Eee bwana unirehemu sawasawa na fadhili zako...unikumbuke mm na familia yangu🙏🙏
@bonifacesally9184
4 ай бұрын
Mungu wa mbinguni unirehemu sawasawa na fadhiri zako siyo mm tu Bali na familia yangu.jamaa zangu na watu wa kabila zote Afrika na mabara mengine eeeeh Mungu uturehemu,,,,,,,,,,
@emanuelnyab9872
Жыл бұрын
Jamani inatisha Mungu Baba yangu katika jina la Bwana wetu YESU KRISTO unirehemu nafsi yangu ikutii nayo ipokee uponyaji
@samuelmdota8452
Жыл бұрын
Eee Mungu Unisamehe mm maovu yangu na udhaifu wangu , unirehemu sawa sawa na fadhili zako. Hili si jambo la kuchekesha hata Kidogo....
@narggdhdv765
Жыл бұрын
Baba ktk kristo Yesu tusaidiee tuokokekikamilifuu.tusijetukakutwa sikuu hiyo hatujatengeneza na ww.turehem kwa damu ya yesu pekee.maana peke yetu hatuweziii.
@katwigabank5297
Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa ndivyo itakavyokuwa.....Tutengenezeni Mapito ya Bwana....
@monicakabuta6517
Жыл бұрын
Mungu nisaidie nisikose na uzao wangu
@Neema-wy4mh
5 ай бұрын
Mungu turehemu. Nautupenafasi sikuu yakunyakuliwa tusiwe wenye kubakii maana ni sawa NA ule mwanga waradi kamaushawahii kuuona.
@degammagamaliel84
Жыл бұрын
Amen. Mungu atusaidiye sisi tunaona imani katika Kristo Yesu, tumlaki wakati yakuja kwake. Nangoja saana Bwana Yesu, kama zamu angojavyo asubuhi. Mungu nijalize neema niingiye Mbinguni. Hallelujah
@esthermliga4875
Жыл бұрын
Eeeh Yesu naomba utusaidie sana kanisa lako, kuishi maisha ya kukupendeza wewe ili tuweze kuirithi nchi mpya na mbingu mpya!! Amen amen!! Muda huu tulionao ni wa kutengeneza njia zetu kwa ajilibya unyakuo, tuko siku za mwisho, Yesu karibu anarud
@monicakabuta6517
Жыл бұрын
Yesu achilia neema yako kwa watu wakujue
@kaptolinasulley6769
Жыл бұрын
Ee Mungu baba yetu wa Mbinguni naomba unikumbuke naomba nisikose kuingie mbinguni, naomba unisamehe makosa yangu yote niliyokutendea kwa kujua na kutokujua. Yesu mwana wa Daudi unirehemu, Amin
@desderymakoi6595
Жыл бұрын
Hizi sio habari za kuchekesha ni habari za kuomba REHEMA wapendwa tusijihesabie haki
@MWAMINIRUGIRUKORWENZEJEAN-LUC
9 ай бұрын
Eh mungu utupe mwisho muzuri kuliko mwanzo .
@carenhilary8067
Жыл бұрын
Ooh Bwana YESU KRISTO nikumbuke Mimi na uzao wangu na mama yangu na uzao wake
@EliaMatende
Жыл бұрын
Amina
@alicemalombo6813
Жыл бұрын
My dream is to see my creator 🌟🙏🙏
@barakakabungo3102
Жыл бұрын
Ahsante kwa ujumbe
@lornamwaluko7176
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@EmanuelJoshua-wo4rs
2 ай бұрын
Amen 🙏
@vedastogwido5311
Жыл бұрын
Ameeen amen amen MUNGU akubariki mwalim
@carolineawadhy5504
Жыл бұрын
Eh Mungu unihurumie na mimi siku ukirudi 🙌
@sayunimnyone-gy1pu
Жыл бұрын
Mungu anisaidie nisiachwe 🙏🙏🙏🙏
@balta631
Жыл бұрын
Tubarikiwe sana
@josephraphael4154
Жыл бұрын
Amen 🙏🕊️ mwalimu
@gracehelbert5858
Жыл бұрын
Wanawake tuache vyombo ya uzuri (mapambo ) wapendwa...
