Hongera zubeda hii inatufundisha tuwspende na kuwajali watoto wa majirani ##wanawake cku iz hawaeleweki wanataka wawe wanalea watoto kama kuku na vifaranga vyake akinamama wanapandikiza watoto chuki
@mzalendowaasili1727
Жыл бұрын
Mungu akuweke mzee Abdul
@neemanziku5403
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Zubeda
@nurunewz103
Жыл бұрын
Ukimeza sumu ya mama unaweza kuwa mpumbavu.
@moviesmaster9493
Жыл бұрын
Huyu zubeda amesemwa sana na huyu mzee ❤❤❤❤❤❤
@radhiasalum7156
Жыл бұрын
Unajieleza mpaka nasikia kulia😍😍
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 nonsense
@ibrahimmawazo5077
Жыл бұрын
Mzee akihojiwa anaongea vizur saana. ni mstaharabu sana
@awadhrajabu1403
Жыл бұрын
Uyu Ndie Baba Wa Daimond Kamili Akuna Ubishi Akuna Cha Jonh Wala Bakali Uyu Ni Baba Wa Daimondi Sema Umasikini Unapoteza Samani Kwa Watu Walioweka Mali Mbere Kuliko Mungu
@illahsson
Жыл бұрын
Makiniii
@ashurahatibu5069
Жыл бұрын
Yani mi kop bas tu utajiri umemfanya mashali amkatae baba ake
@elisembo5976
Жыл бұрын
@@illahsson 0p0
@kellyngogo3319
Жыл бұрын
Umeonaeee!!😊
@julianaharrison4356
Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nimemuangalia hiyo picha juu mond mtupu yule mama kamlisha mtoto sumu Kali mpaka
@yasminally1015
Жыл бұрын
Asallamalequ Maashalla Maashalla Pappa Ishaalla Ishaalla Allah helpe you Ishaalla allahmdulillah
@shanimpenike7568
Жыл бұрын
yaani dunia mapito tu kuwa na pesa sio mwisho wa maisha ....
@amirimohammed2875
Жыл бұрын
✊respect mzee
@tembomlawa2065
Жыл бұрын
Mond atapata raana daaa mbona kafanana na huyu mzee kabisa daaaaaaaa diamond Mungu anakuona angalia Domo angalia pua
@ramosizungu7432
Жыл бұрын
Zubeda Mungu ampe maisha marefu!!
@tembomlawa2065
Жыл бұрын
Misikio kichwa sijui
@mrokay1time958
Жыл бұрын
Umependeza mzee andul Mungu akulinde na ampe zaid uyo naee
@stellah3844
Жыл бұрын
Huyu baba kafanana na Mond balaa yaan ni baba yake mzazi kabisa sema ndo hivyo 😭
@zariadunia6328
Жыл бұрын
Ulizaa naye hongera hospitali gani vile
@stellah3844
Жыл бұрын
@@zariadunia6328 Alizaa na mama dangote Mwananyamala
Muzee uko vizur unatumia busara hutuendeshwi na mwir
@jumamayunga7472
Жыл бұрын
Majibu safi kabisa
@petercostakisoka
Жыл бұрын
Baba mlezi wanafanana ivo
@pendochimammy5013
Жыл бұрын
Kumbe waona jinsi walivyo fanana pia ww duuh binadamu wacha tuu
@kellyngogo3319
Жыл бұрын
Hapooooo!!😱😱
@Wamoyothenumberone
Жыл бұрын
Sio baba mlezi nibaba mzazi wa nasibu
@nurumwenkale3387
Жыл бұрын
Mond ipo siku utakuja kumkumbuka huyu Mzee akiwa hai au amekufa
@baloz8974
Жыл бұрын
Bila shaka
@bovickpascal6554
Жыл бұрын
Mbona pua yake and ya diamond same same ime fanana sana
@Amisikashindi.
Жыл бұрын
✌️✌️
@frankwarembosaloon5316
Жыл бұрын
Hivi kwani hamuelewi Nini inamaana amujuwi kwamba uyo mondj yupokwenye masharti. Anafata masharti Ila atakujakujuta baadayaizodawa zitakavyo Isha ndoatajua dunia
@neemanziku5403
Жыл бұрын
Tunakupenda Sana mzee abduli Sina uwezo ngekujengea golofa SS wananchi tunakupenda sana
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣jengea babako mwanzo uwezo ukiukija
@shamzone388
Жыл бұрын
Mama dangote ndie aliyemlisha mwanae sumu juu ya baba yake Dunia mapito tu🚶🏻♂️🚶🏻♂️🚶🏻♂️
@rodriguekalubandika535
Жыл бұрын
Mariposa ni apa apa duniani maesabu mbinguni we aca tu mungu akuongezeye maisha marefu mzee wawatu
@julianaharrison4356
Жыл бұрын
Ndio maana Mungu kakuinulia Zubeda
@abdulharri8175
Жыл бұрын
Wanafanana na diamond mpk sauti huyu mzee lol
@doubless79
Жыл бұрын
Hi I huyu kweli ni mzee wake nasibu mbona wanafanana, diamond boya sana akuchuja maji na mafuta
@khadijayunus9289
Жыл бұрын
Mzee abdulli ni mustarabu sana
@chemstry409
Жыл бұрын
Duuuuhh dunia hii.....
@awadhrajabu1403
Жыл бұрын
Wewe Kuhoji Ujui Kuuliza Maswali Ujui We Mwana Habari Gani Kwanza Maswali Yako Ya Kichonganishi Inamana Wewe C Kitu Ujui Kitu
@stanslausbernard5950
Жыл бұрын
Hivi huyo kikwete utoto utamwisha lini? Sasa namwelewa Prof. Limpumba ambaye mwaka 2015 alisema kuwa hajawahi kumwona kikwete akiwa serious kwenye Jambo lolote.
@barakatabdul3212
Жыл бұрын
Media nyengine kama hizi zina watu wa Hovyo kabisa! Maswali gani yakinafkii wamuuliza Mzee? Kwani yy sio Binaadamu haruhusiwi kujifurahisha Roho" Ajipendekeze na nanii kwamfano kama huna maswali ya msingi haina haja kumuhojii mtu kama huyu ni wakuzabwa vibao Bogass" kabisa amenikera sana kwa unafik mzee asaidiwa pia hamutaki! nyinyi mbona hamumsaidii? Kazi kumfwata mzee mukimuhoji utumbo.
@sumuyaodawayao4775
Жыл бұрын
Mondi ana laana
@Sheba4651
Жыл бұрын
Laana ya nini?
@ziadasalimu1730
Жыл бұрын
Kwa maneno ya huyu baba inaonekana Bado hawako sawa na mondi
@malikeyndotopopote
Жыл бұрын
Sasa kama kamkana faida gani kuwa sawa
@warakawayohana2896
Жыл бұрын
Nyie watangazaji hata kama hujasomea kazi basi jifunze maswali yakuuliza
@mbarakarajabu8748
Жыл бұрын
Yaani! Maswali ya kipuuziiii, bongo hatuna kabisa journalist, bora Ali kamwe alimshushua yule mmoja kwa kumwambia unakutana na msemaji afu unauliza vitu vya kijinga.
@mzamirmfuruki6668
Жыл бұрын
Watangazaji wengne ni uchonganishi tu inakupa nn??
@zariadunia6328
Жыл бұрын
Hadi leo hujamsahau Naseeb we mzee utakufa mapema hebu achana nae kama hutakiwi siutulie
@alphoncewilliam4325
Жыл бұрын
Duu kopi kabisa aseee .domo kama mondi
@rogerabdallah439
Жыл бұрын
Kwani kikwete yeye nani
@neemamzande8547
Жыл бұрын
Raisi mstaafu umjui kwan
@agnesagnes2911
Жыл бұрын
Mmmmh mama dangote alimdharau mwenzie ila diamond mtupu paka kuongea
@Sheba4651
Жыл бұрын
Mwenziwe kwani walikua katika ndoa?
@naufalmustafa565
Жыл бұрын
we nayee mzee hunaga dogo mzee mzma bad unamlaum chibuuu taft hela ww
@stellahsimon4460
Жыл бұрын
🤔
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Wanatafuta Kiki kupitia Mzee
@charzykazimilymajahasy703
Жыл бұрын
Hapo Mzee Hana kosa, na kumulaumu ni lazima maana kamlea, huyu Mzee ni wakutafta hela Sasa hivi? Sema huyu chib wako akili hamnamo, Mzee kamlea mimba, umezaliwa, usiku unalia baba hasinzii, dawa, nguo Leo mtoto unapata unasahau hata kile kidogo? Hivi wewe unamtoto ambae umezaa ukalea na Wala Si kulea tu halafu wewe uko mbali unalala nae from 0-1mwaka? Ndo ungeongea hayo, halafu na wewe ni mpuuzi tu kama huyo mpuuzi mwenzio chib
@nicholauskilosa5336
Жыл бұрын
Mwambie Baba yako na wewe atafute hela jinga wewe
@kitwanashem3272
Жыл бұрын
@@charzykazimilymajahasy703 chib na mama yake hawana shukran na hawana utu kwa mfano hata kama siyo baba yake lkn mzee alikuwa na bwana mama yake kubinadamu tu siuta kuwa na imaani na abada kwa baba mlezi
Пікірлер: 87