Karibu utazame sehemu ya Press conference ya Klabu ya Yanga leo katika makao makuu yake, mitaa ya Jangwani Kariakoo kunako kivumbi kikali baada ya Mzee Ali Juma Magoma na wazee wenzake wachache kushinda kesi katika Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu na Mahakama hiyo kuamuru Rais wa Yanga Eng. Hersi Saidi kung'atuka pamoja na Makamu wake.
katika Video anaongea Mwanasheria wa Yanga SC Patrick
Негізгі бет MZEE MAGOMA AGEUZIWA KIBAO MWANASHERIA WA YANGA PATRICK AELEZA HATUA KALI ZA KLABU DHIDI YAKE.
Пікірлер: 10