user-nb9kb3ur7d
4 ай бұрын
Unaweza nakukubali kinoma
@user-qq4zr3sk2g
Ай бұрын
😂😂😂😂utakuja kuniuwa wewe🤣🤣🤣🤣🤣
@zawadimlelwa6334
6 ай бұрын
😂😂😂😂 jiti la makalioni ni fooko fooko
@musakihama7205
6 ай бұрын
Et uliniponza kwenye big bosi nikafa kizembe😂😂😂😂.
@lawrencetngenzi7977
4 ай бұрын
😂😂😂nimeipata hiyo
@aminahhuawei1133
6 ай бұрын
Baba mwenye nyumbaaa hahahahaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Ammarloliso
5 ай бұрын
😂😂unakua unadamshi tuu😂 wewe sikufanyi mmbwa 😂😅
@daviesskipesha1351
6 ай бұрын
Alafu watu mnasema ati ni sleep paralysis kumbe wamekuja kukuroga! Kemea kwa Jina la Yesu
@muzne_dream_shade9077
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Faraja49
4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣shenge shenge shenge tana. …. Ila haijaisha vizur , cjapenda… angeokoka amjue Mungu wote wawe plan … sasa apo namba ya wachawi mjini c inaongezeka😂
Пікірлер: 421