KZ
item
Негізгі бет
Трендинг
Журнал
Ұнаған бейнелер
Ең жақсы KZitem
Фильм және анимация
Автокөліктер мен көлік құралдары
Музыка
Үй жануарлары мен аңдар
Спорт
Ойындар
Комедия
Ойын-сауық
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
Ғылым және технология
Кіру
Тіркелу
Кіру
Тіркелу
Негізгі бет
Трендинг
Журнал
Ұнаған бейнелер
Ең жақсы KZitem
Фильм және анимация
Автокөліктер мен көлік құралдары
Музыка
Үй жануарлары мен аңдар
Спорт
Ойындар
Комедия
Ойын-сауық
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
Ғылым және технология
Негізгі бет
MY MOTHER EP 17 | Sad Story 💔💔
Күн бұрын
MY MOTHER EP 17 | Sad Story 💔💔
Рет қаралды
17,671
BUSATI TV
1
1
Жүктеу
Пікірлер: 297
@Jenniffer-m9k
6 сағат бұрын
🎉🎉jaman zatiti mungu amlinde .kila mda anamajonzi tuu .batuli amuachie kai zatiti🎉🎉🎉🎉 team zatiti like zenu bx
@KenethMwasenga-x2i
6 сағат бұрын
Mwenyezi munguvawalinde wote mnaoo fuatilia my mother ❤❤❤❤❤
@PendoStivini-i6y
6 сағат бұрын
Amina
@HhUhh-io8ix
5 сағат бұрын
Ameen❤❤❤
@pendochacha1326
4 сағат бұрын
Amen
@MwanamisiMunnah-x3v
3 сағат бұрын
Amiin yarrab na ww pia❤
@SophiaOmary
44 минут бұрын
eimeniiii
@MrsMariam-x2s
5 сағат бұрын
Wapi kusemaza ukweli zatiti nimzuri zatiti mauwa yako aawee nimzuri jusifu wasikidanganye wano kunganha hii nikweli hhhhh
@Rizikialiamechannel763
7 сағат бұрын
Zatiti mbona mpofu jamani kma una saport scene ya zatiti welka like jman team felus 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@SaraSara-wk2mr
5 сағат бұрын
Team strong in Oman
@MaziamJororo
4 сағат бұрын
💪💪💪🇴🇲🇴🇲
@AishaRashed-m5o
3 сағат бұрын
Jamaan zatiti anafeli wapi 🎉🎉🎉🎉
@ZeinabBakar-je4nr
6 сағат бұрын
Batuli achana na zatiti sisi twaipenda sana 🎉🎉🎉🎉
@FadhilaAbubakari
6 сағат бұрын
Batuli usnitesee zatiti wangu please,,kai utajuta kumpoteza zatiti batuli si mwanamke ni shetani
@AlinaNizigama
6 сағат бұрын
Basi analijuwa ilo atajuta sana
@MalkaNinik
6 сағат бұрын
Atakuja kuwa kama chiko.huyu amtamani zatiti
@AdmiringBonsaiTree-nc1lv
6 сағат бұрын
Zatiti akiwa analia naumia sana jamani
@AlinaNizigama
6 сағат бұрын
@@MalkaNinik atananza kurewa ndipo atakumbuka kuwa kurikuwa mwanamuke arikuwa anamupenda kweri subiri
@Zainab-vo2uz
6 сағат бұрын
Kwakweli mtu akimuumiza zatiti natamani ningekuwa karibu nimpige nampenda sana zatiti mtaratibu mzuri mtoto wangu angekuwa mkubwa angemuowa zatiti
@MwanamkasiBakari-pb2gw
6 сағат бұрын
Apo kwa kumuowa umenifurahsha wallah😂😂😂
@KeristiStel
2 сағат бұрын
Asannntii😅😅😅
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Zatit❤❤ hun bay dad
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Honger mam kwa maneno ya barak asten wazazi kwa barak zenu
@sophiamgina7429
5 сағат бұрын
Kiuhalisia batuli n mmbaya kama........ Na jiroho lake
@Farthun
7 сағат бұрын
Wow ndo mm wapi term gulf tuendelea kujifunza