@ElisanteKalalu
Жыл бұрын
Amina mwalimu 🙏🙏🙏
@jenifersosthenes2128
Жыл бұрын
My God my lord
@masindemagee9603
Жыл бұрын
Kwa ishara ya mashariki siku si nyingi yesu anarudi jiandaeni
@Eyecuemedia1
Жыл бұрын
Ukiona umati mkubwa unacheka ujue kwamba hawana uchungu na watakaobaki na inawezekana watayakumbuka haya maneno na wao pamoja na waliowacheka. Biblia inatuambia Mungu hafurahii kifo cha waouvu (Ez. 33:11) kwa hivyo inkuaje mimi nifurahie? Mungu aturehemu. Bwana Harusi yuko mlangoni na sisi tumebaki kuchukua mahubiri haya kama ni burudani badala ya sehemu ya kuwa kwenye hali ya toba na maombi. Kweli wengi huitwa lakini wachache huchaguliwa.
@bernarderadi4410
Жыл бұрын
Namimi nilipokua natazama haya mahubiri nilitarajia kuona watu wakiwa ktk mkao wa tafakari lkn wanaonekana kushangilia kana kwamba wote wapo sawa
@charlesmbunda6759
Жыл бұрын
Yaaanii waalaa hawaguswi!
@kawilimlimuka8005
Жыл бұрын
Tuwaombee tu 😢😢
@carolineawadhy5504
Жыл бұрын
Jamani msiwahukumu, wengi tu hawako hapo wamecheka, Cha muhimu ni kuutunza wokovu na huku tukiendelea kuhubiri injili
@janethmwihumbo1289
Жыл бұрын
Mi mwenyewe nilishangaa mahubiri Kama haya Ni ya kucheka wengi wangeacha viti vyao na kukaa ktk Hali yatoba wapo kimwili Sana
@danielkanso
Жыл бұрын
Daaa kumbe siyo ndefu
@emmanuelsanga7363
Жыл бұрын
Maneno haya amini na kweli asikiae na afahamu
@neemamachangemachange8874
Жыл бұрын
Amen
@aswilekibona9861
Жыл бұрын
Ww ni mtumish wa MUNGU
@ananiabaraka4067
Жыл бұрын
YESU nikumbuke tena😭😭😭
@emmanuelsanga7363
Жыл бұрын
Wala sio utani ni kweli kabisa jambo hili litatokea hivi punde tugeuke tumludie Mungu
@joycefesto1429
Жыл бұрын
Ameeeen
@juliuskitaluka1206
Жыл бұрын
Siku hiyo itakuwa ni heka heka kubwa MUNGU atusaidie siku hiyo tuwe na yesu yaani tumeokoka
@mjumbewaaganoduniani
Жыл бұрын
Hapo huhubiri Neno unahubiri mawazo yako, UFUNGWE KINYWA CHAKO KWA JINA LA BWANA YESU KRISTO. hujui ulisemalo. Ni mawazo yako tu hayo.
@holyspiritpropheticministr3687
Жыл бұрын
Wewe Isaya Unaota afunge kichwa chake ,wewe ni Mungu ,wacha injili ihubiriwe ,wewe ndio uchunge kinywa chako kabla Mungu ajakifungaa
@yhwh353
Жыл бұрын
40 Tena kuna miili ya mbinguni, na miili ya duniani; lakini fahari yake ile ya mbinguni ni mbali, na fahari yake ile ya duniani ni mbali. 1 Wakorintho 15:40 50 Ndugu zangu, nisemayo ni haya, ya kuwa nyama na damu haziwezi kuurithi ufalme wa Mungu; wala uharibifu kurithi kutokuharibika. 1 Wakorintho 15:50 51 Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, 1 Wakorintho 15:51 52 kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. 1 Wakorintho 15:52
@mjumbewaaganoduniani
Жыл бұрын
@@yhwh353 miili ya mbinguni ni roho na miili ya duniani ni udongo,nasi tutabadilishwa tuvae mwili wa kutokufa kwa habari njema ya ufalme wa mbinguni.
@FedaKisunga-xk4nv
Жыл бұрын
Yesu nisaidie nisije nikabaki siku hiyo
@Gide-dq3wq
Жыл бұрын
Tunasubiri wakati wa kurud nyumbani
@joshuanyamaiswe4327
Жыл бұрын
unawadanganya watu biblia haisemi hivyo na watu wako wanashangilia wasicho kijua.
