Somo la juma hili linaweka mtazamo wake kwenye ishara tatu kuu za Yesu za uungu Wake. Kinachoshangaza ni kwamba katika kila hali baadhi ya watu hawakuamini muujiza huo au kutambua umuhimu wake. Kwa baadhi yao ulikuwa ni wakati wa kumwacha Yesu; kwa wengine, wakati wa kukuza upofu; na kwa wengine, wakati wa kupanga njama za kifo cha Yesu. Na, kwa wengine-wakati wa kuamini kwamba Yesu alikuwa Masihi.
This week’s lesson looks at three of the greatest signs of Jesus’ divinity. What is striking is that, in every case, some people did not believe the miracle or perceive its significance. For some, it was a time of turning away from Jesus; for others, a time for deepening blindness; and for others, a time to plot Jesus’ death. And for others-a time to believe that Jesus was the Messiah.
Негізгі бет Mwongozo wa Kujifunza Biblia || Somo la 2 || Ishara za Uungu || Ijumaa || 4Q2024
Пікірлер