@FatumaWazir
6 сағат бұрын
Batur Sula bovu usitulizie zatiti wetu
@ShamieWise
5 сағат бұрын
Halafu bovu sana😢😂😂😂
@Benti-f3o
5 сағат бұрын
Shape nd yamubeba hallo wanaume nakupenda nyashi 😂😂😂😂😂
@marianchamba3898
7 сағат бұрын
jamani zatiti pole sana
@MokhamAme
6 сағат бұрын
vp itakuaje hali ya Kai kumuona zatiti akiwa na mpenzi aliemchumbia na kumkatalia .tunaofatila busati Busati TV
@BensonMakatamila
5 сағат бұрын
Batuli Ungekuwa unajiona tena usingejaribu Kumfanyia za titi hivyo sikupendi
@JamesZakayo-o2f
13 минут бұрын
Sasa humpendi watu wanaigiza au unajua ni uhalisia?😅
@MwanamisiMunnah-x3v
5 сағат бұрын
Move on zatiti..muache Khai atakujakutafuta mwenyew na machoz kwa juu ..move on mamaa
@DominPallangyo
5 сағат бұрын
Ni kwel hii ni movie ila kwenye maisha ni vitu ambavyo vipo kila siku ....Mungu awabariki BUSATI 🎉🎉❤❤
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Jaman chiko tinamuombea mam dua atapona kua n Amani Kila kitu kitakua saw
@JanetRiziki-ut2is
4 сағат бұрын
Hivi we batuli unajionaje kwan mbona hata uzuri wako haumshidi zatiti acha shibo sikupendi ujue😢😢😢
@AminaKavuo-gj3oc
4 сағат бұрын
Zatiti wew Liya tu siku moja mungu hatakuregesha kai🎉🎉🎉🎉pokeya basi mauwa hacha kulia, mwanamuke sie mutu wa kulia ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@AishaRashed-m5o
3 сағат бұрын
Ila zatit kenye vipand kam hiv anawez san anayemkubali zatiti tump 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@WebWeb-dx9jw
6 сағат бұрын
Nampenda Sana zatiti sipendi ulie
@AlinaNizigama
6 сағат бұрын
Hawezi kunizidi
@EsterReuben-r6i
6 сағат бұрын
Makofi mengi kwa busati jamani chikoo ananichekeshaa😂😂😂😂
@MokhamAme
6 сағат бұрын
hah nimewai na mm 🤣🤣
@mohamedlopa8410
6 сағат бұрын
Utakayesoma hii comment,,,uwe siku njema na mungu akupe lidhik ya alali inshalaa,,,🤲🤝🤲🤝🤲🤝🤲🤝🤲🤝🤲🤝
@FatumaMwinyimvua
5 сағат бұрын
Ameen
@aishaallyaishaally3220
4 сағат бұрын
Ameen na ww pia jaman
@safiaabdallah-g2r
4 сағат бұрын
Amin kwasoteee
@HonorineMalaas-p9n
Сағат бұрын
amen
@ZubedaShaban-fb2dl
6 сағат бұрын
Jamani wangapi hawampendi batuli
@LinahUmazi-x4z
4 сағат бұрын
Zatiti huna baya🎉🎉🎉🎉❤
@Juliety-v3o
3 сағат бұрын
Inamaana na utajir wote batuli anaoringia ndio nyumba yenyewe unayoish na Kai
@ZaydAbram
6 сағат бұрын
We batuli kuzimie ni ndogo kufaa 😂😂
@HhUhh-io8ix
5 сағат бұрын
Bt mm naomba mwendelee kutuletea mapema na mapera❤❤❤❤
@Zuonist-y3q
7 сағат бұрын
Bora nimekuwa wa Kwanza kabla foleni haijawa kubwa
@NiyonsabaJofred
3 сағат бұрын
Zatiti sipendi kuona unalia wewe nimwanamuke mzuri sana hupaswi kulia hivo
@افلينافلين-ي9ك
5 сағат бұрын
Batuli ww unajichosha bure haupendezi hata kwani ilogauni naicho kitamba ulifunga kichwani njo vyakuogerea 😂😂😂
@Shinyg3l
5 сағат бұрын
