Pumzika kwa amani baba yetu Rais Ali Hassan Mwinyi. Tutakukumbuka daima. Umeondoka bila deni kwetu. Tunamahukuru Mungu kwa zawadi ya maisha yako kwetu. Pumzika kwa amani.
@zuberisalum2004
6 ай бұрын
Mzeee mwinyi akuwa mnafiki alimpenda sana magufur
@zulfawaithera5479
6 ай бұрын
Kweli kabisa dada nakuunga mkono nikiwa mkenya
@Diana-lf3nr
6 ай бұрын
Kabisa kweli kabisa yaani
@edwardrigha6782
6 ай бұрын
Kuna tatizo kumpenda kiongozi jasiri na mzalendo kama JPM?
@meshackmanofgod8151
6 ай бұрын
si ndio alisema watuwema hawafi? kauli aliyomwambia rais samia? nawatu wakatafsiri kua inamaana alimuongelea magufuli au lkn yote kwayote mungu ampe rehemazake huko aendako ameen
@gracemtonga3263
6 ай бұрын
@@meshackmanofgod8151Yusuf makamba ndo aliropoka kwenye mkutano mkuu wa CCM, mpa Samia akamwombea radhi. Madaraka yanalevya plus roho mbaya.
@lyrics_forum
6 ай бұрын
Huyu Alikuwa Kiongozi mzuri sana, Mkarimu, Mpole, Hana Makuu. Mungu Amsamehe Dhambi zake na Ampe Pumziko la Milele kwa Amani.
@diyembarak5506
6 ай бұрын
Amiin
@yahyagonga
6 ай бұрын
Amiin
@HalimaHalimaomary
6 ай бұрын
Ameen summa Ameen
@user-ds6me1eh7n
6 ай бұрын
Amin ni kweli kabisa ni mzury aana❤❤
@kristopapaapaulo811
6 ай бұрын
Huyu hakuwa na dhambi hata moja
@user-wt5nc9cn7t
6 ай бұрын
Mungu awaondolee adhabu ya kaburi ishallah
@zainababdullsadik1247
6 ай бұрын
😭😭😭pumzikaa bb Allah apelekee safari yako iwee nyepesi ukabiziwee kitabu chako kwa mkono wakulia tunakupenda Allah kaupenda zaidi ameen
@htx1873
6 ай бұрын
My favorite ❤2 Presidents ( MWINYI & MAGUFULI ) I have pure love for them R .I.P to them.
@wema3619
6 ай бұрын
Mimi Pia Ndio Wapendwa Wangu Hao 💔🕊️
@janethpallangyo3855
6 ай бұрын
@wema3619 Hata mimi❤😢😢
@ameenaameena422
6 ай бұрын
Vizur vimeondoka
@hidayaswai3119
6 ай бұрын
2M
@adelinelyaruu3036
6 ай бұрын
Baba wa Taifa❤❤❤
@cloudinhoabdi868
6 ай бұрын
They were happily talking about death and what even hurts me most is that both are now gone. May God protect our leaders and grant them long life. We Kenyans are with you during this difficult time
@mohamedabdul9895
6 ай бұрын
Thnx
@deniskimenyi899
6 ай бұрын
Wewe ni hadhi nzuri ❤ Ruksa
@duncanasiligwa7181
6 ай бұрын
Lala salama mzee Mwinyi, na mzee Magufuli
@denismaringo2729
6 ай бұрын
"Maisha ni hadithi tu". RIP mzee wetu AHM "Ruksa". Truly he was a leader. Very humble. Pumzika pema peponi.
@adelinelyaruu3036
6 ай бұрын
Amina❤❤❤
@muhammadmuhammad5043
6 ай бұрын
Innalilahi Wainnaailehi Rajiounn Sote Tutarudi Kwa Allah Nikilamtu Atalipwa Alicho Kichuma... Subhallah Allah Tustiri Tujaaliye Tuwe Wenye Kujakuzungumziwa Vizuri Na Mazuri Yarabiy Yarabiy Yarabiy.. Subhallah Allah Akujaaliye Yarabiy...
@VenerandaKundi-ph4hg
6 ай бұрын
Mwanga wa milele umamwangazie marehemu mzee mwinyi apumuzike kwa amani amina vita umevipga vizuri mwendo umeumaliza
@mwajumashaibuomary7363
6 ай бұрын
Asante sana ayo kwa kutupa ujumbe huu ,historia itabaki kuwa historia ,hakika Asante sana
@janviersentama2437
6 ай бұрын
Poleni ndugu watanzania. Tena pole sana kwa Mama Mwinyi na watoto.
@Fesary
6 ай бұрын
Asante wewe wa nchi gan ?
@janviersentama2437
6 ай бұрын
Rwanda@@Fesary
@abbymwessamachumu8626
6 ай бұрын
Tumewapoza Marais wetu wazuri Sana na wenye weledi.M/mungu awalaze mahali pema peponi 🤲🤲🤲 wazee wetu
@ShabaniOnyango-gm3vz
6 ай бұрын
Mzee umemaliza mwendo salama mungu amekupa neema ya kuishi miaka mingi hatuna Cha kukudai bwana ametoa na bwana ametwaaah
@vincentchizua3196
6 ай бұрын
Pumzika kwa amani mzee wetu
@adelinelyaruu3036
6 ай бұрын
Amina❤❤❤
@rehemakitonge3833
6 ай бұрын
Amin Yarrab 😢
@halemmmbarak16
6 ай бұрын
Mzee Mwinyi na mm nakuusudu ww sana. Mungu akupe kauli thabit ,upokee kitabu chako kwa mkono wa kulia na ajalie kaburi lako liwe baridi kwako na akuruzuku pepo bila hisabu.
@paulinakiria7918
6 ай бұрын
Mungu akakupunguzie adhabu ya kaburi Mzee wetu Baba yetu kipenzi Cha watu
@consolathambuya2239
6 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awape pumziko la milele msalimie sana mzalendo na mwanamwema wa kweli Magufuli tunamkumbuka sana 😢🙏
@joashimbwelwa6030
6 ай бұрын
RIP To them, May Almighty God by his Mightier hand keeping their souls in a good place 🛐🛐🛐🧎🧎🧎🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@laylayl5166
6 ай бұрын
Poleni Sana familia ya. Mzee. Mwinyi mwenyezi mungu amjaalie janaat firdaus iwe ndio makazi yako yaarab safari ya wotee hiyoo
@user-uw1fs5mj9l
6 ай бұрын
Napendaga Sana hayo maneno,,maisha ni hadidhi tuu,ingawa sio wote wanakuelewa
@khamischigwado4173
6 ай бұрын
Two great legends...RIP
@user-pu6pr5jt4n
6 ай бұрын
😢😢😢😢😢MWINYI NA MAGUFUL. ALLAH AWAJALIE PEPO YA JUU INSHALLAH ❤❤
@trophywilson7211
6 ай бұрын
Bora yeye ameula hasa kuliko Magufuli
@user-vw5bn4pf4y
6 ай бұрын
Hapa akili ndogo ndo ilipofikia
@jenyyusuph4973
6 ай бұрын
Huo ni kweli hata mm nafikilia kama magufuli angekua kastaafu angalau Hata miaka 10 ilivyo pita hii nchi ingekua ya kushangaza tungepiga hata sana
@jumas.sendekwa2788
6 ай бұрын
Mnampangia Mungu muda wa kumchukua kiumbe wake? @@jenyyusuph4973
@maftahmusa9513
6 ай бұрын
MUNGU NDIO MPANGAJI
@chomasongidion6047
6 ай бұрын
Alizurumiiwa Nafsi yake,ila wote tutakufa
@jaymwinyi6957
6 ай бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun poleni kwa msiba familia jamaa na marafiki na watanzania
@user-us3dr9ry6s
6 ай бұрын
Babuu wa mababuu wewe ni jicho la wa tz binafsi nakupend tunkupenda. Great egmaree nenda karuandalie makao. Rais wetu tunajua we ni mhusudu wetu. Nakupenda baba Mwinyi nakupenda ❤
@musasudiyeya2725
6 ай бұрын
Rest in peace my brother in Islam Kaka Mkubwa Ali Hassan Mwinyi. Allahu maghfir lahu warahamuhu Wasikanahu fijana
@user-ft5rn4wo6x
6 ай бұрын
Allah amrehemu mzee ruksa 🙏
@user-bq8ny7tt5z
6 ай бұрын
Innalillah wa inailaih rajiun kazi ya Allah haina makosa.
@ramsojimmykelly3379
6 ай бұрын
Kazi ya allah aina makosa pumzika kwa amani mzee ruksa
@rasjamal9854
6 ай бұрын
R I P Both of you sleep tight in peace
@Waberoya
6 ай бұрын
❤❤❤ you are the good person
@user-fb6ib6iq5n
6 ай бұрын
Hekima ya Wazee,humbled Himself. R.I.P the race well done
@user-ef9xt3qy8f
6 ай бұрын
Allah akujalie kaburi lako liwe miongoni mwa viwanja vya peponi
@azizimangara9024
6 ай бұрын
Amin amin
@mshengeli
6 ай бұрын
aaamin
@HamduMasud-xw6qc
6 ай бұрын
Masha allah akiwa katika ubora wake akitumia pumzi vzr kwa kuwasihii watanzania na kutufunza kuishi vizuri kwa kutengeneza historia nzuri.
@richardzakaria8669
6 ай бұрын
Ujumbe uliosheheni mwongozo mzima wa maisha ya mwanadamu Punzika salama baba yetu Ali Hassan Mwinyi Mungu akupunzishe Salama
@abdullahibaris7182
6 ай бұрын
INNA NILLAH WA INA ILEYHI RAJAIOON ALLAH hu AKBAR io ni dalili ya muumin ki imani pia ha nayo ALLAH RAHMA ❤
@dr.erickjmazyala8905
6 ай бұрын
Wow! Rest in eternal peace our retired president ! We'll truly miss you dad😭! I thank God for your life 🙏!
@abdilahjuma2493
6 ай бұрын
ALLAH, akuzidishie amali mzee wetu, siku ya umlikhiyama uingie peponi
@rugendorunene545
6 ай бұрын
One of the best... Alikuwa Raisi wa awamu ya Pili, ila Raisi mzuri jameni kwa watanzania!
@mohamedabdallah9918
6 ай бұрын
Maneno kuntu Mzee wa Rukhsa Allah akupunguzie adhabu ya kabri na akusamehe makosa yako dua.
@sammymudambo9218
6 ай бұрын
Magufuli was the greatest president in entire Africa .I really miss magufuli.
@SuddyAlly
6 ай бұрын
Puzika kwa amani mzee wetu mbele yako nyumaa yetu 😢😢😢
@Aida-qh3jq
6 ай бұрын
Inalilah wainalilah rajighun poleni sana ndugu zangu mwenyez mungu ampe kauli dhabiti
@joshuason557
6 ай бұрын
Kweli maisha ni hadithi tuuu ,,acha Sasa tukuwe hadithi nzuli 👏🙏RIP Mzee Hassan
@babashuayb4926
6 ай бұрын
Rest in peace legends
@victoriakiwanuka5428
6 ай бұрын
Rest In Peace President Mwinyi and Magufuri 🙏🙏
@abrahammnjama7962
6 ай бұрын
Rambirambi zangu Kwa mama wa taifa mhe Samia,mama mwinyi na familia yote ya mheshimiwa raisi hayati mwinyi.tunawaombea mungu awavute machozi.🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
@user-xf9ns8rl1n
6 ай бұрын
I always admired you Mr President. RIP 🙏🏿
@mwajohari4385
6 ай бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun ,,Allah akupe qauli hhaabity,, Masha Allah,,maneno ya hekma japo na uzee wake, mimejifunza kitu
Pole sana familia na taifa tunahuzunika pamoja nanyi. Mzee wetu pumzika kwa amani tutakutana ahera Mungu atakapopenda.
@abasingaruka1872
6 ай бұрын
Asnte, Mzee kwa hotuba yako mambo mengi tuliyaona kwa wale walioona, Mungu akuweke pema uungane na wenzako waliotangulia, Amina
@alfinmbilinyi5985
6 ай бұрын
Pole sana Tanzania kwa msiba mzito nakumbuka mzee Mwinyi kule songea nilimpenda sana jinsi alivyokuwa akiongea.Full respect mzee mwinyi hatuta kusahau RIP Mwamba wa Tanzania.
@fadhilmshamba3077
6 ай бұрын
Mungu awape subira wafiwa na Tanzania kwa ujumla wetu. INNALILAHI WAINA ILAYHIM RAJIUUNA.
@user-ny1wh3ue8n
6 ай бұрын
Daima tutaku kumbuka babu yetu mungu kaku penda zaidi🎉
@kasaki_Selemani
6 ай бұрын
Huu hapa wimbo Maalm wa kumuenzi mzee wetu Mwinyi
@fatumasophu5855
6 ай бұрын
Wote hao marehemu inallilah waina ilayhi rajeeun ya Allah tujalie mwisho mwema
@user-oy6qp7rp5m
6 ай бұрын
Innalillah wainnailah rajiun. Pumzika kwa aman mungu akuepushe na adhabu za kabur
@PeterObiri-wj1iz
6 ай бұрын
Nyakati ni za mwisho na zilianza kitambo, Mzee matendo yako mazuri au mabaya ndio yatakufuata katika ile siku ya ufufuo . You played your role sasa ngojea taji
@aliymajala5678
6 ай бұрын
R.i.p mzee wetu pumzika kwa aman mzee ruksa sote njia yetu moja 😥😢😥🇹🇿🇹🇿🙏
@kari_ahmad06
6 ай бұрын
NAkupenda sana mzee na babu w2
@zerochanneltanzania3797
6 ай бұрын
This is pure heaven. Seen it witnessed it.
@amourmtungo623
6 ай бұрын
Wote hawa wamekuwa hadithi nzuri kusema la haki. Mungu aiweke roho yake pema peponi amin 🤲
@marychilunda377
6 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Baba yetu. Kweli maisha yetu ni hadithi tu
@boimanda82
6 ай бұрын
R.i.p.mzee wetu ruksa😢
@user-vo8jg1hc3y
6 ай бұрын
Asante baba kwa ujumbe mzuri hakika tutakukumbuka upumzike kwa amani
@Gabriel-d3s1v
6 ай бұрын
Poleni WaTanzania Wenzangu Wote Mungu Awape Nguvu 6l
@pauleranga2621
6 ай бұрын
Alitutoa kwenye ukale wa kugambania bidhaa madukani. Mwenyezi Mungu amsafishie njia ya kwenda Mbinguni.
@epifaniamilinga2848
6 ай бұрын
Mnyenyekevu,mpenda Kiswahili,mchekeshani.hana uroho was madaraka
@majalajiwenmajala7403
6 ай бұрын
😢😢😢 Allah akupunguzie adhabu ya kaburi na akupe pumziko la amani
@noelahmartine6625
6 ай бұрын
Magufuli Daaa baba kwann ume tuacha 😢😢😢 r .I .p man's 😢😢😢
@jitambitv4396
6 ай бұрын
R.I.P Mzee wetu japo mabaya uliyafanya kipindi chako But Mungu ni mwema
@mjukuuhotelitv7736
6 ай бұрын
Daaah uliongea point sana mzee wetu mpumzike kwa aman jmn mungu awapunguzie adhabu ya Kaburi Magufuli & Mwinyi😢😢😢
@abdifaraji2883
6 ай бұрын
Umemsahau kumwombea Nyerere
@user-dq3ik8gv7g
6 ай бұрын
Rest in peace mzee wetu. 🇰🇪
@user-zi8ls1po4o
6 ай бұрын
Inna lillahi waina ileyhi rajiuun mola amrehemu pahala pema peponi mzee wetu umetuacha kiwili wili ila mawazo na vitendo bado tuko navyo daima
@HamisSaidi-h3u
6 ай бұрын
Aisee! Wakweli wapo wallah Tena Allah Ampe Mwisho Mwema huko aendako🤲🏿
@user-ot5oh3hm8v
6 ай бұрын
Habari 🤚ndugu na wa dada wenzangu wa nchi ya Tanzania 🤝 Hongera kwa rais mwinyi 🙋ukitenda mema kuna baraka za Mungu 🌱🇰🇪
@mohamedabdul9895
6 ай бұрын
Shukrn ndugu tupo pamoja
@rashidhtibangayukatibangayuka
6 ай бұрын
Allahummaghafilau Warhammer wa afuanihu waskunhu filjanna
@lameckmnanka9330
6 ай бұрын
Baba pumzika kwa Aman Rahis wetu Ali Hassan mwinyi mungu akutunze uendako
@abdallahdullah8642
6 ай бұрын
Innalillah wa innailaih rajiuun. Cc sote ni waja wa mungu na kwake ndio marejeo yetu. Mungu akusamehe kila ulipokosea na akulipe wema kwa mema uliyoyatenda.
@samwelipima3795
6 ай бұрын
RIP mwinyi hukuwa mnafiki magufuri ulimpenda sana
@mgonasipapune1383
6 ай бұрын
Rest in peace Mzee wetu
@user-gp5nr2bs7v
6 ай бұрын
Mungu,ailaze,roho,ya,raise,wetu,Mahal,pema,pepon
@mwajumashaibuomary7363
6 ай бұрын
Mungu awape pumziko jema ,magufuli na mwinyi
@annefridakisesa4910
6 ай бұрын
We asked you to grace the opening of Angaza, to add your strong voice as we struggled to combat HIV and AIDS. Ukaja, ukasema nasi, ukawa mfano. Kwa ujio Wako vijana wakaja kupima, kuchenki hali zao na kupata taarifa sahihi. Upumzike kwa amani. Go in peace, Mheshimiwa raid mstaafu, Ali Hassan Mwinyi. 🙏🌹
@fatimasaid5795
6 ай бұрын
Condoléances et toute la famille
@mesaidikazungu4299
6 ай бұрын
Innalilahi Waina ilayhi rajiun😢😢
@alfoncemanda744
6 ай бұрын
Maneno ya hekima
@catherinefaney948
6 ай бұрын
Mwendo umeumaliza Baba,hekima na busara zako,zitabaki katikamasikio yetu.Roho Yako istarehe Kwa amani.
@MegaKarume
6 ай бұрын
Pumzika kwa amani Mzee Ruksa 😢😢😢
@julianapeter9893
6 ай бұрын
jamani mbona sierewi mbona viongozi wote wenye ekima wanakufa mungu tusadie
@djhdscratchmaster4110
6 ай бұрын
May God rest his soul in eternal peace🙏
@hassanndauka9685
6 ай бұрын
Daaah ni kazi ya mungu
@doiabel3793
6 ай бұрын
Pumzika kwa Aman mhe Rais msitaafu Ali Hassan mwinyi
@BahatiSunga-yk9qf
6 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Baba
@AluvenceNdelwa
6 ай бұрын
Kifo sote tutapitia lakin zaidi ya hapo kitakachoendelea ni sili kat yetu sisi na mwenyezi Mungu.r.i.p mzee hasan mwinyi
@HanschenAdvisory
6 ай бұрын
Good hear Forever❤
@user-et3lc2yb8g
6 ай бұрын
Mungu ailaze roho yake mahari pema peiponi
@gabrielinterschool3539
6 ай бұрын
Kweli Mungu kwetu ni mwema mjali huyo mjaa mema yake aliyo yatenda Kwa Dunia hii twa kuomba mpokee Kwa Amani yako Amin
Пікірлер: 379