@yhwh353
Жыл бұрын
40 Tena kuna miili ya mbinguni, na miili ya duniani; lakini fahari yake ile ya mbinguni ni mbali, na fahari yake ile ya duniani ni mbali. 1 Wakorintho 15:40 50 Ndugu zangu, nisemayo ni haya, ya kuwa nyama na damu haziwezi kuurithi ufalme wa Mungu; wala uharibifu kurithi kutokuharibika. 1 Wakorintho 15:50 51 Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, 1 Wakorintho 15:51 52 kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. 1 Wakorintho 15:52
Cha muhimu wapendwa ni kuokoka na kuacha dhambi ili tuione mbingu
@edwinedward6404
Жыл бұрын
Amen ,🙏🙏🙏🙏
@Janeth_Saukiwa
Жыл бұрын
Eeeh Mungu wangu naomba usituache mimi na familia yangu na ndugu zangu wotee na jamaaa Eeeh Mungu wanguuuuu nakuombaaaa Kama ulivyo mpa neema hii Rahabu Mungu wanguuu🙏🏾🙏🏾🙏🏾😭😭😭
@cathelnemeddy7863
Жыл бұрын
My Lord my God Nikumbuke na mim na familia yangu na jamaa zangu wote
@mcback4384
Жыл бұрын
Eeeh Mungu wangu wa Mbinguni Muumba wangu naomba siku hiyo nisibaki, yafaa nini kupata fahari zote za dunia hii na kuukosa ufalme wa Mbinguni, Yesu Kristo siku hiyo jina langu liwepo 🥺😭
@clemencelucas8448
Жыл бұрын
Amen
@mjumbewaaganoduniani
Жыл бұрын
Hatuingii katika ufalme wa mbinguni kwa maombi bali kwa Neno la wakati na Mjumbe wa agano duniani,
@mcback4384
Жыл бұрын
@@mjumbewaaganoduniani Yohana 16:24 [24]Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu. Hitherto have ye asked nothing in my name: ask, and ye shall receive, that your joy may be full.
@clemencelucas8448
6 ай бұрын
Amen,Ee Mungu unisaidie,,usiniache
@ibrahimumsongole1377
Жыл бұрын
Amina
@danielkanso
Жыл бұрын
Amen mwalimu semina hii siyo bure
@casfetamcohas4847
Жыл бұрын
HAKIKA WEWE NI SAUTI YA MTU ALIAYE NYIKANI
@emmanuelsanga7363
Жыл бұрын
Mungu tusaidie maana haitakuwa rahisi siku hiyo maana ishara hatuko tayari kunyakuliwa ona Kama ni mtendaji was neno
@MjumbeAgano
14 күн бұрын
Acha uongo Yesu ni Neno amerudi kwenye hekalu lake takatifu, kunyakuliwa ni kuhamishwa fikra za kidunia hawatapotea na kuachwa pekee yako, umedanganya wengi utapokea mapigo zaidi, Jifunze kwa Mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
@liliansukhe3386
Жыл бұрын
Ee Yesu unisaidie mimi nisichezee wokovu ulionipa! Twende wote ee Yesu nakuomba!
@olivermwakyonya5683
Жыл бұрын
Nikweli
@franklema2008
Жыл бұрын
Ahsante! Tafadhali post clips nyingine hii siku ilikuwa na jumbe nzito
@happymilangasi5904
Жыл бұрын
Imepistiwa Frank ni semina siku ya 3 Dodoma 21/04. Angalia utaipata full barikiwa sana
@fedricklazaroTito
Жыл бұрын
Tukaze mwendo wanawa Mungu.
@ChristinaKembe
Жыл бұрын
Hizi ndizo habari njema
@PascalJohn-it1xp
8 ай бұрын
Yani mahubili kama hayo huwa mtu ambaye ana roho mtakatifu siyo wakuchekeshaa Bali uchungu unakupata Sasa kama wanafurahiya hivo inaumizaa sana kwa sababu jambo lakubaki ni mateso kwa Wasomi WA bibilia mtanielewa lakini umati huwo huna huzuni jamani mungu atusaidie!!!!!!
@elleng5227
Жыл бұрын
My God my Lord
@brunomassae6233
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu anaongea mambo ya kutisha na ya siri sana yanayofanya uwe macho usiku lakini duuh watu hatuelewi why?
@jicholafursa7058
Жыл бұрын
Yesu uchunguzaye mioyo nakuomba uchunguze moyo wangu uone kama ipo njia itakayo nizuia mimi na familia yangu kubaki.
@jamesmsafiri3436
Жыл бұрын
Amen
@CofeBwikalo
11 ай бұрын
Neno haliji bure sherti litimize ahadi za bwana 🎉
@rebeccayona393
Жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa kuniokoa milele.
@jescatebuye2287
Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana kupitia huyu mtumishi was Mungu.
@juniorbashige
10 ай бұрын
Siku zile ita kuwa ni kiliyo naku saga meno
@liberatusmathias211
25 күн бұрын
hadi laha je umezaliwa mala ya pili
@BonvikaneMwiteJeanclaude
5 ай бұрын
Mungu tunalo tumaini lakunyakuliwa
@HumphreyHorace
10 ай бұрын
Siku ile tutaimba na BWANA.
@dynesdaud564
6 ай бұрын
Ameeen 🙏
@AdelinaDidas-es3gn
5 күн бұрын
Aaamen 🙌
@neemakimaro4475
Жыл бұрын
Shalom.apo Amna chakuchekesha jaman ni huzuni tupu .Yesu afunue Neema yake tu kwetu.
@winnerjudith2007
Жыл бұрын
Oh My God help me
@helenakivuyo2126
8 ай бұрын
God bless you dad. Bwana Yesu atusaidie tuwe tayari for the rupture.
@petermalema5702
6 ай бұрын
YESU YU KARIBU KUJA
@Neemakilimba
Жыл бұрын
Wanawake vueni hayo mapambo ya zebeli ,mbona Mungu ameshafunua Sana Kuhusu yezebeli nyie hamjafunuliwa ?
@leahestony2723
Жыл бұрын
"uwe na uhakika kuna watu watakao taka kujiandikisha mwaka huu kongamano la maombi wengine hatutakuwepo" mungu nisaidie na mimi nijaze imani yako niwe na uhakika na safari yangu ya mbinguni kama mtumishi wako alivyo na uhakika na wewe.
@happymvula
Жыл бұрын
Daah!
@gwantwajoseph5564
Жыл бұрын
Mmh Mungu atusaidie
@deboramussa8981
Жыл бұрын
Mh inatisha
@JoyceGeofrey-s8x
7 ай бұрын
Amina Mungu anipee neema ya kurithi uzima wa milele
@deucecadico1879
Жыл бұрын
Hii ni injili sahihi kabisa isiyo gushiwa..Mungu akubariki sana.
@aderanderwa7623
4 ай бұрын
Amina ubarikiwe Mwalimu YESU KRISTO anisaidie Shaloom
@janemlelwa8618
Жыл бұрын
wengine wanafurahi badala ya kutafakari je YESU atakaporudi utakuwa wapi wakati huo wa unyakuo si wakati wa kucheka ni kutubu na kumlilia MUNGU mwisho wa kila mwenye mwili.umekaribia yanayotendeka haya ulimwenguni ni dhahiri kuwa mwisho u karibu
@edwardjohn-ku2lw
Жыл бұрын
Hiyo siku Mungu wangu usiniache... 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NoadiaMadundo
Жыл бұрын
Be blessed my always teacher
@eliahmathias2209
Жыл бұрын
Ole wangu Mimi Kwa siku Ile ijapo ghafla 😭
@arubalydia224
Жыл бұрын
Abeeee... Yesu Wangu nisaidie nami niwe miongoni mwa watakaonyakuliwa😢254
@pastornadine7475
Жыл бұрын
Ooh Jehovah Mungu wa milele. Utupatiye mwisho mzuri , Siku île tunyakuliwe kwenda mbinguni
@JahnMandah
5 ай бұрын
Naomba siku hio yisinipite BWANA MUNGU❤
@samwelbundala4335
Жыл бұрын
Amen sana mtumishi, nimelisikia neno la Mungu, baraka za Mweyezi Mungu zizidi kuwa pamoja nasi ili siku ya mwisho tuwe wote mbinguni
@josephinemichael1514
Жыл бұрын
Nikisikia hizi habari za unyakuo huwa natetemeka sana, Roho Mtakatifu niongoze na niwe tayari
@christinewomanoffaith5479
Жыл бұрын
Hatari ,naogopa Mimi🙇 Yesu nirehemu
@fadhilimrope5134
Жыл бұрын
Nami naomba Bwana Yesu atakapokuja nami niendenae mbinguni
@gracedamas5883
Жыл бұрын
Ameni hakika umenena vema mtumish Mungu Naomba mwisho mwema
@ErickMtunya
Жыл бұрын
Eeh mungu iyo siku namimije kwako mungu wangu
@patrobamalema8631
Жыл бұрын
JASHO LAZIMA LIKUTOKE😅😅😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃
@sabratally7688
Жыл бұрын
Ee mungu tusaidie Mimi na family yangu 😭😭😭
@jhstationery3036
Жыл бұрын
Naomba mungu siku hiyo Nami niwemo katika unyakuo huo
@daudlusaganya5324
Жыл бұрын
Bwana Yesu nisaidie nisiwe wa kukataliwa yes nisiachwe
@kawilimlimuka8005
Жыл бұрын
Bwana Yesu tunaomba Neema ya wakovu kwa watu wote.
Пікірлер: 158