Mara nyingi watu wanaokataliwa na wanadamu , Mungu anawainua juu sana, asante kaka nmejifunza kitu
@mussandutalevenmwampamba689
11 ай бұрын
Ubarikiwe kaka ushuhuda mzury ,nimejifunza kitu 🔥🔥
@salomembiku4256
11 ай бұрын
AMEN....KUBWAA....
@bilhahw
11 ай бұрын
Ushuhuda mzuri sana, hakika Mungu pekee ndiye ajuaye mema aliyotuandalia, wanaomtumaini.
@briella6899
11 ай бұрын
Kweli Mungu uinua wanyonge
@Jimmymanasseh_Official
11 ай бұрын
Akijaja bure kimeacha kitu ndani yangu🙏🙏🙏🙏
@leahluhwavi7850
11 ай бұрын
Kaka Bwana Yesu akutunze uendelee kufanya kazi ya Mungu🙏🙏 hakika hata Mimi wimbo wa amefanya Mungu umenibariki sana 🙏🙏
@deniswolfganglyimo
11 ай бұрын
Studio zmenikatisha sna tamaa,ntaimba ila kwenda studio sdhani,bora niimbe kwaya daima na milele 🙏
@godfreymhoja5306
11 ай бұрын
Ww n man of God kaka nafatilia sana interview zako kaka n critical saana upo na roho saana
@Jimmymanasseh_Official
11 ай бұрын
Dah powerful massage
@tausipaschel155
11 ай бұрын
Ubarikiwe kwa USHUHUDA sio tu kuambiwa hujui Bali na kunyanyaswa kazini kudhulumiwa na unazibwa mdomo unaambiwa usifuatilie Haki wala kujaribu kuiulizia unaambiwa ukiendelea utafukuzwa kazi. MUNGU. aliyekuinua wewe atatuinua na sisi pia barikiwa sana mdogo wangu
@newupdate257
11 ай бұрын
Amen amen ... BURUNDI we love you Sir and we love your songs 🇧🇮⚡😍
@AbednegoJoseph-mr9lc
11 ай бұрын
Amen
@user-us9ds9dd3z
6 ай бұрын
It is such an amazing story a lesson to trust in God.
@r.jgospel9769
11 ай бұрын
Brother natamani sana kua kama wewe🙏
@lawrencejoshua4476
11 ай бұрын
Brouw 🙌🙌 Nitaendeleza ninayojifunza Toka kwako
@paulinakalakai8369
10 ай бұрын
💪🙌
@godfreysanziki1461
11 ай бұрын
Kukatishwa tamaa ni changamoto inayowakumba wengi ambao kimsingi Mungu anakuwa na kusudi nao na hiyo ni Kwa sababu Wana hiyo ziada ndani yao katika ulimwengu wa kiroho. I get you ☑️✔️☑️✔️☑️🙏
@lifewithNekoye
11 ай бұрын
You are a great minister of the gospel.
@ritaaliela7401
11 ай бұрын
Hakika ya Mungu ni makuu, Hallelujah
@JaneLongo-dm5hl
10 ай бұрын
Aminaaaaaa sana hata kwangu atafanya🙏
@vernaalivitsa3639
11 ай бұрын
Mungu akuzidishie neema. Wewe ni baraka
@tukuyufm
11 ай бұрын
Pole sana kaka mtumishi, dah! ila haya mambo ya STUDIO yamewakatisha tamaa wengi, tumepoteza waimbaji wengi kupitia NASAHA chovu za MAPRODUCER. tunamshukuru mungu kwa Upandikizo wa pando imara aliloliachilia ndani yako likimea pembeni mwa mafyekeo ya changamoto nyingi, kwa neema ya mungu tunaona umestawi hivi. MUNGU aendelee kuitunza huduma yako.
@user-yh9pj6ue3o
11 ай бұрын
Jamani Paul Mungu akubariki tunakupenda Sana tunatamani Sana uinuliwe zaidi ya hapoin Jesus name amen
@christianbalume
11 ай бұрын
Pamoja na Mungu kila kitu kina wezekana zaidi kwa bidii atazidi kufanya makuu
@franelkibe_s5105
11 ай бұрын
Amen.
@messievictorsong7724
5 ай бұрын
Amen sana mttumishi wa Mungu ata nni kwa sasa napitia mambo mazito sana kwa uduma but nishindwa nifanye lipi kaka yangu natama skumoja tuh Mungu ataniinuwa kwaajili ya utukufu wake
@janeymhando
11 ай бұрын
Thank youu
@ministereem9491
11 ай бұрын
Hakika mitazamo hiyo mara nyingi hujitokeza maishani kwa tunamini kuvuka ila Mungu ni mwema tunavuka, ubarikiwe brother kwa ushuhuda huu
@evelynmwendapeke6718
11 ай бұрын
You are my Top Gospel Singer. Mungu akubariki sana
@laurawatosia
11 ай бұрын
There's nothing impossible with God ,,when HE says yes no one can deny it,, God 's Grace was sufficient to you man of God,,Be blessed so much for this 🙏
@pip_genesis
11 ай бұрын
Amefanya
@nickluca1512
11 ай бұрын
Imewahi nikuta ata mim brother 😔
@zephaniamanyasi9110
11 ай бұрын
Amna kwa shuuda nzur
@breethewish
11 ай бұрын
Amina Ubarikiwe Sana Mtumishi Paul Clement kwa ushuhuda unaotukumbusha Ukuu wa Mungu...endelea kujinyenyekeza ndivyo unavyozidi kupandishwa Viwango🙏 🙌You're an inspiration and you're going places💯🙏🙏
@huldavagheni6186
11 ай бұрын
My pick of the Month. God bless you, Paul Clement. Mungu aji funue kwako zaidi na zaidi. Merci beaucoup. Mungu Amefanya, Zawadi, and so on... this album is all the time ringing into my ears... you are blessed. songa mbele
@user-vy1dy3tb4c
7 ай бұрын
Stay blessed brother Paul!
@neemasomi8841
11 ай бұрын
My All time favourite Minister.. May God integrate your blessings 😊😊
@chikondiclement
11 ай бұрын
Am a number one fun of your Work Brother 🎉🎉🎉
@kyokodeh1831
11 ай бұрын
Amefanya Mungu 🙌
@meshackmurhabazi8754
11 ай бұрын
Hi🙏🌹🙏🙏🌹🙏
@faithshalom6192
11 ай бұрын
May God keep elevating you to new levels Minister Paul Clement. Your story is encouraging and your Songs are touching.
@margaretwamutegi
11 ай бұрын
Amen 🙌🙌
@arrfamush3285
11 ай бұрын
Part 2
@simoninjili8111
11 ай бұрын
Nimebarikiwa brother
@ambakisyekediely
11 ай бұрын
THANKS BROTHER
@oscanyakunga
11 ай бұрын
AMEN KAKA NIKUULIZE SWALI?
@joshuasilwano2622
11 ай бұрын
Ushuhuda wako umenigusa sana hata mm niliambiwa hivyo hivyo kuwa sijui kupiga drums now wananita wenyewe niwapigie drums japo sijui sana
Пікірлер: 55