Ila jamnii uwiih nishawah kutana na jinaume kama siboo Yani !!!!Yan happy alipokuwa anaongea na sibo kama namuona Yan mpaka nimeogopa🤣🤣🤣🤣
@NyagawaEmmanuel
4 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 Sibo na huyo mwanaume wa jamaa ako tupo vizuri 😂
@Shinyg3l
3 сағат бұрын
@@NyagawaEmmanuel khaaaah ila wanaume mna viti vyenu mbinguni asee🤣🙄🙄
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Yani sibo unahongwa pesa na yoland na wew unakuj kuhong ten jaman
@NyagawaEmmanuel
6 сағат бұрын
😂😂😂
@MwanamkasiBakari-pb2gw
6 сағат бұрын
Umalaya tu kulewa mwanae aah😂😂
@aishaallyaishaally3220
4 сағат бұрын
Nakukubali sana dada zatiti❤❤❤
@MercyOduor-t9r
6 сағат бұрын
Zatiti ndio mwanamke sahihi Kwa Kai batuli ana wivu ni Mimi ni mercy kutoka kenya
@buru1235
5 сағат бұрын
Wenye tunaomba kai kimrembe mkono juu ✋ Yani anafanya Zatiti wetu akilia Sana eeh hiyo macho unakondoa utakondoa hdi kifo kumbafffff zngu 😀😀
@ZakiaAbdul-h7x
6 сағат бұрын
Huyu batuli ndo mwenye hela anaishi nyumba ya hivi mbona aendani na ualisia wa uhusika
@MwanamkasiBakari-pb2gw
5 сағат бұрын
Nikwa kai hapo
@FatumaMwinyimvua
5 сағат бұрын
😅😅😅😅
@Johar903
6 сағат бұрын
❤❤❤❤ila kai sasa mbona jicho kwa zatiti umemuona yupo na mzee wa suti. 😂😂
@PhilbertHabonimana-o1z
3 сағат бұрын
Zatiti nakupenda sana tena sana kabisa
@TabuBaya-mr4lx
6 сағат бұрын
Mbona mpenda kumliza sana zatiti
@SadaKawambwa-e5h
4 сағат бұрын
Bola amkubali tu kibosile na yy zatiti alemaisha, Leo zatiti ametolewa aut so ubaya ubwela kunaelekea kuchangamka
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Yan sibo rahm akikufuma wew utajut
@NyagawaEmmanuel
6 сағат бұрын
😂😂😂
@aishaomar2287
4 сағат бұрын
Ila sibo we mshenzi sana😂😂 nmecheka sana! Ati Mungu Akupe nn...muombe pepo🎉🎉🎉
@NyagawaEmmanuel
Сағат бұрын
😂😂😂 uumbaji mzuri kuwah kutokea kwenye uso wa dunia
@aishaomar2287
Сағат бұрын
@@NyagawaEmmanuel haki ya Mungu
@ireneevaristo5552
6 сағат бұрын
Wanaume kama sibo wapo wengi sana mtaan kwanza mia hawana anadanga ndio apate hela ya kuhonga😂😂😂😂😂😂😂😂
@NyagawaEmmanuel
6 сағат бұрын
😂😂😂
@Shinyg3l
4 сағат бұрын
Nimekutana nae kama hiyoo nilivomwona sibo nikahic ni yeye mpaka nikaogopa
@everlinenjuguna2281
6 сағат бұрын
Zatiti kipenzi Masha Allah❤❤❤
@janekanini
4 сағат бұрын
Wow Leo ngonde katisha kumbe n mtanashati vile😂😂
@BintiAmina-kh9oh
7 сағат бұрын
Wakwanza leo nawapenda sana❤❤
@FATMARAHMA12
5 сағат бұрын
Sibomana ni wakutoka burundi au rwanda maaana ilo jin Rake si raki tanzania
@NyagawaEmmanuel
4 сағат бұрын
Tanzania moja hiyo😊😊
@shamilashabani4288
Сағат бұрын
Yes jina la kirundi hilo
@Mwandegu
4 сағат бұрын
Haki zatiti na kupenda bure kwa subra uliyonayo chuka mauwa🎉🎉🎉🎉🎉❤
@MrsMariam-x2s
5 сағат бұрын
Jamani huyu niyule nganga daa kabadilika hatari daa kapendeza jamani hhhhh
@Nailaty564
5 сағат бұрын
Kumbe bado kuna watu wanaliliaga mapenzi mbona Mie nikitaka kulia machozi hayatoki
@Fathasssane-vs2th
5 сағат бұрын
😂😂😂wewe baba yetu moja na mama moja 😂😂😂
@AishaAisha-u1q
5 сағат бұрын
Ww hujapenda kwa dhati kisha ukasalitiwa
@Nailaty564
4 сағат бұрын
@@AishaAisha-u1q nishasalitiwa mpaka moyo umekufa nimebaki na utumbo Tu 😂😂😂
@khadijamohd-o1z
4 сағат бұрын
Unay lkn
@LatifaHava
2 сағат бұрын
🤣🤣🤣
@zainabzain3434
3 сағат бұрын
Zatiti nimeipenda hiyo 🎉 🎉 ❤ nn ss khai unatumbua mimacho😂😂😂😂😂
@FatimaOman-wb8tn
6 сағат бұрын
Me leo sibo ndio kanichekeshe mzhenzi zake huyu😂😂😂
@NyagawaEmmanuel
6 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@aminahhuawei1133
3 сағат бұрын
Huyu matuli silipendii hakuna move lilowahii kuwa na roho mzuriii yeye sikuzote roho mbaya tuu😢😢
@gracenyevu8082
4 сағат бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
@LightnessUrio-fo7mq
4 сағат бұрын
Yani batuli ndo angekua nitajir kweli mhmhmh uyu anaroho mby sana mungu msaidie zatiti wetu kila kona yey niuzuni tuu jmn
@KuvunaGonda
6 сағат бұрын
Kai utajuta sana huyo batuli anakudanganya Kwanza hamuendani ww Kai unajidanganya
@VanessaZumbe
7 сағат бұрын
Wakwaza leo naomben like zangu😢
@zainabzain3434
4 сағат бұрын
Kumbe uyu sibo ni tapeli maneno mengi kufanya kz ahaa😂
@NyagawaEmmanuel
4 сағат бұрын
😂😂😂😂
@Fathasssane-vs2th
4 сағат бұрын
Sifa za moenzi wa kai nikajua kampangia sehem mzuri 😂😂😂kumbe yupo kitaa pazia ya 3000😂😂
@GloriannahMkuwa
6 сағат бұрын
Kai utalipa kwa unayomfanyia zatiti
@RizikiZiki
5 сағат бұрын
Zatiti kipenzi cangu ebuaca kua muzaifu ivo mbele yamwanamuke mwenziyo ukiliya ivo unamupa jeuri😢
@PriscaMwaswale
3 сағат бұрын
Jamani mapenzi yanauma hasa pale umpende mtu asie kupenda daah inauma mno pole kipenzi changu zatit
@CharityImaculate
3 сағат бұрын
Uyo tausi anatafta usingle mother😂
@NyagawaEmmanuel
Сағат бұрын
😂😂
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Jaman batul hay sio matus unamtukan mwanamke mwezio jaman zatit kua jasir
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Kai aon radhi za mam zitakuapat wew kwa kumnyanyas zatit
@MalkaNinik
6 сағат бұрын
Yani kumbe kai bado wampenda zatiti umemuona macho yamekutoka
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Jaman kai utakuj kutaabika wew
@BennyMabendi
6 сағат бұрын
Pole sana Zatiti hiyo ni changamoto tu Kai atajuta
@BensonMakatamila
5 сағат бұрын
Za titi fanya mpango uende na mama kwenye maombi hakika atapona mungu ndie muweza wa yote
@DominPallangyo
5 сағат бұрын
Yan nilichokiona Sibo yupo na Yoranda kwa sababu ya ela tyu ila hampendi hata kidogo
@NyagawaEmmanuel
4 сағат бұрын
Nampenda bhana 😂😂
@DominPallangyo
4 сағат бұрын
@@NyagawaEmmanuel hapana kwel ila pesa zake ndo maana kidogo tyu kugombana 😂😂😂
@Najmahnyangasi
6 сағат бұрын
Wa nane jaman ila sitaki like mimi maana sijui like nini 😂😂😂😂hazinitishi hazinipi pesa nikawa tajiri😂😂😂😂
@MaxcivilianmoraaLiliana
5 сағат бұрын
Sibo umalaya utakuua ww
@NyagawaEmmanuel
4 сағат бұрын
😂😂😂
@AlinaNizigama
6 сағат бұрын
Kai tafuta pesa pesa yamwanamuke inafa kipindi munachanga ote rakini ukitegenea pesa yamwanamuke kama vire umeorewa umekubari kuorewa kweri
@MonicaSimon-n3i
5 сағат бұрын
kaz nzr san
@MaryamMoosa-g5s
3 сағат бұрын
Safi sana. Zatiti. Dawa yamoto. Ninoto. Kay. arivyo. Kuona. Katowa. Macho. Kama. Mjusi. Uriyobanwa. Namranqo😂😂😂😂😂😂😂
@salhaissa-xq9ov
6 сағат бұрын
Yani kai utakuj kujut wew pole San zatit jaman acha nae atakuj kukutafut huyo kai
@AminaKavuo-gj3oc
4 сағат бұрын
Yani huo batuli simupendi Ata basi huko na sifa nyingi na hazina maana
@Grace-kt3yp
4 сағат бұрын
Himv mwanzo niliachakuifatilia lakini now amazing
@sakina5550
5 сағат бұрын
Batuli hata sio mzuri kai unatulizia zatiti wetu bure
@abcdoman8739
5 сағат бұрын
Jamani tajiri baturi kwa nyumba hiyo alafu unajifanya ulimatembele ungekuwa kwenye mjengo wa maana
@MinnahPetra
5 сағат бұрын
jamani kizur hakikosi kasoro batuli shepu unayo lakin sura hamna maringo mingi tu
@DivineIngabire-lj3sr
5 сағат бұрын
Mbona kai na batuli nmwanattoa maco wakiona zatiti walifikili hatapata wake😂😂😂
@LoiceLoice-c1b
6 сағат бұрын
Kila anae mpotez zatiti huwa mwishowe ni majuto kai hiv karbun utalia tu
@PerezQuenisha
6 сағат бұрын
Sibo acha umalaya
@AlinaNizigama
6 сағат бұрын
Sibo umaraya utaguponza kwayorabda
@NyagawaEmmanuel
6 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 Yaan hizi character hizi 😅
@FatumaMwinyimvua
5 сағат бұрын
😅😅😅😅😅 anapenda kitongaaa
@merinazyd0532
5 сағат бұрын
Mmmmh zatiti wangu jamani anapitia majozi sanaaa😢
@SabrahNibuka
3 сағат бұрын
Asantee zatiti wetu ❤ kai acha kutoa macho
@زهرةكيني-ث3ل
7 сағат бұрын
Nmewahi leo ❤
@AnnastaziaVicent
5 сағат бұрын
Zatiti nakupenda san
@HadirialssaShund
4 сағат бұрын
Jamani jamani mbona zatiti munamtesa hivyo Kila mda analia yeye tu 😢😢😢
@SilviaJoseph-l8g
4 сағат бұрын
Kwaiyo apo ndo kwa batulia tajir au ndo wap 😫😁kwenye Iko kibanda
@MariamHamisi-ti9vb
4 сағат бұрын
KAI Kai Kai utakuja kulia kwa kumuacha zatiti wewe uyo shetani hakupendi ila anakutumia kwa sababu ya pesa zake
@fatumariziki7276
5 сағат бұрын
Hililibatuli silipendi kabisa
@hutahuta1170
4 сағат бұрын
Zatiti unaboa hujui kuachwa unatuzalilisha bana 😂😂
@ZAINABJUMA-sc5yr
3 сағат бұрын
Pole zatiti hya ni maisha dada
@OmarJaffar-fw4lt
3 сағат бұрын
ukweli kabisa me ananiuz batuli
@AnnahNanjala-xh6ov
4 сағат бұрын
Nimefurai kuona kai anastuka kumuona zatiti na mpenzi wake
@FatumaAli-xm8di
6 сағат бұрын
Uyu uwafaa bibiake zuu
@HoHo-l1r
4 сағат бұрын
Mie jomon.. huyo batuli cnpendi cjui kwanini yani anavyojifanya mkatili wakati wala hiyo nafasi haimfai kabisaa yani...
Пікірлер: 297