i realize I'm kind of off topic but do anybody know a good website to watch newly released series online ?
@abujunaidi3354
3 жыл бұрын
Huyu jamaa yupo fresh na beste sana katika utowaji wa habari.inapresent vizuri sana
@khalidballeth5957
3 жыл бұрын
hemed mohamed tunamuhitaji Beni Mwanantala ,,,huyo ndio tulie anza nae mwanzo kwa cc wafuatiaji wa project hii tangia mwanzo
@rudishamusic
3 жыл бұрын
Kaka uko vizuri sn ni kweli tumemzoieya Ben ila HATA HUYO KAFIKI SN TU WAKATI MWINGINE TUJIFUNZE KUBADILI LADHA YA WANA HABARI PIA INAPENSDEZA NICE DOCUMENTARY KIUKWELI
@starjay3052
3 жыл бұрын
ben mwanantala yukwapi jamani
@mustaphersamson6174
3 жыл бұрын
MAGUFULI BOMBA.
@muddymkamba352
3 жыл бұрын
Mungu aamuweke Raisi wetu,Tanzania ya viwango vingine hakka
@ivolinusmtewa1613
3 жыл бұрын
Ama kweli raisi tunaye tunakushukur raisi Dr.john pombe Joseph Magufuli kwa huruma yako uzalendo wako baba kwa taifa lako Ee Mungu baba uliye mbinguni tunakuomba umlinde raisi wetu mana tulimchagua kwa mapenzi yako umpe nguvu siku zote,ujasir ktk kufanya maamuz,ibarik familia yake mengi mema tunayaona anatufanyia watanzania asante Mungu baba kwa kutuletea mkomboz jemadar amina
@kabwelasutiviraka4765
3 жыл бұрын
Sijui Tanzania 🇹🇿 concept ya muda iko vipi au wanafikiria vipi hizi ziara za mara kwa mara kwenye mradi? Hata kama wakandarasi ni time conscious na wana wako na time management nzuri hizi ziara mara kwa mara mnawapunguzia speed ya kufanya kazi na kuwasumbua na schedule ya kazi zao .... Tz kazi kweli kweli
@khalidballeth5957
3 жыл бұрын
MTAZAMO WAKO NADHANI NI MDOGO,,KWASBB SIKU ZOTE FUNDI MJENZI ANAYE JENGA NYUMBA YAKO UKIMTEMBELEA MARA KWA MARA ATAJUA KUWA WEWE UNAJALI KAZI ULIOMPA NA IFANYIKE KWA WAKATI
@kabwelasutiviraka4765
3 жыл бұрын
@@khalidballeth5957 Wewe unaongelea level za Kibongo bongo eti kumtembelea fundi mara kwa mara ni kuonyesha unajali , ujue muda wote wakifanya ziara inabidi wasimame kufanya kazi na extend muda wa project kwa namna moja au ingine ila Wabongo hawaoni hili ......nina mtazamo mkubwa tu kuliko wewe, ni mambo ya level ya Kitanzania eti kumtembelea fundi mara kwa mara na kukumbushia.....Waturuki wanajua wanachofanya na ziara zinawapotezea muda tu , ziara zimekuwa nyingi ukifuatulia toka kuanza ujenzi na ziara za watu wengine hazina umuhimu , najua WaTanzania wengi wako na tatizo la kujua umuhimu wa muda. Kwa watu ambao ni time conscious tunaona hii inaweza ku delay progress ya ujenzi au Waturuki wanajaribu kuwavumilia too much ziara!!
@shabanikulindwa6600
3 жыл бұрын
Safi sana
@ezekielchengula2228
3 жыл бұрын
Safi sana.
@kulwaswetu7883
3 жыл бұрын
Tumewachoka mtukabidhi leliyetu
@rajabalfarazliganja397
3 жыл бұрын
Safiiii
@togetherchristiansmedia3437
3 жыл бұрын
Nice
@Frazztraveller
3 жыл бұрын
Angeapishwa Tundu lisu hii reli ingukuwa imekwisha miaka mingi
@hamisimussa2228
3 жыл бұрын
Ingeisha au angeifuta
@hamisimussa2228
3 жыл бұрын
Ingeisha au angeifuta
@shukurkatembo2807
3 жыл бұрын
Jidanganye
@mohamedymwinjuma3545
3 жыл бұрын
Jina lenyewe ni tundu sasa unategemea nini akipewa nchi.
@temkezatv4381
3 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Пікірлер: 23