Mnao mkubali dada yetu zatiti anavyo kubali kupitia wakati mgumu hili tufunza jambo muhimu please tumupeni like zake zote mashabiki wate ❤❤❤❤
@AllyBabu-kr6lg
19 күн бұрын
Dada yako wewe so sisi
@MaryEliza-m2h
19 күн бұрын
❤❤❤❤❤😢😢😢😢
@esterkimalio8846
19 күн бұрын
Ni dada ako sio dada angu mm
@MamaPeter-v3w
19 күн бұрын
Kwa kweli Zatiti apewe💐 yake
@sebastiannyamahanga4190
18 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@CeciliaCeciliamuparose-zt6tx
19 күн бұрын
Zatiti ni mpole na mkarimu sana twakupenda sana dada yetu ❤❤❤❤ nipeni like basi ata moja❤❤❤
@VictoriaNzyela-ud4vv
19 күн бұрын
Nampenda sana zatiti chukua maua yako❤❤❤❤
@Miriamerasmas-rk7nz
19 күн бұрын
Hii move inanifunza mengi sana hakika mungu awazidishie katk vipaj vyenu busati tv mung awabarik kwa mafunzo mazuri
@HappyKiteFlyer-nf4pd
18 күн бұрын
❤❤❤❤
@UwamahoroFefe
19 күн бұрын
Nimefurahi sana Naona kundi hili lipo vizuri mwenyezi Mungu azidi kuwa nanyi,nimesha muona kibendu ,Tasha nasubiri kumuona mama Tasha hapo furaha yangu itakamilika kweli,movie iko vizuri hongereni
@AshaMohd-u7n
19 күн бұрын
Nimecheka kumbe chiko unambio km fisi😂
@YusraSiyaleo-yk2fz
19 күн бұрын
Ni mwendo wa weka tuweke tukimaliza house girl tunahamia huku mambo ni moto nawapenda sana team busati tv
@FazilimariamMariam
19 күн бұрын
Kibendu asante kwa ku msamini mama najikuta naliya kisa furaha
@JullianaEmmanuel-tm5xg
19 күн бұрын
Kwny hii movie chiko nibesen sana daaah
@AshaWato
19 күн бұрын
Huku ni kumoto kushida house girl 🥰🥰🥰🥰
@MwajumaAthumani-rq2dt
19 күн бұрын
Kwanza ukivaa una damshi kinoma nakupenda my zaa titi❤
@user-sr3gx4nj8i
19 күн бұрын
Mista Tasha nakukubali kwamashauri yako mazuri za titi nakupenda sana u namupenda mama yako chiko yeye nimujingasana ana endeshwa namwanamuke
@RamCharan-wk4qc
19 күн бұрын
Mbaya Zaid inafikia mwanamke anamwambia ety anaisha na mwanamke mwenzie😂😂😂
Tasha na zatiti na kibendu mumenifundisha mengi tu 🎉🎉🎉Asanteni sana
@Nadzuwamangale
19 күн бұрын
Chiko huy mkeo Usikubaki kumnyanysa mamako hata km n nikichaa bdo huy n mama t❤❤❤❤
@aishaomar9621
18 күн бұрын
Zatiti unahekma n busara unaupendo❤❤ wanifunza mengi sana nakupenda sana ❤🌹💞❤️kibendu hongera yako we ni kidume na ni shababi❤
@EvaHassan-i9c
18 күн бұрын
Yaan nakupa bigup sana zatiti sekta zote umeigiza kwa hisia yaan unajua kiufup nakupenda unanipa funzo kwakweli
@AshuraOscar-og9ed
18 күн бұрын
Kazi nzuli Sana zatiti ❤❤
@user-on7in9tz6e
18 күн бұрын
Kazi nzuri
@SaladiMohammed-bl9pc
18 күн бұрын
Nakupenda sana zatiti
@FauziaMohammed-nn1lf
18 күн бұрын
Chukueni maua yenu🎉🎉
@KidevuTupa
21 сағат бұрын
Jaman zatiti kam ndo uwasilia wako ndo upo ivyo dada we upo vizur sana chukua mauwa yako❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@CrownLuka
19 күн бұрын
I'm the first one to hear 😂😂😂
@EvethaSimba-i1c
18 күн бұрын
Jamani zatiti kila siku ni kilio jamani mpeni furaha japo kidogo basi du maana binti analia hadi huruma
@FammaMaboko
15 күн бұрын
Movie nzuri yenye funzo Nampenda mama yangu ❤❤❤❤❤❤
@happybalence
9 күн бұрын
Zatt yupo vizr anauvaa husika kam yey yaaniii💜💙💙🖤💜🖤💜
@mwanamisikifogo869
19 күн бұрын
Kibendu nakupenda sana huwa wanichekesha san😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Tatufadhili-ud6se
18 күн бұрын
Nani mwengine anakubali hii busati tv yaan iko na mafunzo wallah kuna vitu tunajifunza kutok apa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@SophyMrina
19 күн бұрын
❤❤zatiti nakupenda sanaa
@ggfwtgg1652
19 күн бұрын
Kazi nzuri sana jmn tuko pamoja ❤❤❤
@HAPPYNeema
19 күн бұрын
Hongera kwa mafunzo yenu mazuri nawapenda san ❤❤❤
@AvillaKabunga
Күн бұрын
Jmn Mimi nampenda zatiti jmn
@MwanamvuaNassoro
13 күн бұрын
Jaman mtupostie next episode ❤naipenda san hii tamthilia ya my mother ❤❤❤❤
@madinajamada9180
18 күн бұрын
Kazi nzuri watu wangu wa nguvu
@CarolyneNyanchama-yk1gf
19 күн бұрын
Chiko kupointiwa vidole na mwanamke eishy😂😂😂😂 kibendu I love you part yako umeicheza vinoma ❤
@user-lh6nt9ne5p
16 күн бұрын
Nimefurahia kumuona Tasha 🎉🎉🎉🎉 hii kazi safii snaa na mafunzo ndani yke
@saidmfaki
18 күн бұрын
Kweli ameweza mungu amjalie roho hiyo kwenye maisha yakeisiwe tu kwenye move pekee
@elizabethdzuya
18 күн бұрын
Kibedu chukuwa maua yko Kwa ujasiri ulionao Kwa mama ykomuch ❤ bro🎉🎉🎉🎉
@EVADISLAGASPER
2 күн бұрын
Busat tv hamboi hampoi nawapenda sana
@AishaTanzania-t1g
19 күн бұрын
Nilikua nimekaa apa kuisubiria 🎉🎉😂😂😂😂😂
@NaaMaty
8 күн бұрын
Nimefurahi kwa kweli baada ya kukuona mr tasha so mwaaah❤❤
@SarahCharls
8 күн бұрын
Tasha nakupenda buree ❤❤❤❤ nami ningekua mimi ningefanya bonge la tukio lkn chiko yupo kama lizumbukuku utabuluzwa sana na candy
@DidaAlly-iz1it
19 күн бұрын
Naenda kupanda ndege naenda kupanda ndege😂😂😂😂😂😂
@LatiffahHassan
18 күн бұрын
😂😂😂😂
@Carlos_furaha
18 күн бұрын
kupitiapita Tu kulike🎉🎉🎉❤❤❤kaz apa👍👍👍👍ahaa
@GuilaineWasso
19 күн бұрын
Wow kazi nzuri
@MichaelWanyonyi-js5vt
10 күн бұрын
Movie suri naipenda sana yatano nasubiri 😮😮
@everlyneouma-ss5zc
18 күн бұрын
Napenda sana show zako kibendu ♥️
@JamilaJumanne-rc8hk
7 күн бұрын
Tasha Tasha Tasha nakupenda bure ww na zatiti na kibendu pia
@GladysMunialo
9 күн бұрын
Asante Mr Tasha mawaida mazuri Sana endelea hivo
@ElirehemaMtui
19 күн бұрын
Yolanda ni chizi sana na huyo mwanaume wake ndiyo kabisa yani wamekutana chupa na mfuniko siwapendi wote wawili
@frontalclosure135
14 күн бұрын
nampenda sana zatiti ni mstarabu
@AishaAisha-oj1yq
19 күн бұрын
Movie nzuri sana hii
@AsmaRamadhani-ok6iv
19 күн бұрын
Zatiti hata kwenye uhalisia anaonekana mpole san
@RehemaMwakisyala-k9u
19 күн бұрын
We cend unachembe za uchaw sio bure hata kama kuigiza
@Zaitunrashid-c7q
18 күн бұрын
Yaani naomba kama zatiti ampeleke huyo mama kichaa kanisani apone wanao tamani iwe hivyo gonga like
@fatumaselemani3807
19 күн бұрын
Mashallah mungu abaliki sana kazi zenu ❤❤❤
@BetriceAlphonce
19 күн бұрын
Hongera Sana zatiti
@machozimukucha
15 күн бұрын
Nawapenda sn wote chukuweni mauwa yenu munajua kunifuraisha🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🥰🥰🥰🥰💯💯💯🔥🔥🥰🥰🥰❤️❤️♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🔥🔥🥰🥰🥰💯💯💯💯💯♥️♥️♥️♥️
@user-hq9ul8dt4k
17 күн бұрын
Kendi unajua unajua na unajua tena shoga ❤❤
@gracenyevu8082
18 күн бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
@tigejuma9865
19 күн бұрын
Kumbe Chino anasikizwa Mpka n huyu mama alie jifanya kichaa...ETI NAENDA KUPANDA NDEGE....😅
@SaumuJumwa-k7e
19 күн бұрын
Hongereni sana wana busati Tv❤❤❤kwa kazi nzuri
@ZuhuraAbdallah-u9o
19 күн бұрын
Kutoka oman like zangu jamn😢😢kila siku hamnipi like
@saidomar3291
2 күн бұрын
Huyu kendy inamaanisha hizi tabia alizonazo humu kwenye movie nitabia zake halisi. Jamani kendy kuwa mtaraabu wakupenda wazazi wa mume. Kwan bila mungu na hao wazazi usingepata mume
@PriscaFesto-s5l
12 күн бұрын
❤❤❤❤❤nakupenda xana zatiti xana yanii
@NuruenezaJosephEnock
19 күн бұрын
Tunakupenda sana dada Zatiti
@Marlenapilikitsao-gk9je
16 күн бұрын
Majina mengi Ila ww n shida unakwepe Ila unahitaji maombi mana hufai 😮😮😮😮
@SylviaSyliviawanjala
18 күн бұрын
Nzuri sana ❤❤
@MwiraqKuncelly-k6j
19 күн бұрын
Nice zatt ❤❤❤❤❤❤
@12omochildren
18 күн бұрын
Nakupenda sana zatiti ❤❤❤ Likes za kipenzi chetu kibendu❤❤❤❤
Пікірлер: 340