Jamani wakenyà mbna hatupatiyani like Hila mm nawapenda hvyo
@Juliety-v3o
22 сағат бұрын
Kwel uctaman pesa za mtu kwel chiko unaishi vizur hvyo kumbe usiku unalala chin kend anatumia tu pesa na wanaume wengine
@ShamieWise
19 сағат бұрын
Na badoo Tama tama za watu
@DianaNelima-i5i
6 сағат бұрын
Hivo ndio inafaa tujue kua sio kila mtu unamwona na magari makali kule nje ndani kwake ana raha utapata yeye ndiye ana shida kupitiliza
@Jajakanjaniri
23 сағат бұрын
Asalaamareko Watu Wangu❤❤🎉🎉 Leo Wakwanza Guys Munipe Like Basi ❤❤❤❤ Nawapenda Sana Gutoka Burund 🇧🇮🇧🇮🎉🎉🎉🎉
@Sajdayusuf
20 сағат бұрын
Tuna kupenda pia ila sy asalaamareko Ni Asalam alaykum Waaleykum Salam love u more 💓 💖
@mohamedlopa8410
23 сағат бұрын
YEYOTE UTAKAYESOMA HII COMENT UWE NA SIKU NJEMA INSHALAAAA❤❤🤲🤝🙏🙏🤝🤲🤝🙏🙏
@JahaKhan-n5r
21 сағат бұрын
Nawewe py
@MaimunaNangabo
20 сағат бұрын
Amin inshaallah 🙏
@salhaissa-xq9ov
22 сағат бұрын
Tunao amin kua mam kai anafany hv ili kai ajifunze au anagany@ kweli tujuane hapo chin
@كامليا-ر7ز
23 сағат бұрын
Bwana yesu asifiwe wapendwa natumai mashabiki nyote wa busati tv muwazima. Haya na mm mwenzenu leo nmewai naombani like zenu ❤❤❤❤🎉
@salhaissa-xq9ov
23 сағат бұрын
Jaman chiko na mkeo Kila mtu nalal chumba chake yaan mitihn ni ming hap Dunia unapesa Lakin huna Amani Kila saa maisha ya mashak
@JescaDenis-d2r
22 сағат бұрын
Wangap tumestuka pamoja na chiko pindi amelala tujuane Kwa like 😂😂😂
@Asyawaamidu-g7p
23 сағат бұрын
Huyu baba Firidaus yupo Sirius sana bado sijamuelewa
@Najmahnyangasi
23 сағат бұрын
Wakwanza jaman sipitwi hata kidogo kazi nzuri sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉naomba like zenu wapenzi😂😂😂😂😂chiko ulifanyaje mama kwani mbona wateseka hali hiyo
@tigejuma9865
9 сағат бұрын
Heri nife masikin kuliko kua na mimali wakati n mateso matupu.... ata kulala n gadhabu....pesa za NGUVU za giza mashariti mabovu...heri ugali dagaa kwenye amani...kuliko wali maini vitani....😢
@Fathasssane-vs2th
23 сағат бұрын
Jaman leo wakwanza mie achen ubanguzi❤❤❤
@AminaKavuo-gj3oc
21 сағат бұрын
Ss Kai hunataka mama hakeya Bila kushafisha hinjili
@SemeniJuma-vm9jd
23 сағат бұрын
Nawapenda BUSATI TV mnafundisha
@salhaissa-xq9ov
23 сағат бұрын
I love you my mother
@adrianocarloschicuava4016
23 сағат бұрын
I love you my mother❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AgnesMathew-u7h
22 сағат бұрын
Chiko rah gn sasa yakuwa na pesa af unalala panya ivoo😢😮
@SumaiyaAli-uq6xh
19 сағат бұрын
Mama Tasha hata huendani n hayo mambo please 🙏 Fanya kumuektia mwanao t ili aachane n batuli usiwe kweli
@susanirene9276
22 сағат бұрын
😂😂 mama Tasha pls wacha hiyo tunakuheshimu kama mama
@AgathaKomba-qk7pz
18 сағат бұрын
Anafanya ili Kai ajifunze kitu
@RehemaMwakisyala-k9u
22 сағат бұрын
Mama Kai naomba isiwe kweli jaman nitaumia mm
@nurusaid4698
20 сағат бұрын
C Wwe Pekeyako Aki Mi Kashanitoka Kabisaaaa 😢😢😢😢Duuuh
@therezamandago1785
23 сағат бұрын
Hii tamthilia ifike hata dakika 30 j amani mbona ni fupi sana,tunaielewa but muda uongezeke
@salhaissa-xq9ov
23 сағат бұрын
Jaman WA kwanza leo I love my mother
@salhaissa-xq9ov
23 сағат бұрын
Jaman mam kai anatembea na mtoto mdog kam huyo Dunia imeisha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kai jicho limemtoka kam kabanwa na mlango
@Gladys-254
22 сағат бұрын
Pia mm sijapenda anachofanya huyo mama
@FakikhAsmah
22 сағат бұрын
Jamani jamaa kajakuchimba shimo la choo tusimfikirie vibaya mama kai😂😂😂😂😂@@Gladys-254
@aishaomar2287
17 сағат бұрын
Tuangalie mwendelezo,pengine ni mbinu tu kai amskize
@YusraThomas-cb6ll
21 сағат бұрын
😂😂😂😂 bibi zuu nae ana wivuu😆😆😆
@busimebiringanine5800
16 сағат бұрын
Bwana Yesu asifiwe Wapendwa Aminini Bwana naye atawaokoa na maovu yenu yote
@RoseMeshack-c9x
23 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ zatiti Nakupenda sanaa
@JaneJane-h2i
22 сағат бұрын
Tunao muonea huruma rm chiko?😢😢😢😢😢 tujuane kwa like
@AminaKavuo-gj3oc
21 сағат бұрын
Zatiti nakupenda tu San yani huo mama WA chiko hanakupenda tu San pokeya mauwa ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@HalimaJafari-yv2th
22 сағат бұрын
Siokila unaemuona tajiri ukamuonea wivu wemuache tu na utajiri wake hujui changamoto anazopitia😢😢😢
@DomitilaEmily
21 сағат бұрын
Zatiti hongera kwa moyo wa kipekeee kwa mama🎉🎉🎉❤
@aishaomar9621
21 сағат бұрын
Ukweli utajulikana huyu mama kumfukuza mwanae chiko maana hiyo ndoto ya chiko imenishngaza n huyu nyoka alimtokea wakati mmke Ako jalalani akakimbia mmmm 😢 jamani wanaume mwatakaje uko radhi kumsaliti mkeo ili uhongwe pesa imeniuma tausi pole sna usilolijuwa n swa n usku wa giza😢
@salhaissa-xq9ov
23 сағат бұрын
Honger San zatit kwa mapenzi kwa mam tuna furahia San kuon mnafuraa San zatit 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Fatma99-ve7ys
21 сағат бұрын
Mungu wangu kumbe chiko izo mali nizamajini tena kwa mashart 😢
@tabithanzisa9755
22 сағат бұрын
Jamani bibi unataka kumumiza mzee wa watu 😂😂😂😂ama kweli mapenzi hayana umri buana😂
@Judithopondo-fn9dr
22 сағат бұрын
Yani chiko uliaribu mmko juu ya mali
@نيجي-ن1د
22 сағат бұрын
We kumbe huku leo mambo imechemka bi Sinta na mama Kai jaman😂😂😂
@Judithopondo-fn9dr
21 сағат бұрын
Wee hiyo ndio shimo ilikuwa inachimbwa jamani wanaume,
@salhaissa-xq9ov
23 сағат бұрын
Rahma n wf jaman vichamb tu
@hutahuta1170
23 сағат бұрын
Hizo mali zachiko hazina faida yoyote 😂😂😂mana mateso.kamayote
@zainabzain3434
22 сағат бұрын
Utajiri nyuma ya pazia ni mtihani tulidhike tu na tulichonacho
@nurusaid4698
20 сағат бұрын
Jameni Uyu Mma Tasha Ata Apendeziii Kwa Aya Anayoyafanya Mayuuuu😢😢😢😢😢😢Watu Wazima Msiwe Mnawapa Karata Kma Izi Ambazo Azina Mafunzo Cjapenda😢😢😢😢😢
@busatitv
20 сағат бұрын
Kwahiyo Watu Wazima wote ni Wastaarabu?
@SitiSaid-ol9rm
19 сағат бұрын
😂😂😂😂 humu 2
@nurusaid4698
9 сағат бұрын
@@busatitv Inatengemeya Lakini Cuyo Mma Yani Apendezi Kabisa Bora Angefaya Masozi Pia Au Make Kibendi
@ErastoMsemwa
22 сағат бұрын
Jamani nahis chiko yupo kwenye vilimasono
@RehemaMwakisyala-k9u
22 сағат бұрын
Mama Kai nilikuamin kumbe na ww wa ovyo sana
@nurusaid4698
20 сағат бұрын
Umeona Kumbe Yani Walianza Vizuri Uyu Mma Awe Na Eshima Na Mafundisho Kumbe Bureeee😢😢😢😢😢
@McT-m1m
19 сағат бұрын
Mama kai mtamuelewa huko mbele hapa ana lake jambo hakuna mapenzi hapo ni mchezo wanamchezea kai
@sesiliahussein7774
19 сағат бұрын
Huyu anataka kumpa funzo kai ila siyo kwamba anafanya ivyo
@AminaNgumba
21 сағат бұрын
Jmn mama ake kai mbon yupo hivi hii kweny hii movie
@ruthyohanesy3739
19 сағат бұрын
Nasubili house girl moto uwake ❤
@coolboymicky3651
22 сағат бұрын
Story inafundisha kwakweli
@SdFft-j5g
19 сағат бұрын
Jamani mamake kai, iam so disappointed at you, kama ni kweli hicho nilichokiona☹️🙆alfu bibi yke na zuu wivu wa mapenzi unao hdy uzeeni daaah😁😁😁😁😁😁
@aishaomar2287
17 сағат бұрын
Sibomana unagongewa na sio mlango😂😂...ila nyie huyo nyoka! Utajiri komaaa na ukomaeee 🏃♀️
@lightnessseifu5983
7 сағат бұрын
Safi sana mama kai unajua sana kuigiza, ilo ni funzo kwa kai maana umeongea nae sana hajakuelewa , kwenye vitendo hapo lazima abadilike tu , ila naoma coment nyingi wamekulaumu sana ila ili ni funzo na hivi vitu vipo. Na watakuelewa tu kwa baadae
@ShamieWise
19 сағат бұрын
Chiko tuuu nikuvaa ma suit lakini unalala chini usiku wote😢😮
@aishaomar2287
17 сағат бұрын
Usingizi pia hapati,ata labda anamnyonyesha huyo nyoka😂
@DianaNelima-i5i
6 сағат бұрын
@@aishaomar2287😂😂😂😂
@aishaomar2287
4 сағат бұрын
@@DianaNelima-i5i kweli tena watu wa aina hii ya utajiri wanateseka!
@ElizabethDaudi-b6v
16 сағат бұрын
Ila hamna kitu kinanikeraga mama mtu mziza anachepu ka Atari,halafu ss kama watoto tuzalilika mitaani,ila yy anachojua nimahaba ya uzeeni,yaani mpaka aibu🙀🙀
@Jenniffer-m9k
17 сағат бұрын
🎉🎉jaman kumbe chiko anahela ila usiku analala chini .n candy anaenjoy pesa nawanaume wengne .😢munipee like jaman
@RehemaJuma-o3r
23 сағат бұрын
Duuh mko fasta wadau
@LovenessLucas-r2x
2 сағат бұрын
😂😂😂hadi raha mama kai amefanya yake
@DelvinChepkorir-t1d
22 сағат бұрын
Mama Kai hayuko serious,,, ni kumkomoa Kai hajui Zatiti ashafishwa pete😅😅😅
@LoiceLoice-c1b
22 сағат бұрын
Ni ukel kabisaa😂😂😂😂
@DivineIngabire-lj3sr
21 сағат бұрын
Atajua tuu 😂😂😂
@KuvunaGonda
23 сағат бұрын
Karibuni busat tv hapa ndonyumbani
@Zeinabmea
22 сағат бұрын
Huyu bibi kumbe ana bby wake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@GloryKabdzo
21 сағат бұрын
😂😂😂😂😂Mambo ni live
@SitiSaid-ol9rm
19 сағат бұрын
@@GloryKabdzo😂😂😂😂😂😂
@AminaKavuo-gj3oc
21 сағат бұрын
Sindio pia wew Kai huko na batuli
@Judithopondo-fn9dr
21 сағат бұрын
Jamani bibizuuu Leo ajafanyanpoa
@GalaxyA-ve8tu
21 сағат бұрын
Mpz jamani wivu mpka wazee 😂😂
@افااقع
22 сағат бұрын
Kumekucha kwa kai na mamake😂😂😂😂
@DivineIngabire-lj3sr
21 сағат бұрын
Bibi zuu kumbe unanguvu 😂😂😂😂
@AminaKavuo-gj3oc
22 сағат бұрын
Jamani chiko ni nyoka mukubwa
@gracenyevu8082
21 сағат бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
@salhaissa-xq9ov
23 сағат бұрын
Jaman rahma kafumwa😂😂😂😂😂😂😂
@SizzoSela29-sh8nz
23 сағат бұрын
Mi wa 23 jamani
@khadijakheiri5745
22 сағат бұрын
Kai kwa kushangaa😂😂😂😂
@BrendaMogambi
23 сағат бұрын
Wa bili 😂😂
@MaziamJororo
23 сағат бұрын
Mama firidaus😂😂😂😂😂
@MariamHamisi-h4g
19 сағат бұрын
Ila Sibo n mzuri kwa kweli paka anavyoongea jamani baba firdhous❤❤❤❤
@aminahhuawei1133
19 сағат бұрын
Leyo sikali nasubiri House gril nataka niwe wakwanza na mm leyooo👌😂😂😂😂😂
@Najmahnyangasi
23 сағат бұрын
Watazamaji wenzangu mko wapi mbona kimya ama mwafanya yenu 🎥 uko 😂😂😂😂😂😂😂jaman nije nitazame😂😂😂😂😂😂
@DelvinChepkorir-t1d
22 сағат бұрын
Mama Kai hayuko serious,,, ni kumkomoa Kai hajui Zatiti ashafishwa pete😅😅😅
@salhaissa-xq9ov
23 сағат бұрын
Jaman mam kai kam wew unafany hv j kai ataganyaje Hilo balaa jaman😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
@ggfwtgg1652
18 сағат бұрын
Mman kai amajambo lake anataka kurekebisha mwanae kai nakupenda sana za titi kwa upendo unamuonyesha Mman ❤❤❤❤
@EvethaSimba-i1c
19 сағат бұрын
Kai mbona macho yanakutoka kama kusoma hujui hata picha huoni? kuwa na adabu huyo ni mama yako na huyo utamwita baba sawa kai tutamhonga nawe ukikaa vibaya unatolewa kama hongo pumbavuuuuuuuuu..........
@MrsMariam-x2s
20 сағат бұрын
Hhhhh😂😂 bibi zuu ana wivu jamani na mzee mwenzake nimecheka kwa sauti hhhhhh😅😅😅😅😅😅
@PriscalMummy
22 сағат бұрын
Mama hapo pahali kwenye uliekwa hakupendizi kabisa unajishusha hadhi kiukweli😢😢
@MohamedMd-q3f
22 сағат бұрын
Busati movie nzuri unamcheza uhasilia WA Maisha na siyo kuigiza good
@MonicaSimon-n3i
20 сағат бұрын
jaman mama kai nilikuw naku pend san na niliamin ni mama mweny uelew ila sijaamini kam kwer anawez kufany hivyo nn shd lkn mama kai mbn hivy unatuangushamashabika zako hiyo kalacta haikufai ko usiludie mama plz
@MonnaclassicFashion
18 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 kumekucha tena huku kumeanza kuchangamka 😂😂😂bibi zuu kufumania,🤣🤣🤣🤣🤣
@EvethaSimba-i1c
19 сағат бұрын
Mama tasha hichi kitengo jamani mmemuonea hasa kudet na huyo kibonge mweusi duhhhh,ni ngumu kumuita baba ila itabidi
@mwanakombopopo5117
20 сағат бұрын
Kai utajua ujui😂😂mama kafanya makusudi pengine pia hajafanya mapenzi nae ila anataka kukubadilisha wewe tu
@FaisalAlrefai-u2y
23 сағат бұрын
BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO AU SIO NAWAPENDA SANA ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@khadijamohd-o1z
8 сағат бұрын
Hahhhh😂😂😂 bibi kakaz kwenye penz lake hatak macihara kabisa
@MariamMchomvu-q3s
3 сағат бұрын
Chiko pesa za mapepo zinakutoa roho ona unalala chini
@McT-m1m
20 сағат бұрын
Nimecheka kama mazuri usingizi mtamu hivi unaacha kulala kwa sababu ya pesa
@RizikiZiki
22 сағат бұрын
Iyi move mm kai anadanga niatari hatumuzowei ivo mm Tasha wetu jamani😢
@priscakimburi-sl9ml
5 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe mapenzi pia kwa wazee wako na wivu 🙌
@MonnaclassicFashion
19 сағат бұрын
Kwahio sasaivi mtuukiwa nabwana tu unamwita mume makubwa😮😮😮😮😮
@AishaRamadan-ik7ip
21 сағат бұрын
jmn mali nyingine zina mitihani kweli sasa chiko unamali lakini unalala kwenye tairidhi
@Lucy-v3y
22 сағат бұрын
Weeeh hii nkali kumbe kila mtu yuko na bby wake hata bb zuu kwel😂😂😂😂😂
@saidomar3291
15 сағат бұрын
Ama kweli ukimuona mtu ni tajir usiutaman. Pole sana chiku
@ChristineJoseph-i2o
4 сағат бұрын
Nampenda za titi sana. I love you za titi ❤❤
@Gladys-254
22 сағат бұрын
Twashangaa na mama kai kumbe kuna bb zuu na mjombake chiko😂😂😂😂
@mwanakombopopo5117
20 сағат бұрын
Sasa pastor chiko kipochi manyoya izo pesa rahaa yake nini kama mashari ni ya kulala chini😢
Пікірлер: 232