Bhoke daah!!! Ulikuja mzuri wakati Fulani Ila sasa mhhh libayaaaa,mamidomo meusiii manywele hayaeleki!!! Eti tupo empowered!!!
@sheryphamwenevalley6124
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣 mwijaku nakupenda bure unawajuza tu
@princespider5854
5 жыл бұрын
😂 😂 😂 Mwijaku ww mwsho Japo wa Swahili wasema akili ni nywele lakini ww huna nywele akili mingi hahaha umerusha kombora
@Emedroadtocanada
2 жыл бұрын
binafs namkubali sana hyu jamaa
@Kimbururu
5 жыл бұрын
Janaume limekaa na wanawake linaongelea wanaume....hili jamaa siyo janaume kamili wallah. Huwezi kuzungukwa na wanawake watatu huku unachambua watu tena wanaume halafu ukawa mzima.
@Emedroadtocanada
2 жыл бұрын
dah mwijaku ni mbea
@andikimanasebadonavine9490
5 жыл бұрын
Chenye mnaongelea hapa ni kweli 100%
@jimj8285
2 жыл бұрын
Weeee Bhoke weeeeeee! Huyo jamaa hapo hapo ofisini mwako anakutumia na amekuchafua kila Kona!!! Acha uzinzi na bwana WA MTU!!!
@happinesssotela4459
5 жыл бұрын
We jamaa hujielewi kabisa. Upendo hauchagui nje au ndani ya nchi. Wanawake wa kibongo ni wadangaji.
@teresiamutua4487
5 жыл бұрын
Mwijaku ww wakenya tuko smart,wacha zako,
@jimj8285
2 жыл бұрын
Egina Bhoke mhhhh Ila UWE unaangalia unaetembea nae!!! Ila Una domo kubwa!!! Maziwa mfuko WA cement!!!
@hashtagdarling4738
5 жыл бұрын
Mwijaku leo umeongea points nzuri sana.
@kanyasicongo7918
5 жыл бұрын
Wasanii hamtaishi maisha mazuri mazali mnamuasi allah hata mikiyaona mazuri nikwamda tu hamfiki mbali.
@lindasophia1288
5 жыл бұрын
True 🙌🙌🙌
@jbsouls4835
5 жыл бұрын
Hongera kwa kwenda Bujumbura Rwanda🤣🤣🤣
@charlesjonas4412
5 жыл бұрын
😂😂😂😂 hiyo ni kali
@Marylee452
5 жыл бұрын
Duh et waschna wa apa wanamaitaji mengi ,kwa lipi yani
Wanawake wamesapotii mwanaume wamemkndiaaa,ila kiukwel kunaubya mm kuoa mtu ninae mpenda ,co lazma kuoa nchni .
@alhamdulillah5796
5 жыл бұрын
Sio wtnz tu, waAfrika wote washazoea mapenzi ya kuhonga na kuhongwa.
@hajiabdalla5772
5 жыл бұрын
Tatizo wanawake wa kitanzania wanapenda kumtumilia mume . .
@sk-wj9or
5 жыл бұрын
Global changes. Hatuwezi kubishana nazo. Mwanjaku mtu hachaguliwi mke wala mume. Mahusiano hayana mpaka. Dada zetu pia wanauswahili mwingi.
@dn.n4983
5 жыл бұрын
Safi sana wambii ukweli
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Shamsa Ford kweli ni mtafutaji
@abubakarkassimmwinyimwinyi6382
5 жыл бұрын
Pongezi dadazangu kina mwijaku kwa kukosa cha kufanya watu wafanya kazi nyie umbra na Dada mwijaku
@ashaali7154
5 жыл бұрын
Ushamba tu Kaka yangu kitonga ndio zao lakini mwisho wake wanadhalilushwa tu kwa kupenda vya bure..
@zarinasuluhu2547
5 жыл бұрын
Nikweli usimeyo mwijako
@abednego3876
5 жыл бұрын
So Wanawake wa kibongo ni wavivu... Fala kweli ww anti Mwijaku .. kila mtu anapita anapojua mradi kutobia ww endelea kupiga ubeya hapo Uvae na dera
@Marylee452
5 жыл бұрын
Upumbv tupu uyu angkua baba angu cliazi mama angnitftia kwakuniweka
@alexchungu9505
5 жыл бұрын
Acha wivu boya wewe
@magynzioka1122
5 жыл бұрын
Nyinyi mapovu ya wasani kuo inje ya inche ya Tanzania wataoa sana kama amtajifyza uvumilivu na mwache tama na kuwamini waume zenu na kua katika hofu ya MUNGU wata wawacha hapo wakatafute wake bora kwengine
@perrybenson7188
5 жыл бұрын
Why are u body shaming women
@abrahmaniomar9858
5 жыл бұрын
kumywa kwanza, wewe kiboko yao. hapa miaka minne iliyopita jamaa wameshagaa mimi naowa pagu pa kavu yaani napandisha kitoga. kila watu wangu karibu zaidi ya 50% ndugu na marafiki walinisii sana nisimuowe wengine mpaka leo tumekasirikiana. wengi mpka wanafika over fifty watafuta majiri kuowa niowe msichana mwenye jina au matajiri. sass nakula bata vizuri peace of mind najiona kama nimeowa jana
@OmanOman-gc1zu
5 жыл бұрын
somo
@stellashirima676
5 жыл бұрын
Nimekupenda bure unasema ukweli kabisaa
@walterwalter6935
5 жыл бұрын
Uliendaa bujumburaa rwanda kweliiiiii?
@perrybenson7188
5 жыл бұрын
Yani mke wako anatabu maana anaishi najimama kama yeye
@festomlowegypsum8214
5 жыл бұрын
Wewe jeee
@lydiathadeous6644
5 жыл бұрын
Nyie wadada nyamazeni mnaloliongeaa hamjui hakuna cha lazy wala nini fanyeni research’s , explorer the world mjue what’s going on msiropokeeeee tuuuu .
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Ok
@honekisebwa226
5 жыл бұрын
Ujawah kosea wamuhila
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Madebe kasema wake wa Tanzania wanachukua mda mwngi kufuga kucha badala ya kuku
Пікірлер: 58