I sure like davistar. So, so competent in his work. I so Love the way you ask questions for more understanding
@josphatmwai1994
2 жыл бұрын
Kazi nzuri Mr davistor. Nrb Kenya
@bakari-si1pw
2 жыл бұрын
Jina tu pekeyake inatosha😄😄 Msukule 😳😳ngoja nisikie kwanza
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkorofiiii we
@mabulamasunga7378
2 жыл бұрын
Asilimia 90 ya vifo hapa duniani ni vifo vya kichawi.
@wazomyakinifu2301
2 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa. Wauaji hao Wana hatia ya kujibu mbele ya kiti cha haki siku zao zikifika. Ingawa hata wao Kwa wao wanauana ikiwa hawajatimiza masharti wanayopeana. Yaani wanaishi Maisha yasiyo na maana kabisa. Ni kuua , kutesa na kula nyama za watu. Huku nao wakijua watauawa na kuliwa nyama pia. Ni upuuzi kweli
@Mazoea
2 жыл бұрын
Ni kweli wachawi sio watu wazuri
@fatmahchambo3131
2 жыл бұрын
Kweli kabisa, yaani mimi pia yalinikuta hayo ila Mungu akaninusuru. Dah wachawi watafika motoni wamechoka sana
@wazomyakinifu2301
2 жыл бұрын
@@fatmahchambo3131 Nawe ulikufa kichawi na kurudishwa? Lete namba yako ya simu nikuunge na Davistar utupe stori aisee
@fatmahchambo3131
2 жыл бұрын
@@wazomyakinifu2301 dah hapana siwezi kuongea hadhani kama hivi
@gloriamwanjali9371
2 жыл бұрын
Kumbukumbu la Torati 34:5 Basi Musa, mtumishi wa BWANA, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la BWANA.
@nuswemwaipopo9558
2 жыл бұрын
Hapo wana nzengo mie sina mbavu uwiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣
@fatmahchambo3131
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@rechorechojumamaroda5045
2 жыл бұрын
Ukisikia msukuma og ndo huyo sasa
@latifajabil1707
2 жыл бұрын
Aiseee jitahidi kumuuliza maswali maana tutamaliza muda si mrefu iwe ep moja tu 😆😆 Baba asante kwa story
@mkuluwaukae2221
2 жыл бұрын
Nyang'kumbu near Kalangalala sec, my school enzi hizo!
@idanyahmed8701
2 жыл бұрын
Bado hajakaa sawa toka 1998 aiseee wachawi watu wabaya sana
@barakamakongo6184
2 жыл бұрын
Kahunda the place I grew up maeneo nayafahamu
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
Asante Davista mata
@michaelmichael6487
2 жыл бұрын
Nipo geita devistsr naomba tuonane
@suzansimon5296
2 жыл бұрын
Duh Mr dm ckujua Kama utakuwepo geita ningekuja kukuona kusalimia Ila nw nmeshaondoka geita npo mwnz
Пікірлер